Hekima herbal clinic.jelly poul

  • Home
  • Hekima herbal clinic.jelly poul

Hekima herbal clinic.jelly poul Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Hekima herbal clinic.jelly poul, Medical and health, Mama john, .

Afya kwanza
21/09/2024

Afya kwanza

21/05/2022
Kwa huduma bora
21/05/2022

Kwa huduma bora

Kwa wele wenye matatizo ya vidonda vya tumbo sasa basi suruhisho ni hekima herbal medicine clinic karibu uhudumiwe
14/03/2022

Kwa wele wenye matatizo ya vidonda vya tumbo sasa basi suruhisho ni hekima herbal medicine clinic karibu uhudumiwe

Kwa wale wenye matatizo ya Uzazi kwakina mama suluisho ni hii dawa inapatikana Hekima herbal clinic karibu
10/03/2022

Kwa wale wenye matatizo ya Uzazi kwakina mama suluisho ni hii dawa inapatikana Hekima herbal clinic karibu

Kutana nasi tukudumie
09/03/2022

Kutana nasi tukudumie

26/02/2022
26/02/2022
HABARI NDUGU MFUATILIAJI WA PAGE YETU.HEKIMA HERBAL CLINIC LEO TUTAZUNGUMZIA JUU YA UGONJWA WA P.I.D. yaan pelvic inflam...
26/02/2022

HABARI NDUGU MFUATILIAJI WA PAGE YETU.HEKIMA HERBAL CLINIC

LEO TUTAZUNGUMZIA JUU YA UGONJWA WA P.I.D. yaan pelvic inflammatory desease.kwa kiswahili maambukizi katika njia ya Uzazi wa mwanamke tutaangalia.dalili na namna ugonjwa unaweza kuenea Visababishi na tiba kwa ujumla
Karibu sana.

MAANA

PID ni Pelvic Inflamatory Disease Kwa kiswaili ni Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke,

Pid ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

PID husababishwa na nini?

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke hupataje PID?

Kwa Njia hizi hapa chini ni rahsi sana kwa mwanamke kupata maambukizi katika via vyake vya Uzazi.

(1) Kufanya mapenzi au ngono isiyo salama

(2) Kupata maambukizi katika via vya uzazi mara baada ya mama tu Kujifungua ambapo kitaalam huitwa “POSTPARTUM INFECTION”

(3) Maambukizi ambayo mwanamke huweza kuyapata mara tu baada kutoa mimba kwa Njia zisizo salama kitaalam huitwa Post abortion infection au baada ya mimba kutoka yenyewe ambapo kitaalam huitwa post miscarrage infection

(4) Matumizi ya baadhi ya Njia za Uzazi wa mpango k**a lupu au(IUCD) ambapo mwanamke kuweza kupata PID wakati wa uwekaji n.k

(5) Maambukizi kwa Njia ya damu kutoka kwa Mtu mwenye maambukizi katika via vya Uzazi

Dalili za PID ni zipi?

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni

Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu

Kupata maumivu ya mgongo

Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.

Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa

Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi

Kupata homa

Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na

Pia kutapika

MADHARA YA PID(MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI VYA MWANAMKE)

1.Mwanamke kushindwa kabsa kubeba Mimba au Ujauzito

2- Ujauzito kutoka hasa katika miezi 3 ya mwanzoni

3- Kutokwa na uchafu unaombatana na harafu kali hata kukukosesha raha,hasa hasa k**a Upo kwenye mahusiano ya kimapenzi

4- Kupata maumivu makali chini ya Kitovu wakati wa Tendo la Ndoa

5- Kupata maumivu wakati wa period huku ikiambatana na damu nyeusi,yenye mabonge mabonge na wakati mwingine kutoka nyama k**a Vipande vya maini.

6-Hali ya kichefuchefu na kutapika kutokea

7-Uke kuwa Mkavu hata kuleta maumivu wakati wa Tendo la Ndoa.

NB PId unaweza kupelekea kupata Hormone Imbalance ,Uvimbe kwa Uzazi ,Ugumba na nk kwa ushauri na tiba sahihi usisite kuliza

Tiba zetu ni Bei nafuu Sana.
zipo kwa watao hitaji
Tunadawa inaitwa
# super woman
# pia ipo mama afya hizi no tiba kwa wanao sumbuliwa na P.I.D.

Tunapatika mbeya mtaa wa mama John barabara ya zaman au njia ya mgwasi hotel

WASILIANA NA HEKIMA KWA NAMBA

CALL 0753192518
WHATSAP 0753192518
@

HEKIMA HERBAL CLINIC MBEYADR.JEREMIAH NO.Call:0753192518TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKEKuishiwa nguvu za kiume ni ...
24/02/2022

HEKIMA HERBAL CLINIC MBEYA
DR.JEREMIAH
NO.Call:0753192518

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE

Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni kushindwa kwa uume kudumu kusimama barabara kwa ajili ya tendo la ndoa, au kuwahi kufika kileleni.
Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka siku had I siku. Tafiti mbalimbali zinasema wanaume wengi wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea ndio wanaosumbuliwa na tatizo hili kwa kiasi kikubwa.

Wanaume wenye elimu ndogo juu ya utendaji kazi wa mwili na afya ndio wanaokabiliwa sana na tatizo hili. Hii ni kutokana na kwamba wengi wao wanakuwa hawaelewi aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume na za mwili kwa ujumla, namna wanavyotakiwa kuishi ili kupunguza janga hilo, wanakunywa pombe na hawajishughulishi na mazoezi ya viungo. Mazoezi ya viungo hupunguza tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa sana.

Kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza pia kuwa kumetokana na mambo ya kihisia, kwa kiingereza ‘emotional causes’. Vitu vingine vinavyoweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume ni pamoja na magonjwa k**a vile ugonjwa wa Kisukari na Shinikizo la juu la damu.

Asilimia 51 mpaka 61 ya wanaume wanaosumbuliwa na kisukari wanapatwa na tatizo la uume kushindwa kusimama vizuri. Kadharika wagonjwa wa kiharusi na wale waliotekwa na ulevi nao ni miongoni mwa watu wanaoweza kupatwa kirahisi na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Walevi wengi wa pombe kwa mfano wanakabiliwa na tatizo la uzalishaji mchache wa mbegu za kiume (manii).

Wengine wenye hatari ya kupatwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni pamoja na wanaume wenye shinikizo la juu la damu, wenye matatizo ya tezi, waliowahi kufanya upasuaji katika viungo vya uzazi wakabaki na majeraha, watu wanaotumia dawa zenye kemikali kiholela bila kushauriwa na wataalamu na wale wanaougua maradhi yanayodhoofisha msukumo wa damu kwenda katika mishipa ya uume.
Pamoja na hayo, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kutibika kwa watu wa rika zote.

* Nini Sababu ya uume kushindwa kusimama?

Kushindwa kwa uume kusimama pia hutambulika k**a kuishiwa nguvu za kiume. Ni kitendo cha mtu kushindwa kusimamisha uume au kudumisha usimamaji wa uume kwa muda wa kutosha kufanya tendo la tendo na mwenza wake. Pamoja na ukweli kuwa mara zote Mwanaume lazima atafika kileleni, hali huweza kuwa tofauti kwa upande wa pili kwani mwanamke anahitaji mwanaume akawie zaidi ili na yeye (mwanamke) aweze kutosheka.
Mkeo hupendelea ukawie na ikiwezekana ukawie zaidi. K**a utakuwa unawahi kumaliza, basi mkeo anakuwa hapati raha kamili.

Ingawa, k**a una tatizo la kuwahi kufika kileleni hauko peke yako. Asilimia 30 hadi 40 ya wanaume wa rika zote wanakabiliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni au kupungukiwa kwa nguvu za kiume. Hata hivyo kutambuwa tu kwamba wanaume wengine pia wana tatizo k**a lako siyo sababu ya wewe kukaa tu bila kutafuta suluhisho la tatizo lako.
Habari njema ni kuwa zipo njia zinazoweza kuleta matokeo mazuri na hatimaye kulimaliza tatizo hili bila madhara mabaya hapo baadaye.

Wakati mwingine uume kushindwa kusimama inaweza kuwa si tatizo, lakiini jambo hilo linapojitokeza kila mara na kwa kipindi kirefu inaweza kuleta msongo wa mawazo kwa mume na hata kwa mke. Sababu nyingine amabzo zinaweza kupelekea uume usisimame vizuri ni pamoja na matatizo ya mhemko k**a;
- Wasiwasi
- Hasira
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Huzuni
- Hofu na mashaka
- Kukosa hamu ya tendo la ndoa n.k

Ili uume usimame vizuri ni lazima:
Mfumo wako wa neva uwe na afya nzuri inayopelekea mpwito neva (nerve impulses) katika ubongo, uti wa mgongo na uume.
Mishipa ya ateri iliyo na afya ya ndani na iliyo karibu na corpora cavernosa
Misuli laini yenye afya na tishu za ufumwele (fibrous tissues) ndani ya corpora cavernosa
Kiwango sahihi cha oksidi nitriki (nitric oxide) ndani ya uume.

Uume kshindwa kusimama vizuri kunaweza kusababishwa pia k**a kipengele kimojawapo hapo juu hakifanyi kazi vizuri. Mambo mengine yanayopelekea kupunguwa kwa nguvu za kiume, uume kushindwa kusima

Kwa wenye tatizo wanao taka tiba na ushauri unaeza ukatufikia
Tunapatkana MBEYA MAMA JOHN BARABARA YA ZAMAN KARIBU NA MGWASI HOTEL
au piga namba

Call:0753192518
WhatsApp:0753192518

HEKIMA HERBAL CLINIC

Address

Mama John

+255

Telephone

+255753192518

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hekima herbal clinic.jelly poul posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram