
13/12/2021
Salamu tena marafiki zangu,na itaji muni sikilize tena kidogo tu kwa maneno haya,piya uta ya share naku sambaza kwa wengi
Unavyo ishi leo akika MUNGU ni mukubwa ila tuki kumbuka tuliko toka jana kuna hata wengi kwa leo wana kusikiya haya gisi ulivyo leo,ona marangapi vingi sana uli vipima wala hauku faulu,hata wengi wali achiliwa kabisa na wazazi wao walipo waona weme shindwa kwa vingu,hebu jiswali mengi tena,kwa vile hata wale waliyo ku zaa hawaku ku vumiliya wala ku ku chukuliya kwa uzaifu wako mpaka wali iona uzaifu wako kuwa mukubwa k**a bahari,lakini hata k**a wali ona una fika mwisho MUNGU yeye ali kupeleka mwanzo ya kusimama na ku kufunza jinsi yaku fanya vema na ku dumu katika uheri wa miujiza,sasa, jiswali unapo waona wale walio kuchoka wakati wa mazaifu yako kitendo chako ni gani kwao?Lakini usi sahau k**a miongoni mwao muna hata wazazi wako hawaku ku vumiya wakati ulipo zidi kushindwa waka ku ona k**a haufai ku itwa mwana wao,wala huna hata haki kwa kila walicho nacho,alakini mwanzo ya utoto wako wali ku zaa,waka kulisha,waka ku vika,waka ku weka shule ,mwisho walicho ki tarajiya kwako hawaku kipata,ndiposa waka amuwa kuku acha,lakini walipo ku acha MUNGU haku ona uzaifu wako,aka ku tengeneza ka matope ndani ya mikono ya mufinyanzi sasa leo umekuwa taa ya mataifa,hebu ni jibu kitendo chako ni kipi kwa ajili ya wale waliyo ku choka?jibiya vizuri kwa ku itafakariya iyi maneno,niki sema mtu alikuchoka maana yake kuna siku ali ku chukuwa lakini baada ya siku aka kuchoka mpaka ku ku tupa,ku ku zarau na kazalika,....................
Basi nipe jibu na usambaze kwa wengine