Daktari Nyoka - mganga Wa Kienyeji

Daktari Nyoka - mganga Wa Kienyeji DR MWERU / FOR HELPS CONTACT+254740134204 OH VISIT https://daktarinyokamweru.com/
KURUDISHA MPENZI / AU MALI YAKO ILIYOPOTEA/ KUSAFISHA NYOTA

22/08/2025

0740 134204
✔️MAPENZI
✔️ MIZOZO ZA MASHAMBA
✔️ MVUTO WA BIASHARA
✔️ KUREJESHA KILICHOPOTEA
✔️ REJESHWA KAZIN
✔️ KUMFUNGA MME/MKE
✔️ SHINDA KESI KOTINI
✔️ KUMUITA ALIEPOTEA AJE
✔️ KUONGEZWA CHEO KAZINI
✔️ KINGA ZA BOMA MWILI AU SHAMBA
✔️ MKE KUPATA KIZAZI
+254-740 134 204 / +254-784 651 719

LEO TUNAANGAZI VIFUNGO VYA NDOTO NA KUJIFUNGUA:TUNAANZA NA SWALI...a) Nani humu anaota wazazi au mmoja wa wazazi alifari...
20/05/2025

LEO TUNAANGAZI VIFUNGO VYA NDOTO NA KUJIFUNGUA:

TUNAANZA NA SWALI...
a) Nani humu anaota wazazi au mmoja wa wazazi alifariki
a) Nani anaota ndugu zake waliokufa ambao anawajua
C) Nani alikuwa anaota NDOTO za kweli, ila sasa haoti tena;
D) Nani alikuwa anaota NDOTO kisha anakumbuka vizuri akiamka, ila sasa hawezi hivyo;;
; .........
DARASA;
: Ndoto ni maisha yako wewe mwenyewe katika aina ya pili ya maisha yako, kwa lugha ya kitaalamu tunaita " KIVULI;
: Kivuli ndio ufalme wako ambao majini wanaweza kuungana na wewe na mkawa mnasikilizana na kuelewana na mkanufaishana katika biashara za maisha :
: Hivyo basi, ...
Unapokuwa mchana wa jua, hapa unakuwa unaishi kutumia aina moja ya mwili wako, ambao Nyama na damu:
: NA Unapokuwa usiku wa mwezi, unakuwa unaishi ulimwengu wako wa Aina ya pili ya mwili ( KIVULI)
: Hapa sasa ndio mwenyezi mungu akaumba kitu au neno NURU AU UCHAWI;
Na vikawa mtihani kwako;
: : Mchawi ana uwezo wa kukuroga Kivuli tu na sio mwili wa Nyama na damu:
Na akishafanikiwa kukuroga Kivuli, ndio mwili wa Nyama unaanza kuchoka, sababu maradhi ya kisheitwaini uambukiza mwili :
::: KIVULI NDIO KINABEBA KUOTA NDOTO:
Na k**a una tatizo la Ndoto ujue Kivuli chako kina matatizo Ima
1) Ushatekwa tayari
AU
2) Unachezewa wakuchukue wakufunge.

MWENYE KUOTA NDOTO HIZI AJIANDAE NA MARADHI MAKUBWA YATAKAYO PELEKEA KIFO.Ndoto hizi hutawaliwa na uadui mkubwa wa kijin...
20/05/2025

MWENYE KUOTA NDOTO HIZI AJIANDAE NA MARADHI MAKUBWA YATAKAYO PELEKEA KIFO.

Ndoto hizi hutawaliwa na uadui mkubwa wa kijini hivo ukiwa unaota mara kwa mara chukua tahadhari sindoto za kupuuza waone watibabu au wajuzi wakupe tiba sahihi mm wajibu wangu ni kukueleza kuchukua hatua ni jukumu lako.

1) Mwenye kuota mara kwa mara meno yanatoka au kukatika kwahali yoyote ile.

2) Mwenye kuota amebadilika rangi yake halisi nakuwa mweusi ajiandae na hayo.

3) Mwenye kuota anakula nyama mara kwa mara.

4) Mwenye kuota anaanguka kutoka kwenye korongo au mlima kuja chini na kushtuka kabla kufika chini.

5) Kuota umekuwa mzee ilihali ni kijana.

6) Kuota umevishwa sanda nusu ya mwili wako jiandae nahayo.

7) Kuota sehem za siri yaani tupu zako zimetoweka huzioni.

8) Kuota umeingizwa gerezani nahakuna anaekuja kukuangalia au kukupa msaada.

9)Kujiota mpo wawili yaani unajiota upo ila kipo kivuli chako au yupo mtu anaefanana naww.

10) Kuota unatafunwa na wadudu hatari au wanyama hatari.

11) Kuota umeangukiwa na mti mkubwa sana.

K**A UNAOTA NDOTO HIZI USIPUUZIE NA IKIEZEKANA HARAKISHA KUTAFUTA USAIDIZI

MAJINI WENGI WANAPENDA KUJIBADILISHA NYOKA ILA ASILIMIA KUBWA NI WALE WABAYA NDIO UPENDA KUJIBADILISHA IVYOILA WALE MAJI...
20/05/2025

MAJINI WENGI WANAPENDA KUJIBADILISHA NYOKA

ILA ASILIMIA KUBWA NI WALE WABAYA NDIO UPENDA KUJIBADILISHA IVYO

ILA WALE MAJINI WEMA UJIBADILISHA KWA SABABU MALUMU

NDOTO ZA NYOKA ASILIMIA KUBWA SIO NDOTO NZURI UKIONA UNAMUOTA SANA NYOKA MWEUSI AMEKUUMA UJUE UTAPATA MARADHI YASIYO ONEKANA OSPTALI

UKIONA NYOKA RANGI NYEUPE INAKUJIA MARA KWA MARA ALAFU AIKUFANYI KITU UJUE MIZIMU YENU INAKUITAJI

NYOKA KIJIVU NI ADUI RAFIKI UYO ANAANZA KUKUANDAMA MUEPUKE

UKIOTA NYOKA MWEUSI ANAKUFATA USINGIZINI ALAFU AKUFANYI KITU UJUE IYO NI MIZIMU YA KWENU AMBAYO YATUMIKA KICHAWI KWAIYO IMEKUCHAGUA

UKIOTA NYOKA ANAKULA MATUNDA BASI ELEWA RISKI ZAKO ZITAKUWA ZA TABU

UKIOTA NYOKA ANALIA UKU ANAONDOKA BASI MIZIMU YA KWENU INATUMIKA NA WATU WENGINE

HIZO NI BAADHI TU YA NDOTO KUUSU NYOKA. K**A UNAOTA NA UJUI MAANA UNAEZA NIULIZA NA K**A UPO NA SHIDA YOYOTE ILE PIA UNAWEZA WASILIANA NAMI.

MADHARA YA VIFUNGO VYA NJIA PANDA UKIWA NA DALILI HIZI BASI JUWA UMEFUNGWA VIFUNGO VYA KWENYE NJIA PANDA:1. MapenziKukos...
20/05/2025

MADHARA YA VIFUNGO VYA NJIA PANDA UKIWA NA DALILI HIZI BASI JUWA UMEFUNGWA VIFUNGO VYA KWENYE NJIA PANDA:

1. Mapenzi

Kukosa amani na utulivu katika mahusiano ya kimapenzi.

Kukumbwa na migogoro isiyoeleweka kati ya wapenzi.

Kupoteza mvuto au kushindwa kudumu katika mahusiano.

Kukumbwa na hali ya kutengwa au kuachwa mara kwa mara bila sababu ya msingi

2. Kazi na Biashara

Kukwama kwa miradi au kushindwa kufanikisha malengo ya kikazi.

Biashara kushuka au kupata hasara bila sababu za kimaumbile.

Kushindwa kupata fursa mpya au kuhisi kuzuiliwa katika maendeleo.

Uonevu kazini au kushindwa kupata nafasi za kupandishwa vyeo.

3. Maisha ya Ndoa

Migogoro isiyoisha kati ya wanandoa.

Kukosa amani na maelewano ya kudumu.

Kuongezeka kwa hali ya malalamiko na migogoro ya mara kwa mara.

Kukumbwa na majaribu mazito k**a vile kutokuzaa au kuharibika kwa mambo ya msingi ya familia.

4. Maisha Katika Jamii

Kutengwa na watu wengine au kuhisi upweke wa mara kwa mara.

Kutokubalika na jamii, hata k**a mtu ana bidii na juhudi.

Kukumbwa na hali ya maonevu au chuki isiyoeleweka.

Kupoteza heshima na uaminifu miongoni mwa marafiki au familia.

5. Kiroho na Kisaikolojia

Kujihisi mzito au kuzuiwa kiroho, k**a vile kushindwa kuomba au kuunganishwa na imani.

Msongo wa mawazo, wasiwasi, na kushindwa kuelewa chanzo cha matatizo.

Kuishi maisha yasiyo na furaha au kuona kila kitu kinaenda mrama.

26/04/2025

0740 134204
✔️MAPENZI
✔️ MIZOZO ZA MASHAMBA
✔️ MVUTO WA BIASHARA
✔️ KUREJESHA KILICHOPOTEA
✔️ KUMFUNGA MME/MKE
✔️ SHINDA KESI KOTINI
✔️ KUMUITA ALIEPOTEA AJE
✔️ KUONGEZWA CHEO KAZINI
✔️ KINGA ZA BOMA MWILI AU SHAMBA
✔️ MKE KUPATA KIZAZI
✔️ NGUVU ZA KIUME
+254-740 134204

DR MWERU / FOR HELPS CONTACT 0740 134204  daktarinyokamweru.com/
18/04/2025

DR MWERU / FOR HELPS CONTACT 0740 134204
daktarinyokamweru.com/

18/04/2025

DR MWERU / FOR HELPS CONTACT 0740 134204
daktarinyokamweru.com/

DR MWERU / FOR MORE HELPS CONTACT  0740 134204  daktarinyokamweru.com/
18/04/2025

DR MWERU / FOR MORE HELPS CONTACT 0740 134204
daktarinyokamweru.com/

30/01/2025

+254-740-134-204 +254-784-651-719
NATATUWA SHIDA K**A VILE
MPENZI
KILICHOPOTEA
MPENZI UNAOTAKA
MME/MKE
KAZINI
KESI KOTINI
ZA SHAMBA
WA BIASHARA
WA MAPENZI
YALIOKATALIWA
ZA KINYUMBANI
MIMBA K**A HAPATI
ALIEPOTEA AJE HARAKA
NGUVU ZA KIUME
NDOA ILIOVUNJIKA
CHEO KAZINI
MALI AU KUIBIWA KWA BOMA
WEZI, WA MIFUGO, PIKIPIKI, VYOMBO VYA NYUMBA
NA MENGINEYO MENGI MUONE AU WASILIYANA NAYE KWA MAELEZO ZAIDI KWA HII NAMBARI: +254-740-134-204 / +254-784651719
VISIT WEBSITE https://daktarinyokamweru.com
0740 134204

Address

Kangundo
Eastern

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daktari Nyoka - mganga Wa Kienyeji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Daktari Nyoka - mganga Wa Kienyeji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category