11/09/2022
LAST NOTICE BEFORE I FAINT 😏!
Sikatai niko na bibi😍 but wueh haka kadem🥰 kamekuja kwa plot manze ni fire 😍. To make matters worse, tushaanza kuvibe, number tumexchange and guess what, kashaniitia date🤩, makofi 😂. I had to lie to my wife, "sister yangu mwenye anakaa Nakuru ni msick I have to attend to her😂", my wife being that fine girl too, hakukataa,😊 alikubali then mimi huyo 🏃8pm natoka in the name of going to Nakuru.
Of course siendi Nakuru, naenda kwa Sylvia, the 2 months old tenant, na kako single sijai ona kakiwa na mtu, makofi 👏😂.
Natoka naenda hadi tao just to buy time ndio by saa mbili nirudi k**a wife amelala then niingie kwa Sylvia bila wasiwasi wowote ule. Plan inaenda tu fiti, saa mbili inafika nacall wife namwambia babe, guess what nishafika Nakuru, siz ako stable kiasi so acha nilale tuongee morning. Good night love, good night too, story inakatika mimi huyo Sylvia.
Around saa mbili na nusu, tukiwa kwa Sylvia, tunasikia mtu akibisha 🧐and guess who she is, wife yangu😱. Of course Sylvia anamjua so ananisignal najificha😶. Mimi huyoo chini ya kitanda😂. Natense,😢 jasho manze nikidhani maybe ashajua niko kwa Sylvia, kumbe si venye nafikiria,😊 amekuja tu kuomba kitu, makofi👏 😂😂🔥. "Hey, sasa Sylvia, please uko na condom nane unisaidie? Hii kitu leo lazima ipigwe ifure" 😱now ngoja kwanza, hiyo makofi👏🚫 usipige kwanza, bibi yangu, siko kwa nyumba, condom nane anaomba za nini? Leave alone that one, ju Sylvia alimpea, mtu ambaye sijai ona akiwa na chali condoms anakaa nazo za nini?🤔
As we speak nimetoka Nakuru na dakika 10 niko kwangu nabisha wife amekataa🥺 kufungua anasema mimi ni pepo 👽anajua niko Nakuru.
Mtu akimeza paracetamol sigisti fae anaeza lala hadi lini?!🤕Invite friends to follow me pia Mimi nipulahie😂ama aje mamolio👉Vici Msafi 001