Thabith Personal Care

Thabith Personal Care TIBA NA USHAURI
🕳MAGONJWA YA UZAZI

🕳U.T.I
🕳FANGASI
🕳UVIMBE
🕳SARATANI
🕳UGUMBA
🦠PID

"Dr Thabith Afya ya uzazi"


Huduma za afya ya uzazi kwa wagonjwa karibu tukuhudumie


Karibu Afya yako furaa yako

MWISHO WA PID NI KUACHA KUTOA MIMBA 😭.Naandika huku 😭 nalia maana najua ni ngumu et we unasemaje mpenzi msomajiOk any wa...
25/06/2025

MWISHO WA PID NI KUACHA KUTOA MIMBA 😭.
Naandika huku 😭 nalia maana najua ni ngumu et we unasemaje mpenzi msomaji

Ok any way acha niendelee na somo Aslimia 75% ya PID husababishwa na utoaji wa mimba abortion

Japo kuna Visababibishi vingine vya pid k**a

📌1.Matumizi ya uzazi wa mpango ka mda mrefu
📌2.mama alotoka kujiKujifungua anaweza pata maambukizo kwenye via vya uzazi
📌3.Vipimo kwenye mlango wa uzazi
📌4.Matumizi ya s*x toy
📌5.Kujichua pia inapelekea infection maana vidole hubeba bacteria wengi sana
📌6. Kuwa na historia ya U.T.I za mara ka mara

DALILI ZA PID
Dalili za PID zinatofautiana,zinaweza kuwa

🌱1.Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au upande wa kulia
🌱2.Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine una harufu isiyo ya kawaida
🌱3.Kichefuchefu na kutapika
🌱4.maumivu ya mgongo na nyonga
🌱5.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌱6.Maumivu wakati wa kukojoa
🌱7.Maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo

MAMBO YANAYOWEZA KUMUWEKA HATARINI MWANAMKE KUPATA PID

Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinamuweka mwanamke katika hatari ya
kupata PID ni k**a vifuatavyo

📌1.Wanawake wenye magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana k**a kisonono na klaimidia wako hatarini sana kupata PID

📌2.Wanawake ambao waliwahi kupata PID wako hatarini kupata tena

📌3. Wasichana wadogo wapo hatarini kupata PID kuliko wazee.

📌4.Wanawake wenye wapenzi wengi wako katika hatari ya kupata magonjwa ya zinaa na PID

Baadhi ya tafiti zinaeleza uoshaji wa uke unachangia kupata PID.
Kuosha uke( Douching) kunaweza pelekea kusukuma bakteria sehemu za juu za via vya uzazi na kuzuia kutoka kwa uchafu ambao mwanamke angeweza kutumia k**a ishara ya kwenda kuonana na wataalamu wa Afya mapema

MADHARA YA PID

Kutokea /kujirudia kwa PID kunaweza kusababisha
kutokea kuharibika mirija ya uzazi ambayo inaweza kupelekea
🌱1.Ugumba
🌱2.Mimba kutunga kwenye mirija ya uzazi(ectopic pregnancy)
🌱3.Maumivu makali kwenye shingo ya kizazi
Kati ya wanawake nane (8) wanaougua PID mmoja(1) unakuwa mgumba

Whtsapp no: 0684450076, Thabith Personal Care

Femibiotics ni kirutubisho kinachosaidia kurekebisha usawa wa bakteria wazuri ukeni, kuboresha kinga ya mwili, na kulind...
12/06/2025

Femibiotics ni kirutubisho kinachosaidia kurekebisha usawa wa bakteria wazuri ukeni, kuboresha kinga ya mwili, na kulinda mfumo wa uzazi wa mwanamke.

■ Faida Kuu za Femibiotics:

1. Kurekebisha usawa wa bakteria: Husaidia kuongeza bakteria wazuri (probiotics) k**a Lactobacillus wanaolinda uke dhidi ya maambukizi.

2. Kupunguza maambukizi ya uke: K**a vile fangasi (Candida), bacterial vaginosis (BV), n.k.

3. Kuboresha kinga ya mwili: Inaimarisha uwezo wa mwili kujilinda dhidi ya vijidudu.

4. Kusaidia uzazi bora: Kwa kudhibiti mazingira ya uke kuwa bora kwa afya ya uzazi.

■ Mambo ya Kipekee kwenye Femibiotics:

○ Ina aina 7 za bakteria hai (probiotics).

○ Ina virutubisho vinavyolinda ukuta wa uke na mfumo wa uzazi.

○ Teknolojia ya "double-layer coating" huongeza ufanisi kwa kuhakikisha bakteria wanafika salama tumboni.

■ Inafaa kwa nani?

1. Wanawake wenye maambukizi ya uke ya mara kwa mara.

2. Wanawake wanaotumia au waliotumia antibayotiki.

3. Wanawake walioko kwenye hedhi au baada ya hedhi.

4. Wanawake wanaotafuta ujauzito au waliopo kwenye mchakato wa uzazi.

Tofauti na bidhaa nyingine (mf. FemiCare):

Femibiotics ni maalumu kwa urejeshaji wa usawa wa bakteria ukeni, wakati FemiCare inalenga zaidi usafi wa uke na kupunguza harufu mbaya.

0684450076

🚫 UK'E WAKO MKAVU?Hii Ndio Sababu Unakosa Raha Ya Tendo, Na Uzazi Wako Unazidi Kuumia Kimyakimya 😰Dada, ute ute ni kinga...
12/06/2025

🚫 UK'E WAKO MKAVU?
Hii Ndio Sababu Unakosa Raha Ya Tendo, Na Uzazi Wako Unazidi Kuumia Kimyakimya 😰

Dada, ute ute ni kinga yako ya kwanza kwenye uke.
Ukikauka = hamu Ya Tendo hupotea, Maumivu Makali Wakati Wa Tendo,
.. na Hali Hii Inaweza Kuashiria maambukizi au shida za uzazi k**a Kuvurungika Kwa Homoni Zako, P.I.D, fangasi, au uvimbe.

👇🏾 FANYA Haya SASA – Uanze kuurudisha ute wa asili:

Tumia Juice/ Chai Hizi Ukiwa Nyumbani kwako👇🏾

1. 🫖 Chai ya tangawizi + mdalasini + asali

2. 🍉 Tikitimaji + karafuu

3. 🍍 Nanasi + bamia

💥 Lakini kumbuka: Hakuna ute k**a una stress, una fangasi au unakula ovyo!

🍃 Kula mboga, parachichi 🥑, nafaka zisizokobolewa
🚫 Achana na soda, chipsi, na sukari nyingi

❗ K**a tayari unashindwa kupata ute, una PID au homoni zimevurugika…
UzaziRestore women kit ndio tiba yako ya dharura!

Utaipata kwa 185,000 ama anza na femicare 65,000
📩 COMMENT Neno "UTE" upate tiba zetu

Usisubiri hadi uke wako uanze kukataa kila kitu – chukua hatua sasa! 💔

— Dr. Thabiti
👨🏾‍⚕️ Mtaalam wa Uzazi wa Asili

0684450076

🛑 Unashindwa Kubeba Mimba kwa Sababu Moja Tu: Unategemea Calendar!Dada yangu, hebu niambie ukweli...Kila mwezi unahesabu...
03/06/2025

🛑 Unashindwa Kubeba Mimba kwa Sababu Moja Tu: Unategemea Calendar!

Dada yangu, hebu niambie ukweli...
Kila mwezi unahesabu siku zako kwa calendar na kuomba muujiza utokee? 😔

Halafu kila mwezi unaona hedhi inarudi?
Unajisikia kuchanganyikiwa? Kila mtu anakwambia “subiri tu”?

Let me be real with you...
Calendar peke yake haiwezi kukuonyesha siku zako za mimba kwa uhakika.
Ndiyo maana wengi mnaendelea kungojea kwa miezi — hata miaka!

🎯 Ukweli ni huu:
Ovulation (siku ya yai kutoka) haifanyiki siku ileile kila mwezi.
Stress, lishe, usingizi, homoni, hata baridi — vyote vinaweza kuchelewesha au kuharakisha yai kutoka.

Na ukikosea tu siku 1, unaweza kupoteza nafasi pekee ya mwezi huo kubeba mimba 😔

🧠 Kwa mzunguko wa kawaida wa siku 28:
Yai hutoka siku ya 14 kabla ya hedhi ijayo.
Lakini siku za hatari ni kati ya siku ya 11 hadi 17.

Kwa nini?
👉🏾 Yai linaishi masaa 12 hadi 24 tu
👉🏾 Mbegu za mwanaume zinaweza kuishi hadi siku 3 ndani ya mwili
Kwa hiyo mbegu ikishuka mapema na yai likatoka baadae = MIMBA!

🩺 DALILI UNAZOZIONA UKIWA KWENYE OVULATION:

💧 Ute mweupe unateleza k**a yai
🔥 Mwili kuwa na joto ghafla
💥 Maumivu chini ya tumbo au kiunoni
💋 Hamu ya mapenzi kuongezeka
💢 Maziwa kuuma ukigusa

Dada, hizi dalili siyo za kupuuza.
Ni mwili wako unaopiga kelele: "Muda wa mimba ndo huu!"

🚨 Lakini ukitegemea calendar tu bila kuelewa mwili wako...
Unaweza kuwa unajizuia kupata mtoto bila kujua 💔

🎯 Sasa nifanyie hivi:

📲 Nitumie ujumbe nikupangie ovulation yako binafsi kwa usahihi kabisa

Tumia nafasi hii kuelewa mwili wako na kuongeza nafasi ya kushika mimba — bila kuumizwa tena na matarajio yasiyotimia 🙏🏾

0684450076

03/06/2025

Tunaita Kangaroo Care au kwa Kiswahili, kumuweka mtoto kifuani kwa mama (ngozi kwa ngozi) mara tu baada ya kuzaliwa.

WHO na watafiti wanasema — hii sio kwa watoto njiti tu tena!
Kila mtoto anayezaliwa anatakiwa awekewe kifuani kwa mama dakika ya kwanza kabisa Baada Ya Kuzaliwa...

Kwa nini ni muhimu sana?

👇🏾👇🏾👇🏾

❤️ Humsaidia mtoto apate joto linalofanana na lile la tumboni — hana baridi

😷 Humkinga na magonjwa ya haraka k**a homa na maambukizi

💓 Hurekebisha mapigo ya moyo na kupumua vizuri

🧘🏾‍♀️ Hupunguza stress kwa mama — anapata amani

🛡️ Mtoto anajisikia salama, analala vizuri

🍼 Husaidia mtoto kuanza kunyonya haraka

💞 Hujenga ukaribu wa kipekee kati ya mama na mtoto

Na k**a mama huna nguvu, baba au mtu wa karibu kabisa anaweza pia kufanya Kangaroo Care — mtoto apate faida zilezile.

Mama, hii ni dakika moja tu... Lakini inaweza kuamua afya ya maisha yote ya mwanao.

Usingoje ushauri hospitalini — jiandae sasa.
Jua unachotakiwa kufanya mara tu unapojifungua.

🧠 Ungependa nikufundishe hatua 5 muhimu za kufanya hii Kangaroo Care kwa usahihi?

👉🏾 Comment “Nataka” au niandikie DM sasa hivi.

Usiache mtoto wako apoteze faida hii kwa sababu ya kutokujua.
Mimi ni Dkt Thabith Personal Care — niko hapa kukusaidia, kila hatua ya safari yako ya uzazi. 🤍

K**a Umejifunza Kitu Usiache KuSave na Kushare na Mtu Mmoja Unayemjali Post Hii ♥️

Nimepokea report ya ultrasound ya mteja wangu mwenye umri wa miaka 46 ambae kupitia msaada wa dawa za virutubisho (suppl...
30/05/2025

Nimepokea report ya ultrasound ya mteja wangu mwenye umri wa miaka 46 ambae kupitia msaada wa dawa za virutubisho (supplement medicine)amefanikiwa kupata ujauzito wa mapacha (twin's) report inaonesha mapacha wote wawili wakiwa na Afya njema na wamefikia umri wa miezi 3 sasa(12-13 weeks)moyo moyo unapiga kwa nguvu na kila kitu kipo sawa

Ninashiriki ushuhuda huu🤝✊ila kuwahamasisha

➡️Wenza wote walio kwenye safari ya kupata watoto
➡️wale walio kata tamaa sababu ya umri
➡️Wale walio kata tamaa baada ya kujaribu mara nyingi bila mafanikio

NAWAAMBIA MSIKATE TAMAA:

Kwa msaada wa tiba za virutubisho lishe(supplement medicine)ndoto Yako ya kuweza kuwa mzazi imefikiwa Umri mkubwa sio safari ya mwisho historia ngumu sio mwisho na changamoto za nyuma sio hukumu ya maisha Yako yote.

mafanikio haya ni ishara:Mungu anabariki juhudi zakosayansi na matibabu ya virutubisho lishe (supplement medicine)vinaweza kufanya kazi kubwakila safari ni ya kipekee usijilinganishe na wengine

LEO NAWATIA MOYO WOTE WALIO KATA

➡️Njoo nisikilize historia yako
➡️ Tufanye vipimo
➡️Tutengeneze mpango wa matibabu
➡️ Tuombe tukiamini tukijitahidi NA WEWE UNAWEZA PATA MAFANIKIO

Safari ya kuwa mzazi Bado haijaisha Hadi uamue kuacha kujaribu
K**a huyu madame wa miaka 46 ameweza kwanini isiwe wewe??

KWA MSAADA ZAIDI UNAWEZA PIGA AU WHAT'SAPP NAMBA 0684450076 INAPATIKANA KOTE KAWAIDA NA WHAT'SAPP

Baada ya Miaka mingi ya Uvumilivu..Alimuomba Mungu walau Mtoto mmoja wa kiume! Mungu akambariki na watoto wa 3 wa kiume ...
14/05/2025

Baada ya Miaka mingi ya Uvumilivu..
Alimuomba Mungu walau Mtoto mmoja wa kiume! Mungu akambariki na watoto wa 3 wa kiume Na wa k**e 1! “Mungu Asiyeshindwa”🤱❤️
-
:

Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:

👉🏾Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
👉🏾Maambukizi sugu k**a PID
👉🏾Mvurugiko wa homoni
👉🏾Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
👉🏾Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
👉🏾Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
👉🏾Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
👉🏾Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
👉🏾Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
👉🏾Uzito kupita kiasi
👉🏾Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
👉🏾Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu

Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no: 0684 450 076

14/05/2025

Umeshawahi kuamka na maumivu chini ya tumbo, ukavu ukeni, au hedhi yenye mabonge hadi unaogopa kuvaa nguo nyepesi?

Dada, hiyo si kawaida.
Na haipaswi kuzoeleka.

Tatizo linaweza kuwa njia zako za uzazi zimejaa uchafu, mirija imeziba, au una P.I.D sugu usiyojua.
Na hii inaweza kukunyima nafasi ya kuwa mama siku zijazo…

Ukiendelea Kusubiri bila suluhisho, utasubiri miaka bila ujauzito.

Na kila mwezi utalia kimya kimya ukiangalia hedhi yako inavyochafua ndoto zako.

Lakini…
Kuna njia asilia, isiyo na sumu wala madhara.

Mchanganyiko huu wa asili husaidia:

✓ Kuondoa uchafu na vijidudu kwenye njia ya uzazi
✓ Kurekebisha mzunguko wa hedhi usioeleweka
✓ Kupunguza maumivu ya tumbo la uzazi
✓ Kupunguza P.I.D na harufu mbaya ukeni
✓ Kuongeza hamu ya tendo na kuondoa ukavu ukeni

Unahitaji:

1️⃣Tangawizi (vipande 4 vikubwa) au vijiko 8 vya unga

2️⃣Vitunguu saumu (glasi 1) au vijiko 10 vya unga

3️⃣Unga wa mdalasini (vijiko 6 vya chai)

4️⃣Asali mbichi lita 1

5️⃣Maji nusu lita ya kawaida

Maandalizi:

Saga tangawizi + vitunguu saumu
Ongeza mdalasini

Mimina asali kidogo kidogo hadi uchanganye vizuri
Kisha ongeza maji hadi ujazo uwe lita 1 na nusu

Matumizi:
Nusu glasi ×3 kwa siku (asubuhi, mchana, jioni)
Kwa siku 15 hadi 21 mfululizo
Hifadhi kwenye friji

Dada, k**a una dalili hizi — usikae kimya.
Kila siku unayopoteza ni siku moja mbele kwenye safari ya kukosa mtoto.

Nipo hapa kukusaidia.

Nipo tayari kukupa muongozo kamili
kulingana na umri wako na hali ya uzazi ulipo sasa.

Usije ukasema hukujua…
Huu ni msaada ambao unaweza kubadilisha maisha yako — au ya mtu unayemjali.

— Dr. Thabiti Natural Fertility Expert

USIPUUZE: Uzazi wa Mpango Unavyoharibu Uwezo Wako wa Kubeba Mimba!(Haswa k**a umetumia depo, sindano, au vidonge kwa mud...
14/05/2025

USIPUUZE: Uzazi wa Mpango Unavyoharibu Uwezo Wako wa Kubeba Mimba!

(Haswa k**a umetumia depo, sindano, au vidonge kwa muda mrefu...)

👇👇👇

Baada ya kuacha kutumia uzazi wa mpango,
mara nyingi mwili huwa haupo sawa mara moja.

Hedhi Yako Inavurungika,
ute wa uzazi unakosekana,
na mayai hayapevushi Kikamilifu Tena.

Sababu kubwa?
Homoni bandia zimejikusanya kwenye kizazi chako.

Ndio maana leo nataka nikushirikishe tiba ya kuondoa sumu hizo — kwa njia asilia kabisa.

Tangawizi + Karoti + Asali = Detox ya kizazi

✅JINSI YA KUTUMIA:

1️⃣Tangawizi kubwa 1

2️⃣Karoti 2 saizi ya kati

3️⃣Saga na maji nusu lita

✅Chuja

1️⃣Weka asali vijiko viwili

2️⃣Kunywa glass moja asubuhi, nyingine jioni
Kwa siku 30 mfululizo.

⚠️ Mwenye vidonda vya tumbo asiitumie
Unaweza kuhifadhi kwenye friji

Juisi hii ni ya kusaidia kizazi kurudi kwenye hali yake ya uzazi,
si ya Kuburudisho tu!

Dada yangu, usingoje dalili mbaya zaidi.
Ushasikia wanawake waliochelewa sana kuanza matibabu.
Usiwe mmoja wao.

Nipo WhatsApp kwa muongozo wa kina.
DM au bonyeza link kwenye bio — tuanzishe safari ya kurudisha uzazi wako leo.

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thabith Personal Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share