Thabith Personal Care

Thabith Personal Care TIBA NA USHAURI
🕳MAGONJWA YA UZAZI

🕳U.T.I
🕳FANGASI
🕳UVIMBE
🕳SARATANI
🕳UGUMBA
🦠PID

"Dr Thabith Afya ya uzazi"


Huduma za afya ya uzazi kwa wagonjwa karibu tukuhudumie


Karibu Afya yako furaa yako

MATIBABU YAKE:- Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu. Kwa dose ya P.I.D,...
16/08/2025

MATIBABU YAKE:-

Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.

Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 185,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,

Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.

0684450076

Dr Thabiti

Fermicare Cleanser – nguvu ya asili kwa afya ya uke!Unasumbuliwa na:❌ Fangasi sugu?❌ Harufu mbaya ukeni?❌ U.T.I zinazoru...
16/08/2025

Fermicare Cleanser – nguvu ya asili kwa afya ya uke!

Unasumbuliwa na:
❌ Fangasi sugu?
❌ Harufu mbaya ukeni?
❌ U.T.I zinazorudi-rudia?
❌ Maumivu ya tumbo la chini?
❌ uchafu mzito unaonuka?
❌️PID ukitumia na yuhnz.

✅ Fermicare ndiyo suluhisho lako la haraka na salama!
✔ Inasafisha, inatibu, na kulinda mfumo wa uzazi.
✔ Salama kwa matumizi ya muda mrefu.
✔ Matokeo huonekana ndani ya siku chache!

💥 BEI YA OFA: TSh 61,800 tu!
📦 Tunatuma popote ulipo – LIPA UKIWA UMEPOKEA!
⏰ OFA NI YA MUDA MFUPI – ikimalizika, imetoka! Nimetoa kopo 10 tu mikoa yote.

📲 Agiza sasa kupitia DM / WhatsApp: 0684450076
👇
Usikubali mwili wako uteseke – jipe tiba sahihi leo! 💕

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;1.Kuwa na miwas...
16/08/2025

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizo? tuna tiba ZENYE UBORA kwa ajili ya Kukusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri
KWA MATIBABU NITAFUTE NIKUSAIDIE

0684450076

Moja ya madhara makubwa ya PID ni UGUMBA (infertility);Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~Ni Maambukizi kwenye via vya ...
16/08/2025

Moja ya madhara makubwa ya PID ni
UGUMBA (infertility);

Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi wa Mwanamke,

MADHARA MENGINE 7 YA P.I.D katika mfumo wa Uzazi ni:-

✔️ Mimba kutugwa nje ya kizazi (Ectopic pregnancy).

~ Katika tatizo hili Tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi Yaani (ectopic pregnancy),

✔️ Mimba kutoka (miscarriage ).

✔️ Mirija ya uzazi kuziba.

✔️ Kizazi kujaa maji maji.

✔️ Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst).

✔️ Hormonal imbalance.

✔️ Saratani ya shingo ya kizazi
UTAJUAJE Una PID?

Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-

1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa.

2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri.

3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya.

4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.

5️⃣ Uke kuwa na ulaini sana.

6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi.

8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.

9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa.

🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.

MATIBABU YAKE:-

Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.

Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 185,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,

Kumbuka dalili za PID hazitofautiani sana na dalili za magonjwa mengine kwasababu fangasi inaweza sababisha pid,uti inasababisha pid,utowaji ujauzito na njia za uzazi wa mpango na kushiriki ngono bila kinga hivyo bacteria wanapo ingia kwenye njia ya uzazi basi ndiyo PID yenyewe ilivyo

Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.

0684450076

Femicare Feminine Cleanser ni bidhaa ya usafi wa sehemu za siri kwa wanawake, inayotengenezwa na BF Suma.  Ina viambata ...
16/08/2025

Femicare Feminine Cleanser ni bidhaa ya usafi wa sehemu za siri kwa wanawake, inayotengenezwa na BF Suma. Ina viambata asilia k**a vile mafuta muhimu kutoka mimea, vitamini mbalimbali, na madini yanayosaidia kuboresha afya ya uke. Hapa kuna faida tatu kuu za kutumia Femicare:

1. Huondoa uchafu na harufu isiyo ya kawaida
Femicare husaidia kusafisha uke kwa kuondoa uchafu usio wa kawaida, harufu mbaya, na muwasho, hivyo kuweka sehemu ya siri safi na yenye harufu nzuri.

2. Huzuia na kupambana na maambukizi ya bakteria
Ina uwezo wa kuzuia ukuaji wa bakteria hatari, hivyo kusaidia kupunguza hatari ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTIs) na maambukizi mengine ya uke.

3. Hurejesha hali ya kawaida ya uke na kuongeza kinga
Kwa kutumia viambata vyake asilia, Femicare husaidia kurejesha hali ya kawaida ya uke kwa kuondoa ukavu na kuwasha, na pia kuimarisha kinga ya uke dhidi ya maambukizi.

31/07/2025

MWISHO WA PID NI KUACHA KUTOA MIMBA 😭.
Naandika huku 😭 nalia maana najua ni ngumu et we unasemaje mpenzi msomaji

Ok any way acha niendelee na somo Aslimia 75% ya PID husababishwa na utoaji wa mimba abortion

Japo kuna Visababibishi vingine vya pid k**a

📌1.Matumizi ya uzazi wa mpango ka mda mrefu
📌2.mama alotoka kujiKujifungua anaweza pata maambukizo kwenye via vya uzazi
📌3.Vipimo kwenye mlango wa uzazi
📌4.Matumizi ya s*x toy
📌5.Kujichua pia inapelekea infection maana vidole hubeba bacteria wengi sana
📌6. Kuwa na historia ya U.T.I za mara ka mara

DALILI ZA PID
Dalili za PID zinatofautiana,zinaweza kuwa

🌱1.Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au upande wa kulia
🌱2.Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine una harufu isiyo ya kawaida
🌱3.Kichefuchefu na kutapika
🌱4.maumivu ya mgongo na nyonga
🌱5.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌱6.Maumivu wakati wa kukojoa
🌱7.Maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo

MAMBO YANAYOWEZA KUMUWEKA HATARINI MWANAMKE KUPATA PID

Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinamuweka mwanamke katika hatari ya
kupata PID ni k**a vifuatavyo

📌1.Wanawake wenye magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana k**a kisonono na klaimidia wako hatarini sana kupata PID

📌2.Wanawake ambao waliwahi kupata PID wako hatarini kupata tena

📌3. Wasichana wadogo wapo hatarini kupata PID kuliko wazee.

📌4.Wanawake wenye wapenzi wengi wako katika hatari ya kupata magonjwa ya zinaa na PID

Baadhi ya tafiti zinaeleza uoshaji wa uke unachangia kupata PID.
Kuosha uke( Douching) kunaweza pelekea kusukuma bakteria sehemu za juu za via vya uzazi na kuzuia kutoka kwa uchafu ambao mwanamke angeweza kutumia k**a ishara ya kwenda kuonana na wataalamu wa Afya mapema

MADHARA YA PID

Kutokea /kujirudia kwa PID kunaweza kusababisha
kutokea kuharibika mirija ya uzazi ambayo inaweza kupelekea
🌱1.Ugumba
🌱2.Mimba kutunga kwenye mirija ya uzazi(ectopic pregnancy)
🌱3.Maumivu makali kwenye shingo ya kizazi
Kati ya wanawake nane (8) wanaougua PID mmoja(1) unakuwa mgumba

Whtsapp no: 0684450076, Thabith Personal Care

Femibiotics ni kirutubisho kinachosaidia kurekebisha usawa wa bakteria wazuri ukeni, kuboresha kinga ya mwili, na kulind...
12/06/2025

Femibiotics ni kirutubisho kinachosaidia kurekebisha usawa wa bakteria wazuri ukeni, kuboresha kinga ya mwili, na kulinda mfumo wa uzazi wa mwanamke.

■ Faida Kuu za Femibiotics:

1. Kurekebisha usawa wa bakteria: Husaidia kuongeza bakteria wazuri (probiotics) k**a Lactobacillus wanaolinda uke dhidi ya maambukizi.

2. Kupunguza maambukizi ya uke: K**a vile fangasi (Candida), bacterial vaginosis (BV), n.k.

3. Kuboresha kinga ya mwili: Inaimarisha uwezo wa mwili kujilinda dhidi ya vijidudu.

4. Kusaidia uzazi bora: Kwa kudhibiti mazingira ya uke kuwa bora kwa afya ya uzazi.

■ Mambo ya Kipekee kwenye Femibiotics:

○ Ina aina 7 za bakteria hai (probiotics).

○ Ina virutubisho vinavyolinda ukuta wa uke na mfumo wa uzazi.

○ Teknolojia ya "double-layer coating" huongeza ufanisi kwa kuhakikisha bakteria wanafika salama tumboni.

■ Inafaa kwa nani?

1. Wanawake wenye maambukizi ya uke ya mara kwa mara.

2. Wanawake wanaotumia au waliotumia antibayotiki.

3. Wanawake walioko kwenye hedhi au baada ya hedhi.

4. Wanawake wanaotafuta ujauzito au waliopo kwenye mchakato wa uzazi.

Tofauti na bidhaa nyingine (mf. FemiCare):

Femibiotics ni maalumu kwa urejeshaji wa usawa wa bakteria ukeni, wakati FemiCare inalenga zaidi usafi wa uke na kupunguza harufu mbaya.

0684450076

🚫 UK'E WAKO MKAVU?Hii Ndio Sababu Unakosa Raha Ya Tendo, Na Uzazi Wako Unazidi Kuumia Kimyakimya 😰Dada, ute ute ni kinga...
12/06/2025

🚫 UK'E WAKO MKAVU?
Hii Ndio Sababu Unakosa Raha Ya Tendo, Na Uzazi Wako Unazidi Kuumia Kimyakimya 😰

Dada, ute ute ni kinga yako ya kwanza kwenye uke.
Ukikauka = hamu Ya Tendo hupotea, Maumivu Makali Wakati Wa Tendo,
.. na Hali Hii Inaweza Kuashiria maambukizi au shida za uzazi k**a Kuvurungika Kwa Homoni Zako, P.I.D, fangasi, au uvimbe.

👇🏾 FANYA Haya SASA – Uanze kuurudisha ute wa asili:

Tumia Juice/ Chai Hizi Ukiwa Nyumbani kwako👇🏾

1. 🫖 Chai ya tangawizi + mdalasini + asali

2. 🍉 Tikitimaji + karafuu

3. 🍍 Nanasi + bamia

💥 Lakini kumbuka: Hakuna ute k**a una stress, una fangasi au unakula ovyo!

🍃 Kula mboga, parachichi 🥑, nafaka zisizokobolewa
🚫 Achana na soda, chipsi, na sukari nyingi

❗ K**a tayari unashindwa kupata ute, una PID au homoni zimevurugika…
UzaziRestore women kit ndio tiba yako ya dharura!

Utaipata kwa 185,000 ama anza na femicare 65,000
📩 COMMENT Neno "UTE" upate tiba zetu

Usisubiri hadi uke wako uanze kukataa kila kitu – chukua hatua sasa! 💔

— Dr. Thabiti
👨🏾‍⚕️ Mtaalam wa Uzazi wa Asili

0684450076

Baada ya Miaka mingi ya Uvumilivu..Alimuomba Mungu walau Mtoto mmoja wa kiume! Mungu akambariki na watoto wa 3 wa kiume ...
14/05/2025

Baada ya Miaka mingi ya Uvumilivu..
Alimuomba Mungu walau Mtoto mmoja wa kiume! Mungu akambariki na watoto wa 3 wa kiume Na wa k**e 1! “Mungu Asiyeshindwa”🤱❤️
-
:

Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:

👉🏾Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
👉🏾Maambukizi sugu k**a PID
👉🏾Mvurugiko wa homoni
👉🏾Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
👉🏾Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
👉🏾Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
👉🏾Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
👉🏾Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
👉🏾Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
👉🏾Uzito kupita kiasi
👉🏾Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
👉🏾Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu

Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no: 0684 450 076

14/05/2025

Umeshawahi kuamka na maumivu chini ya tumbo, ukavu ukeni, au hedhi yenye mabonge hadi unaogopa kuvaa nguo nyepesi?

Dada, hiyo si kawaida.
Na haipaswi kuzoeleka.

Tatizo linaweza kuwa njia zako za uzazi zimejaa uchafu, mirija imeziba, au una P.I.D sugu usiyojua.
Na hii inaweza kukunyima nafasi ya kuwa mama siku zijazo…

Ukiendelea Kusubiri bila suluhisho, utasubiri miaka bila ujauzito.

Na kila mwezi utalia kimya kimya ukiangalia hedhi yako inavyochafua ndoto zako.

Lakini…
Kuna njia asilia, isiyo na sumu wala madhara.

Mchanganyiko huu wa asili husaidia:

✓ Kuondoa uchafu na vijidudu kwenye njia ya uzazi
✓ Kurekebisha mzunguko wa hedhi usioeleweka
✓ Kupunguza maumivu ya tumbo la uzazi
✓ Kupunguza P.I.D na harufu mbaya ukeni
✓ Kuongeza hamu ya tendo na kuondoa ukavu ukeni

Unahitaji:

1️⃣Tangawizi (vipande 4 vikubwa) au vijiko 8 vya unga

2️⃣Vitunguu saumu (glasi 1) au vijiko 10 vya unga

3️⃣Unga wa mdalasini (vijiko 6 vya chai)

4️⃣Asali mbichi lita 1

5️⃣Maji nusu lita ya kawaida

Maandalizi:

Saga tangawizi + vitunguu saumu
Ongeza mdalasini

Mimina asali kidogo kidogo hadi uchanganye vizuri
Kisha ongeza maji hadi ujazo uwe lita 1 na nusu

Matumizi:
Nusu glasi ×3 kwa siku (asubuhi, mchana, jioni)
Kwa siku 15 hadi 21 mfululizo
Hifadhi kwenye friji

Dada, k**a una dalili hizi — usikae kimya.
Kila siku unayopoteza ni siku moja mbele kwenye safari ya kukosa mtoto.

Nipo hapa kukusaidia.

Nipo tayari kukupa muongozo kamili
kulingana na umri wako na hali ya uzazi ulipo sasa.

Usije ukasema hukujua…
Huu ni msaada ambao unaweza kubadilisha maisha yako — au ya mtu unayemjali.

— Dr. Thabiti Natural Fertility Expert

USIPUUZE: Uzazi wa Mpango Unavyoharibu Uwezo Wako wa Kubeba Mimba!(Haswa k**a umetumia depo, sindano, au vidonge kwa mud...
14/05/2025

USIPUUZE: Uzazi wa Mpango Unavyoharibu Uwezo Wako wa Kubeba Mimba!

(Haswa k**a umetumia depo, sindano, au vidonge kwa muda mrefu...)

👇👇👇

Baada ya kuacha kutumia uzazi wa mpango,
mara nyingi mwili huwa haupo sawa mara moja.

Hedhi Yako Inavurungika,
ute wa uzazi unakosekana,
na mayai hayapevushi Kikamilifu Tena.

Sababu kubwa?
Homoni bandia zimejikusanya kwenye kizazi chako.

Ndio maana leo nataka nikushirikishe tiba ya kuondoa sumu hizo — kwa njia asilia kabisa.

Tangawizi + Karoti + Asali = Detox ya kizazi

✅JINSI YA KUTUMIA:

1️⃣Tangawizi kubwa 1

2️⃣Karoti 2 saizi ya kati

3️⃣Saga na maji nusu lita

✅Chuja

1️⃣Weka asali vijiko viwili

2️⃣Kunywa glass moja asubuhi, nyingine jioni
Kwa siku 30 mfululizo.

⚠️ Mwenye vidonda vya tumbo asiitumie
Unaweza kuhifadhi kwenye friji

Juisi hii ni ya kusaidia kizazi kurudi kwenye hali yake ya uzazi,
si ya Kuburudisho tu!

Dada yangu, usingoje dalili mbaya zaidi.
Ushasikia wanawake waliochelewa sana kuanza matibabu.
Usiwe mmoja wao.

Nipo WhatsApp kwa muongozo wa kina.
DM au bonyeza link kwenye bio — tuanzishe safari ya kurudisha uzazi wako leo.

Address

Mliman City
Arusha
4040

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thabith Personal Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram