16/08/2025
Moja ya madhara makubwa ya PID ni
UGUMBA (infertility);
Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi wa Mwanamke,
MADHARA MENGINE 7 YA P.I.D katika mfumo wa Uzazi ni:-
✔️ Mimba kutugwa nje ya kizazi (Ectopic pregnancy).
~ Katika tatizo hili Tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi Yaani (ectopic pregnancy),
✔️ Mimba kutoka (miscarriage ).
✔️ Mirija ya uzazi kuziba.
✔️ Kizazi kujaa maji maji.
✔️ Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst).
✔️ Hormonal imbalance.
✔️ Saratani ya shingo ya kizazi
UTAJUAJE Una PID?
Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa.
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri.
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya.
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
5️⃣ Uke kuwa na ulaini sana.
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi.
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa.
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.
MATIBABU YAKE:-
Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.
Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 185,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,
Kumbuka dalili za PID hazitofautiani sana na dalili za magonjwa mengine kwasababu fangasi inaweza sababisha pid,uti inasababisha pid,utowaji ujauzito na njia za uzazi wa mpango na kushiriki ngono bila kinga hivyo bacteria wanapo ingia kwenye njia ya uzazi basi ndiyo PID yenyewe ilivyo
Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.
0684450076