Thabith Personal Care

Thabith Personal Care TIBA NA USHAURI
🕳MAGONJWA YA UZAZI

🕳U.T.I
🕳FANGASI
🕳UVIMBE
🕳SARATANI
🕳UGUMBA
🦠PID

"Dr Thabith Afya ya uzazi"


Huduma za afya ya uzazi kwa wagonjwa karibu tukuhudumie


Karibu Afya yako furaa yako

10/11/2025

# # UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID)**

**Dalili, Madhara na Suluhisho Bila Upasuaji**

**Bawasili** ni hali ya kuvimba kwa mishipa midogo ya damu (vena) inayozunguka eneo la tundu la haja kubwa. Mishipa hii inapovimba, husababisha vimbe au vinyama kuota katika eneo hilo, na mara nyingine kupasuka na kutoa damu. Hali hii huweza kusababisha maumivu, usumbufu mkubwa na hata kuathiri maisha ya ndoa au afya ya akili.

---

# # # **AINA ZA BAWASILI**

1. **Bawasili ya Ndani** – Hutokea ndani ya tundu la haja kubwa.
2. **Bawasili ya Nje** – Huonekana k**a uvimbe au kinyama nje ya tundu la haja kubwa.

---

# # # **CHANZO CHA BAWASILI**

- Kukaa kwa muda mrefu bila kusimama (madereva, maofisini)

- Kutumia nguvu nyingi wakati wa kujifungua

- Kufanya ngono kinyume na maumbile

- Choo kigumu (constipation) mara kwa mara

- Kutumia vyoo vya kukaa bila kujisaidia kikamilifu

- Kunyanyua vitu vizito au kufanya mazoezi mazito

- Lishe duni isiyo na nyuzi nyuzi (fiber)

---

# # # **DALILI ZA BAWASILI**

- Kuwashwa mara kwa mara sehemu ya haja kubwa

- Maumivu makali wakati wa kujisaidia

- Kutoka damu wakati wa haja kubwa

- Kuota kinyama ndani au nje ya tundu la haja kubwa

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kukaa vizuri, au kupungua nguvu za kiume

---

# # # **MADHARA YA BAWASILI**

- Upungufu wa damu kutokana na kutokwa na damu mara kwa mara

- Kudhoofika kwa mwili na kinga ya mwili

- Kukosa hamu ya tendo la ndoa au nguvu za kiume

- Kuathirika kisaikolojia (msongo, huzuni)

- Kupoteza uwezo wa kujizuia kujisaidia
- Hatari ya kupata saratani ya utumbo mpana

---

# # # **SULUHISHO SALAMA BILA UPASUAJI**
Watu wengi hupelekwa hospitali kwa ajili ya upasuaji wa bawasili, lakini ukweli ni kwamba ugonjwa huu mara nyingi hurudi tena hata baada ya upasuaji.

**Habari njema ni kwamba sasa kuna bidhaa asilia, salama na zenye nguvu ya kuondoa kabisa uvimbe wa bawasili bila haja ya upasuaji.** Bidhaa hizi husaidia:

- Kupunguza uvimbe kwa haraka
- Kuponya mishipa iliyopasuka
- Kupunguza maumivu na kuwashwa
- Kurudisha afya ya mfumo wa haja kubwa

-JE UNASUMBULIWA NA BAWASILI?**
Usikubali kuishi na maumivu au aibu. Wasiliana nasi 0684450076

MATIBABU YAKE:- Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu. Kwa dose ya P.I.D,...
16/08/2025

MATIBABU YAKE:-

Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.

Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 185,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,

Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.

0684450076

Dr Thabiti

Fermicare Cleanser – nguvu ya asili kwa afya ya uke!Unasumbuliwa na:❌ Fangasi sugu?❌ Harufu mbaya ukeni?❌ U.T.I zinazoru...
16/08/2025

Fermicare Cleanser – nguvu ya asili kwa afya ya uke!

Unasumbuliwa na:
❌ Fangasi sugu?
❌ Harufu mbaya ukeni?
❌ U.T.I zinazorudi-rudia?
❌ Maumivu ya tumbo la chini?
❌ uchafu mzito unaonuka?
❌️PID ukitumia na yuhnz.

✅ Fermicare ndiyo suluhisho lako la haraka na salama!
✔ Inasafisha, inatibu, na kulinda mfumo wa uzazi.
✔ Salama kwa matumizi ya muda mrefu.
✔ Matokeo huonekana ndani ya siku chache!

💥 BEI YA OFA: TSh 61,800 tu!
📦 Tunatuma popote ulipo – LIPA UKIWA UMEPOKEA!
⏰ OFA NI YA MUDA MFUPI – ikimalizika, imetoka! Nimetoa kopo 10 tu mikoa yote.

📲 Agiza sasa kupitia DM / WhatsApp: 0684450076
👇
Usikubali mwili wako uteseke – jipe tiba sahihi leo! 💕

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;1.Kuwa na miwas...
16/08/2025

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizo? tuna tiba ZENYE UBORA kwa ajili ya Kukusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri
KWA MATIBABU NITAFUTE NIKUSAIDIE

0684450076

Moja ya madhara makubwa ya PID ni UGUMBA (infertility);Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~Ni Maambukizi kwenye via vya ...
16/08/2025

Moja ya madhara makubwa ya PID ni
UGUMBA (infertility);

Pelvic Inflammatory Disease (P.I.D)~
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi wa Mwanamke,

MADHARA MENGINE 7 YA P.I.D katika mfumo wa Uzazi ni:-

✔️ Mimba kutugwa nje ya kizazi (Ectopic pregnancy).

~ Katika tatizo hili Tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi Yaani (ectopic pregnancy),

✔️ Mimba kutoka (miscarriage ).

✔️ Mirija ya uzazi kuziba.

✔️ Kizazi kujaa maji maji.

✔️ Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst).

✔️ Hormonal imbalance.

✔️ Saratani ya shingo ya kizazi
UTAJUAJE Una PID?

Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D:-

1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa.

2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri.

3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya.

4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.

5️⃣ Uke kuwa na ulaini sana.

6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi.

8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.

9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa.

🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.

MATIBABU YAKE:-

Kwa Bahati nzuri msaada wa haraka kwa changamoto ya P.I.D upo umbali wa simu moja tu.

Kwa dose ya P.I.D, inaanzia 185,000/=, Dose kamili inatengemea ukubwa wa tatizo ilo Na Upo nalo kwa muda gani,

Kumbuka dalili za PID hazitofautiani sana na dalili za magonjwa mengine kwasababu fangasi inaweza sababisha pid,uti inasababisha pid,utowaji ujauzito na njia za uzazi wa mpango na kushiriki ngono bila kinga hivyo bacteria wanapo ingia kwenye njia ya uzazi basi ndiyo PID yenyewe ilivyo

Nitumie Ujumbe whatsapp muda huu, kupata msaada wa haraka zaidi, ikiwemo Ushauri Na Tiba.

0684450076

Femicare Feminine Cleanser ni bidhaa ya usafi wa sehemu za siri kwa wanawake, inayotengenezwa na BF Suma.  Ina viambata ...
16/08/2025

Femicare Feminine Cleanser ni bidhaa ya usafi wa sehemu za siri kwa wanawake, inayotengenezwa na BF Suma. Ina viambata asilia k**a vile mafuta muhimu kutoka mimea, vitamini mbalimbali, na madini yanayosaidia kuboresha afya ya uke. Hapa kuna faida tatu kuu za kutumia Femicare:

1. Huondoa uchafu na harufu isiyo ya kawaida
Femicare husaidia kusafisha uke kwa kuondoa uchafu usio wa kawaida, harufu mbaya, na muwasho, hivyo kuweka sehemu ya siri safi na yenye harufu nzuri.

2. Huzuia na kupambana na maambukizi ya bakteria
Ina uwezo wa kuzuia ukuaji wa bakteria hatari, hivyo kusaidia kupunguza hatari ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTIs) na maambukizi mengine ya uke.

3. Hurejesha hali ya kawaida ya uke na kuongeza kinga
Kwa kutumia viambata vyake asilia, Femicare husaidia kurejesha hali ya kawaida ya uke kwa kuondoa ukavu na kuwasha, na pia kuimarisha kinga ya uke dhidi ya maambukizi.

31/07/2025

MWISHO WA PID NI KUACHA KUTOA MIMBA 😭.
Naandika huku 😭 nalia maana najua ni ngumu et we unasemaje mpenzi msomaji

Ok any way acha niendelee na somo Aslimia 75% ya PID husababishwa na utoaji wa mimba abortion

Japo kuna Visababibishi vingine vya pid k**a

📌1.Matumizi ya uzazi wa mpango ka mda mrefu
📌2.mama alotoka kujiKujifungua anaweza pata maambukizo kwenye via vya uzazi
📌3.Vipimo kwenye mlango wa uzazi
📌4.Matumizi ya s*x toy
📌5.Kujichua pia inapelekea infection maana vidole hubeba bacteria wengi sana
📌6. Kuwa na historia ya U.T.I za mara ka mara

DALILI ZA PID
Dalili za PID zinatofautiana,zinaweza kuwa

🌱1.Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au upande wa kulia
🌱2.Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine una harufu isiyo ya kawaida
🌱3.Kichefuchefu na kutapika
🌱4.maumivu ya mgongo na nyonga
🌱5.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌱6.Maumivu wakati wa kukojoa
🌱7.Maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo

MAMBO YANAYOWEZA KUMUWEKA HATARINI MWANAMKE KUPATA PID

Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinamuweka mwanamke katika hatari ya
kupata PID ni k**a vifuatavyo

📌1.Wanawake wenye magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana k**a kisonono na klaimidia wako hatarini sana kupata PID

📌2.Wanawake ambao waliwahi kupata PID wako hatarini kupata tena

📌3. Wasichana wadogo wapo hatarini kupata PID kuliko wazee.

📌4.Wanawake wenye wapenzi wengi wako katika hatari ya kupata magonjwa ya zinaa na PID

Baadhi ya tafiti zinaeleza uoshaji wa uke unachangia kupata PID.
Kuosha uke( Douching) kunaweza pelekea kusukuma bakteria sehemu za juu za via vya uzazi na kuzuia kutoka kwa uchafu ambao mwanamke angeweza kutumia k**a ishara ya kwenda kuonana na wataalamu wa Afya mapema

MADHARA YA PID

Kutokea /kujirudia kwa PID kunaweza kusababisha
kutokea kuharibika mirija ya uzazi ambayo inaweza kupelekea
🌱1.Ugumba
🌱2.Mimba kutunga kwenye mirija ya uzazi(ectopic pregnancy)
🌱3.Maumivu makali kwenye shingo ya kizazi
Kati ya wanawake nane (8) wanaougua PID mmoja(1) unakuwa mgumba

Whtsapp no: 0684450076, Thabith Personal Care

Address

Mliman City
Arusha
4040

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thabith Personal Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram