Mkombozi_kwa_mwanamke_tz

Mkombozi_kwa_mwanamke_tz Pata ushauri zidi ya Afya ya uzazi kwa mwanamke na magonjwa kama Fangasi ukeni, U.T.I sugu, P.I.D, mvurugiko wa Homoni, Uvimbe kwenye Kizazi

*Faida Za Kutumia Femicare Feminine Cleanser!...😋 👇* . 1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi...
03/04/2023

*Faida Za Kutumia Femicare Feminine Cleanser!...😋 👇* .
1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D atumie na yunzi
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika
5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.
7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni,.Kwa uhitaji wa tiba hii ya kudumu wasiliana nasi kwa simu Namba. 0743 705 846 uweze kuipata

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

:

(k**a  utahitaji tiba hii ya kudumu wasiliana nasi kwa simu Namba No.  0743 705 846 uweze kuipata)KWA USHAURI ZAIDI UNAW...
03/04/2023

(k**a utahitaji tiba hii ya kudumu wasiliana nasi kwa simu Namba
No. 0743 705 846 uweze kuipata)

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

JE? WEWE NDIYO UYU MWANAMKE MWENYE HADHA K**A IZO ZINAKUKABILI. BADO UJACHELEWA UNAWEZA PATA USHAURI BURE NA ELIMU KUWEZ...
22/01/2023

JE? WEWE NDIYO UYU MWANAMKE MWENYE HADHA K**A IZO ZINAKUKABILI. BADO UJACHELEWA UNAWEZA PATA USHAURI BURE NA ELIMU KUWEZA TAMBUA VYANZO VYA CHANGAMOTO IZO NA DALILI ZAKE KWA UJUMLA NA MADHARA YAKE ENDAPO UKIKAA NAYO KWA MUDA MREFU. NJOO TUKUSAIDIE KUPATA ELIMU ZIDI YA MATATIZO HAYA NI BURE.

(k**a utahitaji tiba hii ya kudumu wasiliana nasi kwa simu Namba
No. 0743 705 846 uweze kuipata)

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

21/01/2023

JE.? UNASUMBULIWA NA MATATIZO YA NGOZI K**A VILE CHUNUSI SUGU, FANGASI KWENYE NGOZI, UPELE USIHO ISHA, MIWASHO.

Sasa unaweza pata TIBA itakayo maliza changamoto iyo inayo kukabili kwa sasa. Kwa gharama nafuu kabsa. Bei 8000 badala ya 15000 wai mapema offer iyo itadumu kwa muda wa siku 3 TU.

(k**a utahitaji tiba hii ya kudumu wasiliana nasi kwa simu Namba
No. 0743 705 846 uweze kuipata)

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

Je wew ni muhanga wa FANGASI UKENI AU U.T.I SUGUUmeweza tumia tiba mara kwa mara na bado ujapona FANGASI AU U.T.I NA KUP...
30/03/2022

Je wew ni muhanga wa FANGASI UKENI AU U.T.I SUGU

Umeweza tumia tiba mara kwa mara na bado ujapona FANGASI AU U.T.I NA KUPELEKEA KUWA SUGU

Jipatie tiba k**ali sasa itakayo kufanya kuleejea kwenye furaha yako k**a zamani na kuto jutia kwa kupona tatizo la fangasi na U.T.I SUGU

Maana tiba iyo inatibu chanzo cha ugonjwa na kisha ugonjwa wenyewe Bila madhara yeyote kwa mtumiaji karibu Sana.

ILIKUPATA TIBA IYO UNAWEZA WASILIANA NASI KWA NAMBA
0743 705 846

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

KWA KUPATA TIBA IYO UNAWEZA WASILIANA NASI KWA NAMBA 0743 705 846 KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +25574...
29/03/2022

KWA KUPATA TIBA IYO UNAWEZA WASILIANA NASI KWA NAMBA 0743 705 846

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

UKE KUTOA SAUTI/KUJAMBAKwa mwanamke ambae ameshawah kukutana na jambo hili zaid ya mara moja basi anajua ni fedhea kiasi...
22/03/2022

UKE KUTOA SAUTI/KUJAMBA

Kwa mwanamke ambae ameshawah kukutana na jambo hili zaid ya mara moja basi anajua ni fedhea kiasi gan hua anapata na kukosa hamu kabisa ya kuendelea na jimai

SASA TATIZO SIO KUSKIKA KWA SAUT HUYO ILA NI MUME KUTO KUJUA NI NN HALI HIYO JE NI UGONJWA TATIZO AU NI JAMBO LA KAWAIDA AKISHA JUA HILI HATA WEZA KUMCHEKA MWANAMKE NA KUMUONA WA AJABU KIMAUMBILE

KWANINI UKE HUTOA SAUTI

Umbo la uke lipo katika hali ya mikunjo mikunjo kitaalam huitwa VA**NA RUGAE ambapo mikunjo hiyo ipo k**a mikunjo ya bati sasa pindi inapo ingia hewa huiminya na kutoa nje ndo maana kuna mikao ukikaa hufanya uke kufinya hewa ile na hewa kutoka kwa kutoa sauti ima kwenye jimai kwenye mazoez au hata ukiwa unafanya usafi

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

:
__

22/03/2022

UKE KUTOA SAUTI
Kwa mwanamke ambae ameshawah kukutana na jambo hili zaid ya mara moja basi anajua ni fedhea kiasi gan hua anapata na kukosa hamu kabisa ya kuendelea na jimai

SASA TATIZO SIO KUSKIKA KWA SAUT HUYO ILA NI MUME KUTO KUJUA NI NN HALI HIYO JE NI UGONJWA TATIZO AU NI JAMBO LA KAWAIDA AKISHA JUA HILI HATA WEZA KUMCHEKA MWANAMKE NA KUMUONA WA AJABU KIMAUMBILE

KWANINI UKE HUTOA SAUTI
Umbo la uke lipo katika hali ya mikunjo mikunjo kitaalam huitwa VA**NA RUGAE ambapo mikunjo hiyo ipo k**a mikunjo ya bati sasa pindi inapo ingia hewa huiminya na kutoa nje ndo maana kuna mikao ukikaa hufanya uke kufinya hewa ile na hewa kutoka kwa kutoa sauti ima kwenye jimai kwenye mazoez au hata ukiwa unafanya usafi

IKIWA IMETOKEA WAKATI WA JIMAI
nilisha sema kua uke na uume hua mfano wa sindano za hospital ( injection ) unapo vuta hutoa fyonza hewa ilio ingia ndan au hufyonza dawa ulio iweka kwenye kichupa kitendo hiki hakina tofaut na uume kuiingia kwenye uke na kutoa

Kuna mikao ambapo hupelekea hewa kuingia na uume unapo toka ima kuingia huiminya hewa hiyo na hapo hutoa mlio

ukiangalia kwa makini ni k**a vile koromeo likipitisha hewa hutoa mlio sawa sawa na huo japo huu unauita kucheua na ule una sema ni k**a ushuzi lakin sio hivyo ikiwa utatafakari

SABABU ZA UKE KUTOA MLIO/ KUJAMBA

>>Kuosha mara kwa mara kwa kutimia maji ya moto hupelekea kuregea kwa misuli ya uke.
>>UREFU WA UKE kutoka katika kizaz japo sio wote
>>UDOGO WA UUME HASWA UPANA unaweza kua na uume mrefu na bahat mbaya ukawa sio mnene kuweza kushika kuta za uke na upepo kuweza kuingia pindi unapo ingiza
>>WATU WALIO JIFUNGUA japo sio wote
>>KUTANUA UKE kupita kias chake haswa katika mikao

NINI CHA KUFANYA K**A UKE UTAKUWA UNAJAMBA

>>ANGALIA MIKAO YA KUFANYA AMBAYO HAITA RUHUSU HEWA KUINGIA NDANI

>>TUMIA MAJI YA BARIDI KUJISAFISHIA UKE KILA UNAPO MALIZA RAUNDI KATIKA JIMAI AU KUJISAFISHA IMA UKIWA UMETOKA CHOONI AU ASUBUHI

>>FANYA MAZOEZI YA KEGEL yana faida nying sana.

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

Moyo unapopiga, husukuma damu kwenye mishipa ya damu ili isambae mwilini kote. Shinikizo la damu ni hali ambapo msukumo ...
22/03/2022

Moyo unapopiga, husukuma damu kwenye mishipa ya damu ili isambae mwilini kote. Shinikizo la damu ni hali ambapo msukumo huu wa damu unazidi kiwango cha kawaida
na unaweza kusababisha madhara mwilini

VISABABISHI VYA UGONJWA WA MOYO
Sababu zinazochangia mtu kupata shinikizo kubwa la damu ni pamoja na:-

>>Matumizi ya chumvi kupita kiasi hasa ya kuongeza mezani
>>Utumiaji wa pombe kupita kiasi
>>Utumiaji wa tumbaku na bidhaa zake
>>Msongo wa mawazo kutokana na vitu k**a vile majanga, unyanyasaji wa kijinsia
>>Umri mkubwa (Miaka 60 na kuendelea)
>>Historia ya shinikizo kubwa la damu katika familia
>>Uzito mkubwa kupita kiasi kumbuka unene hauashirii hali nzuri ya maisha bali ni ugonjwa
>>Kutokufanya mazoezi ya mwili

DALILI ZA TATIZO LA MOYO
Dalili ya shinikizo kubwa la damu Wengi wa watu wenye shinikizo kubwa la damu hawana dalili zozote Waliobaki wanaweza kuwa na dalili zifuatazo:

>>Kuumwa kichwa mara kwa mara.
>>Kutoona vizuri
>>Kizunguzungu
>>Moyo kupiga kwa nguvu au haraka haraka
>>Kutokwa na damu puani
>>Maumivi ya kifua au kupumua kwa shida
>>Uchovu wa mara kwa mara

MADHARA YA TATIZO LA MOYO
Madhara ya shinikizo kubwa la damu Shinikizo kubwa la damu linaweza kuleta madhara mbalimbali yakiwemo:

>>Kupasuka kwa mishipa ya damu kichwani na kusababisha kuharusi. Kiharusi ni moja ya sababu kubwa za vifo vya watu wazima
>>Moyo kupanuka na hatimaye kushindwa kufanya kazi yake ya kusukuma damu.
>>Kuharibika kwa mishipa ya damu kwenye figo na hatimaye figo kushindwa kufanya kazi yake ya kusafisha damu.
>>Mishipa mikubwa ya damu kuharibika kwa sababu ya kuvuja kwa virutubishi vilivyo kwenye damu na kusababisha kiharusi, ugonjwa wa moyo au miguu kutopata damu ya kutosha

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment


#

Fahamu ukubwa wa tatizo llinalo wasumbua wanawake wengi kwa sasa kutokana na sababu tofauti tofauti SARATANI YA SHINGO Y...
21/03/2022

Fahamu ukubwa wa tatizo llinalo wasumbua wanawake wengi kwa sasa kutokana na sababu tofauti tofauti
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Swipe 👉

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

___

Fahamu ukubwa wa tatizo llinalo wasumbua wanawake wengi kwa sasa kutokana na sababu tofauti tofauti SARATANI YA SHINGO Y...
21/03/2022

Fahamu ukubwa wa tatizo llinalo wasumbua wanawake wengi kwa sasa kutokana na sababu tofauti tofauti
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Swipe 👉

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

BADO UJACHELEWA UNAWEZA PATA SULUHISHO YA MATATIZO SUGU UNAYO KUMBANA NAYO KWA SASA NA KUPONA KABISA KWA KUFAHAMU YAFUAT...
21/03/2022

BADO UJACHELEWA UNAWEZA PATA SULUHISHO YA MATATIZO SUGU UNAYO KUMBANA NAYO KWA SASA NA KUPONA KABISA KWA KUFAHAMU YAFUATAYO.....

CHANZO,DALILI NA MADHARA YA MAGONJWA HUSUKA HAPO JUU TAJWA

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment
@ Mkombozi_kwa_mwanamke_tz

MADHARA YA KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI>>Husababisha msongo wa mawazo ambayo yanapelekea mpaka kusababisha matatizo men...
21/03/2022

MADHARA YA KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI

>>Husababisha msongo wa mawazo ambayo yanapelekea mpaka
kusababisha matatizo mengine k**a ya kupungua uzito na kinga za mwili.
>>Kuharibika kwa mahusiano kwasababu ya kuogopa kujiusisha na mahusiano
kutokana na hadha ya harufu
>>Madhara ya kiuchumi atashindwa kushiriki moja kwa moja kwenye uzalishaji
kutokana na mawazo mengi.

MAMBO UNAYOTAKIWA KUFANYA UKITAKA UKE WAKO USITOE HARUFU MBAYA

1. OSHA UKE WAKO KWA MAJI SAFI KILA UNAPOMALIZA KUJISAIDIA HAJA NDOGO(PEE)
Asilimia kubwa ya wanawake hawana mazoea na utaratibu huu.Ni utaratibu muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanamke. Unapokuwa unajisaidia haja ndogo
2. UKIWA UNAOSHA SEHEMU ZAKO ZA SIRI,TUMIA MTINDO(STYLE) WA KUPELEKA MKONO KUTOKA MBELE KURUDI NYUMA
Kuna baadhi ya wanawake teyari wameshazoea kusafisha sehemu zao za siri kwa kupeleka mkono kutoka nyuma kuja mbele.Huu mtindo sio mzuri kiafya kwa kuwa huko nyuma kuna Tigo (a**s), na kwenye Tigo kumejaa uchafu na bacteria wengi tu.
Sasa wakati unajisafisha,unapopeleka mkono nyuma unakuwa k**a unazoa bacteria na uchafu kutoka kwenye Tigo,halafu ukauleta mkono mbele unakuwa unawaacha hao bacteria na uchafu kwenye uke wako.
3. VAA NGUO ZA NDANI ZENYE ASILI YA PAMBA(COTTON)
Pamba(cotton) ina uwezo wa kupitisha hewa hata k**a ni kidogo sana. Na sehemu za siri za Mwanamke zinahitaji flow ya hewa inayopita,nyingi
4. USIVAE NGUO YA NDANI MOJA SIKU NZIMA
Kwa jinsi maumbile ya Mwanamke yalivyo,unatakiwa kubadili nguo ya ndani mara mbili au tatu kwa siku.
5. PUNGUZA KULA VYAKULA VYENYE SUKARI AU YEAST KWA WINGI
Unaweza ukapunguza uwezekano wa kupata Yeast Infection au Bacteral Vaginosis kwa kuacha au kupunguza kula vyakula vyote vyenye sukari au yeast kwa wingi.
6. BADILI PADS ZAKO MARA KWA MARA UNAPOKUWA KWENYE SIKU ZAKO
Ili kuzuia uke wako usitoe harufu mbaya kipindi ambacho upo kwenye siku zako,inashauriwa kubadili
7. NYOA (SHAVE) NYWELE ZAKO ZA SEHEMU ZA SIRI MARA KWA MARA

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

Tatizo la uke kutoa harufu mbaya ni...Tatizo linalowasumbua wanawake wengi inasemekana zaidi ya 65% wanasumbuliwa na tat...
19/03/2022

Tatizo la uke kutoa harufu mbaya ni...
Tatizo linalowasumbua wanawake wengi inasemekana zaidi ya 65% wanasumbuliwa na tatizo hili.

Wanaume wengi kila kukicha huwa wanalalamika na hawatamani kushiriki tendo la ndoa na mwanamke ambae sehemu zake za siri zinatoa harufu.

Wanawake wengi wanaona aibu kulitafutia suluhisho hili tatizo na wengi wamekuwa wakijificha kwa mda mrefu sana bila kujua ukubwa wa tatizo linakuwa na kuwasababishia madhara makubwa sana.

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha uke kutoa harufu mbaya lakini sababu kuu ni k**a zifuatazo,......... >>Bacterial...
19/03/2022

Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha uke kutoa harufu mbaya lakini sababu kuu ni k**a zifuatazo,.........

>>Bacterial Vaginosis
Kwa mujibu wa madaktari bingwa, inasemekana kuwa hili ndio tatizo namba moja linalosababisha uke kutoa harufu mbaya na linawasumbua mamilion ya wanawake koteulimwenguni.Kitaalam uke una bacteria wazuri na wabaya wanakuwepo kwa uwiano sawa, uwiano wao unapobadilika ukeni na kusababisha bakteria wabaya kuzidi na wale wazuri kupungua hapo ndipo tatizo linapoanza, uke unakuwa sio salama tena na kuanza kutoa harufu kali sana.

>>Yeast Infection
Hili Pia ni Tatizo, lipo k**a la Bacterial Vaginosis.tofauti yake ni kuwa kwenye
bacterial Vaginosis waliokuwa wamezidi ni bacteria lakini huku wanaozidi nifungus candida albicans,
Ni wanawake wachache huwa wanapata Bacterial Vaginosis lakini wanawakewengi lazima wapate Yeast Infection japo mara moja katika maisha yao. Mara nyingi Yeast Infection hutokea tu au inaweza kusababishwa na aina ya vyakula au vinywaji unavyokula au kunywa especially k**a vimejaa yeast (vyakula vyote vinavyotengenezwa na hamira, pombe n.k)

>>Sexually Transmitted Diseases (Stds)
Haya ni magonjwa yanayosababishwa na kushiriki tendo la ndoa k**a vile Chlamydia na Gonorrhea (kaswende na kisonono) k**a ukiyapata huwa
yanasababisha Uke kutoa Harufu mbaya.

>>Vaginal Or Cervical Cancer
Unapokuwa una kansa ya uke au kansa ya mlango wa kizazi (cervical cancer),
kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya ni sehemu ya dalili zake. Unapojiona kuwa una tatizo la uke kutoa harufu mbaya, unashauliwa usipuuzie na kuwahi hospitali ili kufanyiwa vipimo na kujua chanzo cha tatizo ili upate tiba mapema.

>>Poor Hygiene
Kutozingatia kanuni za usafi unaweza kusababisha pia harufu ukeni k**a
kutooga mala kwa mala, kutojisafisha vizuri sehemu za siri, kutobadilisha nguo ya ndani na kutojisafisha baada ya tendo la ndoa.

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio

USISAHAU
Kufollow,like post hii,share na comment

18/03/2022
KUSHINDWA AU KUKOSA KUPATA UJAUZITO KUNATEGEMEA NA MAMBO MBALIMBALIKushindwa kupata ujauzito ni tatizo linaloongezeka na...
22/01/2022

KUSHINDWA AU KUKOSA KUPATA UJAUZITO KUNATEGEMEA NA MAMBO MBALIMBALI

Kushindwa kupata ujauzito ni tatizo linaloongezeka na kukua kila siku katika jamii za kisasa Kwa sababu hii mabilioni ya pesa hutumiwa kila mwaka duniani katika jitihada za kutafuta ujauzito Kitu ambacho hakijaeleweka kwa watu wengi ni kwamba tatizo la kushindwa kupata ujauzito linaweza kuondolewa na mwili wenyewe almradi tu mwili ujengewe mazingira sahihi
Kushindwa kupata ujauzito k**a yalivyo matatizo mengine ya kiafya ni dalili kuwa kuna kitu hakiko sawa ndani ya mwili Japokuwa kupata ujauzito ni mchakato wa kawaida kwa mwili wa mwanamke aliyepevuka mwili wenyewe unaweza ukauzuia mchakato huo iwapo unahisi kwamba ujauzito utakaopatikana hautakuwa salama

Kitendo cha mwanamke kutaka ujauzito na asiupate huzaa maumivu makali sana Kwa bahati nzuri mara nyingi ni rahisi kupata ujauzito iwapo mhusika ataupa mwili wake lishe stahiki atausaidia kwa viini lishe (nutritional supplements) na atabadili mtindo wa maisha

Sababu za kushindwa kupata ujauzito ni nyingi sana Hii ndiyo sababu matibabu ya kawaida aghalabu hutoa matokeo ambayo yanatofautiana sana kati ya mtu na mtu Ukweli ni kwamba hakuna namna yoyote ile ambayo matibabu hayo yanaweza yakagusa sababu zote zinazoweza kuhusika Dawa za kupalilia uzazi na homoni bandia ikiwa ni pamoja na zile zinazotolewa kwa ajili ya uzazi wa mpango kuna wakati zinaweza kuleta unafuu lakini pia kuna wakati zinaweza kusababisha hali ikawa mbaya zaidi ikiwa ni pamoja na kupunguza uwezekano wa kupata ujauzito huko baadaye

👉Kushindwa kupata ujauzito kunaweza kusababishwa na mambo mengi sana Miongoni mwa hayo ni:

>Uwiano usio sahihi wa homoni
>Ugonjwa wa kukua kuliko kawaida kwa mifuko ya mayai kunakoambatana na uwepo wa mikusanyiko midogo midogo yavimiminika (polycyst ovarian syndrome)
>Ugonjwa wa uoto wa tishu za kizazi nje ya kizazi (Endometriosis)
>Mzunguko wa hedhi usiozalisha yai linaloweza kutungwa mimba (Anovulatory Cycle)
>Kuziba kwa mirija ya uzazi
>Kuwepo kwa kipindi cha siku chache tu kuliko inavyotakiwa baina ya kuzaliwa kwa yai na kuingia kwa kipindi kingine cha hedhi (short luteal phase)

KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA 0743705846

Address

Caroleni
Arusha
2030

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkombozi_kwa_mwanamke_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mkombozi_kwa_mwanamke_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram