26/06/2024
💫 TATIZO LA KUTOKUWA NA UWIANO SAWA WA VICHOCHEO- *-HORMONAL IMBALANCE..**
✍️Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa wanamke, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%. Asilimia kubwa ya wanawake mabadiliko huanza kati ya miaka 25 na 50, lakini kwa sasa kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14. Mabadiliko haya asilia hutokea wakati wa balehe(kuvunja ungo), hedhi, ujauzito, kabla na baada ya ukomo wa hedhi.
✍️Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo Estrogen ,Progesterone na Testosterone.Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.
☎️Kwa msaada wasiliana nasi kwa
Kupiga/Whatsapp
0685596980 / 0736596980
💫VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI
✳Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba WANAWAKE wengi kwa sasa, hii ni kutokana na;
✅-Mifumo ya maisha wanayoishi,
✅-Elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula kulinganana makundi ya damu.
💫 Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni k**a vile,
✅Uwepo wa sumu mwilini
✅Mfumo mbovu wa maisha/ulaji na unywaji wa chakula na vinywaji vyenye kemikali.
✅Umri
✅Kukoma kwa hedhi
✅Kutofanya mazoezi
✅Uzito mkubwa
✅Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
✅Msongo wa mawazo
✅Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
✅Upungufu wa lishe mwilini
✅Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
✅Utoaji wa mimba
✅Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
Ongezeko la homoni ya testosterone (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
✅(Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa
☎️Kwa msaada wasiliana nasi kwa
Kupiga/Whatsapp
0685596980 / 0736596980
💫DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI
🟢 Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
✅- Ukavu ukeni
✅- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
✅- Kutoa jasho usiku
✅- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
✅- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
✅- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
✅- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
✅- Uchovu wa mara kwa mara
✅- Hasira za mara kwa mara
✅- Kukosa usingizi
✅- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
✅- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
✅- Ongezeko la tumbo na nyama uzembe
✅- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele)
✅- Maumivu ya viungo
✅- Upungufu wa nywele kichwani.
✅- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
✅- Kuwa na hamu ya kula vyakula au vinywaji vya kiwandani.
✅- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
✅- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
✅- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
✅- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
✅- Kusinyaa na kupauka kwa
ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
✅- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
✅- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
✅- Kutokupata choo kwa wakati
✅- Misuli hudondoka
✅Kupata kwa Vimbe kwenye kizazi (fibroids).
☎️Kwa msaada wasiliana nasi kwa
Kupiga/Whatsapp
0685596980 / 0736596980
💫MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI
🥩Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha
✅Saratani ya kizazi,
✅CD4 kushuka,
✅Sehemu ya uke kuwa baridi,
✅Kuchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua,
✅Huathiri mtoto atakayezaliwa,
✅Huathiri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria)
✅utokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
✳Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
✅Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
✅Mimba kuharibika mara kwa mara
✅Kukosa mtoto au Ugumba
✅Maumivu wakati wa tendo la ndoa .
✅Kuzeeka mapema
✅Kuziba kwa mirija ya uzazi
✅Uvimbe (Fibroids and Cysts)
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
💫SULUHISHO
✳Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa hutumia madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida. Lakini hupelekea madhara k**a:
✅- Kuongeza uwezekano ya shinikizo la damu.
✅- Osteoporosis.
✅- Madhara katika mfumo wa uzazi.
✅- Saratani na mengineyo.
☎️Kwa msaada wasiliana nasi kwa
Kupiga/Whatsapp
0685596980 / 0736596980
💫SULUHISHO LA KUDUMU.
💊💊Mvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini na hivi vyote ni vitu unavyoweza kurekebisha.
Kwa wanawake wenye changamoto hii tume waandalia tiba ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Tiba hii ni ya vyakula; sio dawa wala miti shamba...tiba ii ni mchanganyiko maalumu usio na kemikali was matunda,mbogamboga,mimea,vitamins,madini ,protini na vingine Vingi kwa pamoja
Inasaidia kuweka sawa homoni za mwanamke, kuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuleta heshima ya ndoa maana uke utarudi katika hali yake ya asili (mnato na ute ute ukeni wenye kuleta msisimko wakati wa tendo la ndoa, na kupunguza kasi ya uzee).
Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo:
vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo. Hivyo program hii itakusaidia katika kuboresha afya yako na kukuondolea hizo changamoto zote
✳Kama umeathiriwa na tatizo LA kutokukua na uwianano sawa wavichocheo vya mwili, ungependa suluhisho la kudumu na ushauri.
☎️Kwa msaada wasiliana nasi kwa
Kupiga/Whatsapp
0685596980 / 0736596980