AFYA YAKO NI MTAJI

AFYA YAKO NI MTAJI NATATUA CHANGAMITO ZOTE ZA AFYA ...USHAURI NI BUREE

06/06/2025

Femicare Feminine Cleanser ni bidhaa ya usafi wa sehemu za siri kwa wanawake, inayotengenezwa na BF Suma. Ina viambata asilia k**a vile mafuta muhimu kutoka mimea, vitamini mbalimbali, na madini yanayosaidia kuboresha afya ya uke. Hapa kuna faida tatu kuu za kutumia Femicare:

1. Huondoa uchafu na harufu isiyo ya kawaida
Femicare husaidia kusafisha uke kwa kuondoa uchafu usio wa kawaida, harufu mbaya, na muwasho, hivyo kuweka sehemu ya siri safi na yenye harufu nzuri.

2. Huzuia na kupambana na maambukizi ya bakteria
Ina uwezo wa kuzuia ukuaji wa bakteria hatari, hivyo kusaidia kupunguza hatari ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTIs) na maambukizi mengine ya uke.

3. Hurejesha hali ya kawaida ya uke na kuongeza kinga
Kwa kutumia viambata vyake asilia, Femicare husaidia kurejesha hali ya kawaida ya uke kwa kuondoa ukavu na kuwasha, na pia kuimarisha kinga ya uke dhidi ya maambukizi.
What's up , call 0740227556

Usiteseke na fangasi na uti suluhisho limepatikana
05/06/2025

Usiteseke na fangasi na uti suluhisho limepatikana

✅ Madhara ya Bawasiri (Hemorrhoids)K**a bawasiri haitatibiwa mapema, inaweza kusababisha madhara yafuatayo:1. Kutokwa na...
05/06/2025

✅ Madhara ya Bawasiri (Hemorrhoids)

K**a bawasiri haitatibiwa mapema, inaweza kusababisha madhara yafuatayo:

1. Kutokwa na Damu Mara kwa Mara

Hali hii inaweza kupelekea kupungukiwa na damu (upungufu wa hemoglobini) na kusababisha kizunguzungu, uchovu, na ngozi kuwa dhaifu.

2. Maumivu Makali Wakati wa Choo

Maumivu haya yanaweza kuwa ya kuunguza au ya kuchoma hasa unapojisaidia au kukaa kwa muda mrefu.

3. Kuwashwa na Maambukizi

Sehemu ya haja inakuwa nyeti, yenye kuwasha, na inaweza kupata maambukizi ya bakteria kutokana na msuguano au usafi duni.

4. Uvimbe Kubwa na Kinyama Kutoa Nje

Bawasiri ya nje au ile ya ndani ikivimba sana, inaweza kusababisha uvimbe mkubwa au nyama kutoka nje na kusababisha aibu au kero.

5. Kukosa Amani ya Mwili na Kukosa Raha

Mgonjwa hujiona mnyonge, mwenye aibu, na anakosa raha hata akiwa na watu kutokana na maumivu au harufu mbaya

6. Kukaa na Kukaa vibaya

Wagonjwa wengi wa bawasiri hushindwa kukaa vizuri au kulala vizuri

Unaumwa na Bawasiri? Usihangaike Tena!Bawasiri ni hali inayosababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu kwenye njia ya haj...
04/06/2025

Unaumwa na Bawasiri? Usihangaike Tena!

Bawasiri ni hali inayosababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu kwenye njia ya haja kubwa. Hali hii huambatana na dalili k**a:

Maumivu au kuchoma wakati wa haja kubwa

Kutokwa damu (nyekundu ang’avu)

Kuwashwa au hali ya kukosa raha sehemu ya haja

Uvimbe au kiuvimbe kinachotokeza nje

Sababu za bawasiri hujumuisha:

Kukaa au kusimama muda mrefu

Kusahau kunywa maji kwa wingi

Kula chakula kisicho na nyuzinyuzi (fibre)

Kupiga presha wakati wa haja kubwa

Ujauzito

---

Habari Njema!

Tunayo DAWA MAALUM YA BAWASIRI

Inapunguza maumivu na muwasho

Inasaidia kuponya mishipa iliyovimba

Inarejesha hali ya kawaida kwa muda mfupi

Imethibitishwa na wateja wengi – salama na yenye matokeo ya haraka.

What's up , call 0740227556

03/06/2025
*Faida za Refined Yunzhi Essence*Ina protein nyingi Inalipidi nyingi Ina polysaccharide ● Inaodoa Hari ya kuugua kutokan...
03/06/2025

*Faida za Refined Yunzhi Essence*Ina protein nyingi Inalipidi nyingi Ina polysaccharide

● Inaodoa Hari ya kuugua kutokana na kinga ndogo za mwili
● Inaongeza ufanisi wa *ini na mapafu*
● Inapunguza madhara ya mionzi (chemotherapy)
● Inaboresha Nguvu na Afya ya Mwili
● Inaongeza hamu ya kula
● Inadumisha Afya ya Mwili na Akili.
● Inarudisha na kudimisha kinga za mwili kwa waliougua mda mrefu.
● Ina Polysaccharide K (PSK) and Polysaccharide Peptide (PSP) ambazo husaidia kuondoa seli zenye vimelea vya saratani na kuzuia visisambae mwilini.
● Inasawazisha homoni mwilini.
● Inapunguza Maumivu
● Inabolesha Muonekano wa Ngozi yako.
● Hutuliza homa ya typhoid
●Huondoa uvimbe kwenye kizazi ikifanya kazi na pure and broken gonadema spores
● Huongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
● Husaidia kupevusha mayai kwa mwanamke

*Nani anaweza kutumia Refined Yunzhi Essence*

● Wenye kinga ndogo za mwili.
● Wanaofanyiwa chemotherapy
● Waliougua Mda mrefu
● Wagonjwa wa saratani.
● Wenye matatizo ya homoni
What's up ,call 0740227556

🔥CHOO KIGUMU,KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara ChacheLakini Kwa S...
02/06/2025

🔥CHOO KIGUMU,KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)

Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka K**a Cha Mbuzi

Inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
Kwenye tumbo Na Utumbo kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunazovuta Pamoja na Mafuta tunayokula

✍️DALILI ZA TATIZO
●Kutopata Choo Kila Siku Wakati Unakula milo 3 au Zaidi Kwa siku
●Kupata Choo Kigumu Sana,K**a Cha Mbuzi
●Kutumia Muda Mrefu chooni, kutumia nguvu Sana
●Kupata Gesi,mingurumo tumboni Au Kujamba Na Harufu mbaya Sana inatoka
●kuhisi kijinyama,Kupata miwasho,maumivu sehemu ya haja kubwa
●Maumivu Ya Tumbo,miguu,mabega
●Kupungua Nguvu za Kiume,Kukosa Usingizi,
●Kukosa Hamu Ya Kula,Kupata Kiungulia,Harufu Mbaya Kinywani,

K**a Unashindwa kupata choo Angalau Mara moja baada ya Siku 2 Na Unakula Mara Tatu (3) Kwa Siku,Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Mengi mno

✅SULUHISHO
Tafadhali K**a Wewe ni Muathirika wa Tatizo lolote kati ya Dalili Ulizoziona hapo Usiache Kuwasiliana nasi Kwa Msaada na Utatuzi wa Tatizo lako.Tuna Tibalishe zilizothibitishwa ubora wake kwenye kutatua Changamoto hio
Tupigie simu zetu kwa tiba elimu na ushauri

☎️🇹🇿 0740227556

*LIJUE TATIZO LA UKE KUWA MKAVU*  *Naomba kutoa ufafanuzi juu ya changamoto hii ya kiafya(nina ulizwa kweli* )UKE MKAVU ...
30/05/2025

*LIJUE TATIZO LA UKE KUWA MKAVU*

*Naomba kutoa ufafanuzi juu ya changamoto hii ya kiafya(nina ulizwa kweli* )

UKE MKAVU :Ni tatizo ambalo huwa kumba wa kina wakina mama wengi husababishwa na upungufu/uwiano mbaya wa homoni za uzazi.

-Ni tatizo ambalo mwanamke hukosa ute kbs hasa wakat wa tendo uke huwa mkavu kbs haijalishi ameandaliwa kwa muda gan na mwenza wake.

VISABABISHI VYA UKE MKAVU
-Hormône imbalance
-Magonjwa ya zinaa k**a kaswende,gonorea n.k
-U.T.I sugu
-Fangasi sugu ukeni
-Uke mchafu
-Matumizi ya sabuni za ant biotics kusafishia uke
-Kuto zingatia MLO KAMILI

DALILI ZA UKE MKAVU
-maumivu makali wakat wa tendo
-kutokwa na damu wakat na baada ya tendo
-kukosa/kupungua kwa hamu ya tendo
-maumivu chini ya kitovu wakat wa tendo
-kuto shika mimba
-maumivu ya viungo na mifupa
-siku za hedhi kuto kuwa na mpangjlio maalumu
-kuto furahia tendo,, Hivyo usiendelee kuteseka wakati suluhisho la tatizo lako lipo
What's up , call 0774447556

DALILI 10 ZA UPUNGUFU WANGUVU ZA KIUME,,  👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.  👉Uume kusimama kwa...
28/05/2025

DALILI 10 ZA UPUNGUFU WANGUVU ZA KIUME,, 👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo. 👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza. 👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea. 👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza 👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi. 👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri. 👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena. 👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo. 👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito. 👉uume mfupi yaani kibamia inaongeza saiz ya uume uitakayo yaani unene na urefu usiopungua nchi 6 adi 8. K**A UMEKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A YOYOTE KATI YA HIZO AU ZOTE USISITE Kuniomba ushauri.

Piga 0740227556

BEI FULL PARKEG 290,000/ Laki 2 na 90

DELIVERY :Bureee mikoa yote popote ULIPO.

AU NJOO WHATSAP MOJA KWA MOJA

Punguza kitambi bila madhara yoyote  # tz   sumaWhat's up  , call 0740227556
28/05/2025

Punguza kitambi bila madhara yoyote
# tz
suma
What's up , call 0740227556

Address

Arusha
KALOLENI

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share