darasa la magonjwa sugu

darasa la magonjwa sugu tunatibu kisukari na presha na unapona ndani ya miezi 90
wasiliana nasi kwa haraka zaidi 0746633559

DAWA YA *_KONGOSHO HERBAL_* INAYOTIBU KISUKARI NA MAGONJWA ZAIDI 100Faida za kiafya za Kongosho Herbal Dawa hii ina faid...
26/02/2025

DAWA YA *_KONGOSHO HERBAL_* INAYOTIBU KISUKARI NA MAGONJWA ZAIDI 100

Faida za kiafya za Kongosho Herbal

Dawa hii ina faida nyingi sana kiafya kwa mwili wa binadamu. Watu wengi wamefaidika kiafya kupitia dawa hii ya asili

*_Kongosho herbal_* inakutibu na inakulinda kutokana na magonjwa yafuatayo:

~ kisukari
~ kansa
~ presha (bp)
~ magonjwa ya macho
~ magonjwa ya ngozi
~ changamoto za kukosa watoto kwa wanaume na wanawake
~ matatizo ya kipindi cha hedhi kwa wanawake
~ kuongeza cd4 haraka kwa wanaoishi na virusi vya ukimwi
~ magonjwa ya moyo
~ kupooza (stroke)
~ hamu ya kula
~ asthma
~ allergy
~ kupunguza uzito
~ kutoa sumu mwilini kwa hali ya juu
~ changamoto za kubalance homoni
~ kuleta brain focus
~ kukupa usingizi unaostahiki bila kuamka amka na bila uchovu
~ kukupa umakini wa akili
~ vidonda vya tumbo na kujaa gesi tumboni
~ mifupa na joints kwa wale wenye umri mkubwa
~ matatizo ya mgongo
~ viungo kupata ganzi
~ kuimarisha na kukuepusha na maradhi kwa ujumla na mengine mengi sana ambayo hayajatajwa hapa juu.

kirutubisho cha natural celticas

Natural celticas ni kindonge( capsule) kilichotokana na utafiti wa muda mrefu na kukusanya virutubisho 140 vya asili ndani ya kirutubisho kimoja. Virutubisho hivyo vimetoka kona zote nne za dunia vikijumuisha vitamini muhimu kwa mwili, madini, amino acids, mafuta muhimu kwa mwili, antioxidants na phyto-nutrients, enzyme kwa kusaidia kuyeyusha chakula.

virutubisho hivi vimetokana na:
- matunda ya kwenye bustani,
- matunda ya mwituni,
- mboga aina ya spirulina family ,
- mboga za baharini,
- majani na miamba ya kando kando ya bahari
- aina tofauti ya uyoga wenye ubora wa hali ya juu

– vyote hivi ndani ya kindonge kimoja!

*_KONGOSHO HERBAL_* ni Dawa ya kipekee ambayo haijapata ingine ya kulingana nayo hadi sasa.

ni mchanganyiko uliobuniwa na kufanikiwa kwa kiwango cha juu kurudisha, kukarabati na kuamsha afya ya mtu iliyodorora.

mchanganyiko huu hufanya kazi kwa kuupa mwili virutubisho vyote ambavyo umekosa kutokana na kula chakula cha kisasa kinachokosa virutubisho muhimu.

kwa anayehitaji hii dawa nipigie 0746633559

Ofisi ipo Arusha mjini, Dar es Salaam (Mwenge na makumbusho)
Mwanza nyerere road
Pia tunaf

*_Faida 5 kuu za kiafya za lishe inayotokana na mboga za majani na matunda_*Iwe wewe ni mlaji wa lishe inayotokana na mi...
26/02/2025

*_Faida 5 kuu za kiafya za lishe inayotokana na mboga za majani na matunda_*

Iwe wewe ni mlaji wa lishe inayotokana na mimea au mboga mboga na matunda muda mrefu au ndio mwanzo unaanza lishe ya aina hii, kupata mlo kamili ni jambo ambalo linaweza kufikiwa kwa kupanga vizuri bila ujuzi mkubwa.

Lishe itokanayo na mimea ina liyopangwa ipasavyo inaweza kuwa na faida kadhaa za kiafya lakini hakikisha inajumuisha virutubishi muhimu k**a vile vitamini B12 na D, madini ya kalsiamu ya kujenga mifupa, pamoja na chuma, zinki na asidi ya mafuta ya omega-3.

Mlo wa mboga mboga, unaojumuisha vyakula vilivyoimarishwa, huhusishwa na afya bora kwa sababu zina nyuzinyuzi nyingi za lishe, hujumuisha ugavi mwingi wa vyakula vyenye folate, vitamini C na E na madini, potasiamu na magnesiamu.

Ulaji mwingi wa matunda na mboga mboga, viwango vya chini vya sodiamu (chumvi) na mafuta yaliyojaa, yote haya yanamaanisha kuwa vyakula vya mboga mboga huwa na faida nyingi za kiafya.

Zifuatazo ni faida tano kuu za lishe ya aina hii.

1. Inaweza kusaidia kupunguza uzani
Kwa wengine, ari ya kupunguza kilo chache ni motisha ya kutosha kugeukia lishe ya mboga mboga.

Utafiti wa Marekani uliolinganisha ubora wa lishe ya mboga mboga na milo mingine ulionyesha kuwa lishe bora ya mboga mboga ina ulaji wa chini kabisa wa nishati, wasifu bora wa mafuta na viwango vya juu vya nyuzi lishe, ikilinganishwa na vyakula vya omnivore na lacto-ovo-mboga.

Ulaji mwingi wa nyuzinyuzi humaanisha kuwa milo ni ya kushiba zaidi, na hivyo kukufanya usiwe na uwezekano wa kupata vitafunio na huenda ikawa bora zaidi kukuunganisha na ishara zako za njaa.

Tafiti zingine zinaunga mkono ukweli kwamba, kwa ujumla, walaji wa mboga mboga huwa wembamba na uzani unaohitajika kiafya.

Katika utafiti mmoja, katika kipindi cha wiki 18, lishe ya mboga yenye mafuta kidogo ilisaidia washiriki kupoteza kilo 4.2 zaidi ya wale walio kwenye lishe ya kudhibiti.

Faida ya ziada ni kwamba mlo wa mboga mboga kwa kawaida ina kiwango cha chini cha mafuta isiyohitajikahivyo basi hakuna haja ya kufanya ya kudhibiti kiwango cha kalori

2. Afya ya moyo
Kufurahia mlo uliojaa vyakula ambavyo ni rafiki wa mboga mboga
Somo linaendelea
Piga 0746633559

*_Protini ni Nini na Umuhimu Wake?_*Kwanza kabisa, hebu tujifunze kuhusu protini na jukumu lake katika lishe ya mgonjwa ...
26/02/2025

*_Protini ni Nini na Umuhimu Wake?_*
Kwanza kabisa, hebu tujifunze kuhusu protini na jukumu lake katika lishe ya mgonjwa wa kisukari. Protini ni nini na kwa nini ni muhimu? Tutachunguza umuhimu wake katika kudumisha afya bora.

Protini ni moja ya makundi muhimu ya virutubisho vinavyohitajika na mwili wetu. Protini inajumuisha muunganiko wa kemikali ndogo zinazoitwa amino asidi. Jukumu kubwa la protini ni ujenzi na ukarabati wa mwili wetu.

Protini pia ina jukumu muhimu katika kusaidia mwili kufanya kazi vizuri. Inachangia katika kujenga misuli, kusaidia kinga ya mwili. Kwa mgonjwa wa kisukari, protini inaweza kusaidia kudhibiti viwango vya sukari inapokuwa sehemu ya mlo.

Vyanzo 20 Bora vya Protini kwa Wagonjwa wa Kisukari
Tutakufunulia aina mbalimbali za vyakula vyenye protini, ikiwa ni pamoja na vyanzo vya mimea na wanyama. Kwa nini ni muhimu kujumuisha aina zote mbili katika lishe yako?

Bila shaka bado unakumbuka kwamba protini ni muunganiko wa amino asidi. Kuna aina nyingi za amino asidi na kila moja inafanya kazi yake muhimu. Amino asidi zimegawanyika katika makundi mawili, zile ambazo mwili huweza kuzitengeneza na zile ambazo mwili hauwezi kuzitengeneza.

Amino asidi ambazo mwili hauwezi kuzitengenza ni lazima tuzile. Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuchanganya aina/vyanzo mbalimbali vya protini ili tuweze kupata aina zote za amino asidi zinazotakiwa.

Protini hupatikana katika mimea na wanyama. NImekuandikia vyanzo hivi katika jedwali hapo chini kulingana na chanzo, mimea au wanyama.

Vyanzo vya protini kutokana na Wanyama


Samaki wa maji safi – 18-30%
Nyama ya kuku – 20-25%
Nyama ya nguruwe – 15-25%
Nyama ya ng\’ombe – 15-25%
Mayai – 12-15%
Maziwa – 3-4%
Vyanzo vya protini kutokana na Mimea
Maharage – 21-25%
Njugu – 25-30%
Tofu – 8-15%
Kunde – 20-24%
Mahindi ya Kunde – 6-10%
Protini Nzuri: Chagua Vyanzo Bora vya Protini kwa Afya Yako
Sio protini zote zinazofaa kwa mgonjwa wa kisukari. Hatahivyo, tunakuonyesha jinsi ya kuchagua protini bora kwa afya

Protini bora kwa mgonjwa wa kisukari ni ile isiyo na mafuta mengi, hivyo unaweza kuchagua kuku bila ngozi au samaki wa maji ya baridi au nyama isiyo nono. Kiwango cha mafuta.
Inaendelea
piga 0746633559

*_Jifunze Jinsi Matunda Yanavyoweza Kusaidia Kudhibiti Kisukari_* matunda yanavyoweza kusaidia katika kudhibiti kisukari...
26/02/2025

*_Jifunze Jinsi Matunda Yanavyoweza Kusaidia Kudhibiti Kisukari_* matunda yanavyoweza kusaidia katika kudhibiti kisukari chako. Utajifunza kuhusu matunda mazuri kwa mgonjwa wa kisukari na jinsi ya kuyatumia kwa manufaa yako.

Unachopaswa Kujua: Matunda Bora ya Kudhibiti Sukari Mwilini
Tutachunguza matunda bora yanayosaidia kushusha viwango vya sukari, sababu za faida zake, na jinsi yanavyoweza kuingia katika mlo bora wa mgonjwa wa kisukari.

Pia, tutajibu maswali muhimu na kutoa vidokezo vya kukusaidia kudhibiti hali yako kwa ufanisi.

1. Matunda Gani Hushusha Sukari?
Matunda yenye glycemic index ya chini (GI) ni mazuri kwa kudhibiti sukari. Mfano mzuri ni

1. Parachichi – Lina mafuta mazuri na nyuzinyuzi nyingi, husaidia kudhibiti sukari mwilini.

2. Mapera – Lina vitamini C na nyuzinyuzi ambazo husaidia katika kupunguza viwango vya sukari.

3. Tufaha – Lina kiwango cha chini cha Glycemic Index (GI) na lina nyuzinyuzi nyingi, muhimu kwa kudhibiti sukari.

4. Tango – Lina madini k**a magnesiamu na nyuzinyuzi ambazo husaidia katika usimamizi wa sukari.

5. Ndizi za kupika – Zikiwa mbichi zina GI ya chini na zinaweza kusaidia kudhibiti sukari.

6. Machungwa – Pamoja na kuwa na sukari kidogo, machungwa yana nyuzinyuzi na vitamini C zinazosaidia mwili kutumia sukari vizuri.

2. Matunda Haya Hufanya Kazi Vipi?
Matunda yaliyo na nyuzinyuzi husaidia kuchelewesha kufyonzwa kwa sukari mwilini na kusaidia katika mmeng’enyo wa chakula hivyo kudumisha kiwango thabiti cha sukari.

3. Mfano Halisi
Fikiria Asha, mwanamke wa miaka 45 aliye na kisukari na mshiriki kwenye program yetu ya kudhibiti kisukari hakuwahi kufikiri k**a anaweza kula matunda matamu bila madhara.

Baada ya kuanza programu yetu, tulimuanzisha na matunda yenye GI ya chini k**a machungwa na parachichi. Alianza kujisikia vizuri na uchovu uliokuwa ukimsumbua uliondoka.

Je, Wagonjwa wa Kisukari Wanaweza Kula Matunda Yoyote?
Wapo wanaosema matunda yote yanapaswa kuepukwa kwa sababu yana sukari asilia. Ingawa ni kweli kwamba baadhi ya matunda k**a nanasi yana GI ya juu, kiasi kinachotumiwa ndicho chenye umuhimu zaidi

Ushauri wa Kitaalamu
Wataalamu wa Darasa la kisukari wanafahamu jinsi ya kusaidia piga 074633559

*K**a imeweza kufanya kazi wa wengine hata kwako pia inawezekana,*Naaam inawezekana kwako pia.....Miongoni mwa watu weng...
26/02/2025

*K**a imeweza kufanya kazi wa wengine hata kwako pia inawezekana,*

Naaam inawezekana kwako pia.....

Miongoni mwa watu wengi niliowahudumia wengi walikua wana wasiwasi sana hasa mwanzo kwa kuhofika kuwekeza pesa katika bidhaa ambazo hawaamini kua zinaweza kua suluhisho sahihi maana waliaminishwa kua kisukari hakitibiki

*Leo hii sipati picha tabasamu walilonalo baada ya kutibu kabisa kisukari*

Niamini mimi kwa miaka 6 sasa watu zaidi ya 500+ kila siku asbh wanashukuru kukutana na Kongosho package kila wanapopima kisukari na kukuta ipo normal

*Ungana na wanafaika wa bidhaa hizi zenye ubora wa hali ya juu leo na uwe shuhuda yetu inayofuata*

Nipigie simu sasahivi kuweka oda yako 0672891124 au 0746633559
By Dk Banda

Gusa link kuweka Oda yako Sasa kwa punguzo la Bei
👇👇👇
https://wa.me/255746633559?text=NAOMBA%20TlBA%20YA-KISUKARI%20KWA%20BEI%20%20YA-OFA

Madhara ya Kula Protini Pekee Kwa Mgonjwa wa KisukariKula vyakula vya protini pekee kunaweza kusababisha upungufu wa vir...
26/02/2025

Madhara ya Kula Protini Pekee Kwa Mgonjwa wa Kisukari
Kula vyakula vya protini pekee kunaweza kusababisha upungufu wa virutubisho vingine muhimu. Ni muhimu kuchanganya protini na vyakula vingine k**a vile matunda, mboga za majani, na wanga wenye afya katika mlo wako. Hapa kuna baadhi ya madhara yanayoweza kutokea:

1. Upungufu wa Nishati: Lishe ya protini pekee inaweza kusababisha upungufu wa nishati.

2. Upungufu wa Nyuzinyuzi: Vyakula vya protini pekee havina nyuzinyuzi za kutosha, ambazo ni muhimu kwa afya ya utumbo na kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu.

3. Kupungua Kwa Virutubisho Vingine: Lishe ya protini pekee inaweza kusababisha upungufu wa virutubisho vingine muhimu k**a vitamini na madini.

4. Madhara kwa Figo: Kula kiwango kikubwa cha protini huongeza shinikizo kwenye figo, hasa kwa watu walio na matatizo ya figo.

5. Kutokwa na Harufu Mbaya Mdomoni: Kula protini nyingi inaweza kusababisha kutokwa na harufu mbaya mdomoni. Hii ni kwasababu ya kemikali aina ya sulfur iliyopo.

Ni muhimu kutambua kuwa lishe bora inapaswa kuwa na usawa wa vyakula vyote muhimu, ikiwa ni pamoja na wanga, mafuta, protini, nyuzinyuzi, vitamini, na madini.

Kwa hivyo, kula vyakula vya protini pekee sio chaguo bora kwa mgonjwa wa kisukari. Inashauriwa kufuata lishe yenye usawa na kushauriana na mtaalamu wa lishe au daktari kwa ushauri zaidi.

Kwa ushauri Zaidi piga 0746633569

KWANINI MGONJWA WA KISUKARI HUPATA KIZUNGUZUNGU?Umewahi kujihisi Kizunguzungu?Ni hali ya kuhisi kichwa kuzunguka, akili ...
26/02/2025

KWANINI MGONJWA WA KISUKARI HUPATA KIZUNGUZUNGU?

Umewahi kujihisi Kizunguzungu?

Ni hali ya kuhisi kichwa kuzunguka, akili kukosa utulivu, kukosa msawaziko mwili na akili, kuwa dhaifu kimwili na kushindwa kujidhibiti. Unaweza hata kuanguka au kusindindwa kutembea au kushindwa kuona vizuri.

Umewahi kuwa katika hali hiyo?

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo la Kizunguzungu lakini kwa mgonjwa wa kisukari Kizunguzungu husababishwa na:-

1.Kuwepo kwa sukari ndogo mwilini (Hypoglycemia)

Ili ubongo ufanye kazi ipasavyo unahitaji kuwa na glukosi ya kutosha, unapokuwa katika hali ya sukari ya kushuka, mwili wako unakosa glukosi inayotakiwa kuzalisha nguvu, hali hiyo hukufanya uwe dhaifu na kuzinyima seli za ubongo nguvu na kupelekea kupata Kizunguzungu. Wagonjwa wasiozingatia muda wa kula na wale wanaotumia dawa za kuongeza insulin huwa rahisi sana kupata tatizo hili.

2.Kuzidi kwa sukari kwenye damu (Hyperglycemia).

Sukari inapozidi kwenye damu husababisha tatizo la kukojoa mara kwa mara kupita kiwango cha kawaida (polyuria). Hali hii huleta tatizo la ukosefu wa maji na vimiminika mwilini (dehydration). Ukosefu wa maji huathiri utendaji kazi wa ubongo na kusababisha tatizo la Kizunguzungu.

Sababu nyingine zinazoweza kuleta Kizunguzungu ni pamoja na :-

-Presha ya kushuka

-Aina ya dawa unazotumia

-Kuharibiwa kwa mfumo wa neva hasa neva zinazozunguka ubongo na uti wa mgongo

-Kuharibiwa kwa mfumo wa sikio la ndani.

-Kufanya mazoezi bila mpangilio maalumu. Mfano kufanya mazoezi wakati hujala chochote.

Ili mgonjwa wa kisukari usipate mara kwa mara tatizo la Kizunguzungu hakikisha huruki muda wa kula( don't skip meals) na usikae muda mrefu bila kula.

FAHAMU: Kongosho Herbal kwa mgonjwa wa kisukari kwa ipo na itakufikia popote ndani na nje ya Tanzania. Dawa hii itakusaidia kutibu Kongosho lako ambayo ndio chanzo Cha ungonjwa wa kisukari na kusaidia upone kabisa kisukari ndani ya siku 60-120

Dawa hii inazwa tsh 175,000 ya wiki 2
Dozi ya mwezi ni tsh 250,000

©Hh.health_solution
0746633559

*_Kisukari cha ujauzito kinasababishwa na nini?_*Kisukari cha ujauzito kinasababishwa na nini?ugonjwa wa kisukari unaogu...
26/02/2025

*_Kisukari cha ujauzito kinasababishwa na nini?_*

Kisukari cha ujauzito kinasababishwa na nini?

ugonjwa wa kisukari unaogunduliwa kwa mara ya kwanza wakati wa ujauzito. Hutokea wakati mwili unaposhindwa kutoa insulini ya kutosha (homoni inayosaidia kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu) ili kukidhi mahitaji ya ziada wakati wa ujauzito.

Kisukari cha ujauzito huweza kutokea katika kipindi chochote cha ujauzito, lakini kwa kawaida hutokea katika miezi 6 au miezi 9 ya ujauzito. Baada ya mama mjamzito kujifungua sukari yake ya damu hurudi katika kiwango chake cha kawaida. Lakini ikiwa amewahi kuwa na kisukari cha ujauzito kabla ana hatari kubwa ya kupata kisukari cha aina ya pili hivyo, atahitajika kupima mabadiliko katika sukari ya damu mara nyingi zaidi.

Je, nani yupo kwenye hatari zaidi ya kupata kisukari cha ujauzito?
Mwanamke yeyote anaweza kupata kisukari cha ujauzito wakati wa ujauzito, lakini mwanamke mjamzito aliyeko kwenye hatari zaidi ni mwenye mambo yafuatayo;

Historia ya ugonjwa wa kisukari katika familia
Uzito au unene kupita kiasi
Historia ya kisukari cha ujauzito katika ujauzito uliopita
Umri zaidi ya miaka 40
Baada ya kujifungua mtoto mwenye uzito wa zaidi ya kilo 4.1
Dalili za ugonjwa wa kisukari cha ujauzito;
Mara nyingi ugonjwa wa kisukari cha ujauzito huwa hauonyeshi dalili za wazi hivyo wengi uugundua pale wanapoenda kufanya uchunguzi wa viwango vya sukari kwenye damu wakati wa ujauzito. Japo ikiwa viwango vya sukari kwenye damu vitabaki juu kwa muda mrefu mwanamke huweza kuona dalili zifuatazo;

Kukojoa mara nyingi zaidi kuliko kawaida
Uchovu
Kiu kupita kiasi
Njaa iliyokithiri
Kutoona vizuri
Kinywa kikavu
Maambukizi ya mara kwa mara kwenye uke
Baadhi ya dalili hizi huweza kuwa za kawaida wakati wa ujauzito na si lazima kuwa ishara ya ugonjwa wa kisukari cha mimba hivyo ni vyema kuwasiliana na mtoa huduma ya afya(mkunga) kuhusu dalili hizo na kufanya uchunguzi ili kupata majibu sahihi zaidi.

Je, madhara ya kisukari cha ujauzito ni yapi?
Ugonjwa wa kisukari cha ujauzito usipodhibitiwa mapema huweza kusababisha viwango vya juu vya sukari ya damu ambavyo huweza kusababisha shida kwa mama na mtoto k**a ifuatavyo;

Inaendelea
Piga 0746633559

Jinsi Ya Kuepuka Ugonjwa Wa Kisukari:Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kujikinga na ugonjwa wa kisukari;1) Kul...
21/02/2025

Jinsi Ya Kuepuka Ugonjwa Wa Kisukari:

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kujikinga na ugonjwa wa kisukari;

1) Kula mlo kamili angalau mara tatu kwa siku.

2) Epuka kula chakula kingi kupita kiasi.

3) Epuka kula chakula chenye mafuta mengi au sukari nyingi.

4) Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara.

5) Pima sukari katika damu mara kwa mara, angalau mara moja kwa mwaka.

6) Epuka matumizi ya pombe za aina zote.

7) Epuka matumizi ya sigara , bidhaa nyingine za tumbaku na madawa ya kulevya.

Jinsi Ya Kuishi Na Ugonjwa Wa Kisukari:
Ili kuishi na ugonjwa wa kisukari, mgonjwa anashauriwa kufanya mambo yafuatayo;

a) Dhibiti Ulaji Wako.
1) Kula mlo kamili uliotayarishwa kutokana na angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula.

2) Kula vyakula vya nafaka k**a ulezi, mtama, uwele, ma nafaka zisizokoboewa kwa mfano dona, ngano, au shairi.

3) Kula mboga mboga kwa wingi kwa mfano mchicha, matembele, karoti, majani ya maboga, kisamvu, mlenda nk.

4) Kula kiasi kidogo cha vyakula vya nafaka, mizizi na ndizi katika mlo.

5) Kula vyakula vya jamii ya kunde k**a mboga (sehemu ya mlo) kwa mfano maharagwe, njegere, mbaazi, kunde, choroko, nk.

6) Kula matunda kwa kiasi mfano ndizi au chungwa moja au kipande cha papai au embe kubwa katika kila mlo.

7) Kunywa maji kwa wingi.

8) Epuka ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi k**a jamu, asali, chokoleti, p**i, bazooka, aiskrimu, na juisi bandia.

9) Epuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi.

10) Epuka unywaji wa pombe.

b) Fanya Mazoezi Mara Kwa Mara Angalau Nusu Saa Kwa Siku.
c) Tunza Miguu Yako Kwa Makini.
1) Epuka kuvaa viatu au soksi zinazo bana.

2) Epuka kuvaa viatu vyenye kisigino kirefu ambacho huweza kusababisha kuanguka na kuumia.

3) Osha miguu yako kwa maji safi na kausha vizuri hususan katikati ya vidole.

4) Usitembee bila kuvaa viatu.

5) Vaa viatu vya wazi na vyenye kisigino kifupi.

6) Epuka kijiumiza, na unapokua na kidonda tibu mapema.

d) Epuka Msongo Wa Mawazo.
1) Zingatia afya ya kinywa kwa kupiga mswaki angalau mara mbili kwa siku.

2) Usafi wa mwili.

3) Taarifa na elimu kuhusu kisukari.

4) Masharti ya dawa na ulaji.

5) Kuhudhulia kliniki k**a inavyoshauriwa.
Piga 070746633559

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗨𝗡𝗚𝗢 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗞𝗔 𝗚𝗔𝗡𝗭𝗜(𝗠𝗜𝗚𝗨𝗨/𝗠𝗜𝗞𝗢𝗡𝗢)𝗡𝗞:Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na ...
21/02/2025

𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗨𝗡𝗚𝗢 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗞𝗔 𝗚𝗔𝗡𝗭𝗜(𝗠𝗜𝗚𝗨𝗨/𝗠𝗜𝗞𝗢𝗡𝗢)𝗡𝗞:

Katika mwili wa binadamu,
kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu,

Kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono.

𝗧𝗮𝘁𝗶𝘇𝗼 𝗵𝗶𝗹𝗶 𝗸𝗶𝘁𝗮𝗮𝗹𝗮𝗺𝘂 𝗵𝘂𝗷𝘂𝗹𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗷𝗶𝗻𝗮 𝗹𝗮 𝗣𝗲𝗿𝗶𝗽𝗵𝗲𝗿𝗮𝗹 𝗡𝗲𝘂𝗿𝗼𝗽𝗮𝘁𝗵𝘆;
Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System,

Ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu,

central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system),

Mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli,
mapigo ya moyo,
mmeng’enyo wa chakula tumboni,
Uwezo wa kuhisi baridi/joto,
Kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.

𝗠𝗮𝘁𝗮𝘁𝗶𝘇𝗼 𝗵𝗮𝘆𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗮𝗳𝘆𝗮 (𝗺𝗶𝗴𝘂𝘂/𝗺𝗶𝗸𝗼𝗻𝗼 𝗸𝘂𝗵𝗶𝘀𝗶 𝗴𝗮𝗻𝘇𝗶, 𝗯𝗮𝗿𝗶𝗱𝗶 𝗮𝘂 𝗺𝗮𝘂𝗺𝗶𝘃𝘂);
Husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika,
miguuni au mikononi.

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗔𝗠𝗕𝗔𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗚𝗢𝗡𝗞𝗪𝗔 𝗛𝗨𝗨 𝗡𝗜 𝗛𝗜𝗭𝗜 𝗭𝗜𝗙𝗨𝗔𝗧𝗔𝗭𝗢:
• Mtu kuhisi ganzi.

• Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi,

Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa.

• Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole.

• Kushindwa kushika au kunyanyua kitu.

• kuchoka kwa misuli na kadhalika.

Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:

=>𝗞𝘂𝗽𝘂𝗻𝗴𝘂𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘃𝗶𝗿𝘂𝘁𝘂𝗯𝗶𝘀𝗵𝗼 𝗺𝘄𝗶𝗹𝗶𝗻𝗶;
Katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa
vitamini B,
(Vitamin B Complex).

=>Matumizi ya dawa,
mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa,
mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.

𝗨𝘇𝗶𝘁𝗼 𝗺𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗺𝘄𝗶𝗹𝗶
hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili,
Nipigie 0746633559

USIPOTIBU KISUKARI KWA MUDA MREFU MADHARA YAKE NI MAKUBWA ANZA DOZI MAPEMA.UNAWEZA KUPATA ATHARI ZIFUATAZO.✓ Matatizo ya...
21/02/2025

USIPOTIBU KISUKARI KWA MUDA MREFU MADHARA YAKE NI MAKUBWA ANZA DOZI MAPEMA.

UNAWEZA KUPATA ATHARI ZIFUATAZO.

✓ Matatizo ya Moyo na Mishipa ya Damu:

Kisukari kinaongeza hatari ya ugonjwa wa moyo, shinikizo la damu, na kiharusi kutokana na mabadiliko kwenye mishipa ya damu.

✓Uharibifu wa Figo (Nephropathy):

Viwango vya juu vya sukari vinaweza kuharibu figo, hali inayoitwa nephropathy, ambayo inaweza kupelekea kushindwa kwa figo na hitaji la kusafishwa damu au kupandikiza figo.

✓Uharibifu wa Macho (Retinopathy):

Kisukari kinaweza kuathiri retina, na kusababisha upofu ikiwa hakitatibiwa. Pia huongeza hatari ya kupata matatizo k**a katarakta na glaucoma.

✓Uharibifu wa Mishipa ya Fahamu (Neuropathy):

Hii husababisha ganzi, maumivu, au kupoteza hisia, hasa kwenye miguu na mikono, ambayo inaweza kusababisha vidonda vya miguuni ambavyo vinaweza kukosa kupona na kuhitaji kukatwa.

✓Vidonda na Maambukizi:

kupata vidonda VYA muda mrefu visivyopona na kukatwa BAADHI ya sehem za mwili

Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi
Call 0746633559

Gusa link kuwasiliana na Dr Banda
https://wa.me/255746633559?text=NAOMBA%20MAELEZO%20KUHUSU%20TIBA%20HII%20%20YA-KONGOSHO

Ukitibu Kongosho hutateseka tena na kisukari Hautameza tena dawa za hospital wala kuchoma sindano kwa maisha yako yote, ...
19/02/2025

Ukitibu Kongosho hutateseka tena na kisukari

Hautameza tena dawa za hospital wala kuchoma sindano kwa maisha yako yote, ni furaha kwakweli maana kumeza dawa kila siku inachosha na kukera sana.

Kupata program hii ya kutibu kisukari piga 0746633559

Gusa neno learn more kuwasiliana na mshauri wa afya

Address

Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when darasa la magonjwa sugu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share