darasa la magonjwa sugu

darasa la magonjwa sugu tunatibu kisukari na presha na unapona ndani ya miezi 90
wasiliana nasi kwa haraka zaidi 0746633559

07/03/2026

๐ŸŒฟ NATURAL INSULIN โ€“ SULUHISHO LA KISUKARI NA PRESHA ๐ŸŒฟ
Rudisha afya ya mwili wako kwa njia ya asili. Natural Insulin ni kirutubisho chenye zaidi ya virutubisho asilia 140 vinavyosaidia mwili kujirekebisha na kudhibiti sukari mwilini.

โœ… Husaidia kongosho kuzalisha insulin ya kutosha
โœ… Hupunguza ganzi na maumivu ya mishipa
โœ… Husaidia kuponya vidonda vya kisukari
โœ… Huongeza nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa
โœ… Hulinda macho na kuboresha mzunguko wa damu
โœ… Husaidia afya ya moyo na kupunguza presha

๐Ÿ“ฆ Inapatikana k**a: Vidonge, Unga na Maji
๐Ÿ“ Ofisi:
Arusha โ€“ Mjini Kati
Dar es Salaam โ€“ Mbezi Makonde

๐Ÿšš Delivery nchi nzima โ€“ Lipa baada ya kupokea mzigo wako

๐Ÿ“ž Piga/WhatsApp: 0746633559
๐Ÿ‘‰ Agiza sasa:

https://wa.me/255746633559?text=NAHITAJI%20KULIPIA%20DOZI-YA%20MWEZI%20MMOJA-YA%20NATURAL-INSULINโ ๏ฟฝ

05/03/2026

Jinsi Ya Kuepuka Ugonjwa Wa Kisukari:

Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kujikinga na ugonjwa wa kisukari;

1) Kula mlo kamili angalau mara tatu kwa siku.

2) Epuka kula chakula kingi kupita kiasi.

3) Epuka kula chakula chenye mafuta mengi au sukari nyingi.

4) Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara.

5) Pima sukari katika damu mara kwa mara, angalau mara moja kwa mwaka.

6) Epuka matumizi ya pombe za aina zote.

7) Epuka matumizi ya sigara , bidhaa nyingine za tumbaku na madawa ya kulevya.

Jinsi Ya Kuishi Na Ugonjwa Wa Kisukari:
Ili kuishi na ugonjwa wa kisukari, mgonjwa anashauriwa kufanya mambo yafuatayo;

a) Dhibiti Ulaji Wako.
1) Kula mlo kamili uliotayarishwa kutokana na angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula.

2) Kula vyakula vya nafaka k**a ulezi, mtama, uwele, ma nafaka zisizokoboewa kwa mfano dona, ngano, au shairi.

3) Kula mboga mboga kwa wingi kwa mfano mchicha, matembele, karoti, majani ya maboga, kisamvu, mlenda nk.

4) Kula kiasi kidogo cha vyakula vya nafaka, mizizi na ndizi katika mlo.

5) Kula vyakula vya jamii ya kunde k**a mboga (sehemu ya mlo) kwa mfano maharagwe, njegere, mbaazi, kunde, choroko, nk.

6) Kula matunda kwa kiasi mfano ndizi au chungwa moja au kipande cha papai au embe kubwa katika kila mlo.

7) Kunywa maji kwa wingi.

8) Epuka ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi k**a jamu, asali, chokoleti, p**i, bazooka, aiskrimu, na juisi bandia.

9) Epuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi.

10) Epuka unywaji wa pombe.

b) Fanya Mazoezi Mara Kwa Mara Angalau Nusu Saa Kwa Siku.
c) Tunza Miguu Yako Kwa Makini.
1) Epuka kuvaa viatu au soksi zinazo bana.

2) Epuka kuvaa viatu vyenye kisigino kirefu ambacho huweza kusababisha kuanguka na kuumia.

3) Osha miguu yako kwa maji safi na kausha vizuri hususan katikati ya vidole.

4) Usitembee bila kuvaa viatu.

5) Vaa viatu vya wazi na vyenye kisigino kifupi.

6) Epuka kijiumiza, na unapokua na kidonda tibu mapema.

d) Epuka Msongo Wa Mawazo.
1) Zingatia afya ya kinywa

2) Usafi wa mwili.

3) Taarifa na elimu kuhusu kisukari.

4) Masharti ya dawa na ulaji.

5) Kuhudhulia kliniki k**a inavyoshauriwa.

Piga 0746633559

27/02/2026

*Mshipa wa Pelvic Floor!*

โ€‹Wanaume wengi wanahangaika na nguvu za kiume bila kujua kuwa injini ya mfumo wao ipo kwenye misuli ya Pelvic Floor.

โ€‹Inafanyaje kazi?
Misuli hii (kitaalamu inaitwa Ischiocavernosus na Bulbocavernosus) ndiyo inayohusika na:
โ€‹Kusukuma damu: Inahakikisha damu inafika kwa wingi sehemu za siri.

โ€‹Kuzuia damu isirudi: Inafanya kazi k**a vali (valve) ili uume ubaki imara kwa muda mrefu.

โ€‹Kudhibiti mbegu: Inasaidia kuzuia tatizo la kutoa mbegu haraka (premature ej*******on).

โ€‹Kwanini inalegea?
โ€‹Kukaa sana (sedentary lifestyle).

โ€‹Uzito uliopitiliza.
โ€‹Ukosefu wa virutubisho asilia.

โ€‹SULUHISHO:
Tunatoa tiba asilia zinazolisha neva na kuimarisha misuli ya nyonga ili uweze kurudi kwenye ubora wako asilia k**a BEBERU LA KARNE.

โ€‹Wasiliana Nami Sasa:
โ€‹๐Ÿ“ž Simu/WhatsApp: 0746633559

26/02/2026

PELVIC FLOOR NA NGUVU ZA KIUME ๐Ÿ’ช
โ€‹Je, unajua kuwa misuli ya nyonga (Pelvic Floor) ina uhusiano wa moja kwa moja na nguvu za kiume? Misuli hii ikiwa imara, inasaidia kuongeza mzunguko wa damu na kudhibiti uwezo wako wa kiume vizuri zaidi.

โ€‹Usiteseke kwa siri, tumia Tuba Asilia kurejesha mfumo wako katika hali ya kawaida kwa njia ya asili na salama.

โ€‹๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa: 0746633559

โ€‹ TanzaniaHealth MaishaBora

25/02/2026

Siyo kila tunda lina sukari inayoumiza. Kwa wenye changamoto ya kisukari au wanaojali afya zao, hivi hapa ni vitu 5 unavyoweza kula bila wasiwasi:
โ€‹Tango ๐Ÿฅ’ โ€“ Maji tele na kalori sifuri.
โ€‹Parachichi ๐Ÿฅ‘ โ€“ Mafuta safi kwa moyo, sukari haisogei.
โ€‹Tufaa (Apple) ๐ŸŽ โ€“ Fiber ya kutosha kudhibiti sukari yako.
โ€‹Limao ๐Ÿ‹ โ€“ Kinga ya mwili na ladha safi.
โ€‹Karoti ๐Ÿฅ• โ€“ Utamu wa asili usio na madhara.
โ€‹Afya yako, chaguo lako! Ni kipi kati ya hivi hakikosi mezani kwako? ๐Ÿ‘‡
โ€‹
Karoti HealthyLifestyle DiabetesFriendly TanzaniaHealth ChakulaNiDawa KisukariSiMwishoWaDunia

25/02/2026

๐—ž๐—ช๐—” ๐—”๐—ฆ๐—จ๐—•๐—œ๐—›๐—œ ๐—ž๐—”๐— ๐—” ๐—›๐—œ๐—œ ๐—ก๐—œ ๐—ฉ๐—ฌ๐—˜๐— ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—™๐—”๐—ง๐—”๐—ฌ๐—ข

1: Anza siku yako kwa kushukuru mungu kwa kukuamsha salama

2;Fanya mazoezi ata kidg unaweza kuruka kamba kutembea umbali mrefu kukiambia au kuendesha Baiskeli yani kiufupi hakikisha umeushugulisha mwili
3:pata chai yako unayoitumia na wengi mnatumia bila sukari lakin unaweza kutumia coffee ya aina ya suger free yenye ladha nzuri na inashusha sukari

4: hakikisha vitafunwa ni salama k**a mkate usiokobolewa nk...

5;matunda ni mhimu chagua matunda ambayo unajua kwa upande wako hayapandishi sukari

6:jitahid kuepuka mambo ambayo yatakupa mawazo au (stress)mfano ugomvi nk
7: k**a umeanza tiali kutumia tiba zetu kumbuka kutumia nusu saa kbla hujala chochote.

๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐——๐—”๐—ช๐—” ๐—ญ๐—˜๐—ง๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ž๐—ข๐—ก๐—š๐—ข๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—›๐—˜๐—ฅ๐—•๐—”๐—Ÿ ๐—ก๐—” ๐—œ๐—ก๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ก ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ

๐Ÿ”ทHutibu Kisukari level yoyote hata k**a umeharibiwa na vidonda/miguu au vidole vina karibia kukatwa

๐Ÿ”ทhuimarisha viwango vya sukari kwenye damu

๐Ÿ”ทhuimarisha utendaji kazi wa kinga ya mwili na kuchakatwa kwa cholesterols na Anti-oxdants zote mwilini

๐Ÿ”ทHuhimarisha utendaji kazi wa hormone ya insulin mwilini(huna haja ya kuchoma sindano za insulin tena wala dawa za hospitali tena)

๐Ÿ”ทhutibu na kukinga magonjwa yote yanayo sababishwa na madhara ya kisukari k**a magonjwa ya pressure,moyo,kiharusi/stroke, figo na ini

๐Ÿ”ทHutibu na kukinga ugonjwa wa figo (diabetic neuropathy)

๐Ÿ”ทhuondoa ganzi zitokanazo na madhara ya kisukari

๐Ÿ”ทhutibu tatizo la nguvu za kiume (kwa wanaume kutokana na madhara ya mda mrefu

๐Ÿ”ทzinasaidia na kuondoa kila dalili na madhara yanayo sababishwa na ugonjwa wa kisukari

*NB ANZA MATIBABU HARAKA USISUBIRI CHANGAMOTO IWE KUBWA KWAKO KWANI NI HATARI SANA*
Call 0746633559

Gusa link kupata ushauri na tiba
https://wa.me/255746633559?text=HABARI%20DR.BANDA%20NAHITAJI%20KULIPIA%20TIBA-YA-KISUKARI%20%20KWA-BEI-YA-OFA

24/02/2026

Kizazi cha Dhahabu: Millennials (1981 - 1996) ๐ŸŒŸ
โ€‹Hiki ndicho kizazi chenye bahati na heshima ya kipekee katika historia ya mwanadamu. Waliozaliwa kati ya mwaka 1981 mpaka 1996, ndio daraja lililounganisha ulimwengu wa zamani na ulimwengu wa sasa.

โ€‹Kwanini Millennials ndio Generation ya Mafanikio na Heshima?
โ€‹Daraja la Teknolojia: Ni kizazi pekee kilichocheza michezo ya asili ya nje (k**a rede na kombolela) na pia kikakua kikishuhudia mabadiliko ya kwanza ya digitali (Analogue to Digital).

โ€‹Wafanyakazi Shupavu: Wana nidhamu ya kazi ya kizamani lakini wana akili ya kisasa ya kutumia teknolojia kupata matokeo makubwa.
โ€‹Wenye Hekima na Maono: Wanaheshimu mila na asili, lakini wanajua umuhimu wa kuwekeza kwenye afya na biashara za kisasa.

โ€‹Uvumilivu: Wamepita kwenye mabadiliko mengi ya kiuchumi na kijamii, jambo lililowapa ngozi ngumu ya kupambana na kufanikiwa.

โ€‹Kama wewe ni Millennial, wewe ni kiungo muhimu sana katika jamii. Afya yako ndio injini ya mafanikio yako!
โ€‹Wasiliana nami kwa ushauri wa afya na tiba:
โ€‹๐Ÿ“ž Simu/WhatsApp: 0746633559
โ€‹
โ€‹ Heshima Mafanikio KizaziChaDhahabu History MillennialVibes TibaAsilia AfyaNaMafanikio ViralTanzania MillennialPride

23/02/2026

Siri ya Rockefeller: Kifo cha Tiba Asilia na Kuzaliwa kwa Biashara ya Dawa
โ€‹Mnamo mwaka 1910, tajiri wa mafuta John D. Rockefeller alibadilisha ulimwengu wa tiba milele. Kupitia ripoti ya Flexner, alihakikisha tiba zote za asili (mitishamba na lishe) zinaondolewa kwenye mitaala ya vyuo vikuu.

โ€‹Kwanini alifanya hivyo?
โ€‹Mafuta ya Petroli: Aligundua dawa nyingi za kemikali zinaweza kutengenezwa kutokana na mabaki ya mafuta.
โ€‹Hati miliki (Patents): Huwezi kuweka hati miliki kwenye mti wa muarobaini au kitunguu saumu, lakini unaweza kuweka hati miliki kwenye kidonge cha kemikali.
โ€‹Wateja wa Maisha: Tiba asilia inatibu chanzo (Cure), lakini dawa za kemikali mara nyingi zinadhibiti dalili (Manage), jambo linalomfanya mgonjwa kuwa "mteja wa kudumu" wa vidonge kila siku.

โ€‹Sayansi ya Uponyaji: Anti-Cholesterol & Natural Insulin

โ€‹Unapochagua tiba asilia, unaupa mwili wako zana za kujirekebisha wenyewe kupitia mifumo miwili mikuu:
โ€‹1. Anti-Cholesterol (Kwa Ajili ya Presha na Stroke)
โ€‹Presha na Stroke mara nyingi husababishwa na kuziba kwa mishipa ya damu kutokana na mafuta mabaya (LDL).

โ€‹Tiba Asilia: Inatoa viondoa sumu (antioxidants) na vimumunyisha mafuta (natural emulsifiers) ambavyo vinasafisha kuta za mishipa ya damu.
โ€‹Matokeo: Damu inaanza kutiririka kwa urahisi, moyo unaacha kutumia nguvu kubwa (presha inashuka), na hatari ya kupasuka kwa mishipa ya ubongo (stroke) inaondoka.

โ€‹2. Natural Insulin (Kwa Ajili ya Kisukari)
โ€‹Kisukari hutokea pale kongosho linaposhindwa kuzalisha insulin au seli zinapokataa kupokea sukari.
โ€‹Tiba Asilia: Inachochea seli za Beta kwenye kongosho kuanza kuzalisha insulin asilia tena. Pia, inasafisha vitundu vya seli (receptors) ili ziweze kupokea sukari na kuibadilisha kuwa nguvu.

โ€‹Matokeo: Kiwango cha sukari kwenye damu kinakaa sawa bila kuhitaji kuchomwa sindano au kumeza vidonge vyenye madhara ya muda mrefu kwenye figo.
โ€‹Wasiliana Nami Sasa:
โ€‹Usikubali kuwa mteja wa dawa za maisha, rudi kwenye asili upate uponyaji wa kudumu!
๐Ÿ“ž Simu/WhatsApp: 0746633559

โ€‹ NguvuZaKiume NaturalHealing TanzaniaHealth HealthAwareness FukuzaMagonjwa U

DAWA YA *_KONGOSHO HERBAL_* INAYOTIBU KISUKARI NA MAGONJWA ZAIDI 100Faida za kiafya za Kongosho Herbal Dawa hii ina faid...
26/02/2025

DAWA YA *_KONGOSHO HERBAL_* INAYOTIBU KISUKARI NA MAGONJWA ZAIDI 100

Faida za kiafya za Kongosho Herbal

Dawa hii ina faida nyingi sana kiafya kwa mwili wa binadamu. Watu wengi wamefaidika kiafya kupitia dawa hii ya asili

*_Kongosho herbal_* inakutibu na inakulinda kutokana na magonjwa yafuatayo:

~ kisukari
~ kansa
~ presha (bp)
~ magonjwa ya macho
~ magonjwa ya ngozi
~ changamoto za kukosa watoto kwa wanaume na wanawake
~ matatizo ya kipindi cha hedhi kwa wanawake
~ kuongeza cd4 haraka kwa wanaoishi na virusi vya ukimwi
~ magonjwa ya moyo
~ kupooza (stroke)
~ hamu ya kula
~ asthma
~ allergy
~ kupunguza uzito
~ kutoa sumu mwilini kwa hali ya juu
~ changamoto za kubalance homoni
~ kuleta brain focus
~ kukupa usingizi unaostahiki bila kuamka amka na bila uchovu
~ kukupa umakini wa akili
~ vidonda vya tumbo na kujaa gesi tumboni
~ mifupa na joints kwa wale wenye umri mkubwa
~ matatizo ya mgongo
~ viungo kupata ganzi
~ kuimarisha na kukuepusha na maradhi kwa ujumla na mengine mengi sana ambayo hayajatajwa hapa juu.

kirutubisho cha natural celticas

Natural celticas ni kindonge( capsule) kilichotokana na utafiti wa muda mrefu na kukusanya virutubisho 140 vya asili ndani ya kirutubisho kimoja. Virutubisho hivyo vimetoka kona zote nne za dunia vikijumuisha vitamini muhimu kwa mwili, madini, amino acids, mafuta muhimu kwa mwili, antioxidants na phyto-nutrients, enzyme kwa kusaidia kuyeyusha chakula.

virutubisho hivi vimetokana na:
- matunda ya kwenye bustani,
- matunda ya mwituni,
- mboga aina ya spirulina family ,
- mboga za baharini,
- majani na miamba ya kando kando ya bahari
- aina tofauti ya uyoga wenye ubora wa hali ya juu

โ€“ vyote hivi ndani ya kindonge kimoja!

*_KONGOSHO HERBAL_* ni Dawa ya kipekee ambayo haijapata ingine ya kulingana nayo hadi sasa.

ni mchanganyiko uliobuniwa na kufanikiwa kwa kiwango cha juu kurudisha, kukarabati na kuamsha afya ya mtu iliyodorora.

mchanganyiko huu hufanya kazi kwa kuupa mwili virutubisho vyote ambavyo umekosa kutokana na kula chakula cha kisasa kinachokosa virutubisho muhimu.

kwa anayehitaji hii dawa nipigie 0746633559

Ofisi ipo Arusha mjini, Dar es Salaam (Mwenge na makumbusho)
Mwanza nyerere road
Pia tunaf

*_Faida 5 kuu za kiafya za lishe inayotokana na mboga za majani na matunda_*Iwe wewe ni mlaji wa lishe inayotokana na mi...
26/02/2025

*_Faida 5 kuu za kiafya za lishe inayotokana na mboga za majani na matunda_*

Iwe wewe ni mlaji wa lishe inayotokana na mimea au mboga mboga na matunda muda mrefu au ndio mwanzo unaanza lishe ya aina hii, kupata mlo kamili ni jambo ambalo linaweza kufikiwa kwa kupanga vizuri bila ujuzi mkubwa.

Lishe itokanayo na mimea ina liyopangwa ipasavyo inaweza kuwa na faida kadhaa za kiafya lakini hakikisha inajumuisha virutubishi muhimu k**a vile vitamini B12 na D, madini ya kalsiamu ya kujenga mifupa, pamoja na chuma, zinki na asidi ya mafuta ya omega-3.

Mlo wa mboga mboga, unaojumuisha vyakula vilivyoimarishwa, huhusishwa na afya bora kwa sababu zina nyuzinyuzi nyingi za lishe, hujumuisha ugavi mwingi wa vyakula vyenye folate, vitamini C na E na madini, potasiamu na magnesiamu.

Ulaji mwingi wa matunda na mboga mboga, viwango vya chini vya sodiamu (chumvi) na mafuta yaliyojaa, yote haya yanamaanisha kuwa vyakula vya mboga mboga huwa na faida nyingi za kiafya.

Zifuatazo ni faida tano kuu za lishe ya aina hii.

1. Inaweza kusaidia kupunguza uzani
Kwa wengine, ari ya kupunguza kilo chache ni motisha ya kutosha kugeukia lishe ya mboga mboga.

Utafiti wa Marekani uliolinganisha ubora wa lishe ya mboga mboga na milo mingine ulionyesha kuwa lishe bora ya mboga mboga ina ulaji wa chini kabisa wa nishati, wasifu bora wa mafuta na viwango vya juu vya nyuzi lishe, ikilinganishwa na vyakula vya omnivore na lacto-ovo-mboga.

Ulaji mwingi wa nyuzinyuzi humaanisha kuwa milo ni ya kushiba zaidi, na hivyo kukufanya usiwe na uwezekano wa kupata vitafunio na huenda ikawa bora zaidi kukuunganisha na ishara zako za njaa.

Tafiti zingine zinaunga mkono ukweli kwamba, kwa ujumla, walaji wa mboga mboga huwa wembamba na uzani unaohitajika kiafya.

Katika utafiti mmoja, katika kipindi cha wiki 18, lishe ya mboga yenye mafuta kidogo ilisaidia washiriki kupoteza kilo 4.2 zaidi ya wale walio kwenye lishe ya kudhibiti.

Faida ya ziada ni kwamba mlo wa mboga mboga kwa kawaida ina kiwango cha chini cha mafuta isiyohitajikahivyo basi hakuna haja ya kufanya ya kudhibiti kiwango cha kalori

2. Afya ya moyo
Kufurahia mlo uliojaa vyakula ambavyo ni rafiki wa mboga mboga
Somo linaendelea
Piga 0746633559

*_Protini ni Nini na Umuhimu Wake?_*Kwanza kabisa, hebu tujifunze kuhusu protini na jukumu lake katika lishe ya mgonjwa ...
26/02/2025

*_Protini ni Nini na Umuhimu Wake?_*
Kwanza kabisa, hebu tujifunze kuhusu protini na jukumu lake katika lishe ya mgonjwa wa kisukari. Protini ni nini na kwa nini ni muhimu? Tutachunguza umuhimu wake katika kudumisha afya bora.

Protini ni moja ya makundi muhimu ya virutubisho vinavyohitajika na mwili wetu. Protini inajumuisha muunganiko wa kemikali ndogo zinazoitwa amino asidi. Jukumu kubwa la protini ni ujenzi na ukarabati wa mwili wetu.

Protini pia ina jukumu muhimu katika kusaidia mwili kufanya kazi vizuri. Inachangia katika kujenga misuli, kusaidia kinga ya mwili. Kwa mgonjwa wa kisukari, protini inaweza kusaidia kudhibiti viwango vya sukari inapokuwa sehemu ya mlo.

Vyanzo 20 Bora vya Protini kwa Wagonjwa wa Kisukari
Tutakufunulia aina mbalimbali za vyakula vyenye protini, ikiwa ni pamoja na vyanzo vya mimea na wanyama. Kwa nini ni muhimu kujumuisha aina zote mbili katika lishe yako?

Bila shaka bado unakumbuka kwamba protini ni muunganiko wa amino asidi. Kuna aina nyingi za amino asidi na kila moja inafanya kazi yake muhimu. Amino asidi zimegawanyika katika makundi mawili, zile ambazo mwili huweza kuzitengeneza na zile ambazo mwili hauwezi kuzitengeneza.

Amino asidi ambazo mwili hauwezi kuzitengenza ni lazima tuzile. Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuchanganya aina/vyanzo mbalimbali vya protini ili tuweze kupata aina zote za amino asidi zinazotakiwa.

Protini hupatikana katika mimea na wanyama. NImekuandikia vyanzo hivi katika jedwali hapo chini kulingana na chanzo, mimea au wanyama.

Vyanzo vya protini kutokana na Wanyama


Samaki wa maji safi โ€“ 18-30%
Nyama ya kuku โ€“ 20-25%
Nyama ya nguruwe โ€“ 15-25%
Nyama ya ng\โ€™ombe โ€“ 15-25%
Mayai โ€“ 12-15%
Maziwa โ€“ 3-4%
Vyanzo vya protini kutokana na Mimea
Maharage โ€“ 21-25%
Njugu โ€“ 25-30%
Tofu โ€“ 8-15%
Kunde โ€“ 20-24%
Mahindi ya Kunde โ€“ 6-10%
Protini Nzuri: Chagua Vyanzo Bora vya Protini kwa Afya Yako
Sio protini zote zinazofaa kwa mgonjwa wa kisukari. Hatahivyo, tunakuonyesha jinsi ya kuchagua protini bora kwa afya

Protini bora kwa mgonjwa wa kisukari ni ile isiyo na mafuta mengi, hivyo unaweza kuchagua kuku bila ngozi au samaki wa maji ya baridi au nyama isiyo nono. Kiwango cha mafuta.
Inaendelea
piga 0746633559

Address

Arusha
Arusha
00255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when darasa la magonjwa sugu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share