Dr.habelnoah

Dr.habelnoah unaswali changamoto uliza jambo jema katika maisha ni kuuliza ili kujifunza

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHASEMA AMEN
05/09/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

SEMA AMEN

Wangapi wanajua haya matunda yanaitwaje..πŸ˜€
03/09/2025

Wangapi wanajua haya matunda yanaitwaje..πŸ˜€

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHAMnisaidie kumjibuπŸ˜€
27/08/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

Mnisaidie kumjibuπŸ˜€

Hapa tunaenda na chapati au maandazi.πŸ˜€
26/08/2025

Hapa tunaenda na chapati au maandazi.πŸ˜€

mshakula ama niwape location..πŸ˜€
23/08/2025

mshakula ama niwape location..πŸ˜€

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHAkipi kimekutamanisha zaidi eti..πŸ˜€
18/08/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

kipi kimekutamanisha zaidi eti..πŸ˜€

BY DR.HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHA TZSababu za Meno kubadili rangiWapo baadhi ya watu wanashindwa hata kuachia kicheko ...
16/08/2025

BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA TZ

Sababu za Meno kubadili rangi

Wapo baadhi ya watu wanashindwa hata kuachia kicheko chenye bashasha hii ni kwa sababu meno yao yamekuwa na rangi, hivyo kuwafanya watu hao kuona aiabu. Pia watu wengi wakiona meno yana rangi ya njano hudhani ni machafu, meusi yanahitaji kusafishwa ili yawe meupe.

Meno kubadilika rangi huweza kuwa ni sababu moja au muunganiko wa sababu mbalimbali k**a ifuatavyo;

Matumizi ya vyakula na vinywaji vyenye kaboni, sigara na mvinyo (wine) kwa muda mrefu husababisha kubadilika kwa rangi ya meno kwa juu (extrinsic staining).

Utumiaji wa maji yenye madini mengi ya fluoride katika kipindi cha utoto (dental fluorosis).

Matumizi ya dawa aina ya tetracycline kwa mama mjamzito ambaye tayari meno ya mtoto aliye tumboni yameanza kuumbwa lakini hayapata madini ya kutosha.

Maumbile yasiyo sahihi ya sehemu ya juu ya jino (amelogenesis imperfecta). Iwapo sehemu hii imeumbwa ikiwa laini kuliko inavyotakiwa huwa rahisi kufyonza rangi na jino huota likiwa limebadilika rangi au hubadilika baada ya muda.

Kufa kwa sehemu hai ya jino hasa kutokana na kuumia kwa jino au ajali (pulp necrosis), hali hii huweza huchukua miaka mingi mpaka kutokea kubalika rangi ya jino..

Jino liliozibwa kwa kutumia material aina ya amalgam huweza kubadilika rangi na kuwa nyeusi.

Mara nyingne jino lililotibiwa kwenye mzizi wa jino (root canal treatment ) huweza kubadilika rangi baada ya miaka mingi.

Kuna njia mbalimbali ambazo hutumika kuyafanya meno yaliyo na rangi isiyo ya kawaida kuwa meupe.

Njia hizi hutofautiana kati ya mtu na mtu kutokana na jinsi alivyoathirika. Kuna njia nyingi ambazo huweza kuyang’arisha kwa ndani (internal bleaching) au kuyangarisha kwa nje (external bleaching).

Endapo una tatizo la meno yaliyobadilika rangi, muone daktari wa kinywa na meno kwaajili ya ushauri na matibabu kwani kinywa kizuri na chenye afya huongeza kujiamini.

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHATaja.sifa moja ya hiki kinywaji kinapendwa sana na kina nani haswa ..πŸ˜€
13/08/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

Taja.sifa moja ya hiki kinywaji kinapendwa sana na kina nani haswa ..πŸ˜€

kijiwe chako cha kula hawa wadudu wewe ni wapi ..πŸ˜€ mimi ngarenaro Arusha..😁
12/08/2025

kijiwe chako cha kula hawa wadudu wewe ni wapi ..πŸ˜€ mimi ngarenaro Arusha..😁

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.habelnoah posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category