Afya Bora Kwa maendeleo Bora.

Afya Bora Kwa maendeleo Bora. Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Bora Kwa maendeleo Bora., Bukoba-kagera-Tanzania, Bukoba.

*SOMO LA LEO**🌷Ijue ‼️ Fungus Ya Ukeni Na Matibabu Yake*Fungus hutokea ukeni baada ya bacteria mzuri anae itwa lactobaci...
12/09/2022

*SOMO LA LEO*

*🌷Ijue ‼️ Fungus Ya Ukeni Na Matibabu Yake*

Fungus hutokea ukeni baada ya bacteria mzuri anae itwa lactobacillus kukosa nguvu ya kupambana na Maambukizi,

Na huyo bacteria anapatikana ukeni, hata hivyo uyo bacteria lactobacillus,

huzalisha Lactic acid ( hydrogen peroxide)
Ambayo hu ballance PH kwenye uke.

*Kinacho sababisha Fungus ukeni(Vaginal fungus)*

â›” Candida albicans,
Huyu ndiye kisababishi kikuu Cha fungus wa ukeni,

*DALILI ZA FUNGUS UKENI*

đź”´ Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

đź”´ Uke kuwashaa Sanaa

đź”´ Kutoka vipele sehem ya ukeni,

đź”´ Kutoa maji maji ukeni

đź”´ Kutoa Ute ute wenye harufu ukeni wenye rangi nyeusi au yellow,

*VITU VINAVYO PELEKEA BACTERIA LACTOBACILLUS KUSHINDWA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI*

đź’ kutumia Mara kwa mara dawa aina ya Antibiotics

đź’ msongo wa mawazo

đź’ kuto zingatia mlo kamili hasa wale wanao kula vyakula vyenye sukari Sanaa wapo hatarin,

đź’ ujauzito

đź’ kushuka kwa Kinga ya mwili,

đź’  ugonjwa wa kisukari,

đź’ kula vyakula vya sukarii,

đź’  Hormonal imbalance,

*Note*
Hakikisha una tibu tatizo Lako ikiwa Bado halijawa sugu.

UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA JINSI YA KUEPUKANA NA UGONJWA HUU.WATU WENGI wanasumbuliwa ...
11/09/2022

UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA JINSI YA KUEPUKANA NA UGONJWA HUU.

WATU WENGI wanasumbuliwa na TATIZO hili ambalo huwafanya kuwa na UOGA na AIBU wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospitali kupata TIBA.

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI..?

Ni UGONJWA unaotokana na kuathirika kwa MISHIPA ya DAMU ya NDANI na NJE ya sehemu ya HAJA KUBWA na wakati mwingine MISHIPA hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja DAMU kwenye njia ya HAJA KUBWA na kukusababishia kutoka KINYAMA au UVIMBE.

UGONJWA huu wa BAWASIRI kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kiingereza unafahamika k**a PILES .

TATIZO hili huwaathiri WATU WOTE .Lakini ZAIDI huwaathiri WATU WAZIMA kuliko WATOTO,
Kwa mawasiliano zaidi. 0627408918

*TEZI DUME NI NINI?.* Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo w...
10/09/2022

*TEZI DUME NI NINI?.*

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa.
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.

Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
KARIBU UPATE HUDUMA🤝

FAHAMU FAIDA ZA FEMICARE KWA WEWE MWANAMKE.Femicare ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaa...
10/09/2022

FAHAMU FAIDA ZA FEMICARE KWA WEWE MWANAMKE.

Femicare ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya kuondoa changamoto mbalimbali Ukeni. Imetengenezwa kiasili 100% haina kemikali mbaya.

ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE.

1. Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.

2. Inatibu Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu.

3. Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi pamoja na Z-PLUS.

4. Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5. Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6. Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi pamoja na pure.

7. Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.

8. Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).

9. Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleanser, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.
-
Tunapatikana
Arusha
Dodoma
Morogoro
Mwanza
Dar es es salaam
Mbeya
Lindi
Kilimanjaro na
Nyihogo,kahama.Bukoba-Kagera

Kwa mawasiliano,ushauri na tiba. Njoo in box
0627408918/0753300858.
victoriusbabili01@gmail.com.

Kwa huduma ya ushauri na dawaa kabisaa. Njoo in box 0753300858/0627408918
10/09/2022

Kwa huduma ya ushauri na dawaa kabisaa. Njoo in box 0753300858/0627408918

ANATIC HERBAL ESSENTIAL :hii ni sabuni iliyotengenezwa kupitia vitu vitatu( 3) (1)asali ya nyuki wadogo{wild horney}(2)m...
09/09/2022

ANATIC HERBAL ESSENTIAL :hii ni sabuni iliyotengenezwa kupitia vitu vitatu( 3)
(1)asali ya nyuki wadogo{wild horney}
(2)mchaichai{green tea}
(3)zabibu{grape}
KAZI ZA HII SABUNI
→inaondoa chunus
→inaondoa mba
→utangatanga na miwasho
→inaifanya ngozi kua safi mda wote
→ni nzuri sana kwa jinsia zote
→inasaidia ngozi inayotoa mafuta
→ni nzuri sana kwa watoto.
'n unaweza kutumia K**a busti kwa wanaume wenye shida.
→inaondoa mapunye kwa watoto na wakubwa pia
→ inakawia kuisha mana ningumu sana.it's well compacted)
→Inaondoa fangas na harufu mbaya sehem za siri.
>>>Inalinda bactreia za kwenye ngozi(skin bacteria)
>>>inachangia uwepo wa unyevu wa asili wa ngozi yako (Skin Elasyisity)
Unaweza kuswakia na inaondoa matatizo yote ya meno.
Kwa mahitaji tuwasiliane kwa simu no 0627408918 au 0713734176

"ANTIDIARR PILLS" ni bidhaa mojawapo ya mfumo wa chakula ambayo imetengenezwa kwa mimea na viungo asilia K**a vile YELLO...
09/09/2022

"ANTIDIARR PILLS" ni bidhaa mojawapo ya mfumo wa chakula ambayo imetengenezwa kwa mimea na viungo asilia K**a vile YELLOW CYPRESS, CINNAMON, LIQUORICE, CLOVE pamoja na DRIED TANGERINE.

Moja ya Sifa za ANTIDIARR PILLS ni kutoa Majibu haraka kwa muda mfupi Sana au Ndani ya masaa machache au Dakika kadhaa Mara baada ya kutumia (INSTANTLY RESULTS).

KAZI YAKE
1.Inadhibiti na kutibu tumbo la kuhara papo kwa hapo.

2.Inadhibiti kichefuchefu na kutapika.

3.Inatibu tumbo kujaa gesi.

4.Inatibu kuvimbiwa.

5.Inatibu typhoid na kuhara ndani ya dakika3.

6.Inatibu meno yanayouma na kuondoa mdudu kwenye meno.

7.Inatibu harufu Mbaya mdomoni.

8.Inaondoa sumu mwilini. Kwa mfano K**a mtu Amekula chakula Chenye sumu, hii dawa ni kiboko yake yaani Hakuna kuchelewesha unaokoa Maisha ya mtu hapo hapo.

9.Inaondoa matatizo ya kukosa hamu ya Kula.

10.Inatibu vidonda vya tumbo kwa haraka ikitumiwa na CONSITI Relax.

11.Inaondoa kujisikia vibaya kutokana na uvimbe tumboni.

12.Antidiarr pills ni zuri sana kwa wasafiri, ni kinga na Tiba ukiwa safarini.

Kulingana na sifa hizi ANTIDIARR PILLS si yakokosekana Karina familia yako.

Namna ya kuipata tuwasiliane kwa Namba 0627408918 au 0753300858

Address

Bukoba-kagera-Tanzania
Bukoba

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Bora Kwa maendeleo Bora. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Bora Kwa maendeleo Bora.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram