MTAfrica Wellness

MTAfrica Wellness π—ͺπ—²π—Ήπ—Ήπ—»π—²π˜€π˜€ | π—₯𝗲𝗳𝗢𝗻𝗢𝗻𝗴 π—¦π˜π˜†π—Ήπ—² | π—œπ—»π˜€π—½π—Άπ—Ώπ—Άπ—»π—΄ π—Ÿπ—Άπ˜ƒπ—Άπ—»π—΄
πŸ“© DM for consultations & curated essentials

OCTOBER, 14TH 2025 HAPPY NYERERE DAYToday we honor the Father of our Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere πŸ‡ΉπŸ‡ΏA vision...
14/10/2025

OCTOBER, 14TH 2025
HAPPY NYERERE DAY

Today we honor the Father of our Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
A visionary leader whose wisdom, humility and patriotism continue to guide us.

MTAfrica Health & Wellness stands for that same spirit - building a stronger, healthier and more conscious Africa. 🌍πŸ’ͺ🏽

Moja ya dalili ya wenye kisukari ni kukojoa sana, Hii ni sababu figo hufanya kazi ya ziada kuondoa sukari mwilini kwa ku...
04/10/2025

Moja ya dalili ya wenye kisukari ni kukojoa sana, Hii ni sababu figo hufanya kazi ya ziada kuondoa sukari mwilini kwa kutengeneza mkojo mwingi kwaiyo safari zitakua nyingi kwenda chooni lakini pia utasikia kiu sana maana unapoteza kiasi kikubwa cha maji mwilini. MTAfrica Wellness

Kisukari ni moja ya sababu kuu za magonjwa ya figo. Sukari ikiwa nyingi mwilini huathiri mishipa midogo ya damu kwenye f...
27/09/2025

Kisukari ni moja ya sababu kuu za magonjwa ya figo.

Sukari ikiwa nyingi mwilini huathiri mishipa midogo ya damu kwenye figo, jambo linalopunguza uwezo wa mishipa hii kuchuja uchafu na maji ya ziada mwilini.

Kadiri uharibifu unavyoongezeka, figo hushindwa kufanya kazi ipasavyo kwa sababu hazipati damu ya kutosha hali inayopelekea matatizo mengine makubwa k**a shinikizo la damu, kuvimba kwa mwili, magonjwa au shida za figo na hatimaye figo kushindwa kabisa kufanya kazi (kidney failure).

Jinsi ya kulinda figo zako:

βœ… Dhibiti kiwango cha sukari mwilini, k**a unatumia dawa za sukari zingatia utaratibu wa dawa na usiache kutumia dawa na usibadili dawa bila maelekezo ya daktari.
βœ… Kunywa maji ya kutosha
βœ… Punguza chumvi kupita kiasi
βœ… Epuka matumizi ya dawa bila ushauri wa daktari
βœ… Fanya uchunguzi wa figo

0767 536 986 MTAfrica Wellness

Afya ya nywele inategemea sana lishe bora yenye virutubisho muhimu. Mayai ni chanzo kizuri cha protini na biotini, virut...
16/08/2025

Afya ya nywele inategemea sana lishe bora yenye virutubisho muhimu. Mayai ni chanzo kizuri cha protini na biotini, virutubisho vinavyosaidia ukuaji wa nywele na kuzuia nywele kukatika. Vilevile, Yogurt ina vitamini B5 na protini, ambavyo huimarisha nywele na kuzuia upotevu wake. Parachichi kwa upande wake lina vitamini E na mafuta ya asili yanayosaidia kulinda nywele dhidi ya uharibifu na kuzifanya zibaki na unyevu wa kutosha.

Mafuta ya samaki ni chanzo bora cha asidi ya mafuta ya Omega-3, ambayo huchochea ukuaji wa nywele na kuboresha afya ya ngozi ya kichwa, hivyo kuzuia ukavu na mba. Pia, vyakula vya jamii ya karanga k**a lozi na korosho vina biotini, zinki na mafuta mazuri yanayosaidia kuimarisha nywele na kuzifanya zionekane zenye afya na kung'aa.

Kwa kula vyakula hivi mara kwa mara, mtu anaweza kuimarisha afya ya nywele zake, kuzuia kukatika, na kuhakikisha kuwa ngozi ya kichwa inabaki yenye unyevu na afya bora.
0767 536 986

09/08/2025

Huo unaweza kuwa uvimbe kwenye mlango wa uke au Bartholine cyst/abscess

– na ukipuuza, unaweza kupata maumivu makali, kupasuka kwa uvimbe, hata kushindwa kutembea!

Mara nyingi uvimbe huu husababishwa na maambukizi ya muda mrefu ya U.T.I, P.I.D, Fangasi au Bakteria ambao hukaa kimya kwa muda mrefu halafu huibuka kwa nguvu.

Dalili nyingine ambazo Zinaweza kuambatana na Uvimbe Huu:

1️⃣ Uke kutoa uchafu kila siku usioisha

2️⃣ Harufu mbaya na muwasho usioisha

3️⃣ Maumivu makali wakati wa tendo

4️⃣ Kizazi kuhisi kushuka

5️⃣ Homa isiyoeleweka

6️⃣ Kushindwa hata kukaa au kutembea

Na mbaya zaidi?
Baadhi ya wanawake hawana maumivu kabisa mpaka hali iwe mbaya!

Ninakuambia haya k**a daktari wako Na Rafiki Yako, nisingependa uendelee kuteseka kimya kimya.

Ndio maana tumetengeneza tiba ya asili isiyo na madhara, inayopambana na mzizi wa tatizo – siyo kukuliza tu.

Tunatumia UzaziRestore + Choleduz Vcapsule – tiba ya siku 30 hadi 90 kulingana na ukubwa wa tatizo.

Matokeo?
Uvimbe hutoweka– hakuna tena uchafu, maumivu wala aibu.

Package: Tsh 260,000/=

Na usijali, usafirishaji ni bure (free delivery)
Hujalazimika kufika ofisini.

Ninapatikana Kijitonyama Makumbusho, Dar es Salaam.

Ukipiga hatua leo, utakuwa unaokoa afya yako ya uzazi, ndoa yako, na utu wako k**a mwanamke.

Weka oda yako sasa hivi kupitia WhatsApp
➑️ 0767 536 986 – MTAfrica Wellness

---

Uzazi Connect
β€œUzazi Salama Huanzia Hapa”

03/08/2025

Najua kuna nyakati unapoteza uamuzi β€” Unajikuta Umefanya Mapenzi bila kupanga, Bila kinga
Lakini kabla hujakimbilia kumeza P2... hebu tulia kidogo.

K**a daktari wako wa uzazi, lazima nikueleze ukweli β€”
Kuna mambo 6 muhimu unapaswa kujua kabla ya kuamua kutumia P2.

πŸ‘‡πŸΎ Hii ndio dose ya ukweli:

1️⃣ P2 siyo njia salama ya kutumia kila mara.
Ni ya dharura tu β€” si mpango wa maisha ya kila mwezi au kila wiki.

2️⃣ Inatakiwa kunywewa haraka baada ya tendo (ndani ya masaa 72).
Kadiri unavyochelewa, ndivyo ufanisi unavyopungua.

3️⃣ P2 Haitoi Mimba β€” haifanyi abortion.
Inazuia yai kukutana na mbegu. Ukishachelewa, haifanyi kazi.

4️⃣ Inaweza kukuchanganya mzunguko wa hedhi.
Unaweza kuona hedhi mapema au kuchelewa β€” usishtuke, lakini zingatia.

5️⃣ Haikulindi na magonjwa ya zinaa k**a Ukimwi au kisonono.
Unahitaji kinga k**a kondomu bado.

6️⃣ Ukizoea kutumia mara kwa mara β€” unaweza kuharibu homoni zako.
Hili ndilo tatizo kubwa wanawake wengi hawalijui... mpaka wapate matatizo ya kushindwa kushika mimba baadaye. 😒

Dada, usinywe P2 k**a p**i.
Unapocheza na homoni zako, unacheza na uwezo wako wa kuzaa kesho.

Leo unaweza kuwa hujui madhara...
Lakini miaka michache mbele, unaweza kuwa unalilia mtoto usiyempata β€” kwa kosa dogo ulilofanya mara kwa mara. πŸ’”

✨ K**a unachanganyikiwa na hutaki kukosea tena...
🧠 Unahitaji elimu sahihi, suluhisho salama, na ushauri wa karibu kutoka kwa mtaalamu k**a mimi.

🟒 Nitafute WhatsApp β€” tuchati kwa faragha.
πŸ“² 0767 536 986

πŸ§˜πŸΎβ€β™€οΈ Uzazi ni safari β€” usiifuate bila mwongozo.
MTAfrica Wellness tunakujali...
Kwa tiba asilia, uelewa, na mwanga wa kweli.

Upweke sugu huathiri mwili na akili kwa kiwango kikubwa β€” huongeza hatari ya magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, msongo...
28/07/2025

Upweke sugu huathiri mwili na akili kwa kiwango kikubwa β€” huongeza hatari ya magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, msongo wa mawazo, hata kifo cha mapema. Hii ni kwa sababu ya kukosa uhusiano wa kijamii wenye maana na msaada wa kihisia.

Lakini kumbuka:

Kuwa mpweke ni hali ya ndani β€” hisia ya kutengwa, hata ukiwa na watu wengi.

Kuwa single ni hali ya kijamii β€” kutokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi, lakini unaweza kuwa na marafiki wa karibu na maisha ya kijamii yenye afya.

Unaweza kuwa single lakini si mpweke, na unaweza pia kuwa kwenye uhusiano lakini bado kuhisi upweke.

Jenga mahusiano ya kweli. Tafuta msaada unapohisi upweke. Afya yako inategemea hilo.

0767 536 986

Sonona (depression) huathiri watu wa rika lolote, wakiwemo watoto na vijana. Ikiwa unahisi huzuni kubwa au kuelemewa na ...
28/07/2025

Sonona (depression) huathiri watu wa rika lolote, wakiwemo watoto na vijana. Ikiwa unahisi huzuni kubwa au kuelemewa na maisha, ni vyema kuzungumza na watu unaowaamini na waweza kutegemeka. Kuzungumza ni hatua ya mwanzo ya kukabiliana na sonona.

MAZOEZI YA KUKAZA UKE ULIOLEGEAFanya mazoezi yafuatayo 1. KEGEL – Wakati unakojoa mkojo wa kawaida uwe unajizuia kwa sek...
27/07/2025

MAZOEZI YA KUKAZA UKE ULIOLEGEA

Fanya mazoezi yafuatayo
1. KEGEL – Wakati unakojoa mkojo wa kawaida uwe unajizuia kwa sekunde 10 au 15 kisha unaendelea hivyo hivyo, yaani unakojoa kidogo unaacha kwa sekunde 10 tena unakojoa hivyo hivyo huku unapumzika mpaka unamalaiza. Fanya zoezi hili mara 3 mpaka 4 kwa siku ukienda kupata haja ndogo.

Zoezi hili kwa mjibu wa watafiti ni kuwa linasaidia kukaza misuli ya uke.

2. SQUATS – Hili ni zoezi lingine zuri la kubana uke uliolegea. Ni kusimama na kuchuchumaa, kuchuchumaa na kusimama hivyo hivyo mara 15 kwa mizunguko mitano mara 2 kila siku.

Zoezi hili linasaidia pia kuwa na maungo mazuri na faida nyingine nzuri za kiafya.

3. LEGS UP – Lala chali kisha nyanyua mguu mmoja juu kisha shusha chini na unyanyuwe mguu mwingine juu na ushushe chini hivyo hivyo mguu mmoja juu kisha chini, kisha mwingine juu chini ukichoka unapumzika kisha unaendelea hivyo hivyo kila siku kwa dakika 15 mpaka 20 mpaka kifaa chako kitapokuwa sawa
-

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Kwa changamoto Binafsi, nitumie Ujumbe kupitia Whatsapp no:-

0767 536 986 . ( NO FREE CONSULTATION)

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255767536986

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MTAfrica Wellness posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to MTAfrica Wellness:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram