Afya na upendo

Afya na upendo Ukiipenda afya yako maisha yatakuwa ya furaha ifikirie kesho yako kabla kesho haijakufikiria afya ndio kila kitu katika maisha

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI JANGA KUBWA AMBALO LINAWAKERA WATU WENGI.BASI LEO TUANGALIE NN CHANZO NA HASARA ZAKEFUATAN...
21/04/2022

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI JANGA KUBWA AMBALO LINAWAKERA WATU WENGI.
BASI LEO TUANGALIE NN CHANZO NA HASARA ZAKE
FUATANA NAMI

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.

Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi k**a vile kuvunjika kwa mahusiano na hata
ndoa.

Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

CHANZO CHA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa ufupi sana, mambo yafuatayo ndio vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume:-

i. Upigaji punyeto wa muda mrefu.
ii. Msongo wa mawazo.
iii. Ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu (pressure).
iv. Kupooza kwa mwili.
v. Kuugua ugonjwa wa ngiri.
vi. Kuugua chango la kiume.
vii. Ulevi uliokithiri.
viii. Kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa.
ix. Woga wa kufanya tendo la ndoa.
x. Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma.
xi. Ulaji mbovu wa vyakula haswa vyenye mafuta mengi/kupita kiasi.
xii. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

JE KUNA ATHARI GANI ZA KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME / UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kutokuwa na nguvu za kiume huleta madhara na athari nyingi sana kwa muhusika. Baadhi ya athari hizo ni pamoja na:-

1. Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
2. Kuvunjika kwa ndoa.
3. Kujiua.
4. Ulevi kupita kiasi.

KUTOKANA NA MADHARA /HASARA ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME WATU WENGI WAMEKUWA WAKIHANGAIKA HUKU NA KULE KUTAFUTA SULUHISHO LA TATIZO HILI BILA MAFANIKIO.

USHAURI WANGU NI HUU TUMIA KIRUTUBISHO HIKI KIITWACHO
ARGI +
AMBACHO HAKINA MADHARA YOYOTE LAKINI INAKUPA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAREJESHA TENA UWEZO WAKO KWA 100%

Tuma ujumbe neno AFYA kwenda WhatsApp number 0746748192 au Piga Simu usaidiwe Mapema

FOREVER MULTIMACA.-VIRUTUBISHO MAALUMU KWA AFYA YA UZAZI✍️Inatokana na mmea uitwao maca au Lepidium Meyinii kutoka nchin...
20/04/2022

FOREVER MULTIMACA.-VIRUTUBISHO MAALUMU KWA AFYA YA UZAZI

✍️Inatokana na mmea uitwao maca au Lepidium Meyinii kutoka nchini peru wenye historia zaid ya miaka 2000 kuongeza stamina ya mwilini.

🍒Haina madhara na ina faida kubwa sana kwa wanaume na wanawake.Wanawake wa Peru wanatumia maca kuanzia wakiwa na umri wa miaka mitatu ili wawe na nguvu,hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kuzaa.

🍒Ina protein nyingi katika mfumo wa amino acids na virutubisho muhimu vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara za hamu ya tendo la ndoa.

FAIDA ZA FOREVER MULTIMACA.

1.Aphrodiasiac activity-inaongeza HAMU YA MAPENZI kwa akina mama na kina baba kwa zaidi ya ASILIMIA 180,STAMINA NA NGUVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

2.Inasaidia kuondoa depression(msongo wa mawazo) ivyo kuleta usingizi mtamu na wa raha zaidi

3.Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma kwa hedhi MENOPAUSE kwa akina mama(Hormoni na kusikia joto kali)

4.Inarutubisha mayai ya k**e na mfumo wa uzazi kwa kuleta chance nzuri zaidi ya kupata ujauzito

5.Inaongeza idadi ya mbegu za kiume(s***m count kwa asilimia 200) na uwezo wa mbegu kuogolea vizuri(mobility)

6.Inabalance kiwango cha chuma mwlini

7.Inaongeza NGUVU ZA KIUME na ni nzuri kwa wanaofanya mazoez kwan ina protini nyingi zinazojenga misuli na mwili kwa ujumla.

8.Ni chakula cha ubongo ivyo inaongeza kumbukumbu na uwezo wa akili (brightness and focus)

9.inabalance mfumo wa homoni hivyo kuondoa matatizo ya hedhi k**a maumivu makali na mzunguko wa mwezi isioeleweka.

10. Ina fiber(nyuzi nyuzi lishe)ambazo ni muhimu kwa mfumo wa chakula,kupata choo laini na cha kutosha kila siku (kumbuka uchafu ukijaa tumboni,hasa kwa wasiopata choo vizur, husababisha kitambi kisichoeleweka,ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa,ugumba, kinyama kuota sehemu ya haja kubwa/hemorrhoids, kutoa hewa chafu sana,tumbo kuunguruma na kujaa gesi,au kifo cha ghafla).

*Bidhaa ipo katika mfumo wa vidonge ambao ni mchanganyiko wa mmea wa maca,mbogamboga na matunda hasa strawberries, blueberries, elderberries na mengine. Vidonge vipo 60,unatumia 2 kwa siku.

Bidhaa zina GUARANTEE ya Ubora wake umethibitishwa na shirika la viwango la kimataifa. Inatengenezwa na Forever Living Products, 0746748192

HATARI KWA MWANAUME,KAA MBALI NA KUPIGA PUNYETO Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono...
19/04/2022

HATARI KWA MWANAUME,
KAA MBALI NA KUPIGA PUNYETO Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono,unaua Neva,mishipa ya damu ambayo huingiza damu kwenye uume ,unaua misuli ya uume ndio Mana uume unakuwa Mwembamba na kuwa mdogo ,uume unajenga usugu kwenye ngozi yake.

Punyeto huwezi kufanya muda mrefu Ni sekunde tu tayari unamaliza shughuli yako ,Sasa mwili wako unazoea Hivyo (kuji--condition ).Siku ukifanya mapenzi halisi na Mwanamke unatumia sekunde hizo hizo ulizozoea Wakati wa kufanya Punyeto hutaweza kutembea zaidi ya hapo. Kwa hiyo tunaweza kuona Kwamba punyeto inafupisha muda wa kufanya tendo la ndoa .

Hii inapelekea mwenza unashiriki nae tendo la ndoa kutokuridhika ,unamuacha njia panda.

Pia kuchua uume kwa mkono husabisha uume kulegea Sana ,hata kupelekea kutoa shahawa bila kufanya tendo la ndoa .Utajikuta baada ya kusimamisha uume shahawa zinaanza kuvuja zenyewe.

Ukishikwa kidogo tu unasisimka haraka shahawa zinatoka ghafla,na uume unasinyaa .

Cha kufanya Epuka Kujichua .

Kuludisha mishipa sawa na misuli ya uume

Kwa elimu na SULUHISHO wasiliana nasi kupitia

calls/watsap/sms 0746748192

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINY...
18/04/2022

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo.(K**a unavyoona kwenye picha ,Hiyo sehemu iliyozungushiwa duara). Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja, Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne, Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.

Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.
Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua.

👇👇👇
Suluhisho linahitajika mapema 0746748192

[4/14, 05:15] Award Saturday: TEZI DUME NI NINI?Hii ni tezi (kokwa) ambayo inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume...
17/04/2022

[4/14, 05:15] Award Saturday: TEZI DUME NI NINI?
Hii ni tezi (kokwa) ambayo inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa ni kutengeneza maji maji ya uzazi kwa mwanaume (sh #)) ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizotengenezwa kutoka kwenye korodani na husaidia kusafirisha mbegu za kiume na kuzifanya zibaki hai kwa muda unaostahili.

Tezi hii huwa inaongezeka uzito au ukubwa kadri umri wako unavyozidi kukua. Na nimekwambia kuwa tezi hii ipo katika shingo ya kibofu cha mkojo na hivyo basi ukuaji wake unaweza kuathiri mfumo mzima wa utoaji mkojo kwenye kibofu(Incomplete bladder emptying) .

Tafiti zinaonesha kwamba tezi huanza kuongezeka uzito kuanzia miaka 25, na huendelea kukua kila siku kadri umri unavyo enda. Kuongezeka kwa uzito wa tezi yako ya kiume sio tatizo kimatibabu kwani kipimo cha kuonesha moja kwa moja umefikia hatua sio nzuri ni pale unapoanza kupata dalili zenye kuzuia mkojo kutotoka vizuri (obstructive symptoms).

Hivyo uzuri ni kwamba kuanzia pale tezi inapokuwa inaongezeka ukubwa hadi kufikia kuonesha dalili mbaya ni hadi unapofikia angalau umri wa miaka 60 na kuendelea , pia inaweza hata ikatokea hata unapokuwa una umri chini ya miaka 50 inategemea na mwili wako kibaolojia.

Basi kukua huku kwa tezi bila sababu ya msingi tunaweza tukawa na hitimisho la magonjwa makuu mawili au matatu,Kwanza Benign Prostate Hypertrophy (BPH) aka Kukua kwa tezi dume, pili Prostate cancer Hii ni kansa ya tezi dume na Tatu Uvimbe kwenye kibofu cha mkojo.

Njia pekee ya kuyatenganisha magonjwa hayo matatu kwa wanaume ni kwa njia kuu mbili, Kwanza Chukua historia vizuri ya mgonjwa wako kuanzia alipo anza kuona dalili na angalia afya yake vzuri kabisa,Afya ni muhimu sana kwani moja ya dalili ya moja kwa moja ya kubaini kuwa mtu ana kansa ni kudhoofika kwa mwili wake, Hivyo historia ya mgonjwa ni muhimu sana.

Mfano, Mgonjwa wa kuvimba kwa tezi dume atakuja ana umri wa miaka 69 analalamika mkojo unatoka kwa kudondoka k**a matone matone hautoki katika mfululizo, pia anakwambia mkojo unakuwa unabaki kwenye kibofu na analalamika kiuno kinamuuma sana na UTI za mara kwa mara lakini ukimwangalia afya yake ipo vizuri hajadhoofika kwa lolote. Hivyo basi mgonjwa huyu moja kwa moja anakuwa ameangukia kwenye BPH na sio kansa ya tezi dume.

Mfano mwingine Anakuja mzee wa miaka 85 amedhoofika afya yake mbavu zote na mifupa ya usoni ipo nje, analalamika kuwa mkojo hautoki vizuri, anakojoa mara kwa mara na hamalizi mkojo wote kwenye kibofu na UTI za mara kwa mara, Hapo lazima akili yako impeleke mgonjwa wako kuwa ana Prostate Cancer.

Wagonjwa wengi pia wanaweza wakaja na dalili za uvimbe kwenye kibofu (bladder tumor) huwezi kubaini uvimbe kwenye kibofu kwa kupiga kipimo cha picha yoyote bali njia pekee ni kuchukua sampuli ya kipande cha uvimbe kwa kusaidiwa na kipimo kiitwacho Cystoscope (kipimo kinachopiga picha kibofu cha mkojo na kuona uvimbe live kwa kutumia screen iliyopo pembeni mwa mtaalamu wa vipimo.

Moja ya dalili ambazo mgonjwa wa namna hii anaweza kukueleza ni kukojoa mara kwa mara ( Uvimbe kwenye kibofu unapunguza ukubwa wa kibofu hivyo kibofu kinajaa mara kwa mara) Pia wengi huja wakilalamika kuwa wanakuwa na historia ya kukojoa damu mwishoni anapokuwa anamalizia kusukuma mkojo.

Na mara nyingi ukiwauliza makazi ya wagonjwa hawa utakuta wanatoka kando kando ya ziwa au ni wakulima sana wa mpunga au kilimo cha mbugani hii ni kwa sababu aina nyingi za kansa za kibofu cha mkojo hapa afrika husababishwa na wadudu aina ya Schistosoma Haematobium ambao husababisha KICHOCHO.

Hivyo hakikisha unamuuliza mgonjwa wako k**a ana hivyo vitu vihatarishi ingawaje vipo vingi hivyo ni baadhi.

Najua umejifunza kitu rafiki yangu, kupitia utangulizi wangu kuhusu afya ya mwanaume, wasomaji wangu wamekuwa na shauku kubwa sana kuwachambulia hii mada, basi leo nafurahi kuwa mwenyezi mungu amechukua nafasi hii kunijalia kukupa mengi kupitia jukwaa langu la kuelimisha jamii juu ya afya lishe kupitia hii page ya Tiba lishe

Watu wengi wamekuwa wakiniuliza swali k**a hili
Eti hivi tezi dume ni sawa na mshipa wa ngiri (hernia)?

Napenda kukujibu kuwa hivyo ni vitu tofauti kabisa na matibabu yake tofauti kabisa. Kutokana na elimu ya tiba ya kizungu (convetional medicine) ugonjwa wa mshipa wa ngiri ni ugonjwa unahitaji operation kulingana na ngazi ugonjwa huo umefikia wapi ( Nitaeleza kidogo).

Hernia kwa lugha nyepesi ni ile hali ya viungo vya tumboni kujitokeza nje pamoja pamoja na ngozi na kutengeneza k**a mfuko flani unaoning’inia. Kutokeza huku kuneweza kukawa kupitia kitovu , pembeni ya kitovu au sehemu za siri (Inguinal hernia au ngiri). inategemeana imetokea wapi

Hivyo kuna viungo ambavyo unaweza kujaribu kuvirudisha ndani vikakubali na baada ya muda, labda umekohoa vinatokeza tena (Reducible Hernia) na kuna hernia ambayo huwezi kuirudisha ikisha tokeza imetokeza ( Non reducible hernia).

Nazani umenipata kuwa ngiri ukitaka upate suluhisho la haraka onana na daktari wa upasuaji atakupa ushauri k**a inahitaji upasuaji au bado changa utapata dawa! Sasa huwa nashangaa nina ona mtu anasema hernia inaweza kutibika bila upasuaji kwa kutumia dawa pekee, hivi unaweza kuniambia kuwa utumbo umetoka nje nikikupa dawa utumbo urudi ndani? Kwaiyo tujue kuwa ngiri zipo aina nyingu sana..

NAPENDA NITANGULIZE SHUKRAN ZA DHATI KWA WOTE WANAOTUMIA MUDA WAO KUSOMA HIZI POST ZANGU NA KUNITAFUTA KWA SULUHISHO ZAIDI.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp number 0659446803 au Piga Simu usaidiwe Mapema.
[4/14, 05:15] Award Saturday: DALILI ZA CHANGAMOTO YA TEZI DUME
Uonapo dalili zifuatazo unaweza kuanza kuhisi una saratani ya tezi dume:
1. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2. Kushindwa kuzuia mkojo, yaani ukichelewa kidogo unaweza kukutoka bila breki
3.Kuwahi kufika kileleni mara kwa mara
4. Maumivu wakati unakojoa
5. Kuishiwa nguvu za kiume
6. Kupungua kwa uwingi wa mbegu (low s***m count)
7. Maumivu wakati unafika kileleni
8. Damu kutokea kwenye mkojo au kwenye mbegu za kiume
9. Maumivu nyuma ya mgongo au hata nyonga

K**a umeona mojawapo ya dalili hizo chukua tahadhali mapema kwa kutumia virutubisho asilia, formula ya matunda matatu na mazoezi matatu muhimu. kwani kinga ni bora kuliko tiba. Usisubiri uharibikiwe zaidi ya hapo.

Suluhisho; Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0746748192 au piga simu usaidiwe mapema.

P  I  DPELVIC INFLAMMATORY DISEASE  LIJUE TATIZO LA PIDPID:Ni maambukizi katika mfumo wa uzazi hasa katika via vya uzazi...
16/04/2022

P I D
PELVIC INFLAMMATORY DISEASE
LIJUE TATIZO LA PID

PID:Ni maambukizi katika mfumo wa uzazi hasa katika via vya uzazi
-Ugonjwa huu huathiri zaid sehemu za nyonga

VISABABISHI VYA PID
-utoaji mimba
-Ngono zembe
-Wakati wa kujifungua
-Kutumia dawa za kuzuia mimba
-U.T.I sugu
-Magonjwa ya zinaa k**a kaswnde,gonorea n.k
-Kuweka vitu ukeni k**a va**na danches

DALILI ZA PID
-kutokwa damu katikati ya hedhi
-Maumivu makali chini ya kitovu
-Kupata maumivu makali wakat wa tendo
-Kutokwa damu wakati wa tendo
-Kutokwa na damu bila mpangilio maalum wakat wa hedhi
-Kupata homa mara kwa mara
-Maumivu makali wakati wa kukojoa
-Maumivu ya kiuno na mgongo
-Kichefu chefu cha mara kwa mara

MADHARA YA PID
-Kuziba kwa mirija ya uzazi
-Kuto shika mimba
-Mimba kutungwa nje ya mji wa uzazi(Ecto pregnancy)
-Uvimbe katka kizazi

JIBU LA TATIZO LAKO LIPO

Tuma ujumbe Neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0746748192 au Piga sim usaidiwe Mapema.

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. 1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke...
15/04/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kimwaga mbegu za Kiume.

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito.

4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa.

5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa.

Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0746748192 au piga simu usaidiwe haraka

MAKOSA MANNE(4)  HATARI WANAYOFANYA WANAUME  KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!Mwanaume Hakikisha unajiepusha na mak...
14/04/2022

MAKOSA MANNE(4) HATARI WANAYOFANYA WANAUME KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!

Mwanaume Hakikisha unajiepusha na makosa haya. Makosa haya huweza kusababisha tatizo la Nguvu za Kiume kuzidi badala ya Kupungua.Wanaume wengi wanapohisi kuwa na Changamoto ya Nguvu za Kiume Hufanya Yafuatayo!!....

1.Wengi hupuuza tatizo hilo na kuchukulia k**a Hali ya kawaida,Huchukulia poa na wengi hushindwa kuchukulia serious, matokeo yake tatizo hukua na kuwa kubwa zaidi.

2.Kutokujua Chanzo cha Tatizo hilo, Imekua ni kawaida kwa baadhi ya Wanaume kushindwa kujua Chanzo cha changamoto Hii,Hivyo wengi hukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo sahihi juu ya Tatizo hilo.

3.Kutokua na Elimu Sahihi na Kutokujua ukweli kuhusu tatizo hili, Wengi wamekua wakipeleka tatizo kwa watu ambao sio sahihi na Hivyo kushindwa kupata suluhisho la kudumu.

4.Kutumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume Kitu ambacho sio Sahihi kabisa.Hii hupelekea tatizo kuongezeka na kuwa sugu

Mwanaume Usifanye tena makosa haya,Pata Elimu Sahihi na Njia Sahihi ya Kuondoa Changamoto yako leo.K**a uko serious Wasiliana nasi sasa,

Tuma neno KIUME kwenda WhatsApp namba 0746748192 au Piga sim usaidiwe.

K**a hayajakukuta unaweza usiamini...Ila wapo yalio yakuta mpaka majuto yanakuta ila huu mchezo ni hatari 1. Kujichuwa h...
13/04/2022

K**a hayajakukuta unaweza usiamini...
Ila wapo yalio yakuta mpaka majuto yanakuta ila huu mchezo ni hatari
1. Kujichuwa hukufanya uwe dhaifu Kimwili ( Kukosa Nguvu na Kuwa Goigoi/Legelege ) , Kwa Sababu Inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili
2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili na kupelekea matatizo ya macho kutokuona vizuri
3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi ( Uume kushindwa kusimama) Kutokana na Kuathiri Misuli ya Uume , Tishu za Tezi Dume
4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa Kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara
5. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia
6. Huleta matatizo ya Kisaikolojia , Hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu
7. Kujichuwa inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni Kuwahi Kufika Kileleni ambalo Kitaalam Linaitwa PREMATURE EJ*******ON.
8.Kujichuwa inapunguza Wingi wa Mbegu ( reduces your s***m count ) na Kusababisha Tatizo la LOW S***M COUNT na matokeo yake Mwanaume hataweza Kumpa mwanamke ujauzito.
9.Kujichuwa inapoteza muda wako na kukufanya mtu usiye na faida
10. Kujichua husababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, ni vigumu kuwa na akili ya
11. Inasimama K**a Mbadala wa Mapenzi na Kufanya Ushindwe Kuona Thamani Ya Uliyenaye na Kufanya Usiogope Maamuzi Ya Kuachana – kujichuwa haina faida yoyote kwenye maisha yako
12 Kujichua inaongeza aibu, inapunguza uwezo wa kujiamini.
13. Utapoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa kirahisi zaidi k**a utaendelea kujichua na Kufanya Uume Ushindwe Kusimama au Kusimama Akiwa Legelege
14 Inaongeza Uwezekano wa Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile Kutokana na Kuwaza Sana Njia Ya Kawaida , Mpaka Hisia Zinakosekana Kutokana na Kufikilia Kitu Kimoja Kwa Muda
15.Kujichuwa inamaliza nguvu za kiume, k**a unapenda kujichua basi sahau kuwa na nguvu za kiume.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nas
Whtsp au piga simu 0746748192

HATUA TANO ZA KURUDISHA NGUVU ZA KIUMERudisha virutubisho vilivyo pungua mwilini mwako hakikisha unaupa mwili wako madin...
13/04/2022

HATUA TANO ZA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME

Rudisha virutubisho vilivyo pungua mwilini mwako hakikisha unaupa mwili wako madini ya msingi k**a zinc,chuma,selenium,manganese,vitamins na protein ya kutosha especial protein ya mimea.

2.Fanga mazoezi ya kutosha ya viungo ambavyo ndio sehemu zenye kuufanya mwili wako ufanye kazi katika uhalisia wako.

3.Epuka vinywaji vyote vyenye sukari nyingi vya kusindika vyenye vionjo vya sukari rangi na ladha.

4.Ondoa mafuta mabaya Yanayo punguza mzunguko wa damu mwilini usifanye kazi vizuri.

5.Safisha sumu mwilini kwa kutumia viondoa sumu (detox)
kwa msaada na ushauri zaidi njoo Whatsapp
0746748192

JE,ufanye nini ili kuacha PUNYETO au kushiriki mchezo mchafu?K**a muda na umri unaruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fa...
12/04/2022

JE,ufanye nini ili kuacha PUNYETO au kushiriki mchezo mchafu?

K**a muda na umri unaruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fanya ya fuatayo:

K**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.

Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila sku Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutopata muda wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utapata uzingizi mturivu kwa sababu ya mazoezi.

Epuka vyakula vyenye mafuta mengi.

Usipende kukaa muda mlefu pekeyako au kujitenga na watu pia usipende kukaa kidandani hasa hasubuhi wakati wa kuamka

Usikae muda mlefu maeneo ya bafuni au choon.

Usipende kujishika na mkono wako sehemu za siri muda wowote.

Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu yako au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo. k**a upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondoe haraka iwezekanavyo.

K**a tayari umeshaowa basi nidhambi kubwa sana kuendelea kupga punyeto. Je? Umepungukiwa nguvu za kiume ? kwa sababu ya kujichua muda MREFU uume kusinyaa kwa sababu ya kujichua muda MREFU na unahitaji kurudi kwenye hali yako ?

_Unawahi kufika kileleni?
_Unakosa hamu ya tendo la ndoa?
_Umedharaurika kwenye ndoa/mahusiano yako?

EPUKA AIBU HII

Je? Umeathilika na madhara yaliotokana na kujichua?

Na Unataka kuondokana na hiyo hali?
wasiliana nasi kupitia;
calls/watsap/sms 0746748192

MWANAUME USISUBIRI AIBU TATIZO LAKO LINATIBIKA Tunajua katika dunia ya leo kuna watu hawajui lolote kuhusu mfumbuzi wa c...
11/04/2022

MWANAUME USISUBIRI AIBU TATIZO LAKO LINATIBIKA

Tunajua katika dunia ya leo kuna watu hawajui lolote kuhusu mfumbuzi wa changamoto zao bado hawaamini kuwa kuna njia sahihi na salama ya utatuzi wa nguvu za kiume mara nyingi watu hawa wakikutana na watu ambao nao hawajui lolote kuhusu utatuzi sahihi wa changamoto ya nguvu za kiume huanza kupotoshwa na kufuata njia ambazo sio sahihi na wakati mwingine huleta athari na changamoto ikawa kubwa zaidi

Mara nyingi watu hawa hushauriwa kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume wakati wa tendo tu (Boosters). hizi ni dawa hatari kwa afya kwani ili uume uweze kusimama unahitaji mzunguko mzuri wa damu. Kinachofanyika ni kwamba hizi zitakwenda kutiririsha damu kutoka kwenye moyo kwenda kwenye uume kwa kasi kubwa.
Madhara yake huu mapigo ya moyo yatakuwa yanakwenda kwa kasi kinyume na inavyo hitajika.
Na kwa wale wenye matatizo ya presha hapa unaweza kupoteza maisha kabisa.

Unatakiwa kutumia virutubisho ambavyo utatumia kwa mwezi 1 na utapewa utaratibu wa kufanya mazoezi na aina ya vyakula unavyotakiwa kutumia wakati wote
Fanya maamuzi leo kuondokana na aibu kwa msaada zaidi Tuma ujumbe Whatsapp 0746748192 usaidiwe mapema.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255746748192

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na upendo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya na upendo:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram