23/06/2023
*NINI MAANA YA VIDONDA VYA TUMBO.*
Vidonda vya tumbo ni majeraha yanayojitokeza kwenye tumbo ama utumbo.
Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;
📍Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
📍Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu (NSAIDs) k**a asprin, Advil, Celecoxib, meloxicam,Naproxen na zingine
📍Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
📍Kunywa pombe na vinywaji vikali
📍Uvutaji wa sigara
📍Kuto kula mlo kwa mpangilio
*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
_Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza_ baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na anaendelea kukuza tatizo. *Vidonda vya tumbo vinadalili k**a;-*
📍Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada au kabla ya kula.
📍Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo.
📍Tumbo kujaa gesi.
📍Kupata maumivu ya chembe ya moyo.
📍Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu.
📍Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu.
📍Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito.
*JINSI YA KUEPUKANA NA VIDONDA VYA TUMBO*
📍Kunywa maji mengi
📍Punguza mawazo, fanya mazoezi yatakupunguza na mawazo
📍Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)
📍Usivute sigara
📍Punguza au acha kunywa pombe
📍Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
📍Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 8
MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO.
🪫Kuvurugika kwa tumbo.
🪫Saratani ya utumbo au tumbo.
🪫Anaemia
🪫Kukosa hamu ya kula.
🪫Kuvujia damu ndani kwa ndani ( internal blood bleeding )
🪫Upungufu wa nguvu za kiume kwa sehemu.
TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO
Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na muda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.
*TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO*
Tuna Bidhaa za kutibu Vidonda vya tumbo ambazo ni za asili zisizo na kemikali,
ambazo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Bidhaa hizo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, tatizo halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza maumivu, ukianza kutumia baada ya wiki moja tu mgonjwa huanza kupona na huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya
Wasiliana nami
wa.me//+255755294850
🙌🏻🙌🏻🙌🏻