Afya yako Mtaji wako

Afya yako Mtaji wako Katika ukurasa huu utapata kujifunza umuhimu wa kutunza na kujali Afya yako kwa kuzingatia ulaji wa m

NJIA 3 RAHISI ZAIDI ZA KUZINGATIA UWAPO NYUMBANI KWAKO KUMALIZA SUMU ZITOKANAZO NA DAWA ZA UZAZI WA MPANGO NA DAWA NYING...
16/08/2022

NJIA 3 RAHISI ZAIDI ZA KUZINGATIA UWAPO NYUMBANI KWAKO KUMALIZA SUMU ZITOKANAZO NA DAWA ZA UZAZI WA MPANGO NA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO.

Pamoja na faida chache za uzazi wa mpango lakini asilimia kubwa ya wanawake waliotumia uzazi wa mpango wanalia, wanaugulia, na hata kupoteza ndoa kisa hawapati watoto.

Kibaya zaidi wametumia dawa nyingi bila mafanikio hivo kupoteza pesa, muda au vyote kwa pamoja.

Hali hii imesababisha kutokea kwa changamoto nyingine k**a vile UTI ya kujirudia rudia, Fangasi ya kujirudia, miwasho, maumivu ya tumbo chini ya kitovu, PID, kutokwa uchafu kwenye mlango wa kizazi, mimba kuharibika mara kwa mara au kuto shika ujauzito kabisa n.k😪

Jifunze njia 3 rahisi zaidi za kuzingatia uwapo nyumbani kwako kumaliza sumu zitokanazo na uzazi wa mpango ili uweze kurudisha furaha ya ndoa yako kwa kubeba ujauzito kiurahisi.

Jifunze njia hizi 3 rahisi zaidi kwa kubonyeza hii link sasa hivi..........👇👇👇
http://shorturl.at/ajkL4

Kwa ushauri na tiba piga/WhatsApp0693679794
01/07/2021

Kwa ushauri na tiba piga/WhatsApp
0693679794

Tuwasiliane 0693679794Usizoee kusikia neno PID masikioni mwako na ukahisi ni wimbo hapana haya ni maambukizi katika via ...
05/06/2021

Tuwasiliane 0693679794

Usizoee kusikia neno PID masikioni mwako na ukahisi ni wimbo hapana haya ni maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke (Uterus, Fallopian tube na cervix) yatokanayo na bacteria.
Bacteria hawa hushambulia vibaya mno sehemu za uzazi wa mwanamke na kusababisha mrundikano wa uchafu uitwao Varginal discharge). Wenye rangi ya brown na wenye harufu kali sana inayokera.
Wengine hata waume zao wamewatenga kimapenzi kutokana na hali hii kuwakera ndani ya nyumba, usipo tibu hii shida utapelekea ugumba kabisa.

Madhara ya PID
- Harufu mbaya kwenye via vya uzazi
- Kutoka uchafu mgando k**a mtindi
-Kuwashwa mashavu ya uke na ndani ya tumbo chini ya kitovu
-kukosa /kuruka au kuchelewa kuingia period
-kupata homa kali na maumivu makali chini ya kitovu
-Homoni kuto wiana
-Ugumba
-kansa ya shingo ya kizazi
Njoo ujipatie tiba ya kuondokana ma changamoto zote za uzazi na magonjwa mengine haijarishi umesumbuka kwa muda gani, ninayo Alkaline Complete kwa ajiri ya mwanamke anaye hitaji kubeba mimba kwa haraka zaidi. Pid_inatibika
Tuwasiliane 0693679794.

Tupigie 0693679794 tukuhudumie
04/06/2021

Tupigie 0693679794 tukuhudumie

04/06/2021

Tupigie 0693679794 tukuhudumie k**a na wewe ni mhanga wa tatizo hili

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje y...
26/04/2021

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali

Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call 0693679794

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama...
30/03/2021

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO
👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO (UTI)i)KOJOA KILA BAADA YA TENDO LA NDOA.Unapokojoa baa...
12/03/2021

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO (UTI)

i)KOJOA KILA BAADA YA TENDO LA NDOA.
Unapokojoa baada ya tendo la ndoa unasaidia kuondoa bakteria na vijidudu wengine wa magonjwa ambao wanaweza kuwa waliingia kwenye njia ya mkojo wakati wa tendo la ndoa.

ii)JISAFISHE KUANZIA MBELE KUELEKEA NYUMA.
Kujisafisha hivyo baada ya haja kubwa au ndogo itasaidia kuzuia uingiaji wa bakteria ndani ya mrija wa mkojo kupitia ukeni. Utakuwa unajikinga na magonjwa mengimengi sugu pamoja na UTI.

iii)UNAPOPATA HAJA NDOGO JITAHIDI KUWA KATIKA HALI YA UTULIVU.
Mara nyingi kujisaidia huku umesimama au umejikunja kwa namna yoyote ile hubana misuli ya kibofu hivyo kusababisha kiasi fulani cha mkojo kubaki ndani. Hii husababisha athari kwenye kibofu cha mkojo pamoja na magonjwa hasa UTI. Wakati wa kujisaidia haja ndogo jitahidi kuchuchumaa au kukaa endapo choo ni cha kukaa.

iv)HAKIKISHA MKOJO WOTE UNAISHA.
Pia hakikisha hukai na mkojo kwa muda mrefu, unapofanya hivyo wadudu hasa bakteria huzaliana kwa wingi sana na unakuwa unajiweka kwenye hatari ya kuugua magonjwa mengi.Kwa Tiba ya U. T. I sugu tupigie 0659743482 tukuhudumie.

PID......ni maambukizo katika via vya uzazi kwa mwanamke.... Dalili  👉Maumivu  makali chini ya tumbo wakati wa hedhi au ...
11/03/2021

PID......ni maambukizo katika via vya uzazi kwa mwanamke.... Dalili 👉Maumivu makali chini ya tumbo wakati wa hedhi au kabla👉Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa👉Kutokwa uchafu mweupe au wa rangi ukeni na harufu mbaya👉Kukosa mtoto kwa muda mrefu👉Kutoka hedhi yenye harufu kali na mabonge.👉Kupata homa za mara kwa mara. PID inatibika na kuisha kabisa ,Madhara ya PID ni ✍️pamoja na kukosa mtoto kabisa,✍️Uwezekano wa kupata kansa ya shingo ya kizazi . PID husababisha na 🔂kukaa na UTI muda mrefu bila kuitibu kikamilifu na kuisha, 🔂Fungus za ukeni zisizoisha 🔂magonjwa ya zinaa 🔂Kutumia vitu vyenye kemikali ukeni , usipate stress na PID suluhisho la kudumu lipo, njoo tuchat/call 0659743482 tuzungumze

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
477

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako Mtaji wako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya yako Mtaji wako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram