drsebastiani

drsebastiani Tunawasaidia wanawake wenye changamoto ya kutokubeba ujauzito kwakutumia V-capsules

Permanently closed.
Hongera Sana madam HUSNA kwa kuweza kubeba ujauzito
22/11/2021

Hongera Sana madam HUSNA kwa kuweza kubeba ujauzito

Hongera Sana madam Naomi kwakuweza kubeba ujauzito
17/11/2021

Hongera Sana madam Naomi kwakuweza kubeba ujauzito

Hongera Sana madam blaty kwa kuweza kubeba ujauzito
17/11/2021

Hongera Sana madam blaty kwa kuweza kubeba ujauzito

SEBAHERBAL CLINIC TUTASEMA UGUMBA SASA BAAASI
10/11/2021

SEBAHERBAL CLINIC TUTASEMA UGUMBA SASA BAAASI

Hongera Sana rosemary kutoka Bunda kwa kuweza kubeba ujauzito
10/11/2021

Hongera Sana rosemary kutoka Bunda kwa kuweza kubeba ujauzito

Hongera Sana madam zainabu
10/11/2021

Hongera Sana madam zainabu

Hongera Sana madam zainabu kutoka Tabora kwa kuweza kubeba ujauzito
10/11/2021

Hongera Sana madam zainabu kutoka Tabora kwa kuweza kubeba ujauzito

Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa mwanamke imekuwa tatizo kubwa hivi Sasa, hapa nazungumzia Follide stimulating homoni, E...
04/11/2021

Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa mwanamke imekuwa tatizo kubwa hivi Sasa, hapa nazungumzia Follide stimulating homoni, Estrogen, progesterone, testosterone, Moja ya hizi homoni ikileta shida basi na wewe hautakuwa sawa katika mfumo wako wa uzazi.

DALILI ZA MVURUGIKO WA MFUMO WA HOMONI

🌸ukavu ukeni

🌸Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

🌸Kutoa jasho usiku kusiko kawaida
🌸Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.

🌸Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

🌸Siku za hedhi kubadilika badilika🌸Kukosa hedhi kwa muda mrefu.

🌸Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.

🌸Uchovu wa mara kwa mara.

🌸Hasira za mara kwa mara.

🌸Kukosa usingizi.

🌸Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.

🌸Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.

🌸Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.

🌸Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele)
🌸Maumivu ya viungo.

🌸Upungufu wa nywele kichwani
Kusahau sana.

🌸kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.

🌸Kupata hedhi wakati wa ujauzito
🌸Msongo wa mawazo.

🌸Kutopata choo kwa wakati
🌸Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.

🌸Maumivu ya kichwa mara kwa mara

K**A UNAPATA BAADHI YA DALILI HIZO USIENDELEE KUKAA NA KUSUBIRI TATIZO KUWA KUBWA KWANI MADAHARA YAKE NI

🌸Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
🌸Mimba kuharibika mara kwa mara
🌸Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌸UTI
🌸Kuzeeka mapema🌸Kuziba mirija ya uzazi
🌸Uvimbe(fibroids &cyst.


K**a dawa hospital zimedunda kurejesha homoni zako, Tumia juisi ya bamia Tumia juisi ya tangawizi na vitunguu swaumu na chai ya tangawizi

*P.I.D NI NINI??*P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Kwa kingereza tunasema  (pelvic inflammatory dise...
04/11/2021

*P.I.D NI NINI??*

P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Kwa kingereza tunasema (pelvic inflammatory disease)

Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Hasa bacteria wa pangusa, Chlamydia, kisonono,

HUENDA SANA KUHARIBU MFUMO WA UZAZI. Kwanza vifuko vya mayai, (ovaries) mirija ya uzazi,

Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D?

*DALILI ZA P.I.D*
🌺Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia
🌺Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio)
🌺Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
🌺Maumivu wakati wa kukojoa.
🌺Kutapika na homa
🌺Uchovu
🌺Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huwa inafanana sana na fibroids)
🌺Ugumba( unatafuta mtoto kwa muda mrefu na hupati)
🌺Kukojoa mara mara.
☘️ Mvurugiko wa hedhi, kupata hedhi Mara mbili kwa mwezi.
Huenda umetumia Sana Metro, Cipro dox, nabado umekuwa mhanga, tumia juisi ya bamia juisi ya tangawizi leo, uitwe mama!

*VYAKULA VINAVYOSAIDIA MWANAMKE KUBEBA UJAUZITO*1- Kila siku kula parachichi' Tikiti na ndizi mbivu2-  Tengeneza juisi f...
02/11/2021

*VYAKULA VINAVYOSAIDIA MWANAMKE KUBEBA UJAUZITO*

1- Kila siku kula parachichi' Tikiti na ndizi mbivu

2- Tengeneza juisi fresh ya mboga za majani kunywa kila siku

3- tumia unga wa karanga au unga wa mbegu za maboga kwenye chakula chako

4- kula ugali wa dona ,maharage ya soya na mbogamboga

5- Usile nyama nyekundu ila kula dagaa kwa wingi na samaki

6- kunywa maziwa fresh au mtindi

7- kunywa chai ya tangawizi mdalasini na mchaichai weka asali

*UKIFANYA HIVYO KWA SIKU 90 TU UNABEBA UJAUZITO*

Tumia juisi ya bamia,Tumia juisi ya tangawizi na vitunguu swaumu au piga 0763199190 kwa msaada zaidi
29/10/2021

Tumia juisi ya bamia,Tumia juisi ya tangawizi na vitunguu swaumu au piga 0763199190 kwa msaada zaidi

K**a unatumia juisi ya bamia, juisi ya tangawizi na vitunguu swaumu jiandae kubeba ujauzito
29/10/2021

K**a unatumia juisi ya bamia, juisi ya tangawizi na vitunguu swaumu jiandae kubeba ujauzito

Hongera Sana madam Joyce kwa kuweza kubeba ujauzito
29/10/2021

Hongera Sana madam Joyce kwa kuweza kubeba ujauzito

Hongera Sana madam shadia kwa kuweza kutumia juisi na kuweza kubeba ujauzito
29/10/2021

Hongera Sana madam shadia kwa kuweza kutumia juisi na kuweza kubeba ujauzito

Hongera Sana madam witty kwa kuweza kubeba ujauzito
29/10/2021

Hongera Sana madam witty kwa kuweza kubeba ujauzito

Wewe mwanamke unaetafta mtoto hakikisha unatumia hii juisi kila siku asubuhi na jioni kwa siku 45 na utaweza kubeba ujau...
22/10/2021

Wewe mwanamke unaetafta mtoto hakikisha unatumia hii juisi kila siku asubuhi na jioni kwa siku 45 na utaweza kubeba ujauzito

Nunua Bamia za 500 katakata vidogovidogo weka kwenye chombo Cha lita moja funika mpaka asubui chuja juisi yako tumia asu...
22/10/2021

Nunua Bamia za 500 katakata vidogovidogo weka kwenye chombo Cha lita moja funika mpaka asubui chuja juisi yako tumia asubuhi na jioni kila siku

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255763199190

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when drsebastiani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category