Jessy Health care

  • Home
  • Jessy Health care

Jessy Health care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jessy Health care, Medical and health, .

pata ushauri na matibabu ya uhakika wa changamoto mbalimbali za magonjwa kwa kutumia virutubisho lishe, kwa matatizo kama vile,,
* Tatizo la kuvimba kwa tezi dume na Kansa
*Matatizo ya uzazi kwa Wanaume

Njoo ujinyakulie package yako ya Mwanamke na uzazi kwa gharama nafuu wewe unaepitia changamoto ya uzazi sasa
05/11/2022

Njoo ujinyakulie package yako ya Mwanamke na uzazi kwa gharama nafuu wewe unaepitia changamoto ya uzazi sasa

Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaani inapopanuka,hasa kwa wanaume wenye umri wa z...
28/09/2022

Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaani inapopanuka,hasa kwa wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka sitini, hutatiza kukojoa.Ugonjwa huu unazidi kuongezeka duniani kutokan na mfumo wa maisha tunaoishi

Tezi dume ni nini na kazi yake ni nini?

Tezi dumeni kiungo kidogo na ni sehemu moja ya uzazi wa wanaume.Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo cha njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.Tezi dume ndiyo hutoa maji yabebayo mbegu (manii)ya mwanaume.

Tezi dume kutanuka

Kutanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Huwa ni jambo la kawaida kwa karibu kila mwanaume mzee.Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .

Ugonjwa wa kutanuka kwa tezi dume ni ugonjwa mara nyingi wa wanaume wazee.

Dalili za kutanuka kwa tezi dume

Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:

Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.

Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.

Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.

Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.

Kibofu hakiishi mkojo.

Matatizo ya tezi dume iliyotanuka

Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:

Mkojo kukosa kutoka kabisa 
Wagonjwa wenye tatizo hili lazima wawekewe katheta ili kumimina mkojo.

Madhara kwenye kibofu na figo 
Kwa sababu ya kibofu kuwa na mkojo wakati wote, ukuta na misuli yake hupanuka na mwishowe hudhoofika hivi kwamba haiwezi kuzuia mkojo.

Kwa sababu ya kibofu kujaa 
mkojo hurudi kwenye figo na mwishowe huharibu figo.

-Kwa maelekezo zaidi na Matibabu tupigie :

⚡0744899512

18/09/2022

JE ? WAJUA KWAMBA WANAUME WOTE WANA TEZI DUME?

Tezi dume kila mwanaume amezaliwa na tezi dume hivyo basi kwa mantiki hiyo "mwanaume ni tezi dume na tezi dume ni mwanaume"

Tatizo linakuja pale tezi hii inapoa anza kutanuka au inapo vimba na hii ni kutokana na Sababu mbali mbali japokuwa kitaalamu hakuna sababu maalum ila sababu zifuatazo zina sadikika kuwa ndyo chanzo cha tatizo hili

👉 Umri mkubwa inasadikika mwanaume mwenye miaka kuanzia 40 na hii hutokana na kinga ya mwili inakuwa imeshuka kwahyo mwili una poteza nguvu yake ya kupambana na magonjwa

👉Uzito ulio pitiliza na kitambi

👉kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili yaan ( hormone imbalance )

👉Matumizi ya vileo kupitiliza lakini pia matumizi ya Sigara

👉 Sumu nyingi mwilini

👉Historia ya Familia (Kurithi)

ikumbukwe kwamba mtu anavyo dumu kwa tatizo muda mrefu siyo

chini ya miaka 10 ndipo hupelekea kitu kinaitwa Saratani ya Tezi

dume na hii huyokana na mrundikano wa mkojo unao salia kwenye

kibofu cha mkojo na mrija wa mkojo yaan ( Urethra) unapozidi

kujirundika huzalisha kitu kinaitwa Uric acid ndipo ndipo hutengeneza Cancer

Hivyo basi uonapo Dalili 👇 fahamu ya kwamba tezi dume limeanza kutanuka

👉Kukojoa mkojo uliochanganyika na Damu

👉kukojoa mkojo wenye mtiririko hafifu

👉kuhisi maumivu makali wakati wa kukojoa

👉kukojoa sana nyakati za usiku si chini ya mara 5 ,6 mpaka 7

👉 Kuhisi kukojoa lakin mkojo hauishi

Pia ikumbukwe kwamba dalili haziwezi kuonekana zote kwa wakati

mmoja na pia tatizo linavyozidi dalili hutofautiana uonapo dalili

hizi fahamu fika kwamba tatizo lako lishakuwa kubwa

✨Maumivu ya mifupa hususani maeneo ya mgongo ,kiuno , Na mbavu

✨Miguu kuwa dhaifu

✨kushindwa kumudu tendo la ndoa au kuhisi maumivu makali wakati wa kumaliza tendo

✨Tumbo kujaa gesi

✨kushindwa kuzuia mkojo pindi unapohisi kukojoa

uonapo Dalili zotee tajwa 👆 usi site kuwasiliana nasi

0744899512 kwani tupo kwenye programu ya kushughulikia tatizo

hili karibu sana ulipo tupo karibu yako

17/09/2022

Fahamu njia sahihi ya kuzuia na kutibu kutanuka kwa tezi dume bila kufanya upasuaji wowote.

Utapatiwa dozi sahihi ya kuweza kuondokana na tatizo hilo itakayoambatana na kupandisha kinga yako ya mwili ili uweze kupona kwa haraka zaidi ,

Utapatiwa muongozo mzuri wa na namna ya kula pamoja na ufuatiliaji wa karibu kabisa,

Piga 0744899512 uweze kupata ushauri pamoja na tiba sahihi kutoka kwa mtaalam wa afya ,

13/09/2022

Habarii wewe unae fuatilia page hii
Nawasaidia wanaume kutatua changamoto ya tezi dume lakini pia masuala ya mfumo mzima wa uzazi wa Mwanaume k**a wewe ni mmoja unaesumbuka na changamoto hizi
👉 U.T.I sugu
👉Tezi dume
👉upungufu wa nguvu za kiume
👉 Bawasili

wasiliana nasi simu nambari 0744899512

13/09/2022

Only you Jesus

12/09/2022
Nawasaidia wanaume kujikinga na Tezi dume lakin pia walio Athirika na tezi dume Dosse ni kwa awamu tatu na kupona ni uha...
12/09/2022

Nawasaidia wanaume kujikinga na Tezi dume lakin pia walio Athirika na tezi dume Dosse ni kwa awamu tatu na kupona ni uhakika wapo wengi tumewasaidia na wamepona ndani ya muda mfupi sana epuka kuvalishwa nepi, epuka kutumia gharama kubwa za matibabu, epuka kupoteza nguvu za kiume kingani bora kuliko tiba

kwa mawasiliano zaidi unaweza
kupiga simu nambari 0744899512

Zifahamu Dalil za tezi Dume na namna ya kujikinga na tezi dume kwa mawasiliano.zaidi tupigie 0844899512
03/09/2022

Zifahamu Dalil za tezi Dume na namna ya kujikinga na tezi dume kwa mawasiliano.zaidi tupigie 0844899512

Nawasaidia watu kujikinga na tezi dume mpaka sasa nimesaidia wanaume wengi sana wapo wenye shuhuda zao kabisa k**a wewe ...
02/09/2022

Nawasaidia watu kujikinga na tezi dume mpaka sasa nimesaidia wanaume wengi sana wapo wenye shuhuda zao kabisa k**a wewe ni mmoja wa wanao sumbuka na changamoto ya kutanuka kwa tezi dume au unatamani ujikinge na kutanuka kwa tezi dume 📞0744899512

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jessy Health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jessy Health care:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram