01/03/2026
Bakteria wanaotoka kwenye sehemu ya Haja Kubwa wanaweza kuwa Chanzo cha Mtu kuugua Ugonjwa wa UTI mara kwa mara.
Sikiliza ufafanuzi wa Dkt. Ikrah Abdallah, Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Hospital ya Rufaa ya Mkoa Temeke alioutoa kupitia Kituo cha Redio Clouds FM