Afya Kwanza Herbal Clinic

Afya Kwanza Herbal Clinic Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Kwanza Herbal Clinic, Medical and health, Mafia Street & Nyamwezi Street, Dar es Salaam.

NI WA WATAALAMU NA WATAFITI WA MITISHAMBA

TUPO DARESALAAM KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI STAND YA MABIBO

WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0755 411 190 /0679 711 190

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):FIBROID NI NINI?Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu...
30/09/2025

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids):
FIBROID NI NINI?
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)
Watu wafuatao wako hatarini kupata ugonjwa huu wa fibroids.

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubalehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi 4.unene 5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwa unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

Dalili za fibroids;
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi.

Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:

1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari

2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids

3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

MATIBABU
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hawawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu tunawabaini tunapofanya ultrasound ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii

2.Uvimbe ambao ni mkubwa wenyewe hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawez kumudu kununua

B.Vidonge vya maumivu

C.Vidonge vya kuzuia damu k**a tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)

2.Njia ya pili ni operation nazo zipo operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.

1.Myomectomy hii ni operation ya kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri

2.Total abdominal hysterectomy. Hii operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.

Swali la kujiuliza kwa nini mpaka upate dalili ndo utaanza kushughulikiwa kutibiwa? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo?

Kumbuka uvimbe huu sio kansa hivyo ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauriwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.

UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.

Sasa kwa kuliona hilo suluhisho lako lipo, tuna dawa ambayo imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa syrup na nyingine ni yaunga ambayo imetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha. Dawa hiyo ni mchanganyiko wa dawa asilia za kisunnah na kiarabu ambao hauna sumu au madhara yoyote mwilini. Ni dawa ambayo ina uwezo pia wa kuyayusha vijiwe ndani ya figo na kibofu cha mkojo, huzibua njia ya mkojo kwa wale wenye tatizo la kuziba kwa mkojo pamoja na kusafisha damu na mwili kwa ujumla.

Utapata suluhisho lako bila madhara kwani ni 100% asili tupu (100% Natural) mimea ambayo imefanyiwa uchunguzi wa kina.

Hii dawa inayeyusha kabisa uvimbe wa fibroid bila madhara yoyote. K**a una ndugu au rafiki mwambie suluhisho lipo na mshirikishe kuokoa afya yake.

Kwa maoni, ushauri na tiba za matatizo mbalimbali ya kiafya k**a vile U.T.I, PID, presha, sukari, matatizo ya moyo, kuacha sigara na pombe, bangi na mirungi, kifua, pumu, vimbe mbalimbali, matatizo ya hedhi, figo, Ini, Moyo, bandama, matatizo ya mifupa, kiuno, mgongo, ganzi,, miguu, uzito mkubwa, unene, nguvu za kiume, tezi dume, vidonda vya tumbo,uzazi nk usisite kuwasiliana nasi kwa namba yetu +255755411190

Utapata dawa za aina mbalimbali kwa ajili ya maradhi tofauti, pia tuna vipodozi vya asili visivyokuwa na kemikali kwa ajili ya ngozi za aina zote ambavyo pia ni tiba ndani yake za matatatizo mbalimbali ya ngozi k**a vile chunusi, mabaka, fangasi, michiriz (stech mark) nk.

Pia tunatoa huduma ya kupiga chuku/hijama au kuumika kwa ajili ya maradhi sugu na ya kawaida.

Huduma zitakufikia popote ulipo iwe mkoani au nje ya nchi.

By; Dr. Jawadu F Mugisha ✍🏾
Huduma kwa wateja:
📞+255 626 450 141
+255 755 411 190

AFYA KWANZA HERBAL CLINIC TUNAJALI AFYA ZENU

Dawa maalum kwa ajili ya kutibu 1.Maradhi ya ngozi na muwasho 2.Kutibu fangasi ya ngozi na ndani ya mwili4.Pumu ya ngozi...
30/06/2025

Dawa maalum kwa ajili ya kutibu
1.Maradhi ya ngozi na muwasho
2.Kutibu fangasi ya ngozi na ndani ya mwili
4.Pumu ya ngozi
5.Miguu kutoa harufu
6.Kutibu Fangasi za mikononi,miguuni na majipu
7.kutibu Muwasho usoni
8.Kuondoa sumu na kemikali mwilini na tumboni
9.Kuimarisha mfumo wa seli hai nyeupe za damu (white blood cells) na kulainisha ngozi
10.Kuilinda ngozi na maradhi yote yatokanayo na mchafuko wa tumbo na damu na kutoa sumu mwilini
11.kuimarisha ngozi na kuilinda na maradhi
12.Kung'arisha ngozi
13.Hutibu Allergy aina zote
14.Huyeyusha mafuta machafu yasiyo na kazi mwilini
15.Husafisha figo na Ini
16.Hutibu Malaria sugu na taifod
17.Husafisha kibofu cha mkojo na kutibu UTI kwa haraka na kuondoa maumivu ya haja ndogo
18.Hutibu minyoo aina zote
19.Hutibu kichocho,gonorea,kaswende na kisonono kwa haraka
20.Hutibu jamii zote za ngiri
21.Hupunguza tumbo na nyama uzembe
22.Hutibu maumivu ya viungo na mifupa
23.Hutibu ganzi na miguu kuwaka Moto
24.Hutibu maumivu ya kichwa na kipanda uso
25.Huondoa uvimbe tumboni na maeneo mbali mbali ya mwili
26.Husafisha taka zote tumboni na kulainisha tumbo (Tambazi)
27.Huondoa Acid na gesi tumboni
28.Hutibu chango la akina mama,hedhi bila mpangilio na kusafisha mirija ya uzazi...........................................................................................................
Dose hii utaipata kwa gharama ya Tsh.90.000/- ambazo ni chupa 3
Chupa moja ni Tsh. 35,000/-...................................................................................................
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI
AL. FIRDAUS HERBAL AND SPIRITUAL HEALING CENTRE S.L.P 9004 DAR ES SALAAM TZ Tel: +255 679 711 190 0755 411 190

30/06/2025
Dawa maalum kwa ajili ya kutibu 1.Maradhi ya ngozi na muwasho 2.Kutibu fangasi ya ngozi na ndani ya mwili4.Pumu ya ngozi...
29/06/2025

Dawa maalum kwa ajili ya kutibu
1.Maradhi ya ngozi na muwasho
2.Kutibu fangasi ya ngozi na ndani ya mwili
4.Pumu ya ngozi
5.Miguu kutoa harufu
6.Kutibu Fangasi za mikononi,miguuni na majipu
7.kutibu Muwasho usoni
8.Kuondoa sumu na kemikali mwilini na tumboni
9.Kuimarisha mfumo wa seli hai nyeupe za damu (white blood cells) na kulainisha ngozi
10.Kuilinda ngozi na maradhi yote yatokanayo na mchafuko wa tumbo na damu na kutoa sumu mwilini
11.kuimarisha ngozi na kuilinda na maradhi
12.Kung'arisha ngozi
13.Hutibu Allergy aina zote
14.Huyeyusha mafuta machafu yasiyo na kazi mwilini
15.Husafisha figo na Ini
16.Hutibu Malaria sugu na taifod
17.Husafisha kibofu cha mkojo na kutibu UTI kwa haraka na kuondoa maumivu ya haja ndogo
18.Hutibu minyoo aina zote
19.Hutibu kichocho,gonorea,kaswende na kisonono kwa haraka
20.Hutibu jamii zote za ngiri
21.Hupunguza tumbo na nyama uzembe
22.Hutibu maumivu ya viungo na mifupa
23.Hutibu ganzi na miguu kuwaka Moto
24.Hutibu maumivu ya kichwa na kipanda uso
25.Huondoa uvimbe tumboni na maeneo mbali mbali ya mwili
26.Husafisha taka zote tumboni na kulainisha tumbo (Tambazi)
27.Huondoa Acid na gesi tumboni
28.Hutibu chango la akina mama,hedhi bila mpangilio na kusafisha mirija ya uzazi.

Dose hii utaipata kwa gharama ya Tsh.90.000/- ambazo ni chupa 3

Chupa moja ni Tsh. 40,000/-

AL. FIRDAUS HERBAL AND SPIRITUAL HEALING CENTRE S.L.P 9004 DAR ES SALAAM TZ Tel: +255 679 711 190 0755 411 190

Yoni detox pearls 🌿🌿  fahari ya mwanamke ni dawa iliyotengenezwa kwa mchanganyiko wa mimea mbalimbali, ni dawa asili isi...
28/06/2025

Yoni detox pearls 🌿🌿 fahari ya mwanamke ni dawa iliyotengenezwa kwa mchanganyiko wa mimea mbalimbali, ni dawa asili isiyokuwa na kemikali, dawa hii husaidia kutibu changamoto za akina mama k**a:-
✔️ U.T.I ZISIZOISHA.
✔️MIWASHO UKEINI (fangasi)
✔️HARUFU MBAYA INAYOTOKA UKEINI
✔️KUSAFISHA UKEI UNAOTOA UCHAFU WA MAZIWA K**A MGANDO (P.I.D sugu)
✔️INABANA KUTA ZA BIBI, KUONGEZA JOTO NA HAMU YA T. LA NDOA
✔️HEDHI ISOYO NA MPANGILIO INAYOAMBATANA NA KUUMWA TUMBO
✔️UVIMBE CHINI YA CM 3
✔️HUONGEZA JOTO KWENYE UKE
✔️HUZIBUA MIRIJA YA UZAZI
✔️UVIMBE KWENYE OVARI
✔️KUTOSHIKA MIMBA
✔️ HUTIBU CRYSTIC FIBROIDS
DAWA HII INATUMIWA NA WANAWAKE WOTE HAIJALISHI UNAUMWA AU HAUUMWI LENGO NI KUFANYA UKEI WAKO NA VIA VYA UZAZI KUWA IMARA (AFYA NJEMA)
DOZI YAKE NI VIDONGE VITANO VINAPATIKANA KWA GHALAMA YA TSH. 30,000/- TU.
TUNAPATIKANA ARUSHA NA DARESALAAM KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZ NDANI YA DAR NA MIKOANI TUNATUMA KWA UWAMINIFU MKUBWA.
WASILIANA NA DR JAWADU FIRDAUS KWA SIMU NAMBA
📞 0755 411 190 /0626 450 141
https://wa.link/yyk7zo
https://wa.link/yyk7zo

28/06/2025

Dr. Jawadu Firdaus
FAIDA ZA HIJAMA NA NAMNA INAVYOFANYWA.
Kitendo cha kuumika ni sunna ya Mtume Muhammadi ( ﷺ ) na imepokewa mara nyingi sana katika hadith zilizo sahihi. Kuumika ni kitendo kilichohimizwa na kutiliwa mkazo katika mapokezi mengi. Kuumika ni sehemu ya mfumo unaokamilisha Tiba ya kiutume ya Kiislamu.
Kuumika kulikuwa zoezi la kawaida la Mtume Muhammad ( ﷺ ) na Maswahaba zake kwa kutibu maradhi na magonjwa mengi na hata kuukinga mwili na kuboresha afya.

Maana Yake
Hijama au kuumika ni salama, isiyokuwa na madhara na njia isiyogharimu katika kutibu na kuzuia maradhi. Ijapokuwa matumizi ya Wachina katika mfumo huu matibabu yao yameengemezwa katika sehemu chache k**a matatizo ya mapafu, mafua, kutibu maradhi ya viungo vya ndani, maumivu ya viungo, nk. Uwezo wa kuumika au hijama na faida zake ni kubwa zaidi kuliko mapungufu au hasara zake.
Neno Hijama linamaanisha ‘kutoa’ kwa Kiarabu. Kwa sasa inatambulika k**a njia mbadala ya tiba ya kutibu maradhi mbali mbali na magonjwa mengine katika mwili. Matibabu ya kisayansi ya sasa pia yanakubaliana na faida mbali mbali za hijama au kuumika na hata kupendekeza matumizi yake katika maradhi mbali mbali.
Katika taratibu hizi ambazo si za kiupasuaji, sumu au damu chafu hutolewa kutoka katika mwili. Baadhi sehemu za hijama au kuumika katika mwili hutumika Katika sehemu hizo zilizochaguliwa, damu husababishwa kuwa katika sehemu hiyo alafu hunyonywa na kwa kutumia mfumo wa bomba, chupa au chombo kisichokuwa na chochote ndani yake.

Faida Zake
Kuumika ni mbinu za kale za kutoa damu chafu ambayo ilikuwa ikitumika katika nchi nyingi katika kutibu baadhi ya Marathi au magonjwa mengine ya mwili. Wakati Wachina wanaonekana kwamba wanaongoza katika matumizi ya mbinu za kutoa damu chafu kwa kutibu maradhi mbali mbali, Waarabu wamerithi k**a sunna iliyokokotezwa na Mtume Muhammad ( ﷺ ) .WAzungu ano walikuwa wanafanya hijama au kuumika katika kutibu baadhi ya maradhi. Tofauti iliyopo baina ya Waarabu au Waislamu na wengine katika kuumika au hijama ni kwamba ilifanyika kwa wazi na Waumini walipendezwa nayo sana k**a ni sunna ya Mtume Muhammad ( ﷺ ) (bila ya kuuliza chochote) na wengine wanaifanya k**a faida ya kimatibabu.

Faida ya kwanza kabisa na inayoongoza ya kuumika au hijama kwa muumin ni faida atakayoipata hapa duniani na kesho akhera, baada ya kufuata sunna iliyokokotezwa ya Mtume Muhammad ( ﷺ ). Si waumini peke yao ila kila mtu anakaribishwa kuchunguza au kupata uzoefu juu ya faida walizotunikiwa waumini kwa kufuata amri za Mwenyezi Mungu na Mtume wake ( ﷺ ) kwa upande mwingine, tunapoaangalia mbinu hizi za kutoa damu chafu kwa mtazamo wa kidunia tunagundua kwamba kuumika au hijama ina faida nyingi sana.

Inafahamika kwamba kuumika au hijama inasaidia kuongeza nguvu katika damu. Inaondoa sumu na uchafu katika damu.Inaharakisha uponyaji wa haraka na watu hupona maradhi haraka baada ya kuumika au hijama. Kuumika au Hijama inafahamika kwa kuzuia maradhi na kwa hiyo inaweza kusadikika k**a inaongoza katika ukingaji wa maradhi mengi. Zaidi ya hayo, pia ianfahamika kwamba kuumika au hijama inaweza kuwasaidia wale watu ambao wamekumbwa na uchawi au wamepatwa na Jini.

Kuumika au hijama haina madhara k**a itatekelezwa vizuri. Ni vizuri ukafahamu kwamba asilimia 70 ya maradhi au magonjwa yoyotehutokana kushindwa kwa damu kuzunguka vizuri katika mwili. Ziadi ya hilo huwa tuna kuwa wagonjwa au viungo vyetu kushindwa kufanya kazi wakati damu yetu inayozunguka mwilini imeajaa sumu na uchafu mwingine. Bila ya kuondoa sumu katika miili yetu au kutoka kwenye damu, si tu kwamba hatutapona haraaka kutokana na maradhi yanayotusumbua ila pia tunakaribisha maradhi mengine au magonjwa. Kuumika au hijama ndiyo njia sahihi ya kuondoa sumu kutoka mishipa ya damu, na matokeo yake bila ya shaka yatakusababishia kuwa na afya nzuri na mwili unaofanya kazi vizuri. Tusisahau kwamba njia hii nzuri na yenye kusaidia imependekezwa na sunna ya Mtume Muhammad ( ﷺ ) inatusaidia kujikingana maradhi mengi na maambukizi k**a shinikizo la damu, magonjwa yanayotokana na mzunguko wa damu, maumivu, ugumba na utasa, kansa nk

Umuhimu wa Kuumika au Hijama kutokana na muongozo wa Wahyi.
Kuliko kuweka maneno zaidi katika kutaja sifa na ubora wa kuumika, ni vizuri tukaziangalia hadith zifuatazo ambazo zinatosheleza kuelezea faida na umuhimu wa Kuumika au Hijama.
“Kwa kweli kwenye Kuumika au hijama kuna dawa.” – Sahihi Muslim
“kwa kweli, tiba ilyo bora mliyonayo ni kuumika au hijama.” – Sahihi Bukhari
“Kuumika ni njia bora zaidi kwa wanadamu katika kujitibu.” ”.– Sahihi Bukhari na Sahihi Muslim
Umuhimu wa Kuumika katika muongozo wa kiroho unaweza kusisitizwa kwa maneno yafuatayo ambayo aliambiwa Mtume Muhammad ( ﷺ ) katika usiku wa Israa na malaika: “Ewe Muhammad, waamrisha umma wako kuhusu kuumika.” – Sahihi Muslim, Sunan Tirmidh

Mtume Muhammad ( ﷺ ) inasemakana alihumikwa katika kichwa chake kutokana na kuumwa kipandauso (Bukhari), katika kidole chake cha mguu kutokana na kutenguka (Ibn Majah) katika shingo yake (Abu Daud), katika nyonga kutokana na maumivu ya nyonga (Abu Daud) na mabega kwa ajili ya kutoa sumu (Ahmed).

Abdullah ibn Abbas (Mwenyezi Mungu awe radhi nae) amesimulia kwamba Mtume ( ﷺ ) amesema: “sikumpita malaika yoyote katika safari yangu ya usiku isipokuwa aliniambia: kilicho bora ni Kuumika, Ewe Muhammad.” (Sahihi Bukhari, Sunan Ibn Majah)

“Dawa iliyobora ambayo unaweza kujitibia ni kuumika, au ni miongoni mwa dawa bora kabisa au Dawa unaweza kuitumia ni kuumika.”(Sahihi Bukhari:5371)

“Kuumika ni taratibu iliyo namanufaa zaidi kwa wanadamu kwa ajili ya kujitibu.” (Sahihi Bukharin a Muslim)

Abu Huraira (Mwenyezi Mungu awe radhi nae) amesimulia kwamba Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ( ﷺ ) amesema:”K**a kungekuwa na kitu bora kinachoweza kutumika k**a dawa basi ni kuumika.” *Sunan Abu Dawud, Sunan Ibn Majah)
©
Dr. Jawadu Firdaus
Ruqya & Hijama Center
Daressalaam & Nairobi Kenya
+255755411190 tz🇹🇿
+254711297430 🇰🇪

23/06/2025

Yoni detox pearls 🌿🌿 fahari ya mwanamke ni dawa iliyotengenezwa kwa mchanganyiko wa mimea mbalimbali, ni dawa asili isiyokuwa na kemikali, dawa hii husaidia kutibu changamoto za akina mama k**a:-

✔️ U.T.I ZISIZOISHA.

✔️MIWASHO UKEINI (fangasi)

✔️HARUFU MBAYA INAYOTOKA UKEINI

✔️KUSAFISHA UKEI UNAOTOA UCHAFU WA MAZIWA K**A MGANDO (P.I.D sugu)

✔️INABANA KUTA ZA BIBI, KUONGEZA JOTO NA HAMU YA T. LA NDOA

✔️HEDHI ISOYO NA MPANGILIO INAYOAMBATANA NA KUUMWA TUMBO

✔️UVIMBE CHINI YA CM 3

✔️HUONGEZA JOTO KWENYE UKE

✔️HUZIBUA MIRIJA YA UZAZI

✔️UVIMBE KWENYE OVARI

✔️KUTOSHIKA MIMBA

✔️ HUTIBU CRYSTIC FIBROIDS
DAWA HII INATUMIWA NA WANAWAKE WOTE HAIJALISHI UNAUMWA AU HAUUMWI LENGO NI KUFANYA UKEI WAKO NA VIA VYA UZAZI KUWA IMARA (AFYA NJEMA)

DOZI YAKE NI VIDONGE VITANO VINAPATIKANA KWA GHALAMA YA TSH. 30,000/- TU.

TUNAPATIKANA ARUSHA NA DARESALAAM KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZ NDANI YA DAR NA MIKOANI TUNATUMA KWA UWAMINIFU MKUBWA.

WASILIANA NA DR JAWADU FIRDAUS KWA SIMU NAMBA
📞 0755 411 190 /0626 450 141

NI WA WATAALAMU NA WATAFITI WA MITISHAMBA

TUPO DARESALAAM KARIAKOO MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI STAND YA MABIBO

WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0755 411 190 /0679 711 190

MATATIZO YA URIC ACID MWILINI NA TIBA YAKEMwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinawe...
23/06/2025

MATATIZO YA URIC ACID MWILINI NA TIBA YAKE

Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo husika.

Ili mwili uweze kufanya kazi vizuri na kusitokee na tatizo lolote, haina budi kila kemikali ya asilia iliyopo mwilini iwe katika kiwango ambacho ni stahiki.

Miongoni mwa kemikali asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu ni hii ijulikanayo kwa jina la kitaalamu la “Uric Acid”.

Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya “Purine” ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a “Uric Acid”.

Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.

Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.

Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a “Gout”.

Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.

Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).

Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kuenenda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.

Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha “Purine” ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo vya kuepuka ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.

Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi la limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).

Aidha, sambamba na ulaji wa vyakula hivyo kwa mtu ambaye tayari analo tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini (Baada ya vipimo vya kitaalamu), inashauriwa kutumia dawa ambazo hupunguza kuzalishwa kwa uric acid mwilini lakini pia kusaidia katika kuondoa maudhi na maumivu makali ambayo mtu huyapata katika jointi. Moja na dawa ambazo zimekuwa zikitumika katika tatizo hili ni dawa aina ya GOUT KILLER ikichanganywa na dawa zingine ambazo tunazo sisi AFYA KWANZA tatizo hili linapona kabisa na viungo urudi katika hali yake na maumivu hutoweka kabisa.

Ili miili yetu iweze kuendelea kufanya kazi vizuri, inashauriwa kufanya chunguzi za kitaalamu ili kuweza kubaini mapungufu yaliyopo mapema na hatimaye kuepukana nayo kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya

Gharama za matibabu ni Tsh 160,000/- dose

Kwa mahitaji ya tiba ya uric acid wasiliana na
Dr. Jawadu F Mugisha ✍🏿
📲 +255 679 711 190
📞+255 679 711 190
⁨+255 755 411 190⁩

03/02/2025
08/07/2024

HONEYMOON COFFEE ☕️ Imekuwa msaada mkubwa kwa wanavme wengi wenye shida ya kumaliza haraka tendo la ndoa na kushindwa kurudia,

Inasaidia afya ya uzazi kwa wanavme;
1. Kuweka mishipa na misvli ya uvme imara iliyoathirika na pvnyeto (mastabeshen) vyakula vya kisasa (Artificial foods) msongo wa mawazo (stress) na magonjwa k**a tezi dvme, presha na kisvkari, n.k

2. Kuboresha msukumo wa damu kwenye mfumo wa moyo, figo, na mishipa ya vvme.

3. kuweka sawa kiwango cha mbegv (s***m count)

4. Kurvdia tendo mara nyingi utakavyo

5. Kvmvdu tendo kwa muda mrefu bila kuchoka.

6. Kuongeza hamv ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanavme

7. Inarekebisha hormone imbalance na hasa homoni ya testosterone kuwa Katika Uwiano mzuri
N.B tiba hii niyakudumu sio chungu wala kali.
Box moja ni 50,000/- ambayo hutumika ndani ya siku 15 na matokeo yake huanza kuonekana ndani ya masaa sita. Dose kamili unatakiwa kutumia Box mbili kwa muda wa siku 30 ijaribu leo upate matokeo ya uhakika.

Mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia
+255 679 711 190 /0755411190 📞
By; Dr Jawadu F Mugisha ✍🏿
AFYA KWANZA HERBAL CLINIC TUPO KWAAJILI YAKO

Address

Mafia Street & Nyamwezi Street
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Kwanza Herbal Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Kwanza Herbal Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram