Jacob Ghump

Jacob Ghump We fight, we fix, we stay! Time the time before time to time you.

*SI KILA MEZA UNATAKIWA KUKAA.*  _Kuna meza unakaa, wanakudharau._  _Kuna meza unakaa, wanakutumia tu._  Kuna meza unaka...
15/04/2025

*SI KILA MEZA UNATAKIWA KUKAA.*
_Kuna meza unakaa, wanakudharau._

_Kuna meza unakaa, wanakutumia tu._

Kuna meza unakaa, unajikuta wewe ndo unatafuta “approval” kila dakika.

Hey, meza zingine si zako na si vibaya kuondoka.
SI KILA MEZA UNATAKIWA KUKAA.
Kuna meza unakaa, wanakudharau.

Kuna meza unakaa, wanakutumia tu.

Kuna meza unakaa, unajikuta wewe ndo unatafuta “approval” kila dakika

Hey, meza zingine si zako na si vibaya kuondoka.

Watu wengi wanajikuta wamejaa rohoni, lakini wamefilisika kiuzoefu. Wanatolewa roho polepole kwenye *“Friendship” na mahusiano ya kuonewa. Na bado wanakaa tu, kwa sababu hawataki kuonekana “Wamefail.”

Lakini hebu jiulize K**a meza haina heshima, haina nafasi ya ndoto zako, na inakula utu wako ni kweli bado unataka uketi hapo?

Sio kila rejection ni hasara.Wengine wakikuacha, ni Mungu anakutenganisha na vitu visivyo "match frequency yako.

Ukiendelea kung'ang'ania penzi linalokuumiza,
Utaacha kulipenda jambo linalokuponya.
Ukiendelea kupambana kuwa karibu na watu wanaokuchoma, Utawatenga wale wanaotaka kukujenga.

Usiogope kuondoka meza isiyo yako. Labda kuna meza bora imeandaliwa Kwa ajili Yako, Ila huwezi kuiona k**a ukiendelea kukaa chini ya miguu ya watu.

Jitambue kabla haujatumiwa.

Wapo watu wanakaa karibu na wewe,siyo kwa sababu wanakupenda,bali kwa sababu unawasaidia kutimiza ndoto maslahi yao bina...
14/04/2025

Wapo watu wanakaa karibu na wewe,
siyo kwa sababu wanakupenda,
bali kwa sababu unawasaidia kutimiza ndoto maslahi yao binafsi.

Ukidrop biashara, wanakutafuta.
Ukifanya vizuri, wanakutag.
Ukipata hela, wanapiga simu kila siku. Lakini ukizimia kidogo tu, mtaa unakuwa kimya k**a upo kaburini hivi.

Hawa si marafiki ni mashirika ya muda mfupi.

Wanakuhitaji kwa sababu upo na kitu,
sio kwa sababu wewe ni nani.
Wanashika bega lako mbele ya watu, lakini wakikusikia. umetetereka, wanaanza kusema,
*"Huyu nilijua tu ataanguka tu."*

Bro, safisha circle yako.
Marafiki wa kweli hawatengemei hali yako, wanapenda utu wako.
Wanafurahi ukiinuka, na wanakusindikiza ukianguka.

Usihesabu marafiki kwa likes, mentions au mialiko.
Wahesabu kwa machozi waliofuta, na migongo waliyokulinda nayo.

interest ina mwisho, lakini upendo wa kweli ni wa mtaa hadi kaburini

Zingatia...
07/04/2025

Zingatia...

We're all deserve someone who can say, "Don't worry,  we gonna fix this"
07/04/2025

We're all deserve someone who can say, "Don't worry, we gonna fix this"

05/04/2025
Never allow  broke 💔
05/04/2025

Never allow broke 💔

Nyie wanetu ambao baada ya zile breakup zenu, mlisimana kwa haraka sana..Mliachana na wale mliowaambia milele ndio pumzi...
05/04/2025

Nyie wanetu ambao baada ya zile breakup zenu, mlisimana kwa haraka sana..

Mliachana na wale mliowaambia milele ndio pumziko lenu..

Lakini haikupita muda, mkawa sawa, kabla hatujasahau tarehe yenu ya kutengana..

Wambea tukiwa bado tunajadili meseji zenu za usaliti, nyie mshapona makovu yenu..

Hebu tusaidieni kumwambia yule msela, ambae hadi sasa bado kajifungia ndani..

Anasema akitoka nje anaiona hadharani, taswira ya yule aliemkataa kwa aibu..

Tumwambie yule Dada aliekaribia kujitoa uhai, bila khofu wala mashaka...

Anasema hana sababu ya kuendelea kuishi, wakati anajiona hana bahati upande wa mapenzi...

Nyie mliopenda jana, mkaumizwa leo na kupona kesho, hebu toeni mbinu hizo, ziokoe wengine..

Binadamu kusaidiana..

UJUMBE KWA WANAWAKE (HAPPY WOMEN'S DAY)I. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele W...
09/03/2025

UJUMBE KWA WANAWAKE (HAPPY WOMEN'S DAY)

I. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!

II. Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe.

III. Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha.

IV. Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu.

V. Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo Tendo la ndoa ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la Tendo la ndoa.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jacob Ghump posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jacob Ghump:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Practice
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share