Jiuguze Nyumbani

Jiuguze Nyumbani NINA WASAIDIA WA TANZANIA KUONDOA MAUMIVU YA MIFUPA NA MAUNGIO...

kwa kutumia program lishe tu

{DARASA WHATSAPP BURE}Jinsi ya kuondoa maumivu ya mifupa na maungio bila kufanyiwa upasuaji.Naitwa [  Alfan]Nawasaidia w...
21/07/2023

{DARASA WHATSAPP BURE}

Jinsi ya kuondoa maumivu ya mifupa na maungio bila kufanyiwa upasuaji.

Naitwa [ Alfan]
Nawasaidia watu k**a wewe wenye changamoto za maumivu ya mifupa na maungio...

[arthritis], kuondokana na tatizo hilo bila kufanyiwa upasuaji.

K**a wewe ni mtu unahangaika na tatizo la maumivu ya mifupa na maungio kwa muda mrefu.

Basi nina habari njema sana kwako leo.

Nimekuandalia MAFUNZO ya BURE yatakayo kusaidia kutatua au kuondokana na maumivu ya mifupa na maungio ...

Ndani ya Darasa / program hii nitakufundisha ya kutokomeza maumivu ya mifupa na maungio kwakutumia formula ya ajabu ya 7 ndani ya siku (7-30)

Nimekuja kugundua kwamba watu wengi wenye tatizo k**a hili huwa:

1.Wanapata changamoto ya kulika & kusagika kwa pingili za mgongo.

2. kupishana kwa pingili za mgongo.

3. kupungukiwa na Ute laini (gegedu) katika magoti

4. Ganzi au miguu kuwaka moto & vichomi katika unyayo .

5.Misuli kushika au kukaza mara kwa mara

Hivyo basi...

Nimekuandalia MAFUNZO ya BURE kwa njia ya Whatsapp group

litakalo kusaidia kuondokana na maumivu hayo ndani ya siku 7 tu!

Kujiunga na program hii nitumie neno [JIUGUZE NYUMBANI ]. kabla group halija jaa⤵️⤵️⤵️

Tuma kwenye Whatsapp number 0679893957

Au bonyeza neno send message hapo juu

KARIBUNI WOTE

Ni mimi mwenye kujali Afya yako

BY__________Mr Suleman_*🤝

Ps: Darasa likijaa hatutaruhusu mtu mwengine kujiunga

Jiunge ndani ya masaa 24 kwanzia sasa hivi

usihangaike tena kuhusu ganzi wasiliana nasi 0679893957
26/05/2023

usihangaike tena kuhusu ganzi

wasiliana nasi 0679893957

16/05/2023
26/06/2021

*MAGONJWA YA MOYO – AINA, CHANZO, DALILI, TIBA*

Magonjwa ya Moyo ni magonjwa yanayoambatana na kuathiri moyo. Mara nyingi magonjwa ya moyo yanaambatana na mishipa ya damu kuwa na tatizo ambapo moyo hushindwa kufanya kazi, moyo hutegemea damu ambayo hubeba oxygen, madini, vitamins, kinga ya mwili, joto, homoni na vingine vingi.
Kwa mwaka 2015 pekee zaidi ya watu milioni 17.7 walifariki kutokana na magonjwa ya moyo na mfumo wa damu. Hii ni sawa na theluthi ya vifo vyote duniani. Zaidi ya theluthi ya vifo vyote vinavyotokana na ugonjwa wa moyo na mishipa ya damu hutokea ndani ya nchi zenye uchumi wa chini na uchumi wa kati

*Aina Za Magonjwa Ya Moyo*
Zipo aina mbalimbali za magonjwa ya moyo ambayo hutofautiana, japo yote huathiri moyo, nayo ni;

1. *Ugonjwa wa moyo unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu (Coronary artery disease)*
Hili ni tatizo linalowakuta watu wengi, mishipa ya damu hupasuka na kuharibika.
Hali hii hutokana na mishipa ya damu kuwa na uchafu na mafuta mengi na kufanya damu isipite vizuri

2. *Mapigo ya moyo kwenda tofauti (Heart Arrhythmias)*
Hii hutokea pale mapigo ya moyo kwenda taratibu isivyo kawaida au kwenda haraka isivyo kawaida, pia mapigo ya moyo kwenda ovyo. Hii ni hatari sana na huua sana

3. *Moyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure)*
Hii ni hali ya moyo kushindwa kufanya kazi yake k**a kupampu na kusambaza damu, kusambaza oxygen.
Hii inaweza kutokea kwa mtu mwenye magonjwa k**a ugonjwa wa moyo wa mishipa kuathirika, Shinikizo la damu, na magonjwa mengine.

4. *Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa (Congenital heart disease)*
Haya ni magonjwa ambayo wengi huzaliwa nayo, yanaweza kuwa ni baadhi ya kasoro katika mwili k**a baadhi ya chemba za moyo kuziba au kupasuka, oxygen kupita kwa shida na vinginevyo.

5. *Ugonjwa wa valvu na misuli ya moyo (Heart Valve Disease & Cardiomyopathy (Heart Muscle Disease))*
Katika moyo kuna chemba nne nazo zinapitisha damu na oxygen kutoka kwenye mapafu, valvu hufunguka na kufunga. Valvu na misuli ikiwa imepasuka na kuharibika husababisha tatizo la moyo.

6. *Moyo kutanuka*
Hii hutokea pale damu ikiingia ndani ya moyo harafu mishipa ya kutoa damu ikiwa na tatizo ikashindwa kutoa damu nje ya moyo moyo utaanza kutanuka siku hadi siku. Kutanuka kwa moyo kunatokea usipotibu baadhi ya matatizo k**a shinikizo la damu, moyo kwenda mbio, valvu na misuli ya moyo n.k.

7. *Shinikizo la damu (B.P)*
Hili ni shinikizo la damu yako kwenye kuta za mishipa yako kwani moyo wako unasukuma damu karibu na mwili wako.
Unaweza kuwa na shinikizo la damu (shinikizo la damu) kwa miaka bila dalili yoyote.

8. *Mshtuko/ Shambulio la moyo (Heart Attack)*
Ni kifo cha sehemu ya misuli ya moyo inayosababishwa na kuzuiwa kwa usambazaji wa damu. Amana zilizo na mafuta huunda kwa wakati, na kutengeneza alama katika mishipa ya moyo wako.
Ikiwa baadhi ya misuli ya moyo inakufa, mtu hupata maumivu ya kifua na kukosekana kwa umeme kwa tishu za misuli ya moyo.

9. *Chembe ya Moyo*
Hii ni maumivu ya upande wa moyo maeneo ya kifua ambayo hutokea wakati unafanya kazi au hata k**a umekaa k**a ni yenye kukubuhu.
Maumivu haya huambatana na kutokwa jasho na kukosa hewa. Hutokana na moyo kukosa damu ya kutosha.

*Chanzo Cha Magonjwa Ya Moyo*
Magonjwa ya moyo hutokea pale ambapo moyo huathiriwa na kuharibiwa kwa vitendea kazi vyake.
Kuna mitindo mbalimbali ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata magonjwa ya moyo,nayo ni pamoja na;

✍🏻Kuwa na halemu (Cholesterol)
✍🏻 Shinikizo la damu (B.P)
✍🏻Kuvuta sigala
✍🏻Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍🏻Kisukari
✍🏻Kukaa sehemu kwa mda mrefu bila kuufanyisha kazi mwili
✍🏻Umri
✍🏻Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍🏻Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍🏻Historia magonjwa yanayoambatana na moyo katika familia

*Dalili za Ugonjwa Wa Moyo*
Mara nyingi dalili hujionesha wakati mtu kakaa na ugonjwa kwa mda mrefu kidogo, ila kuna zingine zinatangulia na mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia. Uonapo baadhi ya dalili fanya mawasiliano haraka usaidiwe

✍🏻Moyo kwenda mbio (Moyo kudunda kwa nguvu isivyo kawaida )
✍🏻Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata kwenye shughuri ndogo
✍🏻Maumivu ya kifua hasa yanayotembea mpaka kwenye mabega, shingo au taya
✍🏻Kushindwa kulala vizuri hasa kushtuka usingizini kuhisi k**a unakabwa na kukosa pumzi
✍🏻Tumbo kujaa, kichefuchefu na kutapika
✍🏻Kukosa pumzi au kushindwa kupumua vizuri hasa unapolala
✍🏻Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

*Hatua za kuchukua ili Kujikinga dhidi ya Magonjwa ya Moyo*

✍🏻Fanya mazoezi angalau dakika 30 kwa siku
✍🏻Usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍🏻Usitumie chumvi mbichi au chumvi nyingi
✍🏻Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)
✍🏻Balansi uzito wako
✍🏻Usivute sigara
✍🏻Punguza au acha kunywa pombe
✍🏻Punguza mawazo
✍🏻Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
✍🏻Lala vizuri kwa muda mzuri angalau masaa 7 hadi 9

*Tiba Ya Magonjwa Ya Moyo*
Magonjwa ya moyo yanatibika kwa hali tofauti, pia kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakikata tamaa na kuwa wabishi, hii hufanya wengi kufa kutokana na kuto kuwa makini na kile tunacho waeleza.
Tuna matibabu ya kutibu kabisa magonjwa ya moyo ambayo ni ya asili yasiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa.
Matibabu hayo hutibu kulingana na mda wa tatizo husika.

Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau.

*Kumbuka tiba ya kwanza ni Uamzi wako ambao ndio kupona kwako*

Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi kupitia 0789047530

22/06/2021

**** KWANINI U.T.I INAKUA SUGU? JIFUNZE ZAIDI KUHUSU CHANGAMOTO HII....

LIFAHAMU TATIZO LA U.T.I.
DALILI ZAKE NA JINSI YA U.T.I SUGU

U.T.I. (yaani Urinary Tract Infection kwa kirefu) ni ugonjwa unaotokana na
wa maambukizi (infection) katika mfumo wa mkojo (urinary tract). Maambukizi haya yanasababishwa na
viumbe k**a bakteria, fangasi na virus. bacteria.

Mara nyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na
mwili wenyewe. Lakini wakati mwingine bakteria wanaweza kuzidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

U.T.I. inaweza kuathiri vitu vifuatavyo: ureta, urethra, kibofu cha
mkojo na hata figo.

TUANGALIE KIDOGO MFUMO WA MKOJO:

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili
unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada kupitia njia ya mkojo. Mfumo huu unaundwa na vitu vifuatavyo: figo, ureta, kibofu na urethra.
(Kwa sasa sitachambaua kwa undani hizi sehemu ili kutorefusha sana mada. Ila ukitazama picha hapo chini utaona jinsi hivi vitu vilivyo na namna vilivyo connected.)

KISABABISHI CHA U.T.I.

Mara U.T.I. inasababishwa na
bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli). Yaani 65% ya maambukizi yote ya U.T.I. hutokana na huyu bakteria. U.T.I. nyingine zinaweza kusababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na U.T.I. hizi zinaathiri hadi mfumo wa uzazi na hapo wanandoa hupaswa kupata tiba kwa pamoja.

KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA
WAKUBWA?

Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje.

1.Urethra (mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana ukilinganisha na kwa wanaume. Hivyo ni rahisi kwa urethra ya mwanamke kuruhusu bakteria kufika kwa haraka hata kwenye kibofu.

2. Pia mrija huo unafungukia sehemu
ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni re**um.
Kwa wanaume ni vigumu sana kupata U.T.I. ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake.

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA U.T.I.

# Watu wasiojua au wasiozingatia namna sahihi na bora y

21/06/2021

*MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA.*

Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa.

Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha yetu.

Yafuatayo ni mambo yanayofanywa na mwili ambayo ni kati ya hiyo mifumo ya ulinzi wa mwili wa binadamu.

1. KUPIGA MIAYO (YAWNING)
Lengo kubwa la kupiga muayo ni kuupoza ubongo baada ya joto kuzidi kwenye ubongo au baada ya ubongo kuchoka kufanya kazi.

Vile vile k**a ukiwa umechoka au una njaa husabababisha oxygen kupungua kwenye damu na kwenye mapafu, hii hupelekea tatizo la kupumua, hivyo kupiga miayo husaidia kuingiza oxygen ya ziada mwilini ili irudishe mwili katika hali yake ya kawaida.

2. KUPIGA CHAFYA (SNEEZING)
Mara nyingi tunapiga chafya pale pua zetu zinapokua zimejaa bakteria wa magonjwa ambao hawahitajiki mwilini, Vumbi pamoja na takataka mbali mbali zilizoingia kupitia pua.

Hivyo kupiga chafya ni kitenda cha mwili kujisafisha kwa kuyatoa hayo matakataka nje yaliyoingia mwilini.

3. KUJINYOOSHA (STRETCHING)
Kuninyoosha mwili ni kitendo kisicho cha hiari ambacho lengo lake ni kuuandaa mwili kwa ajili ya kazi mbalimbali za kutumia nguvu utakazokabiliana nazo kwa siku nzima. Lakini pia kujinyoosha kunaipa misuli ya mwili mazoezi na kuiweka sawa vilevile kunarudisha mzunguko wa damu katika hali yake ya kawaida na kumtoa mtu katika uchovu.

4. KWIKWI (HICCUPING)
Najua umewahi kupata kwikwi, na mara nyingi mara baada ya kumaliza kula chakula. Je umeshawahi kujiuliza ile sauti ya ajabu ya kwikwi inasababishwa na nini au kwa sabababu gani watu hushikwa na kwikwi?

Hiyo yote husababishwa na DIAPHRAGM (tamka DAYA - FRAM) kiungo kinachopatikana ndani ya mwili wa binadamu chini kabisa ya kifua baada ya mapafu(lungs). Kazi kubwa ya diaphragm ni kusaidia katika upumuaji, (inhale) na (exhale). Pale unapoingiza hewa ndani (inhale) diaphragm hushuka chini ili kusaidia kuivuta hewa ifike kwenye mapafu. Na unapotoa hewa nje (exhale) diaphragm hutulia kwa kubakia sehem yake ili kuwezesha hewa chafu kutoka nje kupitia pua na mdomo.

Sasa basi, kuna wakati diaphragm kubugudhiwa na kuisababisha kushuka chini kwa kasi sana jambo linalosababisha wewe kuvuta hewa (inhale) kwa kasi isiyo ya kawaida kupitia koromeo la sauti, hewa ikifika kwenye box la sauti (larynx), sehem hiyo hujifunga kwa haraka sana ili kuzuia hewa isipite huko na ndipo KWIKWI hutokea.

Mambo mengine yanayoweza kuibugudhi diaphragm na kuisababisha kufanya kazi vibaya mpaka kupelekea kwikwi ni kitendo cha kula haraka haraka au kuvimbewa.

5. KUJIKUNJA KWA NGOZI YA VIDOLE VYA MIKONO BAADA YA KULOWA AU KUKAA MUDA MREFU KWENYE MAJI.
Je umewahi shuhudia jinsi ngozi ya vidole vyako inavyojikunja baada ya kufua nguo muda mrefu au kushika maji muda mrefu? Unajua ni kwa sababu gani ngozi hujikunja k**a ya mtu aliyezeeka angali yu kijana mara baada ya kukaa sana kwenye maji?

Watu wengi kabla walizani kwamba kujikunja kwa ngozi hiyo hutokana na maji kuingia kwenye ngozi na hivyo ngozi hujikunja baada ya kulowa.

Lakini wanasayansi baada ya kufanya utafiti kwa muda merefu juu ya nini hasa hupelekea ngozi kujikunja? Walisema HAPANA si kwa sababu ya ngozi kulowana. Na walikuja na majibu haya.

Mwili unapokutana na majimaji mara moja hupeleka taarifa na kutafsiri kwamba mazingira hayo yana UTELEZI (Slippery) hivyo kutasababisha mikono kushindwa kushika (Grip) au kuk**ata vitu kwa urahisi kutokana na utelezi huo. Hapo mwili huchukua hatua ya haraka kuikunja ngozi ya mikono yako ili kurahisisha ushikaji wa vitu vinavyoteleza ndani ya maji pamoja na kutembea kwenye utelezi.

6. VIPELE VIPELE VYA BARIDI KWENYE NGOZI (GOOSEBUMPS)
Kazi kubwa ya vipele hivi ni kupunguza kiasi cha joto la mwili linalopotea kupitia matundu ya ngozi. Hivyo kwa kufanya hivi humfanya binadamu kutunza joto la mwili hata katika mazingira ambayo hali yake ya hewa si rafiki kwa mwili wa mwanadamu au ni yenye baridi sana.

7. MACHOZI (TEARS)
Zaidi ya kuwa majimaji (MUCOUS MEMBRANE ) yanayopatikana kwenye Macho ambayo kazi zake ni kulilinda jicho dhidi ya kitu chochote kigeni kinachoingia jichoni (mfano unapokata vitunguu au mdudu anapoingia jichoni huwa unatoa machozi mengi eeeh!! Pia dhidi ya upepo na moshi) na pia hutumika k**a kilainishi cha jicho pale linapokuwa linazunguka zunguka (blink).

Vilevile machozi yana kazi ya kupunguza HISIA ZA HUDHUNI zinazozalishwa mwilini. Wanasayansi wanaamini kuwa mtu anapokua mwenye msongo wa mawazo (stress) mwili hutengeneza kitu kipya ili kwenda kubugudhi na kuharibu maumivu yote ambayo mtu anajisikia. Hivyo machozi yanayozalishwa hapa huwa na kemikali na yanafahamika k**a NATURAL PAINKILLER. Machozi haya ni tofauti na machozi ya kawaida, lengo lake hasa la kuzalishwa ni kwa ajili ya kuondoa kabisa maumivu yaliyozalishwa mwilini

Hivyo mpaka hapa tumeona kua kuna machozi ya aina tatu ambayo ni
i. Basal tears (vilainishi)
ii. Reflex tears (mlinzi)
iii. Emotion tears (mtuliza maumivu)

8. KUSHTUKA USINGIZINI (MYOCLONIC JERKS or HYPNIC JERK).
Je! Ushawahi kutokewa na hali hii? umelala halafu ghafla unashtuka usingizini kwa mguvu nyingi k**a umepigwa na shoti ya umeme na akili inakurudi ghafla huku mapigo ya moyo yakikuenda mbio? Na hali hii ikakutokea pasipo hata kuota ndoto yoyote?

Basi usiogope au kuwasingizia watu uchawi, hii ni hali ya sayansi ya mwili.na ni njia moja wapo katika ile mifumo ya mwili kujilinda.

Je hutokeaje?

Hii ni hali ya ajabu sana isiyofanywa kwa hiari ambayo huwatokea watu mara tu wamejinyoosha kitandani na kupitiwa na usingizi, mwili hutetemeshwa na kusukumwa kwa nguvu na mtu hushtuka katika hali k**a vile kapigwa na shoti ya umeme. Hali hii inaweza kupelekea mtu hata kuanguka kitandani na humwamsha mara moja kutoka usingizini.

Wanasayansi wanatuambia kua, pale tu unapopata usingizi kiwango cha upumuaji kinashuka ghafla, mapigo ya moyo nayo taratibu yanapungua, misuli inatulia kwa ku-relax, Kitu cha AJABU hapa ubongo unatafsiri hali hii k**a ni DALILI ZA KIFO (brain's misinterpretation of muscle relaxation), hivyo huchukua hatua za haraka za kuushtua mwili kwa kuutetemesha au kuuskuma kwa nguvu, hali ambayo humfanya mtu kuamka kutoka usingizini kwa KURUKA kitu ambacho ni hali isiyo ya kawaida.

Hali hii ikimtokea mtu huambatana na kuongezeka kwa mapigo ya moyo (rapid heartbeat), kuhema haraka haraka, na wakati mwingine mtu hutokwa na jasho jingi.

Wakati mwingine mtu huamka ametoa macho na k**a ukimwangalia, nae huishia hukuangalia tu huku akikosa la kukujibu endapo utamuuliza vipi kuna tatizo gani?

MWILI WAKO NI ZAIDI YA UNAVYOUJUA. JAMBO LA MSINGI NI KUONDOA HOFU KWANI MWILI WAKO UNAJUA NINI UFANYE NA WAKATI GANI ILI KUKULINDA USIKU NA MCHANA KATIKA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO.

Ikumbukwe haya yote yanatokea ikiwa mfumo wako wa Neva uko vizuri, ili kusafirisha mawasiliano kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.
Cha kuzingatia pia ufanisi na ulinganifu wa homoni unahusika kwa kiwango kikubwa
Ahsante sana

21/06/2021

☆HABARI☆
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani inaongoza kwa kusababisha vifo vya wanawake wengi duniani. asilimia 85 ya vifo hivi hutokea katika nchi zinazoendelea.Tanzania, wastani wa wanawake 6,241 huugua saratani hii, ambapo 4,355 kati yao hufa, ripoti ya shirika la afya duniani (W.H.O) ya mwaka 2015

Saratani ya shingo ya kizazi ndio saratani ya kwanza kwa wanawake nchini Tanzania, na Saratani namba moja kwa wanawake walio kati ya umri wa miaka 15 hadi

VIHATARISHI VYA SHINGO YA KIZAZI
☆Kuanza kufanya ngono mapema(umri mdogo)
☆Uvutaji sigara
☆Utumiaji wa njia za Uzazi Wa mpango kwa muda mrefu.
☆Lishe duni au utapia,
Kuzaa watoto wengi.
☆Umri mkubwa.
☆Uasili wa mtu – Saratani ya shingo ya kizazi huonekana sana kwa watu weusi kuliko watu weupe.
☆Upungufu wa kinga mwilini – Magonjwa yanayosababisha mfano ukimwi
☆ Hata baadhi ya dawa pia husababisha upungufu wa kinga mwilini, mfano ukimwi
☆Historia ya saratani ya shingo ya kizazi katika familia.
☆Kutokwa na damu katika tupu ya mwanamke (va**na) ambayo sio ya kawaida. Damu hii inaweza kuwa baada ya hedhi kabla ya hedhi.

DALILI YA SARATANI
-vimbe sehemu za mapajani,kwapani,na kwenye matiti na majimaji kutoka sehemu izo
-Kupungua kwa hamu ya kula
-Kupungua uzito
-Kuhisi uchovu
-Maumivu ya nyonga
-Maumivu kwenye mgongo
-Maumivu ya mguu
-Mguu mmoja kuvimba
Kutokwa na damu nyingi kwenye tupu ya mwanamke
-Kuvunjika mifupa (bone fractures)
-Kutokwa na mkojo au kinyesi kwenye tupu ya mbele ya mwanamke

MADHARA YA UPASUAJI NA MIONZI PAMOJA NA KEMIKALI ZA KUUA SHINGO YA KIZAZI

●Hii inahusisha kuondoa mfuko wa kizazi (uterus) kupitia sehemu ya tumboni
●ugumba
●kuvuja damu
●kupata madhara sehemu ya haja ndogo au utumbo na maambukizi kwenye kidonda
● karaha na maumivu wakati wa kujamiana.
Pelvic exenteration
●Huhusisha uondoaji wa kibofu cha mkojo
●uke, puru (re**um) na sehemu ya utumbo mpana (colon)

Upasuaji saratani ya shingo ya kizazi hujirudia baada ya upasuaji wa kwanza lakini katika clinic yetu tunatibu saratani ya kizazi bila upasuaji bila mionzi ni kwa tiba lishe pekee na wengi wamepona akiwemo shangazi yangu alieteseka kwa mda mrefu sanaa
Mawasiliano 0679893957 WhatsApp

20/06/2021

P.I.D NINI,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI YAPI?
P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.
P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC

WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
- Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu

DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu

MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi

JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
-Epuka kushare nguo za ndani

UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI

Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivy bas k**a upo tayari unaumwa nitafute inbox

20/06/2021

P.I.D NINI,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI YAPI?
P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.
P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC

WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
- Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu

DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu

MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi

JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
-Epuka kushare nguo za ndani

UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI

Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivy bas k**a upo tayari unaumwa nitafute 0679893957. WhatsApp

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jiuguze Nyumbani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jiuguze Nyumbani:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram