Afya ya Uzazi Matibabu

Afya ya Uzazi Matibabu Pata Huduma ya Matibabu kwa njia ya Virutubisho

Ndoa nyingi zinalindwa na UVUMILIVU wala sio  UPENDO WA DHATI k**a ilivyo maana halisi ya NDOA Kwa sababu wanandoa wengi...
08/03/2023

Ndoa nyingi zinalindwa na UVUMILIVU wala sio UPENDO WA DHATI k**a ilivyo maana halisi ya NDOA Kwa sababu wanandoa wengi hawaishi na watu waliowapenda kwa dhati. Hasira ama kukata tamaa ya Mahusiano hiyo ndiyo hupelekea NDOA ZISIZO RASMI KUZALIWA.

Unafikiri ni kwa nini:-
Walio kwenye mahusiano ni nadra kusaliti penI kuliko waliko kwenye NDOA? Sababu ni ndogo sana, Kwa sababu WENGI WALIOPO KWENYE NDOA HAWAZIFURAHII NDOA ZAO.

Kuolewa ama kuoa mtu ambaye hukuwa na malengo nae hii ndiyo sumu mbaya zaidi Kwenye NDOA. Maana NDOA sio kitu kwamba unaweza kushika na kukiacha, iweje uingie kwenye NDOA na mtu mwingine ambaye hukuwa na malengo nae etii tu kwa sababu uliyempenda amekuumiza?

Mwiba uliochomwa Kwenye Mahusiano uchomoe, chechemea kuelekea mahusiano mapya wala sio kuelekea moja kwa moja Kwenye NDOA. Maliza MATATIZO yako Kwenye uwanja wa MAHUSIANO ili ukiamua kuingia Kwenye NDOA uwe smart

Mwanaume aliyekamilika na mwenye afya njema kwenye mfumo wake wa uzazi basi anapoamka lazima uume kusimama, unakumbuka w...
06/03/2023

Mwanaume aliyekamilika na mwenye afya njema kwenye mfumo wake wa uzazi basi anapoamka lazima uume kusimama, unakumbuka wakati wa balehe mashine yako ilivyodinda Asubuhi?

✍️Uume huu husimama kwasababu 2, kwanza ni msukumo wa misuli kutokea kwenye kibofu k**a zuio la mkojo ule wa Asubuhi.

✍️Pili, ni mkusanyiko (concentration) wa damu yenye hormones za kiume za kutosha baada ya kulala kwa muda mrefu.

✍️Kusimama imara kwa uume Asubuhi kwa mwanaume hutoa uwezo wa Mwanaume kushiriki tendo kikamilifu na lenye nguvu na mkewe tofauti na lile la mchana au usiku.

✍️Mwanaume asiyeweza kusimamisha Asubuhi anapoamka ni dalili wazi ya kuwa ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, uume unasinyaa, unakosa stamina, unalala kanakwamba umetoka kutumika hivi karibuni.

✍️Hii inaweza kutokana na sababu mbalimbali kwa mtu husika mfano ulevi, unene + uzito uliozidi, hormonal imbalance, matatizo ya kisaikojia na stress, kisukari + presha, lakini mwisho kabisa ni matokeo ya kupiga punyeto kwa muda mrefu wa nyuma,

✍️Ikiwa mwanaume una hili tatizo mwanamke anaweza kukusaidia kwa kukupapasa kwa mikono yake laini. kukugusa na maumbile yake (uke) au makalio yake ili kuziamsha hisia zako, vile vile ikibidi akuongeleshe maneno machafu ya kimapenzi, ikishindikana basi unahitaji tiba.

*Uume wako misuli imelegea, mishipa ya damu ni dhaifu na mzunguko wa damu hauko sawa, hayo yote yataufanya uume wako uonekane mdogo kwa umbile na hata usisimame kabisa Asubuhi.

Umeshafahamu hali yako? Unatarajia nini? Haujachelewa, unaweza kupata msaada wa ushauri au matibabu pia na heshima yako ikarejea.....

Karibu uendelee kujifunza masomo haya kupitia broadcast sio grou tuma neno *AFYA* 0622988689 bure kabisa

MWANAMKE KUWEZA KUFIKA KILELENI INAHITAJI WASTANI WA DK 16-20 Wanawake huwa wanachelewa kidogo kufika kuliko wanaume.Wan...
03/03/2023

MWANAMKE KUWEZA KUFIKA KILELENI INAHITAJI WASTANI WA DK 16-20

Wanawake huwa wanachelewa kidogo kufika kuliko wanaume.

Wanaume wengi hawafikishi hizo dakika kwenye raundi ya kwanza, wengi hufikisha Katika raundi ya pili, hivyo K**a wewe mwanaume huwezi kuunganisha basi utajikuta unamkatisha starehe mwanamke wako au asifike kileleni kabisa.

Pia wapo wanaume ambao mwisho wao ni raundi moja na hapo huwa wapo hoi kwamba hawawezi kurudia hata hio raundi ya pili.

Wanaume wengi Sana unakuta hawafiki hata dakika kumi na wengine ni mbili au tano, ndio maana wanaume wa namna hii huishia kwenye msongo wa mawazo,kuwa na hasira,kujifanya malaya kwa kua na wanawake wengi na visirani vingi wakidhani wanadharauliwa.

Nikupe tu moyo mwanaume mwenye changamoto K**a hizi huna haja ya kupaniki, unawez a kumfikisha mwenza wako, Cha kwanza jua chanzo kilichopelekea hali yako kubadilika kiondoe alafu jiimarishe kwa kuulisha upya mwili wako na pia kua mbunifu.

ALFU ZINGATIA HIVI VITU HAPA👇

1.Acha papara ,muandae mwenza wako kisaikolojia kabla ya tendo

2.Zijue sehemu zake zinazompa mzuka na ufokasi nazo msome vizuri mwenza wako kila mtu anazo sehemu zake ambazo akiguswa amekwishaa🤪

3.Wekeza kwenye hizo sehemu,trust me utanishukuru baadae.

Pengine umekua ukijiuliza na unatamani kufahamu kwamba ni dalili gani zitakuonyesha kua mkeo au mpenzi wako amefika kwa kilele usijali karibu nikupatie huduma then nikufundishe jinsi ya kuyajua haya

WHATSAPP/CALL
0622988689

Wanaume wengi tumeishia kutokuona ubora wa wake zetu wakati wa tendo kwasababu ya ufinyu wa ufahamu kuhusu anayostahili ...
02/03/2023

Wanaume wengi tumeishia kutokuona ubora wa wake zetu wakati wa tendo kwasababu ya ufinyu wa ufahamu kuhusu anayostahili kufanyiwa Mwanamke kabla ya tendo.

Yafuatayo unaweza kuyatumia kwa mwanamke wako ikiwa yatakusaidia basi ishi katika hayo.

1. Onyesha mapema dalili za kumhitaji kimapenzi.

Mwanaume anzia asbh kumuonyesha mkeo kuwa usiku wa siku hiyo utamhitaji kimapenzi, wanaume wengi tunafanya k**a dharura, unapanda kitandani na kuanzisha mada ya kutaka tendo, mwanamke hakujiandaa kwa hilo,
Asubuhi ukiaga ongea, ukiwa kazini chati naye (maneno ya kipuuzi) kuiweka akili yake katika uelekeo wa mapenzi.

2. Omba msamaha / Tafuta amani naye.

Ili mwanamke afunguke na akupe mapenzi ya moyoni lazima awe na amani nawe, k**a mlipishana kauli basi muhimu sana kuongea na kumaliza matatizo hayo, k**a ulimkosea basi kiri na omba radhi, hapo atakupa yote, mpaka kizazi utakigusa.

3. Mpe mahitaji yake.

Mwanaume wajibika kwa mkeo, tatua changamoto zake, k**a aliomba nguo, chakula fulani au mambo yake binafsi, basi tekeleza ili apate furaha, usimtake kimapenzi na mahitaji hujampa atahisi unajijali wewe tu, atakuwa na kinyongo.

4. Muandalie zawadi + Surprise

Pamoja na kumuandaa ajue unamhitaji usiku wa siku hiyo basi andaa zawadi yako special, unaweza kupitia dukani na kukinunua ambacho ulimsikia mara nyingi akisema anapenda kuwa nacho. Ukimpatia basi moyo wake unafunguka kwako.

5. Muandae kimwili na kisaikojia.

Hapa Mwanaume tenda mambo yanayoweza kujenga hisia zake na akafeel kupendwa, mlishe chakula, oga naye pamoja, mpake mafuta nk. Hayo yote yataamsha ashki zake na kujikuta akikupenda na kukuhitaji kimapenzi.

6. Ujuzi wa kumuandaa kabla ya tendo.

Mwanaume hata k**a hupendi kufundishwa vitu ila hii ni muhimu zaidi, fahamu unamuandaa vipi mwanamke wako kitandani awe tayari kwa tendo, muandae mpaka ifike mahali yeye kwa hiari yake aombe umpe mapenzi 😋

NB: Unaweza kufanya hayo mara 8 kwa mwezi mzima, itamarisha sana mahusiano ya mapenzi na hisia zenu.

Nashukuru kwa kusoma andiko hili, k**a una swali karibu kwenye kipengele cha comments

Karibu uendelee kujifunza masomo haya kupitia WhatsApp status bure 0622988689

Moja ya sababu iliyo wapelekea wanaume wengi kupungua nguvu za kiume ni mtindo mbaya wa kujichua au kwa lugha nyingine ‘...
28/12/2022

Moja ya sababu iliyo wapelekea wanaume wengi kupungua nguvu za kiume ni mtindo mbaya wa kujichua au kwa lugha nyingine ‘kupiga punyeto’

Tendo ambalo kwa Kiingereza linalojulikana k**a ma********on.

Watu wengi hawafahamu madhara ya ma********on, hali ambayo huwasababisha kujikuta wamedumbukia katika chama cha upungufu wa nguvu za kiume.

Mbali na kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, ma********on ina madhara mengi ya kiafya (kimwili na kisaikolojia).

YAFUATAYO NI MATOKEO (MSHAHARA) WA PUNYETO HUSUSANI WAKATI WA TENDO LA NDOA.

➡️Dhakari kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

➡️Dhakari kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

➡️Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

➡️Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza.

➡️Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

➡️Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

➡️Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

➡️Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

➡️Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA AU UNAKUMBANA NA MATOKEO YALIYO ORODHESHWA HAPO JUU!

Usisite kunitafuta kupitia Namba zilizopo hapo chini 👇🏽

𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0622988689

K**a una mbegu nyepesi upo kwenye hatari ya kushindwa kusababisha mimba✍️
28/12/2022

K**a una mbegu nyepesi upo kwenye hatari ya kushindwa kusababisha mimba✍️

Je! Umechoka kupata FEDHEHA Kila unapokutana na mwenza wako wakati wa Tendo?Hadi imekupelekea kukosa kujiamini na kukata...
28/12/2022

Je! Umechoka kupata FEDHEHA Kila unapokutana na mwenza wako wakati wa Tendo?

Hadi imekupelekea kukosa kujiamini na kukata Tamaa kwenye Safari Yako ya Mahusiano?

Ngoja nikuondoe Wasi wasi!

Leo Tupo Tayari kurudisha Furaha Yako upya kabisa 🙌🏽

Tumekuandalia Program maalum ya virutubisho Pamoja na Miongozo SAHIHI itakayo Kusaidia kuimarisha mfumo wako wa Uzazi Moja Kwa Moja!

Tunatoa Offer ya Asilimia 5% Punguzo la Bei Kwa Wateja 10 wa kwanza!

Kwa maelekezo Zaidi!

Tuwasilane 📲 0622988689 or Whatsapp.

𝗡𝗜 𝗠𝗨𝗗𝗔 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗨𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗢 🔥

Hamna Kubaki Nyuma

Ili muweze kufanikisha safari yenu ya ndoa, mnapaswa muishije?Kusikilizana ndio jambo kubwa sana katika safari yenu. Asi...
27/12/2022

Ili muweze kufanikisha safari yenu ya ndoa, mnapaswa muishije?Kusikilizana ndio jambo kubwa sana katika safari yenu. Asiwepo mtu wa kumdharau mwenzake. Mwanamke, amthamini mwenzi wake kuliko mtu mwingine yeyote. Mwanaume, amthamini mwanamke wake katika kiwango cha hali ya juu. Asikubali kuyumbishwa na tamaa za kimwili, asirudishwe nyuma na maneno ya watu na kisiwepo kizingiti chochote cha kumkatisha tamaa.

Kwa vyovyote itakavyokuwa, suala lenu la ‘utaifa wa uhusiano’ ndio mlitangulize mbele. Muishi mkijua kwamba, uhai wa penzi lenu mmeushikilia ninyi wawili. Mnakila sababu ya kulilinda penzi lenu kwa gharama yoyote kwani mafanikio ya uhusiano wenu, ni mafanikio ya wote wawili.

Mpendane. Mheshimiane katika kiwango cha juu. Kila mmoja atambue majukumu yake. Mwanamke amtii mwanaume, amheshimu. Mwanaume ampende sana mwanamke. Asimdharau, atambue thamani yake katika nyumba licha ya kwamba mwanaume ndio kichwa cha familia.

Mwanaume asivimbe kichwa. Amshirikishe mwenzake katika masuala yanayohusu maisha na uhusiano wao. Hata ikitokea mmepishana kauli, shukeni. Kila mmoja aongozwe na busara kwamba, ipo njia mbadala ya kuwavusha kwenye mabishano hayo bila kusababisha mtafaruku.

Mwanamke usiwe mzungumzaji sana kwa mwanaume. Mpe faraja pale inapobidi. Farijianeni katika vipindi mbalimbali mnavyopitia. Muanguke na kuinuka pamoja. Asiwepo mmoja kati yenu achukulie changamoto ya mwenzake k**a si yake.

Kila mmoja aguswe na matatizo ya mwenzake. Mnapokuwa kwenye furaha, kwa pamoja pia mfurahi. Msiwe na tamaa, tengenezeni maisha yenu mnayoyataka. Kwa pamoja mtakuja kufurahia ushindi wa safari yenu.

K**a unafika kileleni ndani ya dakika mbili yani chini ya dakika 3 Uume unasimama kwa uregevu Ukiingiza tu ukeni unarege...
27/12/2022

K**a unafika kileleni ndani ya dakika mbili yani chini ya dakika 3

Uume unasimama kwa uregevu

Ukiingiza tu ukeni unaregea

Tunaweza kukusaidia kuanza kutibu tatizo hili kuanzia kwenye chanzo kabisa na ukarudi kuwa mwanaume wa shoo ndefu na kuunganisha

Tuma ujumbe whatsApp 0622988689 tukupe program k**a una tatizo hilo

NB: K**a umeathirika na punyeto, Ngiri na uzito mkubwa ipo product ya kurefusha na kunenepesha 🍆🍆 Dude Dude

1- Mwenye kukupenda atataka kumfahamu yule anayempenda kwa undani sana na kumjua vyema, na kujenga naye urafiki wa karib...
07/12/2022

1- Mwenye kukupenda atataka kumfahamu yule anayempenda kwa undani sana na kumjua vyema, na kujenga naye urafiki wa karibu sana na sio kutaka kusex naye mara tu baada ya kufahamiana. Atatumia muda mwingi ili kukujua na kuvumilia wala hatakuwa na haraka ya kulala na wewe.

2 - Mwenye kukutamani kitu cha kwanza atakachotaka kutoka kwako baada ya kufahamiana kwa juu juu ni kutaka ku-sex na wewe, atakuwa tayari kufanya kila awezalo aifikie tu nguo yako ya ndani, atakuwa tayari kukuonesha ni jinsi gani ana kiu na mwili wako. Atataka kusex na wewe kwanza kisha ndiyo muwe marafiki wa karibu, ukikataa ku-sex basi atakuchukia na mahusiano yenu yanaweza kuishia hapo.

3 - Mwenye upendo wa dhati mtakuwa mkiongelea naye mambo ya maana ya future, namna ya kuyakabili maisha na changamoto zake na siyo kuwaongelea celebrities muda wote au kufanya jokes muda wote. Atazungumzuia maisha kwa ujumla na siyo kuusifia uzuri wako au muonekano wako wa nje kila wakati.

4 - Mwenye kukutamani maongezi yake yatahusu sana muonekano wako wa nje, uzuri wako, mara zote atakusifia uzuri wako, atasifia sana mavazi yako, ataongelea habari za udaku, na jokes nyingi ili tu ucheke naye na kufurahi naye, hawezi kuongea na wewe mambo serious ya maisha. K**a ni mwanamke atasifia sana vitu vyako, gari, saa, viatu, simu au hata shati ulilovaa.

PUNYETO ILIVYONILETEA DHARAU Nakumbuka ni kipindi kirefu kilichopita, mchezo huu niliuanza nikiwa kidato cha pili shule ...
07/12/2022

PUNYETO ILIVYONILETEA DHARAU

Nakumbuka ni kipindi kirefu kilichopita, mchezo huu niliuanza nikiwa kidato cha pili shule ya wavulana tupu. Sio kwamba niliiga kutoka kwa wanafunzi wenzangu, ila waswahili husema shida huongeza uwezo wa kufikiri, hivyo baada ya kufikiri sana ni kivipi ningeweza kutatua shida yangu ya kushiriki tendo na msichana, niliona PUNYETO(kujichua) ndio mtatuzi sahihi.
Niliuanza huu mchezo taratibu, ule msisimko nilioupata kwa mara ya kwanza nilipojichua, ulinifanya niupende mchezo huo na kuamini sina chochote cha kusaidiwa na msichana.

Nikafuate utamu? Mbona nilupata nikiwa peke yangu. Nilianza kwa kutumia sabuni, niliiacha baada ya kuona inanichubua na kuanza kutumia mafuta ya mgando(baby care).

Mpaka nilipofika chuo kikuu bado nilikuwa nikijichua na hakukuwa na mtu aliyegundua suala hilo zaidi yangu na Mungu wangu. Sio kwamba sikuwa na wapenzi kwa kipindi hiko chote, ila nilishazoea na sikuweza kuacha.

Wapo waliosema kuwa punyeto inamaliza nguvu za kiume, nilithibitisha hilo ni uwongo kwani kila msichana niliyefanya naye mapenzi, alinisifu kuwa mimi ni fundi na nina nguvu zilizopitiliza. Kiukweli nilikuwa moto wa kuotea mbali kwenye mechi za sita kwa sita.

Shida ilianza baada ya kuoa, Mke wangu alianza kulalamika kuwa Simfikishi kileleni, DHARAU, MAJIVUNO, KEJELI vilitawala ndani ya Nyumba.

Siku moja aliita na kunambia Juma unafikiri kwetu nilikuwa SILI, SIVAI NA HAKUNA HELA? Sijafuata hivyo nimefuata TENDO LA NDOA, Alikuwa sahihi kuongea hivyo maana Uume ulikuwa ukisimama lège lège sana wakati mwingine unalala nikihitaji kuanza tendo n'a pia mbegu zilikuwa nyepesi Sana K**a Maji

Niliumia nilijikuta nampiga Makofi, USALITI ulizidi almanusura ndoa ivunjike hadi nilipokutana na Mkombozi

Sasa ndoa yangu imerejea kwenye amani

K**a una matatizo ya NGUVU za KIUME ongea na Dr
Piga simu
0622988689

utaitwamama ZINGATIA MAMBO HAYA K**A UNATAFUTA UJAUZITO:1. Umri Wako. Je unajua umri unachangia vipi kushindwa kupata uj...
04/12/2022

utaitwamama ZINGATIA MAMBO HAYA K**A UNATAFUTA UJAUZITO:

1. Umri Wako.
Je unajua umri unachangia vipi kushindwa kupata ujauzito kirahisi?
Jifunze uelewe. Itakusaidia sana kulijua hili.

2. Mume Wako.
Unayeshiriki naye tendo yuko sawa kiafya? Mfano mbegu zake ziko sawa? Je unajua manii anayomwaga mwanaume yanaweza kukupa picha kujua k**a anaweza kutungisha mimba au la? Njoo ujifunze.

3. Uzito Wako.
Una uzito kilo ngapi kwa sasa na urefu cm ngapi? Hili ni muhimu sana. Inabidi uwe na uzito sahihi unaoendana na urefu wako. Je unajua kuwa uzito ulio nao sasa unaweza kuwa ndo kikwazo cha wewe kubeba ujauzito na wala si kitu kingine? Karibu tukuelimishe.

4. Magonjwa Yako.
Changamoto za kiafya. Je unajua kuwa changamoto k**a mirija kuziba, ovarian cysts, vimbe kwenye kizazi, maambukizi k**a PID, UTI sugu na mengine k**a chango la uzazi yanaweza kufanya usipate ujauzito hadi uyatatue kwanza? Je unajua dalili zake? Njoo tuzungumze.

5. Mzunguko Wako.
Je mzunguko wako wa hedhi upoje?
(Tunaposema mzunguko wa hedhi kinachomaanishwa ni IDADI ya siku ama jumla ya siku zinazopita tokea unapoongia bleed siku ya kwanza mpaka siku utakapoingia bleed tena mwezi unaofuata). Je unajua wanawake wengi hata hawaelewi jambo hili? Na hivyo hata hawajui lini yai linapevuka. Na hivyo hata kujua lini mtoto anapatikana hawajui kwani mzunguko wa hedhi yenyewe umeshavurugika haueleweki.
Karibu tulione hili.

6. Hormones Zako.
Kuna wanawake wengi wana hormonal imbalance na hawajui. Bila kuwa na uwiano sahihi wa homoni mwilini kupata ujauzito itazidi kuwa changamoto ya muda mrefu sana kwako.
Njoo tuzungumze.

7. Ovulation Yako.
Dalili za kupevuka mayai. Je unazijua. Ute wa uzazi (ovulation) huwa unaupata? K**a ndiyo upoje. Na unaupata lini na je ni kila mwezi? Ute ndo dalili kubwa zaidi ya kupevuka kwa yai mwezi huo. Usipouona ute huenda una shida ya mayai kutopevuka. Hapo mtoto anakujaje sasa?
Njoo tuzungumze.

Ukipata majibu ya maswali haya saba utakuwa katika nafasi nzuri mno kupata ujauzito mapema. Tuma neno KUPATA UJAUZITO kwenda WhatsApp number +255 +255 622 988 689 tukuhudumie

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya Uzazi Matibabu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya Uzazi Matibabu:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram