Thamini afya yako timiza ndoto zako

Thamini afya yako timiza ndoto zako Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Thamini afya yako timiza ndoto zako, Tanzania Street, Dar es Salaam.

Tunavyopima MFANIKIO duniani hatuangalii matokeo tunaangalia INVESTMENT unayoweka MUDA,AKILI,NA KUJTOLEA KWA KIFEDHA AU ...
21/03/2024

Tunavyopima MFANIKIO duniani hatuangalii matokeo tunaangalia INVESTMENT unayoweka MUDA,AKILI,NA KUJTOLEA KWA KIFEDHA AU KUFANYA KAZI,

Mafanikio yamejificha sana
You need to focus

Njoo whatsap nikupe siku ya kujifunza biashara Hakikisha unaishi maisha ya ndoto zako
0753905070

Kula kitu kinawezekana
15/03/2024

Kula kitu kinawezekana

Hii Vita squares jamani ni kiboko ya watoto wasiopenda kula uwii๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‹ ziko squrares 180 anatumia miez mitatu. Zimetenge...
23/01/2024

Hii Vita squares jamani ni kiboko ya watoto wasiopenda kula uwii๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‹ ziko squrares 180 anatumia miez mitatu. Zimetengenezwa kwa mboga mboga, mboga za majani na matunda rangi tofauti tofauti kwa kila kimoja (maana rangi zina kazi mwilini) ili kufungua cell ya mtoto ili ipokee Virutubisho vyote kwa wakati na kutoa uchafu kwa wakati, inampa mtoto hamu ya kula, usingizi mzuri, anapata choo nzuri na kwa wakati, anakuwa active na mwenye nguvu, na anakuwa na utulivu wa akili, hakuna mambo ya kujiliza yaan inaweka sawa uwiano wa vichocheo vya mwili (hormones pamoja na enzymes) maana vina madini na vitamins aina zote๐Ÿ’ช๐Ÿ˜๐Ÿ’˜๐Ÿ’•โค๏ธโค๏ธhii products ni must have k**a huielew elewi afya ya mtoto wako
Nipigie kwa namba 0693 210 331

CELLULAR NUTRITIONMiili yetu imetengenezwa kwa mabillion ya cell (chembehai)*Cell๐Ÿ‘‰๐ŸฝTissue๐Ÿ‘‰๐ŸฝOrgan๐Ÿ‘‰๐ŸฝSystem๐Ÿ‘‰๐ŸฝOrganism*๐Ÿ‘†๐Ÿผ๐Ÿ‘†๐Ÿผ๐Ÿ‘†...
18/01/2024

CELLULAR NUTRITION

Miili yetu imetengenezwa kwa mabillion ya cell (chembehai)

*Cell๐Ÿ‘‰๐ŸฝTissue๐Ÿ‘‰๐ŸฝOrgan๐Ÿ‘‰๐ŸฝSystem๐Ÿ‘‰๐ŸฝOrganism*

๐Ÿ‘†๐Ÿผ๐Ÿ‘†๐Ÿผ๐Ÿ‘†๐Ÿผ๐Ÿ‘†๐ŸผHuu mtiriko una maana kubwa mno
Seli zikiungana zinatengeneza tishu(misuli, mishipa, damu)

Tishu zinatengeneza ogani ( k**a Moyo, figo, ini, ngozi n.k)

Ogani zinatengeneza mifumo mbalimbali (k**a mfumo wa uzazi, mmeng'enyo wa chakula, upumuaji, utoaji taka mwilini n.k)

Hivi tunavyoonekana kwa nje (wewe kiumbe) chanzo kabisa cha mimi na wewe kuwepo ni chembehai (cell)
Cell ndo maisha yetu yanapoanzia ina maana cell ikiharibiwa kila kitu kimeharibika, ogani na mifumo yote inashindwa kufanya kazi..
Sasa kile kiini kinachotoka kwenye nafaka kamili ndo chakula cha cell. Mafuta kutoka kwenye nafaka kamili ndo yanalainisha ukuta wa cell(cell membrane inakuwa permeable) kuruhusu virutubisho kuingia mwilini, kufanya kazi na uchafu kutoka. Sisi hatupati kile kiini cha nafaka kamili hivyo ukuta wa cell (cell membrane) unakuwa mgumu tunachokula kinaingia kidogo, virutubisho vingi haviingii mwilini hata uchafu hautoki kwa wakati. Ndio maana unaweza kula asubuhi, mchana, na jioni lakini unakaa hata siku tatu hakuna haja kubwa,๐Ÿ™†๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ unaamka asubuhi umechoka balaa(uchovu sugu) unameza dawa nyingi hazifanyi kazi, hakuna hamu ya kula n.k Changamoto imeanzia kwenye cell.
Sasa tre en en imetengenezwa kwa kiini cha nafaka kamili.
Kiini cha
โœ… Mchele
โœ… Soya na ngano
Kiini hiki kina mafuta yanaitwa lipids na sterols ambacho ndo chakula sasa cha cell.๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜ Mafuta haya ndo yanafanya ukuta wa cell uwe laini
NINI INACHOENDA KUFANYA TRE EN EN MWILINI

1. Kulainisha ukuta wa cell chochote unachokula kiingie mwilini kifanye kazi vizuri na uchafu utoke kwa wakati

2. Kutoa sumu mwilini

3. Kubalance homoni

4. Huondoa uchovu sugu

5. Husaidia kupata choo kwa wakati na kinakuwa laini bila maumivu

6. Huondoa maumivu mwilini

7. Husaidia mmeng'enyo wa chakula

8. Hufanya ngozi iwe na ung'avu asilia/hutakatisha ngozi

๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†
JIFUNZE KUHUSU BIDHAA YA TRE EN EN 0693 210 331

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* *Pelvic Inflammatory Disease* *Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbu...
17/01/2024

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE*
*Pelvic Inflammatory Disease*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo-:*
*Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi . Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua .Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanyangono zembe*

*DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1๏ธโƒฃ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa*
2๏ธโƒฃ *Kuwashwa sehemu za siri*
3๏ธโƒฃ *Uke kutoa harufu mbaya*
4๏ธโƒฃ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5๏ธโƒฃ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6๏ธโƒฃ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7๏ธโƒฃ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8๏ธโƒฃ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9๏ธโƒฃ *Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa*
๐Ÿ”Ÿ *Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula*
MADHARA YA PID
โ€ข Ugumba
โ€ขKansa ya shingo ya kizazi
โ€ข Mirija ya uzazi kuziba
โ€ข Majeraha kwenye mirija ya uzazi

23/11/2023

Suluhisho lipo njoo whatsapp 0693 210 331 p

Sio ugonjwa wa kuvumilia njoo usaidike
15/11/2023

Sio ugonjwa wa kuvumilia njoo usaidike

โ€œSuplement are expensive!!โ€ My dear compared to whattt!!?
06/11/2023

โ€œSuplement are expensive!!โ€ My dear compared to whattt!!?

Its all about impact summit 2023Having changed the lives of many people for 26 years now in Tanzania ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
28/10/2023

Its all about impact summit 2023
Having changed the lives of many people for 26 years now in Tanzania ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Tupo kukusaidia 0693 210 331
28/09/2023

Tupo kukusaidia 0693 210 331

FAIDA ZA  MAFUTA YA SAMLON OIL .. Salmon oil ni mafuta ya samaki yatokanayo na samaki aina ya SalmonSamaki aina ya salmo...
18/09/2023

FAIDA ZA MAFUTA YA SAMLON OIL .. Salmon oil ni mafuta ya samaki yatokanayo na samaki aina ya Salmon

Samaki aina ya salmon ni samaki mwenye virtutubisho vingi ambavyo hutibu magonjwa mbalimbali.

Samaki (Salmon) ana calories,protein,fat,vitamin B12,vitamin B6,selenium,niacin,pantothetic acid, thiamine,phosphorus na omega 3.

Vitamini B12 husaidia uzalishaji wa seli nyekundu za damu.

Mwili wa binadamu hauwezi kuzalisha wenyewe Omega 3 fats,hivyo tunapata Omega 3 kupitia vyakula tunavyokula kila siku.

Hata hivyo,salmon ana aina zote za omega 3 yaani eisapentaenoic acid(EPA) na docosahexaenoic axcid(DHA) tofauti na mimea ambayo ina alpha-linolenic acid(ALA).

FAIDA ZA OMEGA 3 SALMON OIL
Huongeza kinga ya mwili
Husaidia ukuaji wa ubongo na kumbukumbu
Husaidia ukuaji wa mtoto aliye tumboni,pia hupunguza ma tatizo ya watoto kuzaliwa kabla ya mda(preterm babies)
Muhimu kwa afya ya moyo
Huboresha afya ya ngozi na macho
Husaidia mzunguko mzuri wa damu

Omega 3 Salmon Oil sasa zinapatikana ofisini kwetu nipigie kwa namba 0693 210 331

Address

Tanzania Street
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thamini afya yako timiza ndoto zako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Thamini afya yako timiza ndoto zako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram