H.I.V and Cancer Health Care

  • Home
  • H.I.V and Cancer Health Care

H.I.V and Cancer Health Care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from H.I.V and Cancer Health Care, Medical and health, .

To 1
13/11/2024

To 1

13/11/2024
Kuna Muda Unahisi Miguu Kuwaka Moto Hii Ndio Dozi Kiboko Ya Tatizo Hilo.Tupigie☎️+255(0)688426300
26/02/2023

Kuna Muda Unahisi Miguu Kuwaka Moto Hii Ndio Dozi Kiboko Ya Tatizo Hilo.
Tupigie☎️+255(0)688426300

Jinsi V.V.U Vinavyo Punguza CD4 Mwilini...!CD4 ni aina ya protini inayopatikana katika ukuta wa seli zinazojulikana k**a...
23/02/2023

Jinsi V.V.U Vinavyo Punguza CD4 Mwilini...!

CD4 ni aina ya protini inayopatikana katika ukuta wa seli zinazojulikana k**a T-Helper Cells (pia hujulikana k**a CD + Lymphocyte).
Virusi vya Ukimwi (VVU) hushambulia na kujishikiza kwenye protini hii kabla ya kupata uwezo wa kuathiri seli za T-Helper.
Seli hizi za T-Helper ndizo hulinda mwili dhidi ya maambukizi mbalimbali na hivyo kuchangia katika kustawi kwa kinga ya mwili.
Kupungua kwa seli hizi mwilini husababisha kupungua kwa kinga ya mwili na hivyo mtu kupata magonjwa nyemelezi.

Usisite Kuwasiliana Nasi Kwa Ushauri Zaidi Piga 0688426300

PURE & BROKEN GANODERMA SPORESFaida Za Kutumia Bidhaa Hii Simu:0745885588👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼⏺ Hupandisha CD4 mwilini⏺ Huongeza Ki...
21/02/2023

PURE & BROKEN GANODERMA SPORES

Faida Za Kutumia Bidhaa Hii Simu:0745885588
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali

Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote

Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona

SHARE kwa Ma GROUP na watu Mbali mbali Uweze Kuwasaidi Wengi wanaoteseka 🙏🙏

Kuja Inbox Bongeza Link Hii Chini
👇👇👇
https://wa.me/255688426300

Mungu Akubariki Sana

PURE & BROKENBaadhi Na kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼⏺ Hupandisha CD4 mwilini⏺ Huongeza Kinga mwilini⏺ Ni nz...
10/11/2021

PURE & BROKEN
Baadhi Na kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali

Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote

Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona

SHARE kwa Ma GROUP na watu Mbali mbali Uweze Kuwasaidi Wengi wanaoteseka 🙏🙏

Kuja Inbox Bongeza Link Hii Chini
👇👇👇
https://wa.me/255688426300

ASANTE

☕ REISHI COFFEENi Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.Kahawa hii ina faida zifwatazo;✅Inasaidia wenye matatizo ya m...
01/11/2021

☕ REISHI COFFEE

Ni Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.

Kahawa hii ina faida zifwatazo;

✅Inasaidia wenye matatizo ya moyo na pressure kushuka
✅Inaondoa allergy zote mwilini
✅Inaongeza kinga za mwili
✅Inaondoa sumu mwilini
✅Inaondoa mafuta mwilini
✅Inaweka sawa kiwango cha sukari mwilini
✅Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia figo na ini kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia mtu kulala usingizi mzuri
✅Inasaidia watu wenye vidonda vya tumbo
✅Inasaidia msongo wa mawazo na wasiwasi

PIGA/WhatsApp:0688426300
Au Bofya link Hii Hapa Chini👇👇👇

https://wa.me/255688426300

Share Na Wenzio

JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINIAsilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo k...
15/10/2021

JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

VYANZO VYA SUMU

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa

DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk

MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.

SULUHISHO LA KUDUMU

Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia lishe mbadala yenye virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.

FAIDA ZA KUFANYA DETOXIFICATION

•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.

• Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya.

Kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na inayovutia

•Huondoa uchovu Na kuupa nguvu mwili
Huondoa maumivu ya kichwa ya mara kwa mara

Tumia Detoxlive Kuondoa Sumu Mwilini Zinapatikanq Nchi Nzima Piga 0782556677

FAHAMU MAFINDOFINDO(TONSILS) NI NINI?Je, umewahi kufikiria ukajua nini kinachokuwa nyuma ya koo lako? Mbali na kilimi ki...
13/10/2021

FAHAMU MAFINDOFINDO(TONSILS) NI NINI?

Je, umewahi kufikiria ukajua nini kinachokuwa nyuma ya koo lako? Mbali na kilimi kinachoning’inia kwa juu nyuma ya koo lako, kwa pembeni huwa kuna tishu mbili zimetuna pembeni mwa koo lako ambazo kitaalamu tunaita mafindofindo au “Tonsils”.

NUKUU: Kazi zake mara nyingi huwa ni kuzuia vimelea k**a vile bakteria pamoja na virusi. Mafindofindo yanaweza yakapata maambukizi na yakawa mekundu na hata kuvimba kabisa. Hali hii inapojitokeza ndio hujulikana k**a “tonsillitis”.

Je, Nini Husababisha Mafindofindo Kuvimba?

Mafindofindo yanaweza kuathiriwa na virusi, bakteria au ulaji au unywaji wa vitu vibaya. Na mara nyingi virusi ndio hushambulia sana kuliko bakteria. Kwa kawaida madhara ya mafindofindo hutokana na mambo yafuatayo:

Ulaji wa pilipili na vitu vikali k**a vile embe bichi, limau, nk.

Kunywa vinywaji vya baridi k**a vile maji, soda, juisi, barafu au ice-cream,nk

Kisonono(Gonorrhea)

Maambuki ya HIV

Je, Dalili Zake Zinakuwaje?

Dalili za mafindofindo zinaweza zikatofautiana kutokana na vimelea au aina za bakteria au virusi waliosababisha maambukizi au vyakula na vinywaji ulivyokuwa ukitumia, lakini mara nyingi sana mgonjwa hulalamika koo linauma. Dalili zinaweza kuanza kujitokeza taratibu au haraka na zinaweza zisiwe mbaya sana au zikawa za kawaida tu. Dalili hizi huwa k**a ifuatavyo:

Vidonda kwenye koo

Kushindwa kumeza chakula

Sauti kukwama

Kuvimba kwa matezi shingoni

Koo kuwa jekundu

Kutokwa na usaha au vitu vyeupe kwenye mafindofindo(tonsils)

Homa

Kukosa hamu ya kula

Kuhisi kichefuchefu

Kutapika

Kuhisi maumivu ya tumbo.


MATIBABU YAKE

tuna tiba nzuri zenye uwezo mkubwa wa kuondoa matatizo ya uvimbe na maumivu ya ugonjwa wa mafindofindo(tonsillitis), kwa watu wakubwa na watoto pia, nayo ni Refined yunzhi na Pure And broken

MAWASILIANO 0782556677 AU 0745885588


Je?Unasumbuliwa Na Fangasi,Miwasho Ukeni,Harufu Mbaya na U.T.I Sugu? 0782556677 Tumia Femicare Cleanser Kwa Offer Ya Sik...
06/10/2021

Je?Unasumbuliwa Na Fangasi,Miwasho Ukeni,Harufu Mbaya na U.T.I Sugu? 0782556677

Tumia Femicare Cleanser Kwa Offer Ya Siku Moja Tu Tshs 29,500/-badala Ya 45,500/-

Hii Femicare huwa inafahamika k**a mkombozi wa wanawake kwa maambukizi ya sehemu za siri.

Imeandaliwa maalum kwa ajili ya wanawake licha ya kua hata mwanaume anaweza kutumia.

Imetengenezwa kwa vyakula,mimea na madini na viua sumu mwilini.

Inamadini yanayohuisha uke na kuwa na ulinzi asilia,inaviua sumu vinavyozuia uke kuzeeka(mashavu),uke uliolegea,

Ina mafuta mazuri yanaitwa essential oil kwa ajili ya kufanya uke urudishe mnato wake wa asili.

Kazi zake ni hizi hapa👇🏼👇🏼

FEMICARE
-Huondoa harufu mbaya ukeni
-Huondoa bacteria wabaya na kuzuia U.T.I
-Huondoa fangasi na miwasho ukeni
-Hurudisha size nzuri ya uke hasa wenye shida ya uke uliolegea na kupwelepweta.
-Huondoa maji maji yatokayo ukeni yenye Harufu mbaya na ya mgando k**a mtindi
-Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Hufanya mwanamke kujiamini muda wote
-Huzibua mirija ya uzazi hivyo kusaidia wenye shida ya kutoshika mimba
-Humkinga mwanamke na maambukizi mabaya hasa u.t.i kwenye vyoo,kemikali za swimming pool, maambukizi Mabaya kutoka kwa mwanaume.n.k

Mwisho kabisa napenda kushauri wanawake wote uwe unaumwa au huumwi hii supplement ni vizuri kuwa nayo ndani itakusaidia kwenye
Kutibu na kujikinga na maradhi ya ukeni. (KINGA NI NAFUU KULIKO TIBA)

Offer Ni kwa Ajili Ya Wana Group Tu mwisho Wa Offer Hii Ni Kesho Ijumaa Saa 12 Jioni.

(N.B)offer Hii Ni kwa wanagroup Tu

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa kwa viambata asilia k**a vifuatavyo1...
04/10/2021

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)
Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa kwa viambata asilia k**a vifuatavyo

1. Wild honey (asali mwitu)
2. Mchai çhai
3. Mbegu za zabibu

KAZI MUHIMU
1️⃣. Hupambana na Mzee na kuondoa,Mikunjo makunyanzi,Michirizi Kwenye Ngozi.
2️⃣. Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muinekano nadhifu
3️⃣. Huondoa mafuta yaliyozidi kwenye ngozi.
4️⃣. Inavuta uchafu uliopo ndani ya ngozi, unaosababisha chunusi na mapele.
5️⃣. Inaomdoa madoa/makovu kwenye ngozi
6️⃣. Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hivyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo
7️⃣. Inazibua(inafungua) njia za jasho kwenye vinyweleo hivyo kudhibiti tatizo la harufu mbaya ya mwili
8️⃣. Inatibu na kukausha vidonda.
9️⃣. Inaua vijidudu (bacteria) wa kinywa, fangasi, upele na mapunye
🔟. Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia.

INAPATIKANA NCHI NZIMA TSHS 10,000/- TUPIGIE 0782556677 AU 0745885588

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when H.I.V and Cancer Health Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram