Afya care

Afya care Kuwa na afya Bora ni mtaji mkubwa

TATIZO LA TEZI DUME LIMEKUA TISHIO KWA AFYA YA WANAUME KWANZIA MIAKA 35+.Matatizo Ya Tezi Dume Husabaishwa Na Vitu Mbali...
19/09/2022

TATIZO LA TEZI DUME LIMEKUA TISHIO KWA AFYA YA WANAUME KWANZIA MIAKA 35+.

Matatizo Ya Tezi Dume Husabaishwa Na Vitu Mbalimbali Ikiwemo

✓Umri Mkubwa, Hupelekea Baadhi Ya Organs Kushindwa Kufanya Kazi Ipasavyo
✓Maradhi mengine K**a Kisukari, Pressure Acid Nyingi, Cholesterol.
✓Matatizo Katika Njia Ya Mkojo Na Maambukizi Ya Mara Kwa Mara
✓ Ufanywaji wa Ngono wa Mara Kwa Mara Unaihatarisha Afya Ya Tezi Dume.
✓ Utumiaji wa Mara kwa Mara Madawa Makali ya kuboost Nguvu za Kiume
✓Kuwekewa Mipira Ya Mkojo Mara Kwa Mara.
✓Ulaji Mbovu Unaopelekea Kukosa Madini Na Malighafi Mwili Muhimu Kwa Ajli ya Kulinda Na kuujengs Mwili.
✓Nature Za Kazi Ngumu Na Kukaa Muda Mrefu Bila Kazi
✓Kurithi. Tezi Dume Huweza Kuwa Pia Katika Vina Saba Vya Familia Fulani, Hivyo Unakuta Kila Mwanaume Au Asilimia Kubwa Ya Wanaume Kwenye Familia Hiyo Hupats Tatizo Hilo Wanapokua Na Umri fulani

DOSE HII YA TEZI DUME INA FAIDA ZIFUATAZO
✓ Inatibu Tatizo la TEZI Dume Pasipo Kufanyiwa Upasuaji (Ni Nzuri Pia Kwa Waliokwisha Kufanyiwa Upasuaji Ili Kuzuia Na Kutibu Kabisa Tatizo Lisijirudie)
✓ Inazuia Na Kutibu Saratani Ya Tezi Dume
✓ Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume
✓ Inadumisha Afya ya Mkojo
✓ Inaboresha Ufanisi Wa Tendo La Ndoa
✓ Inaondoa Maumivu Ya Kiuno Na Wakati Wa Kukojoa
✓ Husaidia Kufika Kileleni Vizuri Bila Maumivu.

Matokeo Ya Awali Ni Ndani Ya Siku Tatu Mpaka Wiki Tatu
Muda wa Kupona ni siku 90 mpaka 180 kutegemea na
✓Umri Wa Mtu
✓Umri Wa Tatizo
✓Chanzo Cha Tatizo
✓Ukubwa Wa Tatizo
✓Kinga Za Mwili.

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

HORMONE IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama (wanawake) wengi ambalo husababishwa n...
19/09/2022

HORMONE IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)

Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama (wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN

VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HOMONI
1. Utoaji wa mimba
2. Uwepo wa sumu mwilini
3. Kutokula mlo ulio kamili au mfumo mbovu wa maisha
4. Family history (upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone)
5. Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
6. Uzito mkubwa
7. Msongo wa mawazo
8. Kutofanya mazoezi
9. Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango
10. Kukoma kwa hedhi

DALILI ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI
1. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
2. Kutoshika mimba
3. Mzunguko wa hedhi kubadilika
4. Kuongezeka uzito
5. Kupungua hamu ya tendo la ndoa
6. Kupoteza kumbukumbu
7. Hasira za Mara kwa Mara.
8. Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
9. Uke kuwa mkavu
10. Kutoka jasho jingi usiku
11. Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
12. Mzio wa vyakula/Allerg kuchagua chagua vyakula

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA HOMONI
1. Kutoshika ujauzito kwa mda mrefu
2. Mimba kuharibika Mara kwa Mara
3. Kuwa mgumba
4. U.T.I Mara kwa Mara
5. Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke (fibroids)
6. Kuziba kwa mirija ya uzazi
7. Saratani

SULUHISHO LA KUVURUGIKA KWA HOMONI
Bidhaa zetu za stemcell ni suluhisho kwa tatizo hili. Usiendelee kupoteza muda fanya maamuzi sasa, bidhaa hizi ni 100% NATURAL na HALAL

Tafadhali share taarifa hizi kwa ndugu, jamaa na marafiki bila kusahau kulike na kucomment maoni yako. Maelezo zaidi piga 0754877333

Bila shaka maumivu ya mgongo ni moja ya matatizo ambayo yamekuwa shida kubwa ndani ya jamii yetu kwa miaka ya hivi karib...
19/09/2022

Bila shaka maumivu ya mgongo ni moja ya matatizo ambayo yamekuwa shida kubwa ndani ya jamii yetu kwa miaka ya hivi karibuni

Tafiti mbalimbali za wataalamu wa mambo ya Afya na Matatizo ya Binadamu wameripoti kuwa waathirika wengi wa tatizo hili huanzia haswa umri kati ya miaka 25 mpaka 40 na kuendelea

Maumivu haya yasipopata suluhisho mapema hupelekea kupata magonjwa au matatizo mengine ya kiafya k**a vile

Kupata matatizo ya uti wa mgongo, kuwa sababu ya kuathiriwa na kifua kikuu (TB) ya uti wa mgongo, kuwa na ngiri katika pingili zako za uti wa mgongo, kupata majeraha kwenye uti wa Mgongo kwa maana kusagika kwa diski

Maumivu ya mgongo yanatatulika kabisa kwa kutumia bidhaa zetu za stemcell au selishina. Bidhaa hizi ni 100% NATURAL na 100% HALAL

Kazi yake kubwa ni kuzalishia seli mpya katika mwili, kukarabati seli k**a zimedhoofika, kuboresha na kuamsha seli zilizo lala ama kupoteza nguvu ya kufanya kazi sawa na mahitaji yako ya mwili

Je, wewe ni muhanga wa tatizo hili? Share ujumbe huu kwa ndugu, jamaa na marafiki. Usikose kupita ukurasa wetu kila siku, hapa utajifunza mengi

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi 0754877333

13/09/2022

Stemcell inawezo wa kusaidia mwili kurudi katika hali ya kawaida na suluhisho la matatizo ya mfumo wa mwili
K**a
-Sukari
-Cancer
-Presha
-Stroke
-Ngiri
-Matatizo ya uzazi
-Tezi dime
N.k

Kwa mawasiliano zaidi usishindwe kututafuta kwa WhatsApp/call /text +255754877333

HABARI! KARIBU MDAU WA AFYA📌Maumivu Ya Mifupa Na Maungio, Kwa Bahati Mbaya, Moja Ya Sababu Kubwa Kwa  Wagonjwa Kutembele...
13/09/2022

HABARI! KARIBU MDAU WA AFYA

📌Maumivu Ya Mifupa Na Maungio, Kwa Bahati Mbaya, Moja Ya Sababu Kubwa Kwa Wagonjwa Kutembelea Daktari Wao.

📌Karibu Asilimia 95% Ya Wagonjwa Wa Mifupa Hupewa Tiba Zinazoweza Kuwapa Unafuu Kwa Muda Ili Kuondoa Maumivu Makali Wanayoyapata.
Mfano Wa Tiba Ni Pamoja Na Sindano Za Cortisone, Massage, Osteopathic Au Chiropractic, Dawa Za Maumivu NK.

📌Matibabu Haya Yanaposhindwa Kupunguza Maumivu, Mgonjwa Hutakiwa Kufanyiwa Upasuaji K**a Njia Ya Mwisho Ya Kuondoa Maumivu.

📌Hata Hivyo, Mara Nyingi Upasuaji Sio Jibu Bora. Na Wakati Mwingine Inaweza Hata Isimsaidie Mgonjwa Kabisa.

JE NINI HUWEZA KUTIBU MIFUPA KABISA?🤷
JIBU ➡️ SELI SHINA (MESENCHYMAL)

Sisi Sote Tuna Seli Shina Za Uponyaji Katika Miili Yetu.
Seli Hizi Hupatikana Katika Bone Marrow, Seli Hizi Hufanyika K**a Ukarabati Mwilini. Na Zinaweza Kuzaliwa Tena Katika Aina Ya Seli Inayohitajika Kutibu Kwenye Eneo Lililojeruhiwa.

📌Kuna Aina Tofauti Za Seli Za Shina.
✓Seli Za Shina Za Mesenchymal (MSC) Ni Aina Ambayo Tunatumia Katika Matibabu Ya Mifupa.
✓Hukarabati Majeraha Kwenye Misuli, Mfupa,Maungio Na Tishu Laini.
✓Huondoa Hali Ya Kuvimba
✓Hutengeneza Cartilage, Mfupa, Misuli Na Seli Za Mafuta.
✓Huusadia Mwili Kutengeneza Tishu Zilizopotea Katika Eneo Lililojeruhiwa.

📌Umri Unavyoenda Mwili Hupoteza Uwezo Wa Asili Wa Kutengeneza Hizi Seli Shina. Hivyo Kuna Technologia Ya Kutoa Seli Shina Kwa Mimea Na Mtu Napotumia, huzalisha Mesenchymal na Baada Ya Muda Elekezi Hupona Kabisa Matatizo Ya Mifupa.

📌STEM CELLS HIZI HUTIBU MARADHI YA MIFUPA YAFUATAYO
¶ Kukosa Ute Ute Kwa Muda Mrefu
¶ Discs kupishana au Kubandana
¶ Mifupa kusagika
¶ Tatizo La Hip Joint
¶ Gauti
¶ Rheumatism
¶ Arthritis
¶ Stroke
¶ Osteoporosis
¶ Vimbe za Kwenye Mifupa
¶ Matatizo Ya Mgongo (Hata waliotoka Kujifungua).
¶ Ganzi, Maumivu Makali Ya Mifupa
¶ Kushindwa Kuchuchumaa, Kushindwa Kutembea
¶ Maumivu K**a Moto Kwenye Visigino Mabega Na UTI wa Mgongo
Nk

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

UNAIFAHAMU ANT AGING GANI POWERFUL DUNIA? 🤷Je Ni Kipodozi Fulani? Au Ni Dawa Fulani?Woow! Ni Vizuri Sana Kutumia Kipodoz...
13/09/2022

UNAIFAHAMU ANT AGING GANI POWERFUL DUNIA? 🤷

Je Ni Kipodozi Fulani? Au Ni Dawa Fulani?

Woow! Ni Vizuri Sana Kutumia Kipodozi Kuremba Ngozi. Lakini Matokeo Ya Kudumu Huanzia Pale Kilipo Chanzo Cha Ngozi Na Hapo Ni Kwenye Seli Shina.

Seli Shina Ikiimarika Ngozi Inanawiri Na Kuendelea Kuwa Nzuri Kila Siku.

TUMIA STEMCELL KUTIBU NGOZI NA AFYA KWANZIA KWENYE SELI👇

01. Kuondoa Seli Zilizokufa, Kuzalisha Seli Mpya ZitakazoIpa Ngozi Nguvu, Ung'avu Wa Asili, Kuwa Nyororo Na Yenye Mvuto
Hii Husaidia Sana Kuifanya Ngozi Kupumua Vizuri Na Kutokua Na Mrundikano Wa Uchafu.

02. Kuondoa Sumu Mwilini, Hivyo Kuifanya Ngozi Kutokua Katika Hatari ya Kupata Maambukizi.
Kumbuka Ngozi Hupigwa Jua (Mionzi Ya Jua Ina Faida Lakini Huathiri Ngozi) Lakini Pia Kuna Sumu Za Vyakula Na Zingine Zimetokana Na Vipodozi Na Sabuni. Vyote Huathiri Ngozi, Hivyo Bidhaa Hii Huondoa Sumu Hizo Na Kuiacha Ngozi Kuwa Salama.

03. Kuipa Ngozi Rangi Moja.
Mara Nyingi Watu Hua Na Rangi Tofauti Mwilini Na Kwenye Uso. Wengine Uso Unang'aa Kutokana Na Vipodozi Lakini Mwili Umefubaa. Na Wengine Mwili Unang'aa Kwasababu Mara Nyingi Kavaa Nguo Kwahiyo Hapigwi Jua, Ila Uso Umefubaa Kwa Sababu Ya Jua. Bidhaa Hii Inasaidia Kuipa Ngozi Rangi Moja Ya Asili.

04. Kurekebisha Mfumo Wa Ngozi
Ngozi Ina Mfumo Wake Kabla Ya Hiyo Tunayoiona Nje. Wengi Hupambana Kutoka Nje Ndio Maana Matokeo Hua Ya Muda Mfupi. Kwa Kutumia Bidhaa Hii Ngozi Haizeeki (Unakua na Ngozi Changa Kwani Mfumo Wake wa Kutengeza Seli, Kutoa Taka na Kupumua Uko Active)

05. Kuondoa Makunyanzi Usoni Na Mwilini
06. Kubana Ngozi (Collagen Activities)
07. Kutibu Madoa Sugu Kwenye Ngozi Yaliyotokana Na Chunusi Na Matumizi Ya Vipodozi Vikali (Kujichubua)
08. Kutibu Makovu Sugu Yanayotokana Na Vidonda Vya Kuumia, Maradhi Na Hata Mkanda Wa Jeshi.
09. Kutoa Weusi Chini Ya Macho
10. Kuondoa Vinyama Vyeusi Vinavyoota Kwenye Ngozi (Visunzua)
11. Kuimarisha Ngozi, Na Kutibu Allergy

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

DOUBLE STEAMCELL NA CRYSTAL CELLProducts hiyo ni double steamcell na crystalcell Zipo na products zingine ILA hizi ndo p...
13/09/2022

DOUBLE STEAMCELL NA CRYSTAL CELL

Products hiyo ni double steamcell na crystalcell Zipo na products zingine ILA hizi ndo products mama

PSYTOSCIENCE ni kampuni ambayo imejikikita kutengeneza products ambazo zinazalishwa kutoka katika cell zinazotoka katika shina LA mmea.

☝hayo yote ni magonjwa ambayo humalizika baada ya kutumia double steam cell 👏na mengine utaona mwenyewe

Double steam cell kazi yake huzalisha na kukarabati upya cell za mwili zilizoharibika na zilizokufa👏

kumbuka miili yetu imejengwa na cell... Sasa inapotokea cell zimeharibika au kufa ndiyo unasikua mtu anaumwa chochote mwilini mwake.
Yaweza kuwa

stock,
sukari,
Kansa
Bawasiri
Fico
Ini
Uvimbe wa uzazi
Kuvimba Miguu
Macho na masikio
presha,
vidonda tumbo,
uvimbe,
ngiri,
Masuala ya uzazi

unapoteza utendaji kazi hasa katika ndoa yako na hii hupelekea ndoa nyingi kuvunjika👏na mengine mengi haswaaaa💽

PIA WANAHITAJIKA MAWAKALA WA KUSAMBAZA STEM CELL ,WAKALA LAZIMA AWE MEMBER

Usiendelee kuteseka wakati changamoto uliyonayo sasa unaweza kupata suluhisho.

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

Hivi Kumbe Bado Unateseka 🤔🤔😳😳😳!?,SICKLE CELL AU SELI MUNDU NI NINI? Ni ugonjwa wa kurithi ambao mgonjwa hana damu ya ku...
13/09/2022

Hivi Kumbe Bado Unateseka 🤔🤔😳😳😳!?

,SICKLE CELL AU SELI MUNDU NI NINI?

Ni ugonjwa wa kurithi ambao mgonjwa hana damu ya kutosha kwa sababu seli zake za mwili siyo imara kubeba hewa ya iksijeni kupeleka sehemu mbalimbali kwenye mwili.

Kwa hali ya kawaida seli za mwanadamu huwa na umbo la k**a yai na linalovutia kiasi kwamba huweza kupita kirahisi kwenye mishipa ya damu lakini seli za magonjwa na sickle cell huwa na umbo k**a mwezi na ngumu keep adibkwamba hukwama kwenye mishipa ya damu na kuzuia damu kupita kwenda sehemu mbalimbalu kwenye mwili

CHANZO CHA UGONJWA WA SICKLE CELL

Husababishwa na kubadilika kwa mfumo wa mwili wa kutengeneza vimelea vya kutengeneza damu ya haemoglobi .

Haemoglobin hii husababisha selli zinazotengeneza vimelea vya kutengeneza damu ya haemoglobin.
Haemoglobin hii husababisha selli zinazotengenezwa kuwa na umbo ambalao siyo la kawaida

DALILI ZA UGONJWA WA SICKLE CELL
1. Kuishiwa damu
2. Maumivu makali ya mwili
3. Kuvimba vidole
4. Kuchelewa kukua kwa watoto
5. Kutoona vizuri
6. Kushindwa kupumua vizuri
7. Kizunguzungu
8. Damu katika mkojo
9. Unjano katika macho na ngozi

MADHARA YA UGONJWA WA SICKLE CELL K**A UTAPUUZIWA

1.Upofu, mishipa ya damu inayosambaza damu kwenye macho huweza kuzibiwa na seli hizo na kuharibu baadhi ya sehemu za machi na kuleta upofu

2.Kuharibika kwa viwango vya mwili, ukosaji wa damu kwenye viungo k**a bandama , figo na maini huweza kusababisha kushindwa kazi kwa viungi hivyi na kupelekea kifo.

3.Kiharusi, kuziba kwa seli ndani ya mishipa ya damu ya kichwa husababisha kupooza kwa upande mzima wa mwili kitaalam k**a kharusi

SULUHISHO KWA UGONJWA WA SIckle CELL ( seli mundu)

Bidhaa zetu za stemcell ni suluhisho pekee kwa ugonjwa huu, huimarisha afya yako au ya mtoto wako na tatizo hili utalisahau maana kazi kubwa ya stem cell ni kuzalisha selli mpya mwilini na kuhuhisha seli ambazo ni dhaifu

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

TATIZO LA TEZI DUME LIMEKUA TISHIO KWA AFYA YA WANAUME KWANZIA MIAKA 35+.Matatizo Ya Tezi Dume Husabaishwa Na Vitu Mbali...
12/09/2022

TATIZO LA TEZI DUME LIMEKUA TISHIO KWA AFYA YA WANAUME KWANZIA MIAKA 35+.

Matatizo Ya Tezi Dume Husabaishwa Na Vitu Mbalimbali Ikiwemo

✓Umri Mkubwa, Hupelekea Baadhi Ya Organs Kushindwa Kufanya Kazi Ipasavyo
✓Maradhi mengine K**a Kisukari, Pressure Acid Nyingi, Cholesterol.
✓Matatizo Katika Njia Ya Mkojo Na Maambukizi Ya Mara Kwa Mara
✓ Ufanywaji wa Ngono wa Mara Kwa Mara Unaihatarisha Afya Ya Tezi Dume.
✓ Utumiaji wa Mara kwa Mara Madawa Makali ya kuboost Nguvu za Kiume
✓Kuwekewa Mipira Ya Mkojo Mara Kwa Mara.
✓Ulaji Mbovu Unaopelekea Kukosa Madini Na Malighafi Mwili Muhimu Kwa Ajli ya Kulinda Na kuujengs Mwili.
✓Nature Za Kazi Ngumu Na Kukaa Muda Mrefu Bila Kazi
✓Kurithi. Tezi Dume Huweza Kuwa Pia Katika Vina Saba Vya Familia Fulani, Hivyo Unakuta Kila Mwanaume Au Asilimia Kubwa Ya Wanaume Kwenye Familia Hiyo Hupats Tatizo Hilo Wanapokua Na Umri fulani

DOSE HII YA TEZI DUME INA FAIDA ZIFUATAZO
✓ Inatibu Tatizo la TEZI Dume Pasipo Kufanyiwa Upasuaji (Ni Nzuri Pia Kwa Waliokwisha Kufanyiwa Upasuaji Ili Kuzuia Na Kutibu Kabisa Tatizo Lisijirudie)
✓ Inazuia Na Kutibu Saratani Ya Tezi Dume
✓ Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume
✓ Inadumisha Afya ya Mkojo
✓ Inaboresha Ufanisi Wa Tendo La Ndoa
✓ Inaondoa Maumivu Ya Kiuno Na Wakati Wa Kukojoa
✓ Husaidia Kufika Kileleni Vizuri Bila Maumivu.

Matokeo Ya Awali Ni Ndani Ya Siku Tatu Mpaka Wiki Tatu
Muda wa Kupona ni siku 90 mpaka 180 kutegemea na
✓Umri Wa Mtu
✓Umri Wa Tatizo
✓Chanzo Cha Tatizo
✓Ukubwa Wa Tatizo
✓Kinga Za Mwili.

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

SULUHISHO YA MAGONJWA KUTUMIA STEM CELL.      TEGA SIKIO.CRYSTAL CELL ni bidhaa za kipekee zilizotengenezwa kwa teknoloj...
12/09/2022

SULUHISHO YA MAGONJWA KUTUMIA STEM CELL.
TEGA SIKIO.

CRYSTAL CELL ni bidhaa za kipekee zilizotengenezwa kwa teknolojia mpya kutoka kwenye mimea mitatu (Apple, Zabibu na Nyanya) Ni kinga na suluhisho kwa magonjwa mengi bila kujali yamekuwa mwilini kwa muda mrefu au mfupi, magonjwa k**a
▪️Kisukari/Diabetes mellitus
▪️Saratani/Cancer aina zote
▪️Kiharusi/Stroke
▪️Siko seli/Sickle Cell
▪️Arthritis
▪️Fibroids
▪Tezi dume
▪️Ovarian Cysts/Uvimbe kwenye kizazi

▪️Mirija ya uzazi kuziba kwa wanawake
▪️Asthma/Pumu/Allergies
▪️High Blood
▪Matatizo ya Ini
▪Matatizo kwenye
▪️Matatizo ya macho/Pressure

CRYSTAL CELL ni 100% NATURAL (isiyo na kemikali) na 100Bei box moja ni 100000
Ukichukua pacage box ni 76,000 ila zinaanzia 5 hii ni bei ya member
CRYSTAL CELL imethibitishwa na TFDA Tanzania ambayo sasa iko chini ya TBS na FDA ya nchini marekani

Maelezo zaidi check
+255655731345
+255767831345

PIA WANAHITAJIKA MAWAKALA WA KUSAMBAZA STEM CELL ,WAKALA LAZIMA AWE MEMBER

Usiendelee kuteseka wakati changamoto uliyonayo sasa unaweza kupata suluhisho.

Kwa taarifa Zaidi
+255754877333

Stem Cells ni nini?*Hizi ni Cells ambazo zina uwezo wa kujiongeza zenyewe kuwa cell husika au cell nyingine yeyote na ku...
12/09/2022

Stem Cells ni nini?*
Hizi ni Cells ambazo zina uwezo wa kujiongeza zenyewe kuwa cell husika au cell nyingine yeyote na kuacha nakala halisi(original copy) ya cell husika.

Ziko aina mbali mbali mbali

- Embryonic Stem Cells
Hii ndo ile Cell ya kwanza kabisa inayoanzisha maisha ya mwanadamu, ambayo ndio hugawanyika na kuwa cells mbali mbali mwilini.

- Adult Stem Cells
Hizi huitwa pia Tissue Stem cells.....Kwa nini?
Baada ya Embryonic Stem Cell kujigawa na kuwa Cell ya kiungo husika, cell hiyo haiwezi kubadilika kazi tena.

Tunatambua kuwa cell zina muda maalumu wa kuishi.
Muda unapofika hufa, na hivyo huzaliwa cell zingine ili kujazia nafasi hiyo, na zilizokufa kutolewa kwa njia mbalimbali.

Nini kinafanya uzalishaji huu uendelee?
Kila kiungo kina Stem Cells zake ambazo ndizo zina husika katika kuhakikisha uzalishaji wa cells husika unaendelea na kwa kiwango kinachotakiwa.

Kwa sababu Mbali mbali uzalishwaji wa cells katika mwili unaweza kuathiriwa, na pia cells zinaaathiriwa na hvyo kupelekea magonjwa mbali mbali.

Mfano:

Beta ni kiungo kinachozalisha insulin ambayo huakikisha sukari imekaa katika viwango vyake mwilini, uzalishaji wa cells mpya katika kiungo hiki ukifa, kiungo hiki huacha kuzalisha insulin, ukosefu wa insulin tayari ndo tunaita kisukari.

Cell za kwenye damu, zikiacha kufanya kazi ya kwenye damu na kutaka kufanya kazi yingine husababisha mtifuano, ambao ndo matokeo yake tunata kansa.

Kinachosafirisha chakula na hewa safi mwilini ni Cell.

Cell hizi zikishindwa kufikisha hewa safi kwenye viungo fulani unaiita ganzi.

Cell hizi zikishindwa kufikisha chakula, dawa na hewa safi kwenye kidonda ndipo unaita kidonda ndugu.

Cell hizi hizi ndizo zinatengeneza tissue za kwenye ubongo ambazo zikipata mgandamizo kiasi cha kushindwa kutuma taarifa kwenye sehemu za mwili unaiita Stroke Double Stem & Crystal Cell sio Cell mpya.

Zinachofanya ni kwenda kuzihuisha upya hizi Adult Stem Cells ambazo zimeacha kujizalisha au zimepunguza uzalishaji,

Ndio maana ukizitumia unarudisha ujana why?
Haupewi cell za apple, zile Stem Cell za kwenye ngozi zimehuishwa, kwa hiyo ngozi yako inazalisha cells mpya ambazo ndo zinakufanya uonekane kijana

PIGA SIMU
0754788333

Kwa maelezo na msaada zaidi

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share