BELAM NA AFYA

BELAM NA AFYA Nawasaidia wenye changamoto ya vidonda vya tumbo

Dr Bellam 0733883199 VIUNGO NA MIFUPA Matatizo ya mifupa na viungo yamekuwa changamoto Sana kwa watu wengi na hasa wanap...
17/10/2023

Dr Bellam
0733883199

VIUNGO NA MIFUPA

Matatizo ya mifupa na viungo yamekuwa changamoto Sana kwa watu wengi na hasa wanapofika umri was miaka 30 na kuendelea.Hapa Sasa mtu ataanza kuhisi maumivu makali kwenye magoti,pingili za mgongo,nyonga na shingoni pia wapo ambao viungo vyao huuma mwili nzima kutokana na upungufu was madini muhimu K**a vile zink na calcium

Kitaalamu matatizo haya yamegawanyika katika makundi makuu manne (4) nayo ni_
1:osteoarthritis- ambayo viungo vinasagana kutokana na kulika kwa gegedu(cartilage) na Ute kuisha kwenye maungio

2:Rheumatic Arthritis--hii ni ile Hali ya Kinga ya mwili kutafuna gegedu(cartilage) hii hutokea kwa watu wa umri wowote

3:Osterporosis--hii ni ile Hali ya mifupa kuwa dhaifu na kuwa rahisi kuvunjika na hutokana na upungufu wa madini ya calcium

4:Gaut Arthritis--hii inasababiswa na uric acid (kemikali inayotokana na protini ya nyama)

Dalili za matatizo ya mifupa kwa ujumla

@ . Maumivu kwenye maungio
@ .Viungo kushindwa kujikunja
@ .kusikia milio ya kusagana Viungo
@ .Kukaza kwa Viungo
@ . Kushindwa kuinama au kuinuka baada ya kukaa kwa mda flani
@ .Kuhisi ganzi kwenye miguu na kuwaka Moto kwa miguu

Sababu zinazoleta haya matatizo ya mifupa

@ .Uzito uliopindukia
@ .Historian ya familia
@ .Ajali
@ .kutumikisha viungu kupita kiasi mfano mazoezi makali
@ .Kisukari pia huleta madhara kwa mifupa na Viungo


Changamoto katika kutibu haya matatizo

@ .Watu wengi wanatumia dawa za kutuliza maumivu
*Dawa za maumivu hutuliza maumivu tu kwamda na baadae Maumivu hurudi Tena maana hazisaidii kuongeza Cartilage (gegedu) Wala uteute

wengi wanafanyiswa mazoezi
*Mazoezi huwasaidia watu kwa muda mfupi na baadae hurudi Tena tatizo

*Kwahiyo watu wengi wenye tatizo la viungu kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa Viungo kwa gharama kubwa Sana

Madhara ya kukaa na tatizo hili kwa mda mrefu

@ . Kushindwa kukunja Viungo kabisa
@ .Kuvunjika kwa urahisi kwa mifupa

Mwanaume ! Je Una changamoto ya nguvu za kiume na umetafuta TIBA sahihi umekosa!? Dr. Bertha0747 11 53 14Zijue 👇*DALILI ...
17/10/2023

Mwanaume ! Je Una changamoto ya nguvu za kiume na umetafuta TIBA sahihi umekosa!?

Dr. Bertha
0747 11 53 14

Zijue 👇
*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kukosa Hamu ya Tendo kabisa / kukosa Msisimko/Mihemko

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito sana.

4)MBEGU KUTOKA KIDOGO AU HAZITOKI KABISA/

5)Uume kuwa Lege lege wakati unashiriki Tendo

6)UUME KUSINYAA NA KUWA MDOGO

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

*PACKAGE YA MFUMO WA UZAZI ITAKUSAIDIA KATIKA MAMBO YAFUATAYO 🇲🇾KWA MWANAUME*
*
*
Ni maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

*HII hufanya kazi zifuatazo:-*

✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume.
✅Hukuepushia Athari ya kupata Ugonjwa wa BAWASIRI (hemorrhoids)
Kumbuka 💥 NGUVU ZA KIUME ZIKIPUNGUA TEZI DUME UNAPATA.
Call | Message | WhatsApp
0747 11 53 14

Piga simu kwa Msaada zaidi , WhatsApp kwa ushauri zaidi

*🩺 DONDOO ZA AFYA Dr belam0733883199*IJUE SABABU YA KUTOKUPONA VIDONDA VYA TUMBO HIYO HAPO CHINI👇*Uzalishwaji wa ACID ny...
25/08/2023

*🩺 DONDOO ZA AFYA
Dr belam
0733883199

*IJUE SABABU YA KUTOKUPONA VIDONDA VYA TUMBO HIYO HAPO CHINI👇*
Uzalishwaji wa ACID nyingi tumboni ndyo sababu kubwa ,ndyo maana Kuna watu unawajua wamepona vidonda lakini wewe hauponi kwasababu vidonda vyake ni tofauti na vyako,WASILIANA na DOCTOR upate ufafanuzi

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.

3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.

4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.

5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.

6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.

8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.

9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.

12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.

13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).

15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.

16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.

18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.

Bonyeza kitufe cha whatsapp Ili kuwasiliana nami

Ujumbe muhimu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la vidonda vya tumbo K**a wewe ni ...
08/08/2023

Ujumbe muhimu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la vidonda vya tumbo

K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.

Kwa jina naitwa Dr Belam.

Ninawasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo kutatua tatizo la vidonda vya tumbo bila ya kutumia dawa za hospitali kupitia mpangilio wa chakula pamoja na virutubisho lishe

Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua tatizo la vidonda vya tumbo.

K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ucomment namba yako ya simu ya watsapp hapa chini.

Au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba 0733883199

Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia wewe pamoja na wenzako darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.

Bonyeza kitufe kilichoandikwa whatsap ili kuja moja kwa moja whatsapp

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

DR BELLAM

Mtaalamu wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Usitumie vyakula vyenye uchungu k**a limao ikiwa una vidonda vya tumbo
07/08/2023

Usitumie vyakula vyenye uchungu k**a limao ikiwa una vidonda vya tumbo

07/08/2023

KARIBUNI SANA

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 06:00 - 22:00
Tuesday 06:00 - 22:00
Wednesday 06:00 - 22:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 06:00 - 22:00
Sunday 06:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BELAM NA AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to BELAM NA AFYA:

Share

Category