Zaituni A Kapasi

Zaituni A Kapasi 👉 "Lengo langu ni kusaidia jamii kujiepusha na magonjwa yanayo sababishwa na mkusanyiko wa sumu mwilini.

Kupitia elimu na mbinu sahihi za kiafya, naamini kila mmoja anaweza kuishi maisha yenye nguvu, kinga thabiti na afya njema." Huduma hii inapatikana popote ulipo piga simu au tuma sms upate maelekezo

10/01/2026

HII NDIO HALI YA SUMU INAVYO HARIBU MWILI

09/01/2026

“Pombe inaweza kuburudisha, lakini kumbuka:

burudani ya dakika chache isiwe sababu ya kuharibu afya ya maisha yako yote. Kunywa kwa kiasi, linda ini lako, linda moyo wako na linda mustakabali wako. Afya yako ndiyo mtaji wako.”

☎️+255687232616
🗨️+255754819852

08/01/2026

"Unajisikia kuchanganyikiwa bila sababu? 🤯 Mara nyingi si akili yako imechoka, ni mwili umejaa sumu.
Ondoa sumu, pata uwazi wa mawazo na nguvu mpya za maisha! 🌿✨"

NINI KIFANYIKE.!!

Piga Simu 0687232616

,

07/01/2026

"Unajisikia kuchanganyikiwa bila sababu? 🤯 Mara nyingi si akili yako imechoka, ni mwili umejaa sumu.
Ondoa sumu, pata uwazi wa mawazo na nguvu mpya za maisha! 🌿✨"

NINI KIFANYIKE.!!

Piga Simu 0687232616

,

06/01/2026

“Pombe inaweza kuburudisha, lakini kumbuka:

burudani ya dakika chache isiwe sababu ya kuharibu afya ya maisha yako yote. Kunywa kwa kiasi, linda ini lako, linda moyo wako na linda mustakabali wako. Afya yako ndiyo mtaji wako.”

☎️+255687232616
🗨️+255754819852


05/01/2026

"Safisha Mwili Wako ili kulinda Afya Yako! 🌱✨

☎️ +255687232616
🗨️ 0754 819 852

Mwili ulio safi huimarisha kinga, hulinda viungo muhimu na hukupa nguvu ya kuishi maisha yenye furaha na afya njema.

Anza leo safari ya kusafisha mwili wako ili kuondoa sumu, kuupa nafasi ya kupumua na kukua upya." 💪🍃

04/01/2026

🌿 Sumu huingia, Detox huifuta.
Kila siku, mwili wako hukutana na sumu kupitia hewa, chakula, na mazingira. Ukizirundika, zinachosha mwili, kuua nguvu, na kupunguza kinga.

👉 Sasa unaweza kuupatia mwili wako nafasi ya kupumua upya.
Kwa kutumia mchanganyiko wa viambato asili vinavyosaidia ini, figo, utumbo, na ngozi, detox hii inasaidia:

✅ Kuondoa sumu zilizojificha
✅ Kuongeza nguvu na mng’ao wa ngozi
✅ Kurejesha usawa wa mwili

💧 Anza leo — kwa afya safi, nguvu mpya, na maisha yenye mwanga.

☎️ +255687232616
💬 0754 819 852

03/01/2026

✅ UMUHIMU WA KUSAFISHA MWILI

Imeandaliwa na...
+255687232616

1. Kuondoa Taka Sumu (Toxins)
Mwili hujikusanyia sumu kutoka kwenye vyakula, hewa, vipodozi, na mazingira. Bila kusafishwa, sumu hizi huathiri viungo k**a ini, figo, na ngozi.

2. Kuboresha Utendaji wa Viungo Muhimu
husaidia ini, figo, utumbo na kongosho kufanya kazi vizuri zaidi.

3. Kuzuia Magonjwa ya Kisasa
Sumu mwilini huchangia kisukari, shinikizo la damu, saratani na matatizo ya ngozi. Kusafisha mwili hupunguza hatari hizi.

4. Kuimarisha Kinga ya Mwili
Mwili unapokuwa safi, kinga huongezeka na kupambana na maradhi kwa ufanisi zaidi.

JE FAIDA ZA KUSAFISHA MWILI NI ZIPI?

Piga simu au Tuma ujumbe kujua Faida zake

02/01/2026

MUDA UMEFIKA WA KUIKIMBIA HIYO HALI

01/01/2026

ANZA SASA HAUJACHELEWA

31/12/2025

USIKUBALI KUHARIBU UHALISIA WA MWILI WAKO KWA KUACHA MABAKI YA SUMU MWILINI

☎️+255687232616

30/12/2025

✅ UMUHIMU WA KUSAFISHA MWILI

Imeandaliwa na...
+255687232616

1. Kuondoa Taka Sumu (Toxins)
Mwili hujikusanyia sumu kutoka kwenye vyakula, hewa, vipodozi, na mazingira. Bila kusafishwa, sumu hizi huathiri viungo k**a INI, UBONGO, MOYO, FIGO, na NGOZI.

2. Kuboresha Utendaji wa Viungo Muhimu
husaidia ini, figo, utumbo na kongosho kufanya kazi vizuri zaidi.

3. Kuzuia Magonjwa ya Kisasa
Sumu mwilini huchangia KISUKARI, shinikizo la damu,(PRESHA) saratani na matatizo ya ngozi. Kusafisha mwili hupunguza hatari hizi.

4. Kuimarisha Kinga ya Mwili
Mwili unapokuwa safi, kinga huongezeka na kupambana na maradhi kwa ufanisi zaidi.

5 Kuboresha afya ya mwanaume na mfumo wa uzazi, Pamoja na tendo landoa

Piga simu au Tuma ujumbe kujua Faida za kusafisha mwili

Address

Mwenge ITV
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zaituni A Kapasi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Zaituni A Kapasi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram