Dr_jennifermatete

Dr_jennifermatete Ninasaidia Wanawake Wenye Chunusi Kuwa na Ngozi Yenye Mvuto na Mwonekano Mzuri

Ujumbe Muhimu kwa Mwanamke Mwenye Changamoto ya ChunusiNaitwa Jennifer MateteNinasaidia Wanawake Kuondokana na Chunusi I...
17/07/2023

Ujumbe Muhimu kwa Mwanamke Mwenye Changamoto ya Chunusi

Naitwa Jennifer Matete

Ninasaidia Wanawake Kuondokana na Chunusi Ilikuwa na Mwonekano Mzuri Wa Ngozi Bila Kutumia Kemikali

Wengi Wetu Tunapenda Kuonekana Warembo au Kudumu Mabinti Ila Tatizo ni Kuwa Tunashindwa Kujua Bidhaa Sahihi za Kutumia Kutufikisha Huko.

Tunafikiri Labda Tukitumia Bidhaa Ghali Tutafanikiwa Ila Tunaambulia Patupu.
Bila Kujua Kuna Siri Nzito Nyuma ya Ilo.

Nimekuandalia Darasa BURE kwa Ajili Yako la Namna ya Kuondoa Chunusi Ilikuwa na Mwonekano Mzuri Wa Ngozi Yako Kupitia Njia Asilia na Salama kwa Ngozi Yako

K**a Utapenda Kuhudhuria Darasa Hilo.

Bofya Kitufe Cha WhatsApp Kisha Nitakuunga Katika Group Iliuanze Mafunzo

Ni Mimi Mwenye Kujali Mwonekano wa Ngozi Yako

Jennifer Matete

Mkurugenzi, Jayn Solutions

Namba 0656040308

Je, Ungependa Kujua Jinsi ya Kutatua Changamoto za Uzazi!!!Nimekuandalia Darasa BURE ambapo Utajifunza Jinsi ya Kutatua ...
24/04/2023

Je, Ungependa Kujua Jinsi ya Kutatua Changamoto za Uzazi!!!

Nimekuandalia Darasa BURE ambapo Utajifunza Jinsi ya Kutatua Magonjwa ya Mfumo wa Uzazi

Bofya link hii kuingia darasani...
https://chat.whatsapp.com/FljadQeZT5jK4EWs6mVG0H

24/04/2023
20/04/2023

HARUFU MBAYA UKENI NI NINI ?
Harufu mbaya ukeni ni hali ya mwanamke kutokwa na maji au ute mzito ukeni wenye rangi nyeupe au kahawia wenye harufu kali na kuwasha.

CHANZO / SABABU ZA HARUFU MBAYA UKENI
đź’Ą Kitaalamu hali ya mwanamke kutokwa na maji yenye rangi nyeupe au njano ni hali ya kawaida na sio tatizo.Majimaji au uteute unaoteleza kutoka sehemu za Siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha au kutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nje ya mwili pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maambukizi ya bacteria.Zifuatazo ni sababu au vyanzo vya harufu mbaya ukeni
⚡ POOR HYGIENE - tatizo hili huweza kusababishwa na mhusika mwenyewe kuwa mchafu mfano kukaa na pads mda mrefu
⚡ VAGINAL OR CERVICAL CANCER - Mtu anapokuwa na kansa ya uke hutokwa na maji yenye harufu mbaya.
⚡SEXUAL TRANSMITED DISEASES (STDs) - Baadhi ya magonjwa K**a KASWENDE & KISONONO huweza kusababisha au kumpelekea mwanamke kutokwa na harufu mbaya ukeni.
⚡YEAST INFECTION - kwa kawaida Kuna kiwango kidogo cha yeast ( candida albicans) katika uke ,madhara hutokea pale kiwango kinapozidi ( hali ambayo inatokana na kubadilika kwa hali ya hewa ukeni ) mambo ambayo hupelekea kubadilika kwa hali ya hewa ukeni ni matumizi ya dawa za kuzuia mimba na matumizi ya antibiotics.

DALILI
Zifuatazo ni dalili au viashiria kwa mwanamke kupata shida ya kutokwa na harufu mbaya ukeni .Dalili hutofautiana kulingana na rangi ya uchafu itokayo ukeni .
a) UCHAFU WENYE RANGI YA KAHAWIA AU DAMU - Huu uchafu huonyesha dalili kuwa
* Mzunguko wa hedhi umevurugika
*Dalili ya kansa ya kizazi.

b) UCHAFU WENYE RANGI YA NJANO AU KIJANI - Huu huonyesha dalili ya
* Maambukizi ya parasite yatokanayo na ngonozembe.

UCHAFU MWEUPE MZITO WENYE K**A JIBINI - Huashiria dalili ya maambukizi ya
* Fangasi ( yeast infection)

MADHARA YA HARUFU MBAYA UKENI

i) Kuwashwa na kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
ii) Kutokewa na vipele ukeni
iii) Kuvimba kwa sehemu ya nje ya uke

Fangasi Za Ukeni Mara Nyingi Husababishwa Na Fangasi Waitwao Candida Albicans, Lakini Wakati Mwingine Ni Aina Nyingine Z...
20/04/2023

Fangasi Za Ukeni Mara Nyingi Husababishwa Na Fangasi Waitwao Candida Albicans, Lakini Wakati Mwingine Ni Aina Nyingine Za Fangasi Na Hizi Ni Vigumu Sana Kutibika

VISABABISHI VYA FANGASI UKENI

1.matatizo Ya Homoni(Homoni Za Kubadilika/kuwanyingi Sana Au Kushuka Sana) Hii Inaweza Kusahabishwa Na; Ukomo Wa Hedhi,ujauzito, (Mp)kuwa Katika Siku Za Mwezi, Matumizi Ya Dawa Za Kuongeza Kiwango Cha Hormon Za K**e

2. Matumizi Ya Antibiotics Hizi Huuwa Bacteria Wazuri Na Kubadiri Ph Ya Uke

3.kufanya Mapenzi Na Mtu Aliye Na Ugonjwa Wa Fangasi Za Sehemu Za Siri Bila Kinga

4.kushuka Kwa Kinga Ya Mwili Hii Inaweza Kusababishwa Na Magonjwa Mbalimbali K**a Ukimwi, Kisukari, Upungufu Wa Madini,vitamini Na Virutubishi Mbalimbali Vya Mwili.

5.ulaji Mbaya Hasa Kupendelea Vyakula Vyenye Sukari Kwa Wingi (Sukari Ni Chakula Kwa Fangas Hivyo Huongezeka).

6.kukosa Usingizi Na Msongo Wa Mawazo .

DALILI ZA FANGASI UKENI
~muwasho Sehemu Za Siri
~vipele Vidogo Vidogo Ukeni

~kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya

~vidonda Au Michubuko Ukeni

~kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni

~kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa

~kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke

~kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke

NAMNA YA KUZUIA FANGASI UKENI

1. Epuka Kusafisha Uke Kwa Kutumia Vitu Vyenye Kemikali K**a Sabuni

2. Epuka Kutumia Marashi Yenye Chemikali Ukeni Na Kuingiza Vitu MbĂ limbali Ukeni K**a Vidole, Asali, Mgagani N.k

3. Epuka Kutawadha Kutokea Nyuma Kwenda Mbele Baada Ya Kujisaidia Haja Kubwa Au Ndogo

4. Mtibu Mpenzi Wako Alie Na Ugonjwa Wa Fangasi

5. Safisha Uke Na Kujifuta Kwa Kitambaa Safi Ilikuuacha Mkavu

6.Hakikisha Kinga Ya Mwili Wako Iko Juu

7. Vaa Chupi Zitengenezavyo Kwa Vitu Halisi K**a Pamba

8. Epuka Ulaji Mbaya Wa Chakula Hasa Punguza Vyakula Vyenye
Sukari Kwa Wingi Mwilini

Uvimbe kwenye kizazi hutokana na kuvurugika kwa homoni.DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI👉Kupata hedhi nyingi kupita kiasi👉H...
20/04/2023

Uvimbe kwenye kizazi hutokana na kuvurugika kwa homoni.

DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI
👉Kupata hedhi nyingi kupita kiasi
👉Hedhi kutoka muda mrefu na kuambatana na maumivu makali
👉Maumivu ya nyonga
👉Kukojoa mara kwa mara
👉Kutokumaliza mkojo
👉Tumbo kujaa gesi pamoja na choo kigumu

MADHARA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI
👉Kukosa mtoto
👉Kuishiwa damu

U. T. I hutokana na maambukizi ya bakteria wabaya kwenye njia ya mkojo wa mwanamke.Maambukizi haya huathiri mfumo wa mko...
20/04/2023

U. T. I hutokana na maambukizi ya bakteria wabaya kwenye njia ya mkojo wa mwanamke.
Maambukizi haya huathiri mfumo wa mkojo, mfumo wa uzazi.

DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE NJIA YA MKOJO YA MWANAMKE(U. T. I)
👉Kushikwa na hamu ya mkojo ila mkojo unatoka kidogo
👉Kukojoa mkojo unachoma choma na kupelekea maumivu makali
👉Kukojoa mara kwa mara mkojo kidogo
👉Kukojoa mkojo mchafu
👉Mkojo kuwa na harufu mbaya pia kubadilika rangi na kuwa mweusi au rangi ya mawingu
👉Maumivu ya nyonga na chini ya kitovu

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255656040308

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr_jennifermatete posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr_jennifermatete:

Share

Category