Maisha na Afya

  • Home
  • Maisha na Afya

Maisha na Afya Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maisha na Afya, Medical and health, .

NASAIDIA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA KWA WANAWAKE NA WANAUME
KATIKA MAGONJWA YAFUATAYO
BAWASIRI
MATATIZO YA MIFUPA
KISUKARI
PRESSURE
TEZI DUME
UZAZI
VIDONDA VYA TUMBO
MATATIZO YA MENO
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

12/10/2023
Je Ni kipi kati ya haya 👇kwako ni changamotoWasiliana na mimi kupitia+255745466442
15/11/2022

Je Ni kipi kati ya haya 👇kwako ni changamoto
Wasiliana na mimi kupitia
+255745466442

KWA MWENYE CHANGAMOTO YA VIDONDA VYA TUMBO NJOO NIKUHUDUMIE KWA TIBA ASILI NA ILIYO BORA ZAIDI
15/09/2022

KWA MWENYE CHANGAMOTO YA VIDONDA VYA TUMBO NJOO NIKUHUDUMIE KWA TIBA ASILI NA ILIYO BORA ZAIDI

22/08/2022

SULUHISHO LA SARATANI YA (KUTANUKA KWA) TEZI DUME BILA UPASUAJI.

Tezi dume ni nini?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani.Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

*Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
*Nasaba (ukoo wenye historia ya saratani hii
*Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
*Unene uliokithiri/kupita kiasi
*Ukosefu wa mazoezi
*Upungufu wa virutubisho,mfano vitamin D.
*Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume.

Dalili zake ni zipi?

*Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.(Kwenda kukojoa mara kwa mara).
*Kushindwa kukojoa.
*Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
*Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno, nyonga na mbavu.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
*Miguu kuwa dhaifu
* Kushindwa kumudu tendo la ndoa , au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
*Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
*Tumbo kuja gesi mara kwa mara

MADHARA YA SARATANI TEZI DUME/ TEZI ILIYOTANUKA

*Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
*Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
*Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
*Kushindwa kumudu tendo la ndoa
* Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
*Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
* Kifo

SULUHISHO

Tezi Dume inatanuka kwasababu ya upungufu wa madini na virutubisho ambavyo mwili unavihitaji. Hivyo basi program maalumu ya virutubisho imeandaliwa kwa watu wenye changamoto hii ya kutanuka kwa Tezi Dume, na mfumo wa uzazi wa mwanaume.

Kuna suluhisho bora ambalo ni virutubisho lishe muhimu vilivyotengenezwa kutoka kwenye matunda na vyakula mbalimbali ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika mwili wa mwanaume ili kutengeneza afya bora na nadhifu ya Tezi Dume (Prostate Gland) na mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume.

Wasiliana nasi
0620106461

17/07/2022
👇
17/07/2022

👇

Kwa mawasiliano zaidi  piga+255620106461
17/07/2022

Kwa mawasiliano zaidi piga
+255620106461

27/05/2022

*🌹Faida Za Derma Repair Lotion.......*
Ni Lotion nzuri iliyotengenezwa kwa viambata kutoka katika mimea 7 tofauti 👇
🔅Sun flower
Ambapo kuna Vitamin E Linoleic acid (hufanya ngozi isipoteze unyevu)

🔅AvocadoMadini mbalimbaliOmega-9 Vitamin E

🔅Plantain Antibacterial Germicidal

🔅SageDhidi ya michiliziKuvimba kwa ngozi

🔅WitchhazelWekundu kwenye ngoziMiwashoKuungua kwa jua

🔅PurslaneVimakovuKuzunguka kwa damu katika ngozi

🔅CamomileKuponesha ngozi kwa haraka Ngozi angavu
Kwa ujumla mafuta na viambata vingine vya mimea hii hufanya lation hii kuwa na uwezo huu👇

*Faida zake kwa ujumla....*

▪️Husaidia kutoa michilizi
▪️Kuondoa madoa na mabaka mabaka kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa Miwasho kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa hali ya allergy ya ngozi k**a vile Kuvimba n.k
▪️Kusaidia ngozi iliyoungua ama kubabuka na jua
▪️Kufanya ngozi kuwa nyororo
▪️Kufanya ngozi kuwa angavu na yenye nuru
▪️Hufanya ngozi kutokuwa na makunyanzi
▪️Hufanya ngozi isipoteze sana maji na kutokuwa naafuta sana
▪️Husaidia kulainisha miguu pia
P.S
Ni Lotion inauoenda kurejesha ngozi iliyoharibika na kulinda ngozi kuendelea kuwa imara
Ni Lotion kwa jinsia zote

Inapatika katika package (body lation +body cream)

Ngozi yako umaridadi wako na muoneokano wako

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha na Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Maisha na Afya:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram