Docsmart.Afya Ni Mtaji

Docsmart.Afya Ni Mtaji TUNASIAIDIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MWANAMKE KUTOKA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI BURE .

Zipo sababu nyingi zinazosababisha Sehemu za siri za mwanamke kuwa kavu , hali Hiyo inaanza Kwenye kupotea kwa unyevunye...
05/01/2026

Zipo sababu nyingi zinazosababisha Sehemu za siri za mwanamke kuwa kavu , hali Hiyo inaanza Kwenye kupotea kwa unyevunyevu mpaka vimbe sehemu za ukuta wa uke na zaidi.

Hapa unajifunza namna gani ya kufanya uyafurahie maisha Yako ya tendo la ndoa (sex).Ukavu ukeni kunaweza kusababisha Maumivu makali wakati wa tendo na matatizo mengine k**a ,maambukizi kirahisi ya vimelea .

*Sifaham sababu Hizi tano ambazo husababisha uke kuwa mkavu .*

1.Umri pamoja na Jambo la kihisia.
-Watu wenye Umri mkubwa kwanzia Miaka 40+ hupatwa sana na Changamoto hii sababu ni kupungua Kwa vichocheo Katika mwili (kukosa usawa), pia kukosa hisia na Mpenzi wako inaweza kupelekea ukavu.

2.Kukosa Hamu ya tendo la ndoa .
-Husababishwa na kupungua kwa Nguvu za k**e ,mara nyingi unaweza kuona ni hali ya kawaida ,kutotamani Mpenzi wako na kutohisi raha yeyote ya tendo .

3.Matumizi ya sababu za kemikali kali kuoshea ndani ya uke .
-Hupoteza Vimelea muhimu Katika utunzaji wa sehemu Hiyo .

4.Matumizi holela dawa za Uzazi mpango pamoja na P2.

5.Msongo wa mawazo .
-Mfululizo wa mawazo yanayodumu kwa muda mrefu , huwa inazima hisia na Homorne zinazohusika Katika swala zima la tendo .

6.Matuzimi ya vilevi k**a sigara , pombe kali .

7.Magonjwa ya muda mrefu
-hasa yanayotumia miyozi au dawa kali .

Hizi sababu mbili ni Bonus .

Je , unahisi wewe ni sababu ipi unaishi inaweza kuwa ni chanzo cha Changamoto Yako .

Comment hapa chini kwa msaada Bila kuoga

MWANAMKE, KOJOA MARA BAADA YA TENDO — NI KINGA.Huu ni ukweli wa kitabibu usioambiwa vya kutosha.Wakati wa kujamiiana, .....
17/12/2025

MWANAMKE, KOJOA MARA BAADA YA TENDO — NI KINGA.

Huu ni ukweli wa kitabibu usioambiwa vya kutosha.
Wakati wa kujamiiana,
...msuguano husukuma wadudu kutoka eneo la haja kubwa kusogea ukeni na hata kuingia kwenye njia ya mkojo.

Hapo ndipo maambukizi ya UTI huanzia kimya kimya.

Kukojoa mara tu baada ya tendo:
✔️ Husaidia kusafisha njia ya mkojo
✔️ Huflush bakteria kabla hawajapanda juu
✔️ Hupunguza hatari ya UTI kwa kiwango kikubwa

Na ndiyo, hata kwa wanaume, tabia hii husaidia kinga dhidi ya UTI.

Lakini nikuambie ukweli mchungu k**a daktari wako👇

K**a tayari una UTI zinazojirudia, uchafu uk'eni, maumivu au kuungua wakati wa kukojoa — kukojoa baada ya tendo haitoshi tena. Hapa tatizo limeshika mizizi ndani.

Ndiyo maana kwa wanawake wanaoteseka muda mrefu, nashauri tiba ya kurekebisha chanzo cha tatizo, sio kuficha dalili.

🔹 UzaziRestore – Dvaginal Therapy
Ni msaada wa asili wa mwezi mmoja unaolenga: • Kurejesha usawa wa uk'e
• Kupunguza maambukizi yanayojirudia
• Kuimarisha afya ya uzazi kwa ujumla
• Kuandaa mwili kwa uzazi salama

📌 Gharama: 394,000/= (dozi ya mwezi 1)
🎁 BONUS: Mwongozo wa matumizi + ushauri wa daktari kipindi chote

📲 Wasap: +255(0692 173 223)
— Dr Mawalla

Kumbuka: Kinga ni bora, lakini pia tiba sahihi huokoa ndoto ya uzazi.



09/12/2025
Hii tabia moja tu ndiyo inayokufanya sukari ishindwe kushuka…👉 Kula bila mpangilio (unaamka, unakula chochote, muda wowo...
04/12/2025

Hii tabia moja tu ndiyo inayokufanya sukari ishindwe kushuka…
👉 Kula bila mpangilio (unaamka, unakula chochote, muda wowote, bila kufuatilia).

Mwili wa mgonjwa wa kisukari unapenda utaratibu:
• Muda maalum wa kula
• Kiasi kinachofanana karibu kila siku
• Kuchagua vyakula vyenye nyuzinyuzi (mboga, nafaka zisizokobolewa)

Ukibadilisha HILI tu – mpangilio wa milo – unaweza kuona mabadiliko makubwa kwenye sukari yako.

💬 Swali kwako: Kwa sasa huwa unakula mara ngapi kwa siku, na saa ngapi?
👉 Comment “MPANGILIO” k**a unataka nipost mfano wa ratiba ya milo. i tabia moja tu ndiyo inayokufanya sukari ishindwe kushuka…


02/12/2025

Kuongeza kinga ya mwili
✔ Kuongeza nguvu
✔ Kurekebisha mwili
✔ Kutuliza mwili unaochoka sana
✔ Wellness ya haraka

26/11/2025
Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone).Ufanisi wa kichocheo/Hormone unapopungua ama k...
20/11/2025

Hormonal imbalance ama kwa Kiswahili ni mvurugiko wa kichochezi (hormone).

Ufanisi wa kichocheo/Hormone unapopungua ama kongezeka huathiri hormone zingine, tatizo hili tunaliita Hormonal Imbalance

MADHARA YA HORMONAL IMBALANCE
MWILINI.

1. Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa

2. Kutokushika mimba (infertility)

3. Hupelekea kuharibika kwa mimba kutokana na udhaifu wa kuta za uzazi.

4. Uke kua mkavu (vaginal dryness)

5. Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali

6. Kutokupata usingizi vizuri

7. Kuongezeka uzito

8. Kupata choo kwa shida au kuharisha

9. Kutokua sawa kwa mapigo ya moyo

Pamoja na madhara yote hapo juu lakini ukweli ni kwamba HORMONAL IMBALANCE INATIBIKA,

K**a unasumbuliwa na dalili tajwa hapo juu ni vizuri ukapata vipimo kuchunguza tatizo la hormone.

Kwetu bado hujachelewa kwani tunatoa msaada wa kuondoa kabisa tatizo na madhara yake kwa ushauri wa lishe bora na kupata virutubisho sahihi

-

Kwa msaada wa haraka wa changamoto zote za Afya ya Uzazi kwa Mwanamke,

NITUMIE UJUMBE WHATSAPP

0692173223, Dkt Mawalla.afyanimtaji

Hivi ndivyo inqfwnya kazi :>>Ukishindwa kulala vizuri unaongeza mawazo ,mawazo Yana punguza hamasa ya kufanya kazi ,na k...
19/11/2025

Hivi ndivyo inqfwnya kazi :
>>Ukishindwa kulala vizuri unaongeza mawazo ,mawazo Yana punguza hamasa ya kufanya kazi ,na kutofanya mazoezi Inafanya ulale vibaya na hvyo huongeza sukari Kwenye Damu ..

Hayo mambo matatu huzuia uzalishaji wa insulini ndio Chanzo cha kisukari.


Breakfast
06/10/2025

Breakfast

Fanya haya ikusaidie kuweka sukari Kwenye mwili ikae Katika level Nzuri
06/10/2025

Fanya haya ikusaidie kuweka sukari Kwenye mwili ikae Katika level Nzuri

ZINGATIA HAYA UWEZE KUSHIKA MIMBA:1. Uwepo wa Yai la mwanamke,lenye ubora, yaani a good quality O**M2. UPEVUSHAJI YAI, O...
23/10/2024

ZINGATIA HAYA UWEZE KUSHIKA MIMBA:

1. Uwepo wa Yai la mwanamke,lenye ubora, yaani a good quality O**M
2. UPEVUSHAJI YAI, OVULATION, lazima uwepo maana hapa ndipo yai hutoka kwenye mfuko wa mayai na kuingia kwenye mrija kwa ajil ya kukutana na mbegu ya kiume.

3. Mirija yenye uwezo wa kupitisha yai na mbegu za kiume, patent fallopian Tubes,mirija ikiziba mbegu ya kiume na Yai la k**e Haviwezi Kukutana

4. Hormones ziwe zinapanda na kushuka kwa uwiano,yaan balanced hormones,eg siku ya ovulation ili ovulation itokee laazma LUTENAIZING HORMONE IWE JUU. .

5. Mbegu ya kiume yenye ubora (ubora wa muonekano yaani mbegu yenye Kichwa, mkia na kuweza kuogelea na kutembea kwa kasi kufikia Yai na kuweza kurutubisha Yai).
6. Mwanamke Awe na mazingira mazuri kwenye VAGINA,Yaan Va**na PH iwe conducive na isiwe TOO ACID maana inaua mbegu za Kiume
6. Mwanamke awe na OVULATION MUCUS,ute unaotoka siku za hatari TU,ute mzuri k**a ute mweupe wa yai,

Unavutika katikati ya Mikono k**a KAMBA,utafiti unaonesha kuwa huu ute una vitundu vidogo vidogo Kupitisha mbegu za kiume
..na kuzilinda ili zisafiri salama mpaka kwenye kizaz,kisha kwenye mirija.
7. mfuko wa uzazi yaan Uterus wenye uwezo wa kupandikiza yai lilirorutubishwa yaan IMPLANTATION itokee na pia kizazi kiwe na uwezo wa Kuitunza mimba mpaka Mimba ifike miezi 9.

Mwanamke mwenye UVIMBE kwenye kizazi au vijidudu,Infection k**a PID,ENDOMETRITIS,
Anaweza pata mimba ikatoka kirahis.

Maeneo yote hayo yakiwa Vizuri, Mwanamke anapata MIMBA, KIRAHISI ZAIDI, na UWEZEKANO WA MIMBA kutoka unakuwa mdogo sana .

Ikiwa Upo kwenye Changamoto Hii, haushiki mimba Nitumie Ujumbe whatsapp 📨 inbox.




0692173223

Kwani nina Dawa nzuri sana sana na ushauri wa kitaalamu sana kuhusu Uzazi kijumla.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Docsmart.Afya Ni Mtaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Docsmart.Afya Ni Mtaji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram