Dr Ts Magreth

Dr Ts Magreth 🥼Health Service🔻
◽PID - UTI - FANGASI SUGU
◽VIMBE KWENYE KIZAZI
◽KISUKARI & PRESSURE
◽TEZI DUME NK

Lipo suluhisho kwa changamoto mbalimbali za afya ya uzazi.K**a wewe ni mwanamke  au mwanaume na unasumbuliwa na matatizo...
19/09/2023

Lipo suluhisho kwa changamoto mbalimbali za afya ya uzazi.

K**a wewe ni mwanamke au mwanaume na unasumbuliwa na matatizo ya uzazi karibu kuwasiliana nami niweze kukusaidia changamoto yako na utapata matokeo mazuri xnaaa kwa mudà mfupi.

Afya ni muhimu kuliko vyote
☎️📞0742281007/0716831155

KITAMBI NA UZITO KUPINDUKIA NI HATARII  1 KILETA KISUKAR 2 KUPATA CHOOKIGUMU 3 KUPATA PRESSURE 4 KUPATA MATATIZO YA MIFU...
05/09/2023

KITAMBI NA UZITO KUPINDUKIA NI HATARII 1 KILETA KISUKAR 2 KUPATA CHOOKIGUMU 3 KUPATA PRESSURE 4 KUPATA MATATIZO YA MIFUPA kinaweza KUPUNGUA bila kuleta madhara ya ki Afya.

Kwa mpangilio mzuri wa chakula na kusimamiwa Kwa mawasiliano zaidi na ushauri nipigie Kwa no hii 0742281007 /0716831155 Whatsapp no 0742281007

*🌷KUKOSA HEDHI KWA MWANAMKE (Amenorrhea)*Kwa kawaida tunafahamu ni kwamba mwanamke yeyote anapofikisha umri wa miaka 16 ...
04/09/2023

*🌷KUKOSA HEDHI KWA MWANAMKE (Amenorrhea)*

Kwa kawaida tunafahamu ni kwamba mwanamke yeyote anapofikisha umri wa miaka 16 basi ni lazma awe ameanza kuona hedhi
Hivyo k**a mtu hapati hedhi hilo ni tataizo la kiafya linalojulikana kwa jina la _Amenorrhea_

Amenorrhea ni hali ya mwanamke kukosa hedhi kwa miezi mitatu mfululizo. kunasababu za lazma ambazo ni kawaida mtu kukosa hedhi k**a:

🔹Ujauzito

🔹Wakati wa kunyonyesha

🔹Ukomo wa hedhi ( Menopause)

AINA ZA AMENORRHEA (kukosa hedhi)

1.Aina ya kwanza (primary Amenorrhea )

Yaani hii ni pale mwanamke anapokosa hedhi baada ya kubalehe, pale mwanamke anapofikisha miaka 16 bila kuona hedhi inaweza kuambatana na kushindwa kupevuka kwa viungo vya uzazi mara nyingi huweza kuhusishwa na masuala ya homoni

2.Aina ya pili (secondary Amenorrhea )

Ni pale mwanamke ambaye alikuwa anapata hedhi hapo kabla kukosa hedhi kwa miezi mitatu mfululizo

*SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI*

kunasababu za kawaida na zile ambazo ni changangamoto zinazohitaji tiba ya haraka

🔹Uzito mdogo kupita kiasi (Underweight)

Hapa lazma uelewe ili mtu kujua kuwa anauzito uliozidi, wa kawaida au mdogo kupita kiasi ni baada ya kupata uwiano wa urefu wa mtu na uzito wa mtu (Body mass index)

Mtu ambaye BMI (body mass index) 18 had 26 basi hiyo ni kawaida ila ikiwa zaidi ya hapo ni uzito kuzidi (overweight) na ukiwa chini ya 18 ni (underweight)

Mtu mwenye uzito mdogo homoni husimisha baadhi ya utendaji kazi mwilini, k**a ukomazaji wa mayai (ovulation) hivyo mtu kukosa hedhi

🔹Mazoezi kupita kiasi

Watu wanaofanya mazoezi kupita kiasi mara nyingi hukutana na tatizo k**a hili japo sababu maalumu bado haijaeleweka, watu k**a
-wanariadha

🔹Matatizo kwenye tezi

Matatizo k**a uvimbe kwenye tezi za pitutary hivyo hipelekea kushindwa kuzalishwa kwa hormone mhimu k**a *Lutenizing* *hormone* na *fallical* *stimulating* *hormone* hivyo shughuli zote za kuandaliwa kwa hedhi kushindwa kufanikiwa

Matatizo kwenye tezi ya *Hypothalamus* hii inapatikana shingoni hii tezi inaposhindwa kuzalisha homoni kutokana na changamoto tofauti basi hii hupelekea mtu kukosa hedhi

🔹Makovu kwenye kizazi

Hasa hii huwatokea k**a mtu aliwahi fanyowa operation ya uvimbe hivyo inaweza pelekea baadhi ya mishipa ya damu kushindwa kufanya kazi vizri na kumfanya mtu akose hedhi

🔹Matibabu ya baadhi ya magonjwa

Matibabu ya baadhi ya magonjwa huweza kuathiri mzunguko wa homoni magonjwa k**a

🔔Yanayohitaji tiba za mionzi k**a kansa

🔔Matibabu ya kisukari

🔔Matibabu ya presha pia

🔔Matibabu ya allergy

🔹Uvimbe kwenye mayai (pcos)

uvimbe kwenye ovari hupelekea kushindwa kukomaa kwa mayai na kushindwa kuzalishwa kw hormone za oestrogen

🔹Njia za uzazi wa mpango

Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango huzuia uk**avu wa mayai na hata hivyo baadhi ya watu hata wakiacha hiyo hali bado huendelea kuwasumbua

🔹Kuzidi kwa homoni za kiume

🔹Msongo wa mawazo,

mawazo huzalisha homoni ya cortsol kwa wingi ambayo huzuia utendaji kazi wa homoni nyongine zikiwepo homoni zinazohusika na hedhi

🔹Matatizo ya kimaumbile kwenye mfumo wa uzazi na uke

🔹Kukosa viungk vya uzazi

Kunawatu hupata changamoto tangu akiwa tumboni kwenye uumbaji basi hukosa baadhi ya viungo vya uzazi k**a kizazi.

Hivyo hawezi pata hedhi

🔹Historia ya familia

*DALILI ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI*

🖊️Kupata maziwa angali hunyonyeshi wala hunamimba
🖊️Kuota kwa nywele usoni
🖊️Vichunusi vingi usoni
🖊️uoni hafifu (kushindwa kuona hasa k**a ni matatizo kwenye ubongo)
🖊️Maumivu ya kichwa
🖊️Maumivu ya via vya uzazi

*MATATIZO YANAYOWEZA KUTOKANA NA HILI TATIZO*

🔹Kushindwa kushika mimba (ugumba)

🔹Maumivi wakati wa tendo

🔹Maumivu kwenye via vya uzazi

🔹matatizo ya mifupa (osteoporosis) na magonjwa ya mfumo wa damu

🔹Msongo wa mawazo (hasa kwa yule ambaye hajawahi kukosa hedhi)

_Ukikosa hedhi kwa miezi mitatu mfululizo fika hospitali kwa ushauri na tiba_☎️.0742281007📞 0716831155

*CHUNUSI HUSABABISHWA NA NINI HASWA...‼️*Kabla ya kufahamu ni jinsi gani chunusi hutokea ni vyema kujua kwa ufupi sayans...
29/08/2023

*CHUNUSI HUSABABISHWA NA NINI HASWA...‼️*

Kabla ya kufahamu ni jinsi gani chunusi hutokea ni vyema kujua kwa ufupi sayansi ya ngozi kimuundo,

Ngozi ya binadamu ina vitundu vidogo ambavyo huonekana k**a ni vishina vya vinyweleo, vishimo hivyo huelekea sehemu ya ndani ya ngozi mpaka karibu na tezi za mafuta, kati ya vishimo hivyo na tezi za mafuta kuna mifereji ambayo inaunganisha vishimo hivyo pamoja na tezi za mafuta. Kazi ya tezi hizi za mafuta ni kuzalisha kimiminika mfano wa mafuta(sebum)

_Hakuna sababu za uhakika za kwanini chunusi hutokea lakini kwa sasa wataalamu wa afya wanaamini kuna sababu kuu mbili zinazosababisha chunusi ambazo ni;_

*✳️Kuongezeka kwa homoni ya androgen.*

Homoni hii huzalishwa mara tu baada ya mtu kubalehe, kuongezeka kwa homoni hii mwilini kunasababisha kupevuka na kuongezeka kwa tezi ya mafuta ya ngozi hivyo kuongeza uzalishaji wa sebum. Kiwango kikubwa cha sebum kinasababishwa kuharibika kwa kuta za vishimo vya vinyweleo na mifereji yake na hivyo kiwango kikubwa cha sebum kinashindwa kutolewa jambo ambalo hukaribisha vimelea k**a bacteria katika vishimo hivyo.
Uwepo wa bakteria katika vishimo unasababisha kutengenezwa kwa uvimbe k**a sehemu ya njia za mwili katika kupambana na vimelea. Uvimbe unaotokea unaweza kuwa wa kawaida au kuwa mkubwa kupita kiasi hii inategemea sana na aina ya bakteria waliovamia eneo husika.
Sababu nyingine. zinazoweza sababisha kuharibika kwa vishimo hivi ni matumizi ya mafuta mazito ya kupaka, mafuta mazito huziba vishimo hivi na hivyo kusababisha mlundikano wa uchafu katika vishimo hivyo. Mlundikano huu wa uchafu unaweza kukaribisha vimelea au unaweza tengeneza uvimbe.

*✳️Mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito*
mama mjamzito hukumbata na mabadiliko makubwa ya homoni mwilini mwake , mabadiliko haya ya homoni huweza kusababisha uzalishwaji mkubwa wa sebum ambao hupelekea chunusi.
Pia wataalamu wa afya wanataja kuwa tatizo la chunusi laweza kuwa ni la kurithi, kwa maana matatizo yanaweza kuwa ni katika chembe za urithi(vinasaba) katika familia fulani.

*⚠️SISI TUNAYO PACKAGE YA KUTIBU TATIZO LA CHUNUSI KULINGA NA CHANZO CHAKE*

Kwa ushauri na matibabu SMS/ call's / watsup 📞☎️ 0742281007/0716831155

*UJUE UGONJWA WA UTI WA MGONGO (Meningitis)*Ugonjwa wa uti wa mgongo hutokea iwapo utando unaofunika ubongo na uti wa mg...
24/08/2023

*UJUE UGONJWA WA UTI WA MGONGO (Meningitis)*

Ugonjwa wa uti wa mgongo hutokea iwapo utando unaofunika ubongo na uti wa mgongo utapatwa na maambukizi.

*↪️Ugonjwa wa Uti wa mgongo husababishwa na nini?*

Ugonjwa huu husababishwa na vimelea mbalimbali vya makundi ya bakteria, virus na hata fungus. Tukivigawanya visababishi hivi katika makundi haya, tutaona kuwa bakteria wanaosababisha ugonjwa wa uti wa mgongo ni k**a vile; bakteria wajulikanao k**a Beta-streptococci, Hemophilus influenza, Escherichia coli, Listeria monocytogenes, Neisseria meningitides, Streptococci pneumoniae pamoja na Mycobacteria tuberculosis, ambao pia ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa kifua kikuu.

↪️ *Dalili/ Viashiria vya ugonjwa wa UTI wa mgongo*

➖ Shingo kukak**aa na kuwa ngumu isivyo kawaida
➖Mgonjwa kujihisi homa kali
➖Maumivu makali ya kichwa
➖Mgonjwa kupoteza fahamu
➖Mgonjwa kupatwa na degedege (seizures) na mwili kukak**aa
➖Mgonjwa kushindwa kuvumilia mwanga (photophobia)
➖Mgonjwa kutoweza kukaa sehemu yenye makelele (phonophobia)
➖Kwa watoto, kuvimba utosi

Aidha, wakati wa kumfanyia mgonjwa uchunguzi, daktari anaweza kuangalia pia viashiria vingine vinavyoonesha kuwepo kwa ugonjwa wa uti wa mgongo.

Ishara hizi ni k**a vile

🔼Mgonjwa uhisi maumivu kwenye uti wa mgongo yanayozuia kukunjua goti wakati anapofanyiwa uchunguzi wa kukunjua goti lake.
🔼Wakati mwingine mgonjwa anapoelekezwa kujitahidi kukunja shingo, miguu (yaani paja pamoja na goti) navyo hujikunja pia..

Kwa ushauri na matibabu SMS/ call's/ watsup 📞☎️0742281007 /0716831155

*UJUE UGONJWA WA BAWASILI NA  MADHARA YAKE🍊🍋* Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya mu...
14/08/2023

*UJUE UGONJWA WA BAWASILI NA MADHARA YAKE🍊🍋*

Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba. Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

*🛑 NINI KINASABABISHA BAWASIRI...❓*

Miongoni mwa visababishi vya bawasiri ni;
➖Tatizo sugu la kuharisha
➖Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
➖Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
➖Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
➖ Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu bila kufanya movement
➖Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.

*🛑 DALILI ZA BAWASIRI*

➡️Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
➡️Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
➡️Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
➡️Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
➡️Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
➡️Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

*🛑ATHARI ZA BAWASIRI*

↪️Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
STRAGULATED HEMORRHOID
↪️Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
↪️Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
↪️Kuathirika kisaikolojia
↪️Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
↪️Kupungukiwa nguvu za kiume.
↪️ Mimba kuharibika mara kwa mara

Bawasiri inatibika kabisa bila ya kufanyiwa upasuaji. Kuna programme ya dozi ambazo ni Tiba lishe mchanganyiko wa vyakula, mimea na madini inaondoa kabisa bawasiri kwa kutibu mpaka mzizi au chanzo cha bawasiri ili isijirudie tena tofauti na upasuaji au dawa za hospitali. Tumewasaidia wagonjwa wengi sana wenye hili tatizo.

*JIPATIE PACKAGE YAKO LEO*

Kwa mawacliano na ushauri SMS,call's,watsup ☎️📞 0742281007 / 0716831155

FAIDA ZA NDIZI KATIKA MWILI WA BINADAMUTOFAUTI na vyakula vingine, ndizi zinafaida kubwa sana katika mwili wa binadamu. ...
08/08/2023

FAIDA ZA NDIZI KATIKA MWILI WA BINADAMU

TOFAUTI na vyakula vingine, ndizi zinafaida kubwa sana katika mwili wa binadamu. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, ndizi zina virutubisho vya aina mbalimbali k**a vile, protini, mafuta, kalishiamu, wanga, fosiforas, madini ya chuma, vitamin A,B,C na maji.

Ndizi zina faida zipi katika urembo? Chanzo cha nishati Ndizi zina uwezo wa kumeng’enywa kwa urahisi zaidi, tena zina nishati kubwa, sukari iliyomo katika ndizi ni chanzo kizuri sana cha nishati.

Hivyo naweza kusema kuwa ndizi ikiliwa ipasavyo itakusaidia kujenga mwili na misuli yako kwa ujumla. Husaidia kuondoa chunusi Chunusi ni miongoni mwa matatizo ambayo huwasumbua warembo wengi hususan wanawake.

Je, unafahamu kuwa ndizi mbivu zinaweza kukuondolea tatizo hilo? Kwa kuchanganya ndizi mbivu na maziwa na asali na kisha kuzisaga ili kupata urojo ambao utatumia kupaka kwenye maeneo yaliyoathirika, unaweza kuondokana kabisa na tatizo hilo.

Fanya hivyo kila siku na hakikisha unakaa na mchanganyiko huo kwa muda usiopungua dakika 30 hadi 40, kisha osha na maji ya baridi ikiwezekana yaliyopozwa na jokofu.

Ndizi katika ‘diet’ Ndizi zina nafasi kubwa sana kati kuongeza au kupunguza uzito, hivyo unaweza kutumia ikiwa unahitaji kupunguza ama kuongeza uzito wako.

Kwa wajawazito Ndizi ni chakula kizuri kwa wanawake wajawazito, kwani kina kiwango kikubwa cha ‘folic acid’ ambayo inaweza kufyonzwa kwa urahisi sana na kiumbe kilicho tumboni. Ikiwa mama mjamzito atatumia ndizi mara kwa mara ni wazi kuwa atakuwa mwenye muonekano mzuri na wa kuvutia.

Ni kinga dhidi ya magonjwa ya moyo, presha, vidonda vya tumbo, saratani ya figo, kukosa choo

Ndizi mbivu ni tunda ambalo linafahamika na kila mtu, lakini sina hakika k**a watu wengi wanafahamu umuhimu na faida za tunda hili ambalo linapatikana kirahisi sana nchini. Bei yake ni kati ya shilingi 50 na 150 tu, kiwango cha pesa ambacho kila mtu anaweza kukimudu.

Iwapo ulikuwa hujui umuhimu wa kula ndizi mbivu, leo utalazimika kubadili matizamo

Kwa wale wote wanaopenda na kujali afya zaoo 🩺🩺🩹🥼karibuni xnaaaa mjiunge kwenye group la watsup kwa kufata link hiyoapo ...
08/08/2023

Kwa wale wote wanaopenda na kujali afya zaoo 🩺🩺🩹🥼karibuni xnaaaa mjiunge kwenye group la watsup kwa kufata link hiyoapo chiniii👇👇👇👇 na ni kwa jinsia zote jameni.

WhatsApp Group Invite

08/08/2023

WhatsApp Group Invite

*🚫DALILI ZA CHANGO LA UZAZI*Dalili za chango la uzazi kwa mwanamke ni pamoja na..↪️kupata maumivu makali wakati anapokar...
04/08/2023

*🚫DALILI ZA CHANGO LA UZAZI*

Dalili za chango la uzazi kwa mwanamke ni pamoja na..
↪️kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi,
↪️kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa,
↪️kujisikia homa kali anapokaribia siku zake za hedhi pamoja na.
↪️kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.

↪️Pia kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi ni dalili nyingine ambapo mwanamke anaweza kuwa na mzunguko mrefu wa hedhi wa takriban siku 35, kubadilikabadilika kwa siku za hedhi au kuwa na mzunguko mfupi wa hedhi chini ya siku 21.

↪️Dalili nyingine ni mwanamke kuwa na hasira kali anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi, kupata michubuko kwenye sehemu zake za uke, kuchukia kushiriki tendo la ndoa, kupata uvimbe kwenye kizazi na mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.

*🛑MADHARA YA CHANGO LA UZAZI KWA MWANAMKE*

Yapo madhara mengi kwa mwanamke mwenye tatizo hili lakini kubwa, huwa ni vigumu kupata ujauzito na hata pale anaponasa ujauzito, huharibika na kutoka kwa rahisi na kushindwa kufurahia tendo la ndoa ambapo huwa vigumu sana kwa mwanamke mwenye tatizo hili kufika kileleni wakati wa tendo.

*🛑MATIBABU*
Hakuna dawa za moja kwa moja zinazoweza kutibu tatizo hili hospitalini, ambapo zilizopo nyingi huwa ni za kurekebisha mfumo wa homoni mwilini, k**a mwanamke amepata uvimbe, atapewa dawa za kuondoa uvimbe huo au kufanyiwa upasuaji na k**a anapata maumivu makali kabla na wakati wa hedhi, atapewa dawa za kumaliza tatizo hilo.

*Tunavyo virutubisho sisi vya kumaliza Changamoto hii.

Wasiliana nasi☎️📞 0742281007 kwa Ushauri na Msaada zaidi.*

04/08/2023

*𝐅𝐀𝐍𝐆𝐀𝐒𝐈🚫*

Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili. Fangasi ni hatari sana, kwani wanaweza kusababisha madhara makubwa ya kiafya na kiakili k**a wasipitibiwa mapema. Kuna aina nyingi za fangasi ambao wanaweza kuathiri mwili wa binadamu.

Kuna mamilioni ya aina hizi za fangasi, katika hawa kuna kuna mamia ya aina za fangasi ambazo huweza kumfanya mtu kuumwa. Fangasi wanaweza kuathiri makwapa, vidole, sehemu za siri kwenye tumbo na maeneo mengine.

Fangasi wa sehemu za siri husababishwa na fangasi waitwao candida. Hawa wanaweza kuathiri sehemu za siri kuzungukia uume ama uke. Kunatafiti zinaonesha kuwa fangasi hawa wanaweza kuambukizwa kwa kufanya mapenzi. Japo tafiti zaidi zinahitajika ili kuthibitisha hili.

*FANGASI WA SEHEMU ZA SIRI DALILI ZAO KWA WANAUME*

-Kuvimba kwa kichwa cha uume
-Kuwasha kwa sehemu za siri, hususan kichwa cha uume
-Uume kuwa mwekundu kwa kuchubuka ama kuvumba ama kwa mashambulizi ya fangasi hawa.
-Kuota kwa mapele na maruturutu kwenye uume
-Kuwasha uume ama kuungua moto kwa uume.
-Kutokwa na majimaji meupe kwenye uume, majimaji haya huwa na harufu mbaya.
-Maumivu wakati wa kukojoa na kufanya tendo la ndoa.

*DALILI ZA FANGASI WA SEHEMU ZA SIRI KWA WANAWAKE*

-Maumivu na miwasho kwenye mashavu ya uke na sehemu ya juu ya uke
-Maumivu wakati wa kukojoa ama kufanya tendo la ndoa
-Uuke kuwaka moto kwa ndani
-Kuvimba kwa mashavu ya uke na kuwa mekundu
-Kuota mapele na maruturutu kwenye uke
-Kutokwa na majimaji kwenye uke
-Kutokwa na majimaji mazito meupe na yenye harufu mbaya kwenye uke.


*WATU WALIO HATARINI KUPATA FANGASI HAWA*

-Wachafu
-Kuwa na mikunjomikunjo kwenye ngozi k**a kitambi
-Wenye kisukari
-Wenye HIV
-Wenye saratani
-Wenye kutumia baadhi ya madawa ya kuzuia mimba
Wajawazito


*NJIA ZA KUPAMBANA NA FANGASI HAWA*

-Kuwacha kutumia madawa ya kusafishia ama kuunga uke
-Kutokuvaa nguo mbichi
-Kutokuvaa nguo za kubana hususani za mpira
-Kuwa msafi muda wowote
-Kuosha kichwa cha uume na ngozi ya govi mara kwa mara
-Kuosha uke mara kwa mara
-Kutumia pedi zilizo kavua na safi na kubadilisha mara kwa mara.

Kwa ushauri na matibabu SMS,call's ,watsup 📞 0742281007 /0716831155

*⭕MAMBO YANAYOPELEKEA KUHARIBIKA KWA FIGO* ◾kutokojoa mapema mkojo ukikushika ◾kutokunywa maji ya kutosha ◾ulaji wa chum...
02/08/2023

*⭕MAMBO YANAYOPELEKEA KUHARIBIKA KWA FIGO*

◾kutokojoa mapema mkojo ukikushika

◾kutokunywa maji ya kutosha

◾ulaji wa chumvi nyingi kwenye chakula

◾kutotibu magonjwa ya kawaida vizuri (ugonjwa kujirudia Rudia)

◾ulaji mwingi wa nyama

◾kutumia vidonge vya kuondoa Maumivu kwa kiasi kikubwa

◾kunywa pombe kupita kiasi

◾ulaji mbaya wa vyakula

🛑 *DALILI KUU (12) ZA KUFELI KWA FIGO*
▪️Kukojoa kojoa mala kwa mala

▪️Kuona damu damu kwenye mkojo

▪️Kupungukiwa na uwezo wa macho kuona au kutizama

▪️Kukosa hamu yakula

▪️Kubana kwa misuri (muscle cramp)

▪️kupata maumivu kwenye nyonga

▪️Kuwa na ngozi iliyo kauka (having dry skin)

▪️Kuisi uchovu mara kwa mara

▪️Kukojoa mkojo wenye rangi rangi

▪️Maumivu ya mgongo

▪️Maumivu wakati wa Kukojoa

▪️ Maumivu wakati wa shughuli mbalimbali

*ONDOA SUMU LEO KWA KUTUMIA SUPER DETOX ONE*

kupata detox wasiliana nami ☎️📞0742281007/ 0716831155

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Ts Magreth posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram