
12/05/2023
GAPOX
PID inaweza isilete dalili zo zote mbaya baadhi ya wanawake hawapati dalili zo zote, pale zinapojitokeza zinaweza kuwa- MAUMIVU – Yanayoweza kuwa madogo au makali maeneo ya chini ya tumbo au nyonga.
UCHAFU- usio wa kawaida au mzito ambao unaweza kuwa na harufu mbaya.
KUTOKWA DAMU- Kusiko kwa kawaida, hasa wakati wa tendo la ndoa, au katikati ya siku za hedhi.
MAUMIVU- Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
HOMA- Homa kali au wakati mwingine kusikia baridi.
MAUMIVUWAKATI WA KUJISAIDIA HAJA NDOGO- wakati wa haja ndogo, haja ndogo ya mara kwa mara au haja ndogo kutoka kwa shida.
CHANZO CHA PID
Kuna bakteria wa aina nyingi wanaoweza kusababisha PID, lakini maambukizi ya gonorrhea na chlamydia ndiyo yanayoonekana zaidi.
Bakteria hao huambukiza wakati tendo la ndoa linapofanyika bila ya kutumia kinga, bakteria hawa huingia kwenye viungo ya uzazi vya mwanamke pale ulinzi wa kwenye shingo ya kizazi(cervix) unapovurugwa.
Hii inaweza kutokea mathalani, wakati wa hedhi na baada ya kuzaa, mimba kuharibika au kutoa mimba.
GAPOX ni dawa bora sana kuwai kutokea kwa matatizo ya wanawake, hii ni dawa asili tupu haina kemikali yoyote.
GAPOX inasaidia kwa mwanamke anaekwenda hedhi muda mrefu, inaweza kukata na ikawa sawa kabisa na kuweka mpangilio mzuri katika mzunguko.
GAPOX inatibu maambukizi yoyote ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke, na kuondoa fangasi pamoja na kutibu PID.
GAPOX inatibu matatizo ya homoni kwa mwanamke na kuondoa kabisa tatizo la uzazi.
Sisi kimimbi herbal clinic wataalamu wa tiba mbadala tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.
Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, N.K.
Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu Daresalaam kiwalani jirani na Airport.
K**a unapenda kujifunza zaidi juu ya afya yako karibu katika group zetu za whattsap, tuandikie neno NIUNGE. kisha tuma kwenye namba 0743 068792.
Afya salama hukaa katika mwili salama ijali afya yako.