Seif Afya point

Seif Afya point HABARI TUNASAIDIA KUWAPA WATU USHAURI NA KUTATUA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KI AFYA KWA KUTUMIA TIBA ASILIA ZISIZO KUA NA KEMIKALI..

KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI KWA NAMBA +255673616221
AU WHATSAPP https://wa.me/255673616221

14/05/2026

Nini Afanye Mwanamke Anaetokwa na Damu wakati wa Tendo la ndoa

12/05/2026

“PID ni maambukizi hatari kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke. Yasipotibiwa mapema yanaweza kusababisha ugumba, maumivu makali, na matatizo ya mimba. Fanya uchunguzi mapema na pata matibabu.”

12/05/2026

Hatari ya Mwanamke Anaetumia Vidole kujisafishie uken kwake

11/05/2026

Wanaume wengi Upitia Halii hiii

10/05/2026

Ectopic Pregnancy ni hali ambapo mimba hukua nje ya mfuko wa uzazi, mara nyingi kwenye mirija ya uzazi. Madhara yake kwa ufupi ni:

* Maumivu makali ya tumbo au nyonga
* Kutokwa damu ukeni isiyo ya kawaida
* Kupasuka kwa mrija wa uzazi na kuvuja damu ndani ya mwili
* Kizunguzungu, kuzimia au mshtuko kutokana na kupoteza damu nyingi
* Hatari kwa maisha ikiwa haitatibiwa haraka
* Uwezekano wa kupata shida ya kushika mimba baadaye, hasa k**a mrija umeharibika

10/05/2026

“Najua una maumivu chini ya kitovu, lakini naamini tiba yangu inaweza kukufanya usahau hata maumivu yenyewe 😊 Njoo nichukue jukumu la kukutibu kwa upendo, attention na Tiba ya kweli

🌸 HAPPY MOTHER’S DAY 🌸Mama ni moyo wa familia ❤️  Lakini mara nyingi wanawake wengi husahau kujali afya zao wakihangaiki...
10/05/2026

🌸 HAPPY MOTHER’S DAY 🌸

Mama ni moyo wa familia ❤️
Lakini mara nyingi wanawake wengi husahau kujali afya zao wakihangaikia familia kwanza.

Leo tunawakumbusha:
☑️Zingatia Afya ya mfumo wa Uzazi
☑️Pima matiti na shingo ya kizazi
☑️ Pima presha mara kwa mara
☑️ Angalia kiwango cha sukari
☑️ Epuka stress kupita kiasi
☑️ Pata usingizi wa kutosha
☑️ Kula lishe bora na kufanya mazoezi

Afya ya mama ni afya ya familia nzima.
Usisubiri mpaka mwili utoe ishara kubwa.

Katika HUDUMA ZETU tunatoa tiba asili na ushauri kwa magonjwa yote ya mfumo wa damu. 🌿

📍 Dar es salaam
📞 +255 673 616 221

👉 Follow page yetu kupata elimu za afya kila siku, ushauri wa kitabibu na njia bora za kujikinga na magonjwa.

09/05/2026

MWANAMKE CHUKUA HATUA MAPEMA kwa ushauri zaidi nitumie ujumbe whatsApp +255673616221

08/05/2026

K**a unamaanisha period isiyoeleweka (hedhi inayobadilika bila mpangilio), kwa kifupi inaweza kusababishwa na mambo k**a:

* Mabadiliko ya homoni
* Msongo wa mawazo
* Mimba
* Uzito kubadilika sana
* Ugonjwa wa PCOS
* Matumizi ya dawa za uzazi
* Magonjwa ya tezi (thyroid)

Dalili zinaweza kuwa:

* kuchelewa au kuwahi kwa hedhi,
* damu nyingi au kidogo sana,
* maumivu makali,
* au hedhi kukosa kabisa.

Ikiwa hali inaendelea kwa muda mrefu, au una maumivu makali/damu nyingi sana, ni vizuri kumuona daktari au kliniki.

08/05/2026

Hupati Mimba chanzo kinaweza kua ni maambukizi kwenye via Vya uzazi

08/05/2026

KABLA YA KUFUNGA NDOA YAPASWA UYAJUE HAYA

Address

Dar Es Salaam
12101

Telephone

+255673616221

Website

https://www.youtube.com/@Seif_AfyaPoint

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Seif Afya point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Seif Afya point:

Share