JALI AFYA YAKO

  • Home
  • JALI AFYA YAKO

JALI AFYA YAKO 💊Fertility doctor.

(Mtabibu wa Changamoto za Uzazi).

🩺" Nasaidia wanaume na wanawake kutatua changamoto zao za uzazi kwa kutumia Tibalishe zilizothibitishwa".

💡"Kila mtu ana nafasi ya kuitwa Mama au Baba,usikate tamaa tupo kwa ajili yako".

08/04/2026

Kuna watu wamepiga passport size kisingizio Baridi😂..

nenda kaoge wewe Acha uvivu.

08/04/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Negos Abeid Kombe, Jüllïë Lë Kïñg-drümmër, Bâdfrêd Kě

Unakula kiafya, au unakula unachokipata Ili mradi Tumbo lijae?
04/04/2026

Unakula kiafya, au unakula unachokipata Ili mradi Tumbo lijae?

Nyie mnaoiba Nyeti za watu haya mtuambie mnaenda kuzifanyia kazi Gani.
04/04/2026

Nyie mnaoiba Nyeti za watu haya mtuambie mnaenda kuzifanyia kazi Gani.

Ukiambiwa Utoe kitu kimoja hapo, utatoa kitu Gani?
02/04/2026

Ukiambiwa Utoe kitu kimoja hapo, utatoa kitu Gani?

01/04/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Haji Idrisa Omary, Jackline Mwaijumbq, Didah Mussah, Kingsport Songea Updates

31/03/2026

Wimbi ni kubwa sana la Wadada siku hizi wanaweka Vipipi na Vinogeshi Ukeni,

nani Kawarubuni jamani?

✍️Hivi Ndivyo utaweza kubaini na kujua k**a Mimba yako Imetoka yote au Kuna mabaki yamesalia ndani....!✨Kitaalamu ni kwa...
29/03/2026

✍️Hivi Ndivyo utaweza kubaini na kujua k**a Mimba yako Imetoka yote au Kuna mabaki yamesalia ndani....!

✨Kitaalamu ni kwamba mimba inapotoka lazima utaona damu zilizochanganyika na mabonge mabonge ya damu .Na Hua inategemea na umri wa mimba.

👉Mimba ikitoka na kubakiza mabaki kitaalamu inaitwa (Incomplete abortion).

(Incompelete Abortion) Mimba ya aina hii ni lazima usafishwe..
Usiposafishwa damu huendelea kutoka.

👉Mimba inapotoka na kuisha kabisa kitaalamu inaitwa {Complete Abortion}.

Mimba Hii haiitaji kusafishwa.

♻️Namna ya kujua k**a mimba imetoka yote au imebaki ni kufanya kipimo cha Ultrasound.

👉 Endapo ukifanya ultrasound ukaambiwa mimba imetoka yote lakini wewe bado unaona damu inatoka ,Hapo lazima ujiongeze ambapo itabidi daktari akufanyie uchunguzi zaidi kujua kwa nini damu inaendelea kutoka.

✍️Muda mwingine jaribu kupima tena hospitali nyingine kwa sababu kipimo cha ultrasound hutegemea na uzoefu wa yule mtaalamu anayekufanyia kipimo hicho.

✨ Ukiona Dalili ambazo hauzielewi mara baada ya Mimba yako kutoka basi Usikae hivi hivi wahi kituo Cha Afya Kwa Uchunguzi zaidi.

✍️Kwa msaada wa Tiba na Ushauri na mengineyo usisahau kuwasilana nasi Ili kupata Suluhisho lako. Wasiliana nasi kupitia
☎️ 0717 920 637 /Whatsapp.

"We ignite your wellness journey" 🪄

🔬 Umeshawahi kutibiwa UTI zaidi ya mara 3 Kwa mpigo lakini Bado inarudi? ✨ Hii ndiyo sababu halisi watu wengi hawajui......
28/03/2026

🔬 Umeshawahi kutibiwa UTI zaidi ya mara 3 Kwa mpigo lakini Bado inarudi?

✨ Hii ndiyo sababu halisi watu wengi hawajui.... 👇👇👇

🪢 UTI ikirudi mara kwa mara sio kwa sababu ya dawa mbaya, bali ni :-

✅Unatumia kiholela (Antibiotics) antibayotiki bila kupima, (Azuma fans mpo😀)?.

✅ Unakunywa maji kidogo.

✅Kuna bacteria wamejenga Usugu (resistance).

✅Unatibu UTI lakini chanzo ni PID au fangasi.

✅ Unatumia sabuni kali sehemu za siri na pia unafanya douching.

✍️Wagonjwa wengi ninaokutana nao UTI Zao Zimeendelea hadi kwenye mfumo wa juu wa mkojo, ikihusisha figo (pyelonephritis), bila wao kutambua mapema.

👉 Ni vyema kupata tiba na vipimo mapema kabla Hali haijawa mbaya.

✍️Kwa msaada wa Tiba na Ushauri zaidi kuhusu UTI na changamoto zingine za Afya ikiwemo Afya Uzazi basi usisite kuwasaliana nami ☎️+255717920637/Whatsapp.

JALI AFYA YAKO usisahau ku follow na kushare Ukurasa huu Ili Elimu Iwafikie Wengi Zaidi.

24/03/2026

Habari za Asubuhi,

umeamkaje huko Ulipo?

JALI AFYA YAKO inawatakia Waislamu wote Duniani EID MUBARAK.Msherekee Eid Mubarak Kwa Amani na tualikane jamani😀.
21/03/2026

JALI AFYA YAKO inawatakia Waislamu wote Duniani EID MUBARAK.

Msherekee Eid Mubarak Kwa Amani na tualikane jamani😀.

13/03/2026

K**a Jinsi Pombe na kitambi havimuachi mtu salama,, Vile vile nyeto haitokuacha salama niswala la muda Tu...🫵

Address

Ilala Boma

Telephone

+255717920637

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JALI AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JALI AFYA YAKO:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram