William Mbezi

William Mbezi Nawasaidia Wanawake Waliojifungua Kuondokana Na Kitambi/Nyama Zembe Ili Kurejesha Muonekano Wao Mzuri

06/09/2021

Ungependa kufahamu Inawezaje kukusaidia katika maswala ya kiafya haswa k**a unataka kupunguza uzito,kitambi na nyama zembe?

Hakikisha Una follow kwaajili ya kujipata video ambazo zitakuwa zinaelezea namna ya kumaliza changamoto nilizokutajia hapo juu.

Au piga mamba hizi 0717 912930/0757 816091 kwa maelezo zaidii.

K**a jibu ni NDIO basi usihangaike wala usipoteze muda wako maana kuna Jukwaa maalumu la wanawake zaidi ya 300 ambalo ut...
03/04/2021

K**a jibu ni NDIO basi usihangaike wala usipoteze muda wako maana kuna Jukwaa maalumu la wanawake zaidi ya 300 ambalo utakapoingia kuna VITU 4 ambavyo utajifunza BURE ili uweze kuondoa KITAMBI au NYAMA ZEMBE zinazokukosesha kujiamini na kuwa na mwonekano unao Ufurahia.

Kuweza Kujiunga na Jukwaa Hili la Telegram moja kwa moja bonyeza Neno SIGN UP

AU tuma ujumbe wa neno NIUNGE inbox/DM nami nitakutumia link.

♦️Kuwa na nyama zembe au kitambi kinachopoteza muonekano wako.♦️Kupoteza kujiamini kwako mbele ya marafiki zako na kazin...
16/03/2021

♦️Kuwa na nyama zembe au kitambi kinachopoteza muonekano wako.

♦️Kupoteza kujiamini kwako mbele ya marafiki zako na kazini.

♦️Kuwa na hofu ya kuhatarisha mahusiano na mpendwa wako.

♦️Maumivu ya viungo vya mwili mfano mgongo na kiuno.

K**a unajijua umeanza kupata changamoto moja wapo Kati ya hizi hakikisha tunawasiliana INBOX tuweze kujadiliana namna ya kumaliza tatizo lako.

Comment namba yako Au piga namba hizi 0717912930

♦️Kuwa na nyama zembe au kitambi kinachopoteza muonekano wako.♦️Kupoteza kujiamini kwako mbele ya marafiki zako na kazin...
16/03/2021

♦️Kuwa na nyama zembe au kitambi kinachopoteza muonekano wako.

♦️Kupoteza kujiamini kwako mbele ya marafiki zako na kazini.

♦️Kuwa na hofu ya kuhatarisha mahusiano na mpendwa wako.

♦️Maumivu ya viungo vya mwili mfano mgongo na kiuno.

K**a unajijua umeanza kupata changamoto moja wapo Kati ya hizi hakikisha tunawasiliana INBOX tuweze kujadiliana namna ya kumaliza tatizo lako.

Au piga namba hizi 0717912930

Ukosaji wa choo/haja kubwa imekuwa ni changamoto kubwa sana kwa watu wengi kwa kipindi hiki, kitu ambacho kimesababisha ...
08/03/2021

Ukosaji wa choo/haja kubwa imekuwa ni changamoto kubwa sana kwa watu wengi kwa kipindi hiki, kitu ambacho kimesababisha madhara mengi ya kiafya bila ya watu wengi kujua.

Changamoto hiyo huwa ni matokeo ya ulaji wa vyakula vilivyopoteza uwezo na ubora wake katika mazingira 3 tofauti.

Mazingira hayo ni;

1.Matumizi ya baadhi ya mbolea shambani zenye kemikali ambazo huuwa baadhi ya virutubisho na fiber kwenye vyakula.

2. Mapishi ya muda mrefu ya mboga mboga ambazo zinahitaji kupikwa kwa muda mfupi ili kutunza fibers/ nyuzinyuzi ambazo husaidia kuondoa tatizo la kukosa choo/haja kubwa.

3. Matumizi ya vifaa vya kisasa k**a frige ambavyo kwa ubaridi wa kiwango cha 0 centigrade huuwa baadhi ya virutubisho na fibers.

Haya ni mazingira 3 ambayo haya kwepeki kwa watu wengi ndio mana changamoto za kiafya zinazidi kuongezeka.

Suluhisho la mazingira haya 3 ni nini endapo ni ngumu kuweza kufata hatua sahihi.

Kuna bidhaa inaitwa SHAKEOFF PHYTO FIBER ambayo nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu sambamba na kushirikisha marafiki zangu.

Hakika imekuwa na matokeo makubwa katika kushughulika na tatizo la kukosa choo.

Na hii ni kutokana na kuwa na fibers za kutosha ambazo hazikuadhiriwa na matumizi ya mbolea au kemikali za dawa ya kuulia wadudu shambani.

Unapoitumia ndani ya masaa 6 mpaka 8 utaanza kuona matokeo ya kupata choo na usafishwaji wa utumbo wako mpana.

Kwa wewe ambae utakuwa unahitaji bidhaa hii unaweza tuma neno ni SAFISHA whatsapp kwa kubonyeza SIGN UP iliyopo keribu na picha ya Tangazo hili ili nikupe utaratibu wa kupata bidhaa

Offer;

Utakapochukua box 4 utapata box lingine 1 BURE.

K**A ULISHAFANYA BIASHARA NYINGI ZA MTANDAO BILA MAFANIKIO YOYOTE SOMA UJUMBE HUUUmeshafanya biashara nyingi za mtandao ...
28/02/2021

K**A ULISHAFANYA BIASHARA NYINGI ZA MTANDAO BILA MAFANIKIO YOYOTE SOMA UJUMBE HUU

Umeshafanya biashara nyingi za mtandao bila mafanikio yoyote?

Inawezekana na wewe ni mmoja kati ya watu ambao kwa sasahivi ukisikia kuhusiana na BIASHARA YA MTANDAO kinachokuja akilini kwako ni UTAPELI, au mambo ya kubahatisha/bahati nasibu.

Upo sahihi kabisa, kwasababu kuna kampuni nyingi ambazo zipo na zinafanya biashara katika mfumo ambao sio rafiki na kupelekea watu wengi kuona bishara hizi ni za utapeli.

Kwa siku ya leo sitakuwa na maneno mengi ya kukushawishi k**a wengine wengi wanavyofanya maana naenda kukuonesha fursa ambayo mwisho wa siku maamuzi yatabaki kwako kuanza kubadikisha maisha yako au kubaki hivyo ulivyo kwa sasahivi.

Kuna video ambayo nimekuandalia na ndani yake utajifunza kuhusiani na fursa hii ambayo imeweza kubadilisha kabisa maisha yangu.

Unachotakiwa kufanya ili kuangalia video ya fursa hii hakikisha unabonyeza link hii👇👇 https://myepspro.com/invitation_sw?referrer=kefnb001325

Umeshafanya biashara nyingi za mtandao bila mafanikio yoyote?Inawezekana na wewe ni mmoja kati ya watu ambao kwa sasahiv...
27/02/2021

Umeshafanya biashara nyingi za mtandao bila mafanikio yoyote?

Inawezekana na wewe ni mmoja kati ya watu ambao kwa sasahivi ukisikia kuhusiana na BIASHARA YA MTANDAO kinachokuja akilini kwako ni UTAPELI, au mambo ya kubahatisha/bahati nasibu.

Upo sahihi kabisa, kwasababu kuna kampuni nyingi ambazo zipo na zinafanya biashara katika mfumo ambao sio rafiki na kupelekea watu wengi kuona bishara hizi ni za utapeli.

Kwa siku ya leo sitakuwa na maneno mengi ya kukushawishi k**a wengine wengi wanavyofanya maana naenda kukuonesha fursa ambayo mwisho wa siku maamuzi yatabaki kwako kuanza kubadikisha maisha yako au kubaki hivyo ulivyo kwa sasahivi.

Kuna video ambayo nimekuandalia na ndani yake utajifunza kuhusiani na fursa hii ambayo imeweza kubadilisha kabisa maisha yangu.

Unachotakiwa kufanya ili kuangalia video ya fursa hii hakikisha unanitumia ujumbe wa neno FURSA DM na mimi nitakutumia link mara moja.

KARIBU SANA

Ukosaji wa choo imekuwa ni changamoto kubwa sana kwa watu wengi kwa kipindi hiki, kitu ambacho kimesababisha madhara men...
21/02/2021

Ukosaji wa choo imekuwa ni changamoto kubwa sana kwa watu wengi kwa kipindi hiki, kitu ambacho kimesababisha madhara mengi ya kiafya bila ya watu wengi kujua.

Madhara haya huwa ni matokeo ya ulaji wa vyakula vilivyopoteza uwezo na ubora wake katika mazingira 3 tofauti.

Mazingira hayo ni;

1.Matumizi ya baadhi ya mbolea zenye kemikali ambazo huuwa baadhi ya virutubisho na fiber kwenye vyakula.

2. Mapishi ya muda mrefu ya mboga mboga ambazo zinahitaji kupikwa kwa muda mfupi ili kutunza fibers/ nyuzinyuzi ambazo husaidia kuondoa tatizo la kukosa choo.

3. Matumizi ya vifaa vya kisasa k**a frige ambavyo kwa kiwango cha 0 centigrade huuwa baadhi ya virutubisho na fibers.

Haya ni mazingira 3 ambayo haya kwepeki kwa watu wengi ndio mana changamoto za kiafya zinazidi kuongezeka.

Suluhisho la mazingira haya 3 ni nini endapo ni ngumu kuweza kufata hatua sahihi.

Kuna bidhaa inaitwa SHAKEOFF PHYTO FIBER ambayo nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu sambamba na kushirikisha marafiki zangu.

Hakika imekuwa na matokeo makubwa katika kushughulika na tatizo la kukosa choo.

Na hii ni kutokana na kuwa na fibers za kutosha ambazo hazikuadhiriwa na matumizi ya mbolea au kemikali za dawa ya kuulia wadudu shambani.

Unapoitumia ndani ya masaa 6 mpaka 8 utaanza kuona matokeo ya kupata choo na usafishwaji wa utumbo wako mpana.

Kwa wewe ambae utakuwa unahitaji bidhaa hii unaweza tuma neno ni SAFISHA Dm na nitakupa utaratibu wa kupata bidhaa hii

Offer;

Utakapochukua box 4 utapata box lingine 1 BURE.

Mwaka 2013 kurudi nyuma nilikuwa mmoja ya watu ambao nilijiingiza kwenye biashara za mtandao.Nakumbuka kwa miaka hiyo ni...
02/02/2021

Mwaka 2013 kurudi nyuma nilikuwa mmoja ya watu ambao nilijiingiza kwenye biashara za mtandao.

Nakumbuka kwa miaka hiyo niliingia kwenye zaidi ya makampuni 4 kwa sababu lengo langu kubwa lilikuwa nataka niweze kujikwamua kiuchumi k**a watu wengine.

Kusema ukweli mambo hayakuwa hivyo maana biashara zilinishinda na fedha zangu zilipotea bila kupata matokeo mazuri.

Hii ilinifanya nichukie kabisa biashara za mtandao na hata sikutaka kabisa kusikia biashara hizi.

Inawezekana na wewe umeshapitia changamoto k**a hizi katika makampuni mbalimbali na sasahivi hutaki kusikia chochote kuhusiana na biashara ya mtandao k**a ilivyokuwa kwangu.

Katika harakati za kuendelea kutafuta nakumbuka mwaka 2014 Nilipokea simu kutoka kwa bwana moja ambaye alijitambulisha na kunambia kuwa anataka kufanya biashara na mimi kupitia kampuni yao toka KENYA.

Nilipozungumza naye na kujua anachonieleza kilihusiana na biashara ya mtandao nilijua ni walewale lakini nilivyozidi kuongea nae niliona utofauti mkubwa wa biashara yake na biashara zingine nilizofanya kipindi cha nyuma.

Nilipofanya uchunguzi zaidi na kuona utofauti wao mwaka 2014 huo huo niliacha kazi niliyokuwa nafanya na kuingia Full Time kufanya biashara yao kituambacho kilinifanya nipate mafanikio makubwa.

Mfano niliweza kupata Gari 2 ikiwemo BMW X5 na Nyumba ya ndoto yangu

K**a ungependa na wewe uweze kufahamu utafauti wa biashara hii ni nini na nini cha kufanya uweze kupata mafanikio makubwa katika maisha yako k**a mimi au zaidi...........

Basi👇

Bonyeza SIGN UP kuingia kwenye group moja kwa moja na kujifunza biashara hii kwa undani zaidi.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when William Mbezi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to William Mbezi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram