Mtunza Afya

Mtunza Afya Natoa Elimu na Ushauri kuhusu magonjwa mbalimbali ya Wanawake.

Hizi Ndo Juisi 5 Kwako Wewe Mwanamke Mwenye Changamoto Mbalimbali Katika Mfumo Wa Uzazi.Je Wajua Kuwa Virutubisho Vilivy...
09/09/2024

Hizi Ndo Juisi 5 Kwako Wewe Mwanamke Mwenye Changamoto Mbalimbali Katika Mfumo Wa Uzazi.

Je Wajua Kuwa Virutubisho Vilivyomo Kwenye Matunda Haya Vinaweza Kuwa Msaada Kwako? Na Je Mara Yako Ya Mwisho Kutumia Juisi Hizi Ni Lini?
Basi Nisikuchoshe, Fuatilia👇

1. Juisi Ya Komamanga
Komanga Ni Tajiri Wa Antioxidants Ambazo Zinaweza Kusaidia Kuboresha Afya Ya Uterasi Na Kuongeza Mtiririkk Wa Damu Kwenye Maeneo Ya Uzazi.

2. Juisi Ya Parachichi
Parachichi Huwa Na Vitamini E Ambayo Ni Muhimu Kwa Mfumo Wa Uzazi. Vitamini E Husaidia Kuboresha Afya Ya Yai Na Kuimarisha Mfumo Wa Homoni

3. Juisi Ya Tango Na Karoti
Mchanganyiko Wa Juisi Hizi Mbili Hutoa Vitamini A Na C Ambazo Zinaweza Kusaidia Kuboresha Afya Ya Ngozi, Homoni Na Kuongeza Kinga Ya Mwili

4. Juisi Ya Mchicha
Mchicha Ni Chanzo Kizuri Cha Folic Acid, Madini Ya Chuma Na Vitamini B6. Folic Acid Husaidia Katika Utengenezaji Wa Seli Mpya Ambazo Ni Muhimu Kwa Uzazi

5. Juisi Ya Tangawizi
Tangawizi Nasaidia Kuboresha Mzunguko Wa Damu Na Inaweza Kusaidia Kupunguza Maumivu Ya Hedhi. Tangawizi Ni Muhimu Kwa Wanawake Wenye Matatizo Ya Uzazi.

Juisi Hivi Zinaweza Kukusaidia K**a Utapenda Kutumia Mara Kwa Mara Bila Kuchoka Kwa Ndani Ya Juisi Hizo Kuna Virutubisho Ambavyo Ni Muhimu Katika Mwili Wa Mwanadamu.

DARASA LA BURE KABISA
Karibu Ujifunze Zaidi Kuhusu Changamoto Za Uzazi Kwa Kugusa Link Ya Group 👇
https://chat.whatsapp.com/FWhAvpdEWph3GwgmFZaYzG

03/09/2024
27/02/2023

Hii Sio Ya Kuikosa Kabisa.....

Leo Nina Habari Mbaya Kwako Wewe Mwanamke Hutachua Hatua Kutatua Changamoto Yako Ya Muda Mrefu...
K**a Wewe Ni Mwanamke Basi Chukua Hata Dakika Kusoma Hapa....

Je unapitia changamoto zote au mojawapo kati ya UTI, PID, Mvurugiko wa homoni, uchafu ukeni, harufu mbaya ukeni, mimba kuharibika n.k? Na imekusababishia kukosa amani kabisa ukiwa na mpenzi wako kitandani kwa kuhofia harufu mbaya, unaoga kutembea au kuwa na rafiki zako kwa kuhofia harufu mbaya? Sio hilo tu, kila ukibeba Ujauzito basi unaporomoka na wakati mwingine mwenza wako anakulaumu na kukusema vibaya kuwa unatoa mimba? Lakini pia inawezekana unabeba Ujauzito lakini mtoto hufariki muda mfupi baada ya kuzaliwa, hedhi zako zinabadilika kila mara na pengine unavusha hadi miezi bila kuona siku zako? wakati mwingine umekosa hamu ya tendo kutokana na maumivu? Nguo zako za ndani zinachafuka kila mara kutokana na uchafu usio wa kawaida sehemu za siri. Unakonda kwa mawazo maana unapitia mateso makubwa na umeshatumia kila dawa lakini wapi? Daah pole sana rafiki yangu..

Vuta picha sasa k**a huna UTI, PID, Homone Imbalance, hedhi zako ziko sawa kabisa, unajumuika na ndugu, jamaa na marafiki kwa sababu hauhofii harufu tena, Huna wasiwasi wowote na unafanya kazi kwa ufanisi, unapata Ujauzito na mtoto anazaliwa na anakuwa na afya njema, unaenda kazini kwa amani na unafanya kazi kwa amani kwa sababu ule uchafu haipo tena, mwenza wako anakupenda na kukuheshimu. Basi usijali maana hayo yote yanawezekana.

Na hii ndiyo siri ya kukuvusha kutoka kwenye majonzi kuja, kuelekea au kwenda kwenye furaha na amani. Na hili ndiyo daraja kwako sasa rafiki. Daraja hili linaitwa Furaha Package. Ni package maalumu kwa Ajili yako wewe rafiki. Package hii thamani yake ni 210,000/= lakini kwako wewe k**a mteja wa kwanza unaenda kuipata kwa 190,000/= tu ikiwa umeokoa hadi 30,000/= k**a utaipata ndani ya masaa 24 tu. Kwa sasa zipo Package 20 tu ikiwepo na yako.

Gusa Link Ya WhatsApp
wa.me/255757296687

DAWA ZA UZAZI WA MPANGO ZINAATHIRI VIPI MZUNGUKO WA HEDHIKwanza kabisa tuangalie udhibiti wa hormone katika mzunguko wa ...
01/04/2022

DAWA ZA UZAZI WA MPANGO ZINAATHIRI VIPI MZUNGUKO WA HEDHI

Kwanza kabisa tuangalie udhibiti wa hormone katika mzunguko wa hedhi, yaani hormone zipi zinahusika na mzunguko wa hedhi na zinafanya vipi kazi.K**a inavyoonekana katika mchoro.
Katika ubongo kuna tezi ya hipothalmas inayozalisha hormone ya Gonadotropini hii hormone inachochea tezi ya pituitari ambayo nayo ipo kwenye ubongo kuzalisha hormone zifatazo
1.hormone chochezi ya mayai (FSH) ambayo huchochea kukua na kupevuka kwa mayai na kuchochea mfuko wa mayai (ovari) kuzalisha hormone za uzazi estrogen na progesterone.
2.Hormone ya lutea ambayo huchochea kuachiliwa kwa yai kutoka kwenye mfuko wa mayai (Ovulation).
Baadae estrogen na progesterone ambazo zinakazi kubwa katika mzunguko zinapokuwa zimezalishwa kwa kiasi cha kutosha zinafanya sasa tezi ya hipothalmus isizalishe tena Hormone ya gonadotropin na kuzuia mzunguko mzima.
Pindi unapokaribia hedhi estrogen na progesterone zinashuka kiwango ili kuruhusu Hipothalmus izalishe tena gonadotropin ili mzunguko uanze tena
JE DAWA ZA UZAZI WA MPANGO K**A MAJIRA ,P2 NA NYINGINEZO ZINAATHIRI VIPI MZUNGUKO?
Kwanza kabisa ile dhana kwamba zinaacha sumu si kweli,
Unapomeza mfano vidonge ndani ya masaa 24 hadi 36 zinakuwa zimeshatolewa kabisa mwilini kupitia ini.
Sasa kwa nini mtu anaweza kukosa hedhi baada ya kuacha kutumia hizi dawa.
Dawa hizi zinakuwa na kemikali ambazo zinafanana na hormone ya progesterone na nyingine zina dawa inayofanana na estrogen.
Zinapoingia mwilini zinafanya kazi k**a hormone hizo na kuziba vijishikizo (receptors) za hormone hizo, mwili huhisi kuwa kuna kiwango kikubwa cha hormone ya estrogen na progesterone matokeo yake hipothalmus inakuwa inactive na kuacha kuzalisha hormone ya gonadotropin na kuathiri uzalishwaji wa mayai na hedhi. Hadi mtu hapati ujauzito. Kwa hiyo znafanya kazi kwa kuvuruga huo mpangilio wa hormone.
Unapoacha kutumia tezi ya hipothalmus kurudia hali yake ya kawaida kuanza kuzalisha gonadotropin inatofautiana kati ya mtu

01/04/2022

📌DALILI HATARI KWA MAMA MJAMZITO:
1⃣Kuvuja dam kipndi cha ujauzito,

2⃣ Kuvimba miguu kupita kias,mikon au uso.

3⃣Maumiv makal wakat wa kukojoa,

4⃣Kutoka uchaf weny haruf mby sehem za siri,

5⃣Maumimiv makal ya kichw, kizungu zungu, kuona maruerue,

6⃣Kupungua au kutokuwepo kabisa mapgo ya moyo kwa mtoto.
-UNAPOONA DALILI HIZO CHUKUA HATUA, kwan hatari kwa Afya ya Mama na Mtoto.

Send a message to learn more

27/03/2022

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS) NA SULUHISHO LAKE*

*FIBROID NI NINI?*
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama
ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

*Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:*
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)

*Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa huu fibroids*
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka
kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids.

*Dalili za fibroids*
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi

*Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo*

1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza
mishipa ya kupitisha mayai kutoka
kwenye mfiko wa mayai yaani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai
lililorutubishwa kujishikiza kwenye
kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu

26/03/2022

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtunza Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mtunza Afya:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram