Maisha ni Afya

  • Home
  • Maisha ni Afya

Maisha ni Afya Karibu sana Tukusaidie
�Changamoto ya Uzazi, punyeto, kuwai kileleni, uume kusinyaa, uume mdogo.
�Ku

*WOOW* 💥 *WAOOO* 💥💥💪Hivi unajua kila mwanaume anauwezo wa kumfikisha na kumridhisha mpenzi wake ?? Ila kuna SEHEMU ndogo...
10/03/2023

*WOOW* 💥 *WAOOO* 💥💥💪

Hivi unajua kila mwanaume anauwezo wa kumfikisha na kumridhisha mpenzi wake ?? Ila kuna SEHEMU ndogo wanaume wengi wanakosea kufanya.

Unajua ni wapi wanaume wengi wanakosea ? .... Usijali endelea kua na mm Soma mpka mwisho🤗
...Kwanza ni uzembe binafsi haswa katika maandalizi ,....kutokujiamini wengine ....wameathirika na hawana uwezo wa kufanya vizuri

*Unakosaje nguvu za KIUME na pesa ??*

Sasa nataka nikufundishe techniques bure za kudinya mpenzi wako vzr iliasikudarau na ndoa yako ikawa sawa. Bonyeza link chini ya WhatsApp👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/D0RdA8Tp66fE71rq0Kxbpa

Ila uwe na miaka 30 na kuendelea ,ni darasa la siku Saba hapo utajifunxa mengi mno

Karibu

MWANAUMEUwezo wako kitandani unapimwa na vitu vinne. Kwanza, HAMU YA TENDO.  K**a unaona ukifika kitandani hamu au hisia...
26/01/2023

MWANAUME

Uwezo wako kitandani unapimwa na vitu vinne.
Kwanza, HAMU YA TENDO. K**a unaona ukifika kitandani hamu au hisia zinapotea, hujisikii kushiriki tendo, unachoka Sana, NICHEK FAST 0687302610

Pili, kusimamisha. Kuna wale ambao hawasimamishi kabisa, uume kusimama legelege, na kushindwa kusimamisha baada ya round ya kwanza, ya pili au round yoyote. USIJALI, NICHEK CHAP 0687302610

Tatu, Kumwaga mbegu. Mbegu za mwanaume inabidi ziwe zinaruka kwa spidi, zisitoke taratibu. Inabidi ziwe nzito, sio nyepesi. Inabidi ziwe nyingi, sio chache. Na inabidi ziwe na uwezo wa kumpa mimba mwanamke. Ziwe na afya. K**a unahis mbegu zako hazielewek, usijal, nichek 0625940143

Nne, kufika kileleni. Hapa ndipo panasumbua wengi. Na wengi wanadhani bao la kwanza huwa linakawaida ya kuwahi kutoka. Ndugu hapa haijalishi la kwanza au la mwisho, ukiona unamaliza kwa sekunde au dakika au muda mchache, HUNA HAJA YA KUPOTEZA MUDA, NICHEK CHAP 0687302610

TIBA IPO, Ambayo ni virutubisho lishe, usitumie madawa ya kemikali wahi upate virutubisho umalize tatizo.

Tuma ujumbe neno MWANAUME RIJALI Sasa hivi kwenda WhatsApp namba 0687302610 Wahi mapema usaidiwe mapema

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .2.Uume unasin...
02/08/2022

UTAJUAJE K**A UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME..

1.Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2.Uume unasinyaa taratibu baada ya goli moja na kuendelea inakua ni ngumu.

3.Mwili unahisi ganzi pamoja na uume kusinyaa ukiwa kwenye tendo

4.Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5.Uume unasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke unasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

Katika utatuzi wa tatizo hili usitumie DAWA tubia virutubisho kutatua tatizo hili kabsaa .

Kwa msaada zaidi:

Tuma neno AFYA kwenda WhatsApp number 0687302610
....au Piga Simu usaidiwe Mapema

MWANAUME UKIWA HIVI UTAKIMBIWA NA KILA MWANAMKEHivi unajua kwamba kati ya wanaume 10 wanaume 2-3 kati yao huwa na upungu...
01/08/2022

MWANAUME UKIWA HIVI UTAKIMBIWA NA KILA MWANAMKE

Hivi unajua kwamba kati ya wanaume 10 wanaume 2-3 kati yao huwa na upungufu wa nguvu za kiume kwa sababu ya mtindo wa maisha na kukosa Elimu Sahihi ya Afya ....!!

Hili ndilo tatizo linalowakuta wanaume wengi kwenye ndoa nyingi kwa kua na tatizo la kuwai kufika kileleni, kushindwa kuendelea na tendo, uume kua legevu, kukosa hamu ya tendo la ndoa...

Inamaana utakua umepoteza pesa zako zote kumgharamikia na kugharamika chumba,chakula, vinywaji na hata muda wako piah kwa kuishia kipiga kimoja tu na mashine kushindwa kusimama sio tu pesa utadharaulika kwa huyo mwanamke na kukuona sio kitu kwa kushindwa kumfikisha kileleni.....

Ni k**a bahati kwako leo kwamba kuna suluhisho pekee kwa sasa ya tatizo lako kwa kutumia VIRUTUBISHO

VIRUTUBISHO hivi.....!

Vina kiwango kikubwa cha wingi wa madini muhimu ambavyo zikipungua mwili unaanza kuona udhaifu kwahiyo utaweza kuwa na hamu ya tendo la ndoa kwa kiasi kikubwa ina maana utafurahia tendo na kuwa na furaha wewe pamoja na mpenzi wako.

Ina kiasi kikubwa sana cha viini lishe sahihi ambavyo huupa nwili nguvu za kiume na stamina ya muda mrefu kwahiyo utaweza kushiriki tendo la ndoa mara nyingi utakavyo ina maana utafurahia zaidi na utapata heshima ya kumfikisha kileleni mpenzi wako kwa kushiriki tendo kwa muda mrefu na heshima yako itarejea k**a mwanaume.

Ina wingi wa madini protein kwa kiasi kikubwa sana kinachoboresha misuli ya uume kwahyo utaweza kua na uume imara na kujaa vizuri na kua na afya njema na kukusaidia kudumu kwenye tendo kwa muda mrefu inamaana utadumisha upendo na kumfanya mpenzi wako akupende na kukuheshimu zaidi na wewe kufurahia tendo kwa kujisikia raha zaidi

Nitakupa Muongozo sahihi wa chakula sahihi + mazoezi = vitakusaidia kuwa na afya na nguvu tele wakati wa kutumia pack hii na kutatua changamoto hii isijirudie tena

Ninawasaidia wengi

Tuma neno AFYA Kwenda whatsapp namba +255687302610 sasa hivi usaidiwe mapema

JINSI YA  KUTATUA CHANGAMOTO YA VIDONDA VYA TUMBO NDANI YA  SIKU 22Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza...
25/06/2022

JINSI YA KUTATUA CHANGAMOTO YA VIDONDA VYA TUMBO NDANI YA SIKU 22

Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo

Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya.

Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp namba 0687302610 au piga sim usaidiwe Mapema.

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKELeo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachw...
29/05/2022

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE

Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara

Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.

Sasa k**a unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital

Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe

Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0687302610 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

NILIJUTA MIMI ,NILIJUTA SANA KUPIGA PUNYETO SHULENI BOARDING.MADHARA YALIYONITESA  NI👉Uume kusinyaa kila nkijaribu kubad...
16/05/2022

NILIJUTA MIMI ,NILIJUTA SANA KUPIGA PUNYETO SHULENI BOARDING.

MADHARA YALIYONITESA NI

👉Uume kusinyaa kila nkijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama nikiwepo na mwenza wangu lakini akiondoka naona napata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika nashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO ZILIZOKUA ZINANITESA MIMI USIJIFICHE, K**A MIMI NIMEPONA NA WEWE PIA UNAWEZA KUPONA

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0687302610 au piga simu usaidiwe mapema

Bedroom package ndio itakayokupa uhakika wa 100% kuwa na sifa zote za mwanaume Rijali kwa kuimarisha mfumo wako  mzima w...
16/05/2022

Bedroom package ndio itakayokupa uhakika wa 100% kuwa na sifa zote za mwanaume Rijali kwa kuimarisha mfumo wako mzima wa uzazi.

Ondoa matatizo haya
1. Kuwahi kumaliza tendo
2. Kukosa hamu
3. Dhakari kusimama ikiwa legevu
4. Kuwa na msongo wa mawazo
5. Kushindwa kurudia
6. Kwenda Round chache

Usiogope ushauri ni Bureee, hakikisha unanieleza chanzo cha changamoto yako ili tuliondoe uwe rijali haswa.

Tuma ujumbe neno RIJALI sasa hivi kwenda WhatsApp number 0687302610 au Piga Simu usaidiwe Mapema.

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKELeo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachw...
15/05/2022

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE

Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara

Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.

Sasa k**a unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital

Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe

Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba +255687302610 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiu...
19/03/2022

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini. Fahamu vyakula hivi ili uwe vizuri.

2. Mtini (Figs)
Mtini (figs) ni matunda yenye kiwango kikubwa cha amino asidi, ambayo ni kiungo kikubwa katika kuzalisha homoni mwilini. Homoni ndio kishawishi cha nguvu za kiume mwilini. Kukosa amino asidi huweza kusababisha kukosa hamu ya mapenzi au kupungukiwa na nguvu za kiume

3. Chaza/Kombe wabichi (Raw Oysters)
Chaza wana kiwango kikubwa cha madini ya zinc. Madini za zinc hutumika katika utengenezaji wa homoni ya testosterone, shahawa na mbegu za kiume. Uwingi wa uzalishwaji wa testosterone mwilini huathiri pia hamu ya mapenzi na nguvu za kiume – ikiwa kidogo huondoa hamu, ikiwa nyingi hupelekea hamu na nguvu zaidi.
Kupungukiwa kwa madini ya zinc husababisha kupungua kwa nguvu za kiume, udhaifu (uhanithi), na kushuka kwa kiwango cha uwezo wa kufanya mapenzi.

4. Karanga
Karanga ni chanzo kikubwa cha kujenga protini mwilini. Karanga huwa na kiwango kikubwa cha amino asidi ambayo husaidia kuweka vizuri mfumo wa damu, hivyo kusababisha kuongezeka kwa kiwango cha ufanyaji mapenzi.

5. Vitunguu saumu
Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.

6. Ndizi
Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi. Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamin B ambayo husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito. Ndizi ina kimeng’enyo cha Bromelain ambacho huongeza nguvu za kiume, ashki ya mapenzi (libido).

Vyakula ni bora kuliko madawa makali
Mie binafsi nashauri kutumia njia asilia katika kutatua matatizo yako yote ya kiafya. Mwili una njia zake za kurekebisha kila kitu. Ukiona kuna tatizo inaashiria kuna upungufu ambao unatakiwa kurekebishwa.

Kutumia madawa makali hudhoofisha mwili na hivyo kuupunguzia uwezo wa kufanya kazi k**a inavyotakiwa.Na ndo maana huwa nasisitiza mtu kujali afya yake Ikiwa una changamoto tayari basi jiimarishe kwa Virutubisho lishe vya ARGI PLUS, MULTIMACA, ALOEVERA GEL, NATUREMIN, BEE POLLEN. Ni vizuri k**a kwa kutatua changamoto yako ya kiafya usisubiri mpaka uumwe ndo uanze kuhangaika,

Mara nyingi njia asilia hutumia muda mrefu sana kuleta mabadiliko, lakini matokeo yake hudumu zaidi kuliko kutumia madawa makali ambayo hutibu mfumo wa kawaida wa ufanyaji kazi wa mwili wako. Mie nashauri uangalie jinsi unavyokula, K**a jogoo ameshindwa kupanda mtungi, ruksa kuangalia njia mbadala.
Ni vizuri kula kwa kiasi kabla ya kufanya mapenzi, hasa wakati wa usiku kabla ya kwenda kulala. Kuvimbiwa husababisha mwili kufanya kazi ya ziada ya kumeng’enya chakula hivyo kuingiwa na uchovu, uvivu na kunyong’onyea. Hii husabisha kukosa usingizi na kupungua kwa umahiri wako katika kufanya shughuli nyingi zinazohitaji nguvu, ikiwemo mapenzi, kwa ufasaha. Usije kumtafuta mchawi wakati wewe ndio unajiroga, kuwa makini. Ni vizuri ukajaribu kubadilisha chakula unachokula, fanya mazoezi mara kwa mara ili kupata mwili wenye nguvu.

Kwa Ushauri na msaada zaidi wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba 0687302610 au piga simu usaidiwe mapema.

K**a Una Lengo La Kutatua Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Usifanye Makosa Haya. Hakikisha unajiepusha na makosa hay...
18/03/2022

K**a Una Lengo La Kutatua Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Usifanye Makosa Haya.

Hakikisha unajiepusha na makosa haya huweza kusababisha tatizo la Nguvu za Kiume kuzidi badala ya Kupungua.Wanaume wengi wanapohisi kuwa na Changamoto ya Nguvu za Kiume Hufanya Yafuatayo!!....

👉 Wengi hupuuza tatizo hilo na kuchukulia k**a Hali ya kawaida , ,Huchukulia poa na wengi hushindwa kuchukulia serious, matokeo yake tatizo hukua na kuwa kubwa zaidi na kupelekea wengi kupata Tezi dume bila ya wao kujijuwa.

👉 Kutokujua Chanzo cha Tatizo hilo, Imekua ni kawaida kwa baadhi ya Wanaume kushindwa kujua Chanzo cha changamoto ,Hivyo wengi hukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo sahihi juu ya Tatizo hilo.

👉 Kutokua na Elimu Sahihi na Kutokujua ukweli kuhusu tatizo hilo , Wengi wamekua wakipeleka tatizo kwa watu ambao sio sahihi na Hivyo kushindwa kupata suluhisho la kudumu.

👉 Kutumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume Kitu ambacho sio Sahihi kabisa.Hii hupelekea tatizo kuongezeka na kuwa sugu, kwa sababu uo sio ugonjwa k**a utumie dawa.

Mwanaume Usifanye tena makosa hayo,Pata Elimu Sahihi na Njia Sahihi ya Kuondoa Changamoto yako leo.K**a uko serious Wasiliana namj sasa hivi,

Tuma neno LENGO sasa hivi kwenda WhatsApp namba 0687302610 au au Piga sim usaidiwe mapema.

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha ni Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Maisha ni Afya:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram