23/01/2022
🔸MAUMIVU YA VIUNGO, NA TIBA YAKE
_Matatizo ya viungo K**a Muguu, mgongo, kiuno, mikono n.k yamekuwa yakiwasumbua wengi sana, hasa wazee, wanamichezo na wanaGym, watu wanaofanya kazi ngumu, n.k
🔸SABABU ZA MAUMIVU YA VIUNGO (ARTHRITIS)
1_UMRI
🔸Hii ni kwasababu Kadri umri unavyokwenda, mwili uashindwa kuzalisha ute ute katika maungio ya mifupa, hvyo upelekea msuguano baina ya mfupa na mfupa ambapo hupelekea mtu kupata maumivu makali hata kushindwa kukaa, kuinuka, kukimbia au hata kutembea vizuri.
_Aina hii ya Arthritis huwasumbua watu wengi zaid kuliko nyingne kutokana na cartilage (Utando unaofunika eneo ambalo mifupa hugusana na kuzuia isisuguane na kufanya kazi kiulain) inapoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hvyo kuharibika haraka. (Osteoarthritis)
2_UKOSEFU WA MADINI MUHIMU KATIKA MWILI. (Rheumatoid Arthritis)
🔸Pia tatizo hili hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unapopungua kutokana na virutubisho hafifu, hivyo viungo huanza kushambuliwa ikiwa pamoja na synovial membrane na kusababisha Uvimbe na maumivu, pia huweza kushambulia macho, ngoz, mapafu, midomo,damu, na mishipa ya damu. hali hii isipotibiwa huweza kusababisha ulemavu
3_Maambukiz ya bacteria kwenye synovial fluid, huweza kuwa fangus au virus kutoka sehemu nyingne ya mwili kupitia mfumo wa damu na kusambaa hadi kwenye Joint na kulet Maambukiz na kusababisha Uvimbe na maumivu. Aina hii ya Arthritis huitwa Infectious Arthritis
4_KAZI NGUMU, hii hufanya mwili kutumia chakula kingi na virutubisho vingi hvyo hushambulia hata madin muhimu yaliyokuwapo katika maungio ya mifupa, pia changamoto za maumivu na misuli kukak**aa huwapata madereva wa misafala mirefu, wakaaji wa muda mrefu, wabeba mizigo
🔸TIBA YAKE
ArthoXtra, Gluzojoint na Zaminocal ni virutubisho vya asili visivyo na madhara ambavyo kazi yake ni kuongeza uteute katika maungio ya mifupa
_Kuzuia kulika na kusagana kwa mifupa na kuzalisha gegedu upya
_Kuondoa maumivu ya viungo na Uvimbe
_kuongeza Glucose Amine na chrondroitin kwenye maungio
_zina mchanganyiko wa zinc, calcium
KWA USHAURI ZAIDI UNAWEZA WASILIANA NASI >NAMBA +255743705846
Whatsapp gusa Link pale juu kwenye Bio
___