
28/01/2024
Uchunguzi unaonyesha zaidi ya watoto 10,000 kila mwaka wanapata UKOMA. Zaidi ya mamia kati ya hao huwa na ulemavu wa kuonekana. Kwa pamoja, tunaweza kutokomeza maaafa na unyanyapaa unaosababishwa na maradhi haya.
Chanzo: