Dr. Soan Mango

Dr. Soan Mango Mango Herbal Product🇹🇿: is a specialist in the production and distribution of food & allied nutrition to treat chronic diseases in East Africa Region.
(1)

Wengi wanafanya surgery (operation) kufanya upasuaji wa bawasiri kuondoa vinyama/ uvimbe sehemu ya Haja kubwa ni kujiong...
22/01/2025

Wengi wanafanya surgery (operation) kufanya upasuaji wa bawasiri kuondoa vinyama/ uvimbe sehemu ya Haja kubwa ni kujiongezea tatizo tu..! hawatibu tatizo bali wanaondoa dalili ya tatizo la bawasiri itarudi tena na tena :- Dr. Ansali Luswele

inatibiwa na Virutubisho lishe kuanzia mfumo wa chakula mpaka mkunduni. Sasa Dr. Ansali Luswele ameshare nasi maandalizi yako ya chakula cha mlo huu mzuri! wa kutibu Bawasiri Sugu

1. Mchai chai ulivyokatwa
2. Ndimu Mbichi Asilia
3. Kitunguu saumu na Asali
4. Poda ya manjano (Chapa ya MANGO)
5. Unga wa Tangawizi (Chapa ya MANGO)
6.Mdalasini

Andaa maandalizi haya kwa kuandaa chai ya mchai chai kisha chanyanya na vijiko vitatu vya asali..ndimu kipande kimoja na unga wa tangawizi kijiko kimoja cha chai, mdalizini kijiko kikubwa cha chakula na kitunguu swaumu 1pts maliza na poda ya manjano vijiko viwili vya chai! Kunywa kwa siku 1.

Hakikisha unakunywa ikiwa na joto.

Kwa mahitaji ya tiba ya bawasiri ulio-andaliwa tayari kwwa njia za kitabibu kutibu magonjwa mengi zaidi.
Bawasiri Powder Original: 55000Tsh
Whatsapp: +255 674 378647

Mlonge au Moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana k**a mti wa miujiza kwa karne nyingi katika baadhi ya nchi...
22/01/2025

Mlonge au Moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana k**a mti wa miujiza kwa karne nyingi katika baadhi ya nchi za Afrika, Asia na katika nchi za Caribbean.

Majani yake husaidia :
▸Kushusha Presha na Kisukari
▸Kujenga Afya ya uzazi ya mwanaume
▸Husaidia watu wenye ukosefu wa madini ya chuma
▸Virutubisho vingi sana ambavyo hujenga afya ya mwili kwa ujumla
▸Husaidia kupunguza mafuta na uzito wa mwili

Wakati unatumia mlonge unakufanya ujisikie vizuri, ujisikie mpya (fresh) na mwenye nguvu kutoka na na uwingi wa madini ya chuma!

Kwa mahitaji ya mlonge ulio-andaliwa tayari kwwa njia za kitabibu kutibu magonjwa mengi zaidi.
Mlonge Powder Original: 40000Tsh
Whatsapp: +255 674 378647

Ngozi kuanza kupata muwasho mkali na hatimaye kupata vipele mwili, kubabuka kwa ngozi. Chanzo  kikuu ni vyakula unavyoku...
22/01/2025

Ngozi kuanza kupata muwasho mkali na hatimaye kupata vipele mwili, kubabuka kwa ngozi. Chanzo kikuu ni vyakula unavyokula na maisha unayoishi yanaweza kukuletea mzio(allergic) hatimaye kupata shambulio la fangasi hata MAGONJWA YA NGOZI.

Top Syrup ni kiboko ya magonjwa ya ngozi. Kwakuwa inaanza kutibu kuanzia ndani ya damu na kusafisha mwili kupata NGOZI ASILIA KWA 100%

Imejaribiwa na nzuri kwa matumizi ya ngozi.. Wengi wamekombolewa kutibu magonjwa ya ngozi.

TOP SYRUP : 45000Tsh, utapata chupa-2, dozi kamili ya siku 15

Whatsapp: 0684 765 575

Tambua utakapo kunywa Dozi kamili ya POWER RIJAAL chupa 1 hadi 2,  Kunarudisha na kutibu tatizo la mfumo mzima wa nguvu ...
22/01/2025

Tambua utakapo kunywa Dozi kamili ya POWER RIJAAL chupa 1 hadi 2, Kunarudisha na kutibu tatizo la mfumo mzima wa nguvu za kiume.. Pia huchochea hormones za ukuaji wa uume na kurudisha uimara wako chumbani haraka zaidi kwa 99.99%.

Pia husaidia kurudia haraka zaidi tendo la ndoa pale utapo-maliza roundi moja kwenda nyingine. Ni dawa nzuri ya tatizo la ngiri na maradhi nyemelezi kwenye mfumo wa nguvu za kiume

: Ukitaka kuwa imara chumani tumia POWER RIJAAL ni heshima ya ndoa yako. Mkubwa wa ulingo ni POWER RIJAAL🧏‍♂️

Kwa gharama ya kununua POWER RIJAAL dozi kamili dukani kwetu kwa package ya 500gm/500ml ni 45000Tsh. Ni nzuri nimeifadhiwa kwenye package nzuri kwa matumizi.

UTABIRI WA LEO TAREHE 22/01/2025SAMAKI(19 FEBRUARY-20 MARCH)Tegemea kupata habari njema sana leo na pongezi pamoja na si...
22/01/2025

UTABIRI WA LEO TAREHE 22/01/2025

SAMAKI(19 FEBRUARY-20 MARCH)

Tegemea kupata habari njema sana leo na pongezi pamoja na sifa nzuri juu ya mambo mazuri uliyoyafanya au unayoyafanya.

√Tegemea kuisha kwa maudhi yako na kile kilichokupotea kwa muda mrefu sasa kitaisha na itarejea furaha na amani yako.

√Ahadi zako na mipango yako mingi itatimia na itafunguka kwa kasi kubwa zaidi jitahidi kusimamia na kufuatilia kile unachokihitaji ingawa kuna vikwazo vidogo vidogo lakini utafanikiwa.

√Leo katika mizunguko yako ukikutana na msiba au mkusanyiko mbaya wa watu basi tegemea kukamilika kwa safari yako au ahadi zako nzuri sasa zitatimia na furaha katika kazi zako ndoa yako au Mahusiano yako itarejea.

√Leo kila utakaloliomba utafanikiwa jitahidi ibada zaidi na upunguze tabia ya kujiweka mnyonge mnyonge utapoteza mengi au vingi vizuri.

PUNDA (21 MARCH-20 APRIL)

Tegemea kupata maudhi leo na habari njema lakini hazitatimia na haja zako kwa leo hazitatimia kutokana na tabia yako ya kuthamini hanasa zaidi ya maisha yako au maendeleo yako (unaonekana kupenda sana starehe na mapenzi kuliko vinginevyo) hali ndio kikwazo na sababu kubwa zinazochangia kukwama kwako katika mambo yako.

√Kazi yako au kazi zako zitaingia dosari na Kuna mtu atakuudhi mno leo hadi sasa hivi hapo inaonekana kukosekana kwa furaha juu yako jitahidi kuwafurahisha mayatima na maskini kila unapopata fanaka juu ya kazi zako au biashara zako itadumu furaha yako.

√Tegemea kuibiwa au kutapeliwa kutokana na ubishi wako au kutokusikiliza ushauri unaopewa na watu wako.

√Leo ukikutana na mlevi asubuhi asubuhi basi na mambo yako yatakuwa yakuongea tu bila utekelezaji na hakuna kutimia kwa jambo na K**a unasubiri ndoa haitatimia na utaingia aibu kupitia ndoa hiyo.

NG'OMBE (21 APRIL-21 MAY)

Utapata amani na furaha zaidi leo kulingana na kuwa vile vizuri vyako vitarejea katika njia zako.

√Utatembelewa na Rafiki yako au ndugu yako au mtu wako wa karibu na kuna mambo mengi utajifunza juu ya mtu huyo lakini unategemea kupata kitu kikubwa kutoka kwake lakini hutokipata k**a unavyotarajia ila mambo yataenda vizuri.

√Safari yako uliyoipanga nenda haina shida.

MAPACHA(22 MAY-21 JUNE)

Tegemea kupata habari mbaya na maudhi mengi siku ya leo pia khofu itatanda katika nafsi kulingana na habari hizo au makosa yako (jitahidi kubadilika na ujizuie kabisa na hali hiyo ya khofu kukutawala wiki hii inaweza kukuzulia mapya katika afya yako).

√Tegemea kupata hasara katika biashara zako leo na kuna mtu atakuumiza jitahidi usiruhusu vita au vurugu leo inaweza kukuletea udhalili.

√ Safari yako haina kheri leo ni bora kutulia nyumbani kwako unaweza kupatwa na upepo mbaya.

KAA(22 JUNE-22 JULY)

Afya yako itakuwa vizuri na matumaini mazuri juu ya jambo unalolifuatilia yatazaa matunda na utafanikiwa jambo lako.

√Tegemea kuhuzunishwa na jambo lakini linapita na ni vitu visivyokwepeka.

√ Safari zako hazina tatizo leo ila ukikutana na mtu mzima kambeba mtu mzima mwenzie basi ghairi safari yako hakuna kheri huko uendapo yatatokea mambo ya maudhi na taabu juu yako.

SIMBA(23 JULY-21 AUGUST)

Mtawala wako au bosi wako atakutia huzuni leo au itakupata huzuni juu ya bosi wako au kiongozi wako na hii isikutie khofu kuna zuri linakuja zaidi juu yako ndio maana ya haya.

√Endelea kupata matumaini mazuri na mategemeo sahihi siku zote katika safari zako amini wewe ni mshindi tu na usigeuke nyuma.

√Bado mafanikio yako ni makubwa na haja zako zitatimia bila shida yoyote endelea kusimamia mipango yako na kuhusu vurugu za mahusiano yako bado zitaendelea na zitafika mwisho.

√Tunza Siri zako utafanikiwa mambo yako.

MASHUKE(22 AUGUST-22 SEPTEMBER)

Maradhi yako ya tumbo na kichwa leo yataibuka usihofie yanapita na utaipata amani.

√Adui yako atafurahia shida zako mpaka utamgundua uadui wake.

√Mipango yako itavurugika vurugika leo na ni upepo tu unapita kila kitu kitakuwa sawa baada ya siku hii kupita.

√Usijiamini sana kwa kizuri ulichokipata na leo kuna mtu atakudanganya hivyo kuwa makini.

MIZANI(23 SEPTEMBER-21 OCTOBER)

Kuna habari njema zitakufikia leo ingawa ulishapata habari mbaya kabla ya njema.

√Mipango yako ya kipesa au kibiashara leo itafunguka na itaenda vizuri adui yako ataanguka pakubwa

√ Kelele kazini kwako au ofisini kwako zitaisha na amani itarejea kati yako na wenzako

√Pia safari zako utafika salama ingawa matukio utayashuhudia.

NG'E (22 OCTOBER-21 NOVEMBER)

Leo utapokea habari mbaya za kuhuzunisha na utapoteza kitu muhimu.

√Usijihusishe na mkopo leo ingawa utafanikiwa lolote utakalohitaji leo lakini utapata hasara baada ya hapo (pesa hiyo hutaifanyia lengo lako na itaisha kwa namna usiyoitarajia).

√ Maudhi maudhi ni mengi leo lakini kabla siku haijaisha utajifunza kitu muhimu leo.

MSHALE (22 NOVEMBER-21 DECEMBER)

Leo haja zako zitatimia bila shida yoyote na unachokisubiri leo utakipata.

√Pia usihofie jambo lolote kikubwa jiamini zaidi na ufuatilie mipango yako.

√Kila unalohitaji leo jibu lake ni ndiyo.

MBUZI (22 DECEMBER-19 JANUARY)

Leo kuwa makini na mali zako au pesa zako unaweza kuibiwa au kutapeliwa hivyo jitahidi kuvitunza vitu vyako na urudi nyumbani kwako mapema ili kuepuka hayo.

√Kuna mtu utakutana nae leo atakupa kitu kizuri au atakuambia kitu kizuri sana mtu huyo ni muaminifu mno na ni mkweli ila ana Siri nyingi au ni msiri mshikilie vizuri ni mwema kwako.

√Safari zako zina kheri kwako na utafika salama

√Leo usikope pesa hiyo utailipa kwa shida na usikopeshe hutalipwa.

NDOO(20 JANUARY-18 FEBRUARY)

Utapata furaha leo na amani kubwa itarejea katika nafsi yako.

√Safari yako utafika salama na mambo yako yataenda vizuri mno

√Usiamini unayoambiwa au kuyasikia au unayoyaota wiki hii kuhusu ndoa yako kuna fitna nyingi na uadui unakunyemeleeni ndio maana unapata njozi mbaya juu ya mahusiano yako endelea kuvumilia na ufanye ibada zaidi pia tunza Siri zako wewe ni mtunza Siri mzuri sana na unaaminika zaidi hivyo tunza uaminifu wako.

Whatsapp 0684 765 575

 : Mafuta Mengi Mwilini husababisha hali mbaya ya kugandamizo kwenye mishipa ya damu hupelekea damu kushindwa kupita viz...
22/01/2025

: Mafuta Mengi Mwilini husababisha hali mbaya ya kugandamizo kwenye mishipa ya damu hupelekea damu kushindwa kupita vizuri hali hiyo inayojulikana k**a Ganzi mwilini.
Hisia hii hutokea wakati mwili kuhisi unachoma inayotoka kwenye Miguuni, mikono hata kichwani kuhisi kiungo cha mwili sio chako.

Stroke Oil ✨ni moja mchanganyiko wa mafuta zaidi (77) ya tiba asilia inayotumika sana kufanya masaji hasa kusaidia kuondoa matatizo ya maumivu ya viungo, misuli, ganzi mwilini k**a vile mwili kupooza na ugonjwa wa mgongo kuuma.
Kando na haya, Stroke oil pia hutumiwa kutibu mwili kuwaka moto hasa miguuni & mikononi.

Ni suluhisho sahihi kwa mgonjwa wenye shida ya ganzi atumie Stroke oil haina kemikali! Imejaribiwa ni nzuri kwa kuchua.

TSH.35,000, CHUPA 2-200ML/ 2-WEEK
DELIVERY TSH,2000
KWA DAR/ MKOANI TUNATUMA.

TUNAPATIKANA LUGOBA, PWANI. MUDA WA KAZI; 8AM TO
5PM, MON-SAT.
WHATSAPP: +255 674 378 647.
KWA ODA: +255 684 765 575

Jini Mahaba ni jini anayemtumia mtu katika mapenzi. Mara nyingi hukujia ndotoni na mara chache huja katika muonekano wa ...
22/01/2025

Jini Mahaba ni jini anayemtumia mtu katika mapenzi. Mara nyingi hukujia ndotoni na mara chache huja katika muonekano wa kiumbe k**a mwanadamu wa kawaida.

Jini huyu anawaingia watu wanaopenda kulala bila ya nguo au nguo nyepesi sana bila ya kusoma dua hasa nyakati za joto.wakati wa kufanya tendo la ndoa na wanandoa kusahau kusoma dua wakati
wa tendo{na hapa ndipo huwaingia watu zaidi} kujitazama ktk kioo kwa muda mrefu bila ya kusoma dua na hasa kwawanaopenda kujitazama wakiwa uchi.

Kuogelea ukiwa uchi katika vyanzo vya maji bila ya dua, kutupiwa na wachawI kuingia chooni bila dua
hivyo anaeingia bila ya dua anaweza kukumbwa na majini. Jini wakutupiwa huwa tofauti na aliyekuiingilia kwa kukumba au mapenz yake mwenyewe. Wakufumwa anakiwa mkali zaid na anaweza akakuingilia mpaka kinyume cha maumbile.

kupenda kukojoa miferejini, lakini pia wanawake wazur sana hasa weupe wanaopenda kujipodoa na kupaka manukato mazur na kutembea usiku wana uwezekano mkubwa wa kuingiliwa na hawa majini sababu na wao pia hutamani vtu vzur vinavyonukia. Ukichunguza idadi kubwa ya watu wenye majini mahaba ni weupe na pia ni wale watanashat haswaaa.

DALILI NA MADHARA UNAYOWEZA KUYAPATA IKIWA UMEINGIWA NA JINI HILI NA UKASHINDWA KUMTOA

majini mahaba huwa na dalili nyingi na hutofautiana kutegemeana na aina ya jini alie kuingia zifuatazo ni baadhi ya dalili za jini mahaba kwa uchache ndoto za kufanya jimai mara kwa mara hasa na mtu unae muheshimu km kaka dada mama baba nk {si kila ndoto ya kufanya mapenzi ni dalili ya jini wakati mwingine ndoto ya kuota unafanya jimai hadi kufikia mshindo hutafsiriwa k**a kupata wepesi na mafanikio katika mambo ya muotaji kuharibika ujauzito bila sababu za kidaktari, kuchukia tendo la ndoa kuoa au kuolewa na hata kumchukia mwenza wako akiwa karibu nawe na hujihisi

kumpenda sana akiwa mbali, ndoto za kuota unazaa kunyonyesha au kulea mtoto, mwanamama kuvurugikiwa siku za hedhi, maumivu makali chini ya kitovu wakati wa tendo la ndoa au hedhi[hili husababishwa pia na vitu mbali mbali Km mgoro na baadhi ya bakteria wanao shambulia viungo vya uzazi, kutosikia hamu ya tendo la ndoa bila sababu za kidaktari,

ujauzito kutoweka baadhi ya nyakati na mjamzito kuhisi km hana kabisa ujauzito, mipango kuharibika bila sababu za msingi, kutokuwa na nguvu za kijinsia bila sababu za kidaktari, kujihisi umeonewa hadi unafika kulia bila sababu, moyo kwenda mbio bila sababu za kidaktari,

kifua kuwa kizito km umebeba mzigo au kichwa, kuota ndoto za kweli wakati sio mchamungu, ndoto za kukimbizwa na wanyama, wakali km simba nyoka chui na wengine, kupiga kelele bila sababu na unashindwa kujizuia, hizi ni baadhi tu ya dalili zipo nyingi sana

BAADA YA KUFAHAMU KWA UCHACHE DALILI ZA JINI MAHANA SASA TUANGAZIE MADHARA YAKE

jini huyu anapomuingia mwanadamu huweza kumpatia madhara yafuatayo kuchukia kuoa au kuolewa, kuchukia watu wa jinsia tofauti, kutopata mtoto, kuvurugikiwa mambo yake bila sababu za msingi, gundu, kuchukiwa na watu bila sababu maalumu

k**a una dalili hizo basi jua una jini mahaba ambaye anakusababisha matatizo kwenye maisha yako. Akikomaa anaweza akakuoa akaenda kuiutambulisha kwao ujinini ukazaa nae watoto lakini utakuwa ukiyaona usiku kwenye ndoto haya mambo unaweza ukazaa hata watoto watatu kijini lakini ukawa huna mtoto kikawaida.

Sasa kuna tofauti za majini mahaba na dawa zake pia ni tofauti kulingana na aina ya jini na alivyokuingia. Mfano k**a alikuingia choon basi kuna dawa utapatiwa uanatakiwa usonge ugali mdogo uweke kwwnye sahan ya udongo ufinyange matonge saba ambayo utaweza kuyameza bila kutafuna.Utaenda chooni utameza hayo matonge huko kwa muongozo maalumu wa mtabibu

Ili kuzuia hizo ndoto na kumtuliza tafuta mvuje wa donge au kipande maana mvuje kuna majani mafuta unga na dongr sasa upate donge ujifunge na kitambaa mkono wako wa kulia uwe unalala nacho usiku itamstopisha kukuingilia ila dawa zaid ni kumtoa ili upate furaha ndoan upate kizazi
Fika kwa wataalam waliopo karibu nawe wakuangalie na wamtoe mara moja

Nmetaja dalili na athari ili ujiangalie pengine unahangaika ujui tatzo ndo ujue unaye Wanaohtaj msaada wangu zaid niachie ujumbe inbox ya page Namba iliyo kwenye picha ukituma ujumbe inakuwa ngumu kuuona nina meseji nyingi sana tuma ujumbe whatsap au inbox ya page

NIULIZE KUHUSU MADA: Mada ni "JICHO" [KIJICHO].Kijicho ni nini?Kijicho ni mtazamo wa kupendezewa jambo, kitu, kulikochan...
22/01/2025

NIULIZE KUHUSU MADA:

Mada ni "JICHO" [KIJICHO].

Kijicho ni nini?
Kijicho ni mtazamo wa kupendezewa jambo, kitu, kulikochanganyika na husda.

KUHUSU HUSDA 'VIJICHO' UNDANI WAKE NA NAMNA YA KUPAMBANA NA HASIDI

KARIBU tena kwenye mfululizo wa darasa zangu kupitia ukurasa huu wa Dr.kizumango TZ, kuna baadhi ya watu wamekuwa wakikopo darasa hizi na kuweka kwenye kurasa zao sio mbaya maana unaonyesha heshima kwangu kuwa nafanya vtu vinavyowavutia wataalam na watu wasio na utaalam ila unachotakiww chini ya makala yako uandike kuwa umeitoa hapa hii ni heshima lakini pia itakufanya uwe huru kuendelea kuzitumia makala zangu.

Leo nitauna kisa kimoja kimezungumza kuhusiana na husda hasidi na mtu aliyefanyiwa husda anakuaje. Husda ni Hasidi ni mtu amabye anamuomea choyo mtu aliyejaaliwa kitu fulan ambacho aidha yeye anacho au hana na anataman yule mwenziwe asiwe nacho. Kifupi hasidi ni mtu anayetaman neema mwenzie iwezeze kuondoka

Hasidi wapo wa aina mbili aina ya kwanza hawa ni wagonjwa yaani unaumwa husda kwa lungha nyepesi inaitwa kijicho. Yaani mtu anaweza akakitazama kitu kiharibia au mtu akimuangalia basi ataumwa lakini asikusidie ubaya. Pia katika kinywa chake akitamka kitu lazima kitokee mfano utasikia mtaan bibi fulan mdomo wake hauend bure akikuambia utaona bas utakutwa na mabalaa.

Sasa huyu anaumwa husda yaan ana mashetan mabaya kwenye mwili wake ambao wanakuwa wanamtumia kwenye mambo ya husda. Mfano anaweza akamuangalia mgonjwa akazidi kuumwa au akafa. Kuna kijiji fulan iliwah kutokea kuna mtu alikuwa haruhusiki kwenda kuangalia wagonkwa kwa sabab ya kijicho lakini yeye si mchawi. Huyi sasa anatibika k**a akitaka mwenyewe anaondolewa wale majini wa husda.

Hasidi wa pili ni wale wakudhamiria kabisa kwamba wewe umeoa au kuolewa yeye anaumia moyoni kwann fulan apate ndoa kwan fulan ajenge nyumba kwann fulan afanye biashara kwann fulan azae. Sasa huyu hasidi ana sehemu tatu za kukuumiza kwanza anaanzia macho akishaiona rehma uliyojaaliwa anahamishia kwenye mdomo ataanza kukusema kwa wwtu kuwa unaringa.

Akiihimishia kwenye mikono ujue ni utendaji sasa anaenda kukushughulikia ili hata hicho kidogo ulichonacho kikutoke ili ubaki mtupu apatr kufurahisha nafsi yake. Hata mtu akikusaidia alaf akawa atangaza ule msaada wake kiubaya yaan bila mm yule fulan asingefanikiwa msimuone vile huyu pia hasidi.

Na husda mbaya ni ile inayofanywa na watu wako wa karibu aidha mkeo, mume, ndugu wa damu ambao wanakujua vzur hawa ndio wanaweza kukuumiza zaid kuliko mtu wa kando sababu hawa wanaweza wakakupa husda na vifungo juu yake.

Unaweza mtu ukawa na mali ikaondoka ghafla ukamiliki gar likawa linaharibika unaweza ukanunua kuku kabla hujampika akaharibika. Unaweza ukatolewa posa muoaji akaingia mitini asirejee tena.

Dalili za aliyehusudiwa kupata kichefuchefu cha mara kwa mara ukpima huna maradhi, kukonda bila sababu za msingi, kuhisi hasira kuwa mpweke wakat mwingine hujiliza pasina sababu. Kutokuwa na hamu au kuchukia kufanya kazi. Wakat mwingine huwachukia mpaka watu wanaokushaur kuhusu kazi. Watu kukudharau kutokuwa na iman na wewe hata ishu za kushika fedha huwez aminiwa moja kwa moja. Kuwa na hofu hata kwenye tendo la ndoa husda inashusha nguvu za kiume inaleta matatzo ya uzazi kwa wanawake.Husda ikikomaa husababisha maradhi ya ukoma

Kila chanzo cha husda kina tiba zake na tatizo likaisha na mambo yako yakaenda sawa. Kujikinga au kuvunja husda za vijicho hizi sio zile za kitendewa ni zile za kijicho tafuta majani ya mkunazi mabichi 2. Fikicha hayo majani kisha weka kwwnye chupa ya maji lita moja na nusu au mbili kaa chini utulie jitenge na watu utafute pahala palipo tulia kisha fuata utaratibu ufuatao.

Fungua ile chupa kisha mdomo wako uelekee kwenye mdomo wa hiyo chupa soma ayyatul kurusiyu 1, ukinaliza kusoma puliza yale maji mara tatu. Somea surrat Jinni kul uhiya mara moja kisha puliza tena mara tatu soma surrat lkafiruni mara moja kisha utapuliza mara tatu, surrat Ikhlas mara moja kisha utapuliza mara tatu, Surrat Falaq mara moja kisha utapululiza mara tatu na Surrat Nnas kisha utapuliza mara tatu. Wakat unasoma jitahd usijishughulishe na vtu vingine usizungumze na mtu wala simu na uwe na msafi bimaana utie uzu
Ukimaliza utayagawa hayo maji mara mbili nusu utakuwa ukichanganya na maji ya kuoga na nusu utakuwa ukichanganya na maji ya kunywa fanya kwa siku saba

Husda ya ndugu haikuanza leo toka enzi za Nabii Adam radhi za mwenywzi mungu zimuendee juu yake, pia wakati nabii Yusuf alihusidiwa nduguze baada ya kupata ndoto ambayo ilimtafairi baadae atakuja kuwa mtume wa mungu.

Vipo visa vingi vilivyosimuliwa na mitume vinavyoeleza husda na mdhara yake. Kwa ufupi hasidi ni adui wa Mwenyezi Mungu kwasababu huingilia mipaka ya ridhki anayoitoa yeye kwa mja mtakae.

Kuna husda za majini husda za wanaadamu na husda za kichawi sasa hizi zikionhozana zikakutana ndio ukipita watu wanakuona k**a mtoto mdogo au mwendawazimu waweza dharauriwa hata mkeo nyumban

Soma km nlvyoeleza hujui kusoma tafuta mtu anajua kusoma Kupata dawa za hasad zilizotayar niachie ujumbe inbox tutaangalia kk**a kweli ni husda utapatiwa dawa

Una tatzo lolote la afya nyota nguvu za kiume, uzazi biashara kesi kuibiwa kuuza nk kwa dawa na mafanyo niachie ujumbe inbox
0684765575

Whtsp group ni la malpo kwa wanaohtaji

Kuona picha za hizo dawa na kupata dawa tofaut mfano maji nifate inbox

Katika mambo yanayoweza kukwamishwa vitu visitimie vipo vingi na kila jambo lina matatuzi yake kitiba na mafanyo. Mfano ...
21/01/2025

Katika mambo yanayoweza kukwamishwa vitu visitimie vipo vingi na kila jambo lina matatuzi yake kitiba na mafanyo. Mfano kuna nuski, vifungo, nadhiri, husda, radhi, uchawi, jini mahaba, majini maiti pamoja na mambo mengine, hapa nmetaja kwa uchache lakini kuna mambo mengi sana yanayoweza kukukwamisha. Mfano ulikuwa huzai ukasema neno mimi ikotokea nimezaa nitachinja mbuzi na ukalirejea hilo neno mara kadhaa aidha ulipokuwa unatumia dawa au katika maombi ikitokea umezaa hujachinja mbuzi mawili wewe au mtoto mambo yake yatakwama hasa ni wewe mtia nia.

Sasa hili dawa yake si kukoshwa wala makafara tafuta mbuzi achinjwe utasema tu yale maneno uliyotamka niliweka ahadi nia nikizaa nitachinja mbuzi sasa nmeshazaa lakini mambo yaligeuka kwakuwa sikutimiza ahad leo natimiza mungu nisaidie katika hili chinja toa sadaka hakuna mchawi hapo ulijiroga mwenyewe. Na wengi wanaweka nadhiri pasina kujua na baadae huwadhuru.

Kuna laana au radhi, hapa najumuisha watu wa karibu mfano mume, mke mzazi ama mlezi ukiwa na laana za hawa watu lazima mambo yako yakuendee kombo na dawa yake ni kuwataka msamaha. Dawa lishe mbadala. Mfano mzazi unaweza km ulimkosea akakasirika tafuta watu wazima nenda nao kamtake msamaha mambo yako yatakaa sawa ikiwa amefariki na kinyongo soma makala inayohusiana na laana ipo hapa nmefafanua nini ufanye ili awe radhi. Ikiwa ulimkosea Mungu dawa ni kufanya toba ya kweli, umemkosea mume mke lakini mmeachana msh*takie mungu fanya toba ya kweli muelezee mungu ukweli wote uliotokea Allah ni mwingi wa huruma atakusameh.

Kuhusu jini mahaba nishazungumza sana anaweza akakupa nuksi usiolewe wala usioe, usizae, usipate raha kabisa kwenye tendo la ndoa sasa huyu dawa yake ni kutolewa hakuna njia nyengine atolewe ili mambo yako yakae sawa uoe uolewe uzae.

Husda ni mambo ya vijicho yana tiba zake pia nilishawahi kufafanua nini husda nani hasidi na unaathirika vipi na husda. Hapa pia kuna tiba zake za kisheria kukitoa hicho kijicho na kujikinga pia ila hili ukiwa nalo pia linafunga mambo yako.

Kuna wachawi wanaweza kukupiga chale zao za kukifuatilia ikawa kila unachofanya hakiwi, hapa ni lazima kwwnza ufutwe hizo chale alafa ndio usafishwe mwili.

Kwa ufpi vitu vyote nilivyovitaja vinaleta nuksi ambayo kila unachokifanya hakiwi ahadi zinakuwa nyingi mambo kuwa magumu. Pia kwenye nuski kuna aina zake nmeshawa kuzifafanua hapa mara kadhaa. mtabibu asili tz. Tunapokosea tunatibu nuksi hatuangalii kipi kimeleta nuksi. Hata mtindo wa kujibu maswali yangu waliopata bahat wakiniambia nina nuksi nataka kusfisha mwili majibu ninayowapa kwanza angalia chanzo cha tatizo na ukitibe ndio uoshe mwili. Hata kwenye masula ya mapenzi unakuta mtu kahitilafiana na mwenzie anachotaka yeye mtu wake arud.

Unaweza ukafanya dawa akarud lakini ikawa maugomvi ndani sababu hujaangalia chanzo cha hitilaf ni nn na kukimaliza. Mimi nmetoa makala haya kwa lengo la kila mmoja anapoenda kutafuta suluhu ya jambo lake kwanza aanze na chanzo ama kiini cha tatizo vingine utaoshwa sana utafanya sana makafara k**a hujatibu chanzo itakaa sawa muda kisha mambo yanarud k**a awali.

Mambo ya kuzingatia kila jambo lina utatuzi wake na madawa yake, mfano mtu aliyefungwa kwenye kabur akapewa nuksi ili nuksi ile iishe pia upatikane mchanga wa kabur kwenye tiba zake ila sio kaburi lile lile alorogewa.

Pata mbinu za kiasilia kwa kukuza uume na kunenepesha, Ameshare nasi Dr. Ansali Luswele🌱  anatufahamisha mbinu za kuanda...
21/01/2025

Pata mbinu za kiasilia kwa kukuza uume na kunenepesha, Ameshare nasi Dr. Ansali Luswele🌱 anatufahamisha mbinu za kuandaa tiba ya kutibu nguvu za kiume na kukuza uume.

Anasema "Mbinu zipo nyingi ambazo hazina madhara kwa kukuza na kunenepesha uume wako haraka zaidi mpaka nchi 9/ 12 vile upendavyo bila madhara"

Awali tengeneza oil kwa kutumia vyakula vya Msoniti na muegea & Mbegu za mdinda dinda na msonobali (au chochote unachopenda)

Loweka shayiri kwenye mafuta ya msanana na uiongeze juu ya pudding ya sonoti na uiruhusu iloweke usiku kucha.
ongeza msonobali na ufanye laini ya Muegea na mdinda dinda ili kuweka juu na granola. Kiamsha Uume na kukuza ni mdinda dinda muhimu zaidi wa siku, uanze na kupakaa kuanzia kwenye shina mpaka kichwani acha nguvu ya kikaboni iingie kwenye mishipa ya uume

Bidhaa ya kukuza na kunenepesha iliyotayari ni 45000tsh.
Wasiliana nami.kupitia whatsapp +255 674 378647

Wengi wanafanya surgery (operation) kufanya upasuaji wa bawasiri kuondoa vinyama/ uvimbe sehemu ya Haja kubwa ni kujiong...
21/01/2025

Wengi wanafanya surgery (operation) kufanya upasuaji wa bawasiri kuondoa vinyama/ uvimbe sehemu ya Haja kubwa ni kujiongezea tatizo tu..! hawatibu tatizo bali wanaondoa dalili ya tatizo la bawasiri itarudi tena na tena :- Dr. Ansali Luswele

inatibiwa na Virutubisgo lishe kuanzia mfumo wa chakula mpaka mkunduni. Sasa Dr. Ansali Luswele ameshare nasi maandalizi yako ya chakula cha mlo huu mzuri! wa kutibu Bawasiri Sugu

1. Mchai chai ulivyokatwa
2. Ndimu Mbichi Asilia
3. Kitunguu saumu na Asali
4. Poda ya manjano (Chapa ya MANGO)
5. Unga wa Tangawizi (Chapa ya MANGO)
6.Mdalasini

Andaa maandalizi haya kwa kuandaa chai ya mchai chai kisha chanyanya na vijiko vitatu vya asali..ndimu kipande kimoja na unga wa tangawizi kijiko kimoja cha chai, mdalizini kijiko kikubwa cha chakula na kitunguu swaumu 1pts maliza na poda ya manjano vijiko viwili vya chai! Kunywa kwa siku 1.

Hakikisha unakunywa ikiwa na joto.

Kwa mahitaji ya tiba ya bawasiri ulio-andaliwa tayari kwwa njia za kitabibu kutibu magonjwa mengi zaidi.
Bawasiri Powder Original: 55000Tsh
Whatsapp: +255 674 378647

UCHAWI WA NJIA PANDA KUUVAA NA KUKUATHIRI NA JINSI YA KUEPUKASIKU CHACHE ZILIZOPITA niliongelea kuhusiana na uchawi wa k...
21/01/2025

UCHAWI WA NJIA PANDA KUUVAA NA KUKUATHIRI NA JINSI YA KUEPUKA

SIKU CHACHE ZILIZOPITA niliongelea kuhusiana na uchawi wa kaburi. Nikaongelea kuhusiana na michanga yake jinsi unavyoweza kujifunga mwenyewe pasipo kujua. Maswali mengi yalikuwa aina 77 za makaburi na sehem za kufanya kazi juu ya kaburi, haya sitayajibu kulingana na usalama wenu wenyewe jambo muhimu ikiwa unaenda kuchukua mchanga wa kaburi kwa lengo la kujifungua vifungo usienda wakat wa kiza utajizidisha vifungo.

Leo nitaongelea juu ya uchawi wa njia panda unavyoweza kukudhuru na kuharibu mambo yako. Njia panda zinatumika kwenye mambo mengi ikiwa ni kurogea, kuopoa, kujivua matatizo na kujifungua vifungo yategemea na hitaji lako lilivyo.

Kwanza yatakiwa ufahamu kuna aina mbili za njia Panda kuna dume na jike na kati ya dume na Jike pia zina watoto wao. Kila njia panda ina kazi yake mfano kurogea na kuopoa zote zina njia zake. Hili la aina njia za panda sitalifafanua hapa kwa sababu kuna watu wanazikop hizi makala na kuweka kwao.

Njia panda unaweza pata maradhi ya kukusudiwa, unaweza pata maradhi ya kukumba kwa wale wanaojivua, pia waweza kumba kitu kisicho chako. Kuwa makini katika maelezo nitakayoyatoa chukua peni nankaratas nakili vtu muhimu iwe tahadhar kwako.

Uchawi wa kukusdiwa huu unatengenezwa kabisa kwa jina lako fulan bin fulan apate tatuzo fulan chochote wanachokitaka mfanyaji na mganga wake kisha baada ya matararisho kafara linaenda kufanywa njia panda karibu na u apoish ambapo haitapita siku tatu lazima upite. Kwa hiyo utakapopita utakuwa umeuvaa baada ya siku chache utaanza kufanya kazi mwilini.

Uchawi wa kujivua k**a mtu atakuwa na maradhi ya muda mrefu sana ametibiwa sana hajapona kuna njia inaitwa kujivua japo si mzur sana lakini utafanyaje na unataka uzima na ubora wa afya yako. Kinachofanyika huchukuliwa mtego amabo mgonjwa atajivua kitaalam hilo tatzo lake kisha linategwa njia panda kuna kitu kizur kinatumika ambacho hupendwa na watu sasa ukiokota au ukikichukua kile kitu basi ugonjwa au tatizo linakuvaa wewe moja kwa moja.

Mfano mdogo mtu mwenye upele usioisha mtego wake atapikiwa madawa siku saba mfululizo kisha atatakiwa apate pesa ya noti au shilingi ila hasa ni noti ile pesa itatolewa yale mapele kitaalam kisha itatupwa njia panda ukija ukiokota upele utakuwa kwako. Pia hapa kuna njia kijikafara kuna wengine wanatumia njia hii ili hawateg ile pesa inatumika k**a kafara mtu akiikota basi na tatzo linakuwa limeisha kwamo na uliyeokota hudhuriki. Hapa tuelewane yategemea na aina ya ugonjwa mtu uliyemtesa na huruma au mafanyo ya tabibu wake.

Uchawi wa kukumba huwapata zaid wanawake hasa ambao washaanza kuona hedhi na wale ambao huwa hawajitwayarush janaba hedhi na nisaf. Ikiwa mtu ameenda kumroga mtu njia panda uchawi wa kutegesha k**a nilivyoeleza hapo juu kisha ukaanza kupita wewe mwenye mwili mchafu kabla ya kumsudiwa basi nusu ya athiriko la ule uchawi utalivaa wewe.

Ikiwa mfanyaji alikusudia kumvunja mtu mguu akweka tego lake kwamba pindi atakapopita njia hyo akikanyaga kilichokusudiwa basi akae muda fulan kisha mguu uvunjike au mguu uvimbe basi nusu yake utaupta wewe utaanza kuona miguu inawaka moto au kuvinmba kushindwa kitembea. Ikiwa imetegwa kifo basi wewe usiyehusika unaweza ukapalalaiz mwili. Na ikiwa aliyetegewa atakiwa apalalaiz basi wewe usiyehusika utapata ganzi ya mwili mzima au upande mmoja kulingana na manuzi yaliyowekwa.

K**a hukukusudiwa ila umekuvaa ukiwahi kwa wataalam maoema wanaweza wwkazima na ukaendelea na shughuli zako kadri unavyodhidi kuathirika kwa kukaa na tatzo ndipo ugumu wa kutoka huongezeka. Itskuchukua muda mrefu mpaka kukaa sawa wakati umeshapata kujua tatzo na kulitibia.

Uchawi huu wa njia panda hautesi mwili bimaana tumboni, huu unaasili ya kutesa miguu, kuota mapele, kuua macho na kufunga mwili kinyota. Yategemea na mnuiaji alichokikusudia na mafanyo aliyotenenzewa. Hayo ni baadhi ya maradhi unayoweza kuyapata nji panda.

Uchawi wa kuroga njia panda hapa hapatumiki sana kufunga wangu hutumika kutegeshea. Na k**a itafanyika kwa ufasaha hutoki sababu ni ucahwi unaoish muda mref njiani. Pia hutumika jini wa kichawi ambaye hukaa kuangalia usalama na kuhakikisha mpaka shughuli imekamilika atapeleka taarufa kwa waajiri wake.

Vitu vya kuzingatia usipenda kuokota au kuchukua vtu unavyovikuta njia panda ni hatar. Pia ikiwa utataka mchanga wa njia panda kwa lengo la kazi za ufunguzi kwanza usiende wakat wa kiza pili uhakikishe na aina ya njia panda unayoiendea. Ukitoka kufanya mapezn hata k**a ni gest jitwayarishe kabla ya kutoka. Madada ukiwa hedhi k**a una mambo ya muhimu jipumzishe nyumbani kwako.

DHUMUNI LA MAKALA HAYA SI KUHAMASIHA VITENDO VYA KUROGANA BALI KUJUA AINA YA MARADHI NA VTU UNAVYOWEZA KUKUMBANA NAVYO UKIWA MIHANGAIKO

Dawa ya vidonda vya Tumbo. Awe anakunywa maziwa ya mbuzi ujazo wa glasi moja kutwa Mara 2 . asubuhi na kabla ya kulala. ...
21/01/2025

Dawa ya vidonda vya Tumbo.

Awe anakunywa maziwa ya mbuzi ujazo wa glasi moja kutwa Mara 2 . asubuhi na kabla ya kulala. Kwa Muda wa miezi mitatu au miwili tiba atapona kabisa na atasahau.

Ila wiki mbili ataona mabadiliko makubwa. Dawa nyingine awe na kawaida ya kunywa tuwi la N**i asubuhi mapema kabla kula chochote ujazo wa glasi moja na usiku kabla ya kulala. Muda miezi miwili jibu atalipata.

Dawa iliyotayari ni Halbat athaum ni week 3 za maajabu kwisha vidonda vya tumbo.

Wasiliana nasi kwa mahitaji ya halbat athaum 0684765575

Address

Lugoba-Pwani
Dar Es Salaam
241442

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Soan Mango posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr. Soan Mango:

Share

Category