15/09/2022
WATU WENGI WENYE TATIZO LA OSTEOARTHRITIS NA ARTHRITIS ( kusagika kwa mifupa au Upungufu wa Synovial fluid ), Ni miongoni mwa watu ambao hawafurahii kabisa tendo la ndoa ipasavyo, kwa sababu Maumivu ya Viungo yanaweza kutokea kutokana na Style tofauti tofauti watakazokuwa wanafanya, ivyo kwao kunakuwa na kikomo flani..na Watu wengine hupata Maumivu makali sana ya Viungo baada ya kumaliza kushiliki tengo.
Usipuuzie, hiyo ni changamoto kubwa, tafadhari kadiri iwezekanavyo wahi kupata SULUHISHO mapema kabla ya tatizo kuwa kubwa na kukupelekea kushindwa kabisa kushiliki tendo la ndoa kutokana na Maumivu makali yakikughasi.
Kupata USHAURI na SULUHISHO wasiliana nasi kupitia 0693365000
follow