24/11/2021
TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo kubwa sana linalowasumbua wanaume wengi, mahusiano mengi yamevunjika na Ndoa nyingi zimevunjika kwa sababu ya tatizo hili.
DALILI ZA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.
1. Kuwahi kufika kileleni
2. Kukosa hamu ya mapenzi
3. Kushindwa kurudia tendo la ndoa
4. Uume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimamisha kabisa.
5. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu, miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
8. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji.
Tatizo hili linatibika, kwa kutumia virutubisho bora vitokanavyo na mimea na matunda, Mungu atakurudishia kicheko.....
Zaidi ya yote ni kubadilisha mfumo wa maisha.
Tuwasiliane kwa simu/WhatsApp namba 0753 495 636