18/12/2022
UWEZO HAFIFU WA UZALISHWAJI WA MBEGU ZA KIUME, UUME KUSHINDWA KUSIMAMA IMARA, KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA c CC KWA DAKIKA MOJA T getU, WAKATI WA TENDO!!
0785438612/0785438612
Tafiti mbalimbali zilizofanywa na wana sayansi duniani tukiwemo AfyanjemaTz, zinaonesha kuwa zaidi ya mamillioni ya wanaume duniani,wana sumbuliwa na tatizo la kutosimamisha uume,wakati watendo la ndoa ama hata katika hali ya kawaida tu!!
Tatizo hili limekuwa likiambatana na matatizo k**a;
-Kuwahi kufika kileleni kabla ya tendo lenyewe ama dakika moja au mbili tu,kufika kileleni wakati wa tendo lenyewe
-Uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume(Low s***m count),maarufu k**a upungufu wa mbegu za kiume.
Uume kushindwa kusimama(Dysfunction erectile),hii hutokea pale mishipa miwili midogo midogo ya damu(arteries) inaposhindwa kupokea damu kikamilifu kutoka kwenye moyo na katika mshipa mkuu(aorta) na kuisambaza kuzunguka eneo la uume wakati watendo la ndoa..
Tendo hilo litatambulika k**a tatizo ikiwa litakuwa endelevu hususani wakati wa tendo husika zaidi ya mwezi mmoja..
Kufika kileleni mapema ama kabla(Premature Ejaculation),hii hutokea muda mfupi tu,kabla au baada ya mwanaume kumuingilia mwanamke(Obhuzorogita)…
Uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume(Low s***m count),hii ni hali ya kuwa na uwezo mdogo kwa mwanaume kuzalisha mbegu au manii,kwa kiwango kisicho stahiki..
Kila mwanaume jijali anatakiwa kuzalisha manii 15million per milliters,zikizalishwa chini ya hapo uwezekano wa mwanaume kurutubisha yai la mwanamke utakuwa hakuna…
MATAZIZO YOTE HAYA MATATU YANASABABISWA NA SABABU MBALI MBALI ZIKIWEMO PACHA NA ZISIZO PACHA…
Tuanze kwakuzitazama sababu ambazo ni pacha;
-Tatizo la kisukari,ugonjwa wa kisukari uliyo dumu kwa muda mrefu, huathiri mfumo wa neva mwilini,hivo unatajwa kuwa ni sababu na chanzo cha tatizo..
-Magonjwa yanayo husisha mfumo wa mzunguko wa damu:
Matatizo ya moyo(Hasa presha ya kupanda)
Matatizo ya figo,pamoja na matatizo ya mishipa ya damu kutoka kwenye moyo kuzunguka sehemu mbalimbali za mwili.
-Mtindo mbaya wa maisha ya kiafya(Bad health lifestyle):
Utumiaji wa madawa ya kulevya,marijuana,cocaine,unywaji pombe uliyopitiliza, uvutaji sigara na nk.
Utumiaji wa madawa ya kyenyeji na madawa ya hospitali(antibiotics bila kufuata ushauri wa kitabibu)..
Utumiaji wa dawa k**a anabolic steroids ambazo hutumika na watu wengi kuajili ya kusisimua misuli,na hupelekea korodani kupunguza uzalishaji wa manii
Utumiaji wa pombe na madawa ya kulevya hupunguza kiwango cha uzalishwaji wa homoni ya testosterone
-Upigaji punyeto na migogoro mikubwa kwa walioko kwenye mahusiano(ndoa)..
-Sababu nyingine ni kiwango kingi cha prolactin homoni ambayo hudhohofisha utendaji kazi wa korodani..
Pia saratani ya tezi dume,hudhohofisha utendaji kazi wa korodani..
-Matatizo ya homoni imbalance,kiwango kidogo cha testosterone..
-Uzito uliokithiri,maumivu ya mgongo na majeraha mbalimbali..
-Matatizo ya sonona(depression),msongo wa mawazo(stress)…
Hizi nimoja wapo ya sababu pacha zinazo pelekea uume kushindwa kusimama,kufika kileleni mapema ama kabla ya wakati wa tendo la ndoa na uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
SABABU ZINAZOPELEKEA UUME KUSHINDWA KUSIMAMA BARA BARA:
-Sababu kubwa ni kiwango kidogo cha damu kusambaa kwenye mishipa ya uume,hii hupelekea uume kuwa legevu na kushindwa kusimama wakati wa tendo..
-Kutokujiamini,uoga,wasisi na kujihisi kuwa huwezi kusimamisha..
-Kudhohofika kwa tishu pamoja na upungufu wa kinga mwilini..
-Sbabu nyinginezo ni,utazamaji wa picha za ngono,matatizo ya kuto kulala kwa muda mrefu,ukosefu wa vitamin D,mfumo mbovu wa ufyonzaji wa vitamins na madini kutoka kwenye chakula unacho kula kila siku..
-Tatizo la seli Mundu(Sickle cell),matatizo ya upumuaji,kiwango kikubwa cha madini ya iron mwilini(Hemachromatosis),na matatizo ya ini,matumizi ya mionzi(radiation),pamoja na matumizi ya kemikali ikiwemo vyakula vyenye kemikali kwa wingi…
DALILI ZA KUTOSIMAMISHA UUME:
-Moja wapo ya dalili ya uume kutosimama barabara,ni kutoa kiwango kidogo cha maji maji(semen),uume kuchukua muda mrefu bila kusimama…
-Kupata maumivu kwenye korodani wakati wa tendo,na misuli ya uume kuwa legelege..
Ili mwanaume aweze kusimamisha vyema uume wake,mwili wake unatakiwa kuwa katika hali tulivu..
Uimara wa neva za mwili,ziwe na uwezo wa kusafirisha taarifa katika ubongo(brain spinal column),mtindio wa mgongo, na kuuzunguka uume,katika tishu(fibrous tissue muscles), na kuufanya uume kusimama..
SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:
-Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo mwingilia mwanamke kimwili,na humchukua dakika moja ama mbili tu,kumaliza tendo, baada ya hapo hukoswa hamu ya kuendelea tena, na uume wake huwa legelege..
-Sababu nyingine ni kupania,kuwa na hamasa kupitiliza,kuwa na uoga na matatizo mengine ya kiseikolojia..
-Uwezo mdogo wa ngozi ya uume kuhisi au kupata mguso wakati wa tendo,na matatizo ya neva za mwili..
-Sababu nyingine ni uume kushindwa kusimama(erectile dysfunction)..
-Kiwango kidogo cha homoni,uzalishwaji hafifu wa kemikali kwenye ubongo(neurotransmitters)..
-Sababu zingine ni za kijenetiki,maambukizi hususani magonjwa ya zinaa,na matatizo ya vimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanaume..
DALILI ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:
-Kumaliza mapema au kabla ya tendo,tatizo hili huweza kuwatokea hata wale wanaofanya punyeto,wana weza kufika kileleni mapema tu,lakini wakati huo huo kufanya punyeto ni sababu moja wapo ya tatizo..
-Dalili zingine ni,kuboreka,kughadhabika na uoga wa kumkalibia mwenza wako..
Tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume watatu,mwanaume mmoja ana tatizo la kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo la ndoa!!
SABABU ZINAZO PELEKEA TATIZO LA UWEZO HAFIFU WA UZALISHWAJI WA MBEGU ZA KIUME(LOW S***M COUNT):
-K**a mwanaume ataweza kufanya tendo la ndoa kwa takribani mwaka mzima,bila kutumia kinga na hajafanikiwa kuumpa mwanamke mimba,basi kuna uwezekano mkubwa wa huyo mwanume kuwa na tatizo la uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
-Sababu zingine zinazo pelekea uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume huweza kuwa za kimazingira,mfano:
Viwanda,watu wanaofanya kazi viwandani wana asilimia kubwa ya kupatwa na tatizo la uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume,miongo ni mwa sababu ni uzalishaji wa kemikali hatarishi, mfano:
_Kemikali k**a Benzenes, toluene, xylene, madawa k**a, herbicides, pesticides, organic solvents, material mbali mbali yatumikayo katika upakaji wa rangi,huchangia na huongeza asilimia kubwa ya uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
_Matumizi ya mionzi(heavy metal),radiations,x-rays,na mionzi mingine inayotumika kutibu cancer
_Koradani kupata joto,kuongezeka kwa hali joto kwenye korodani,hutokana na utumiaji maji ya moto kupita kiasi kwa muda mrefu,utumiaji wa laptop kwa kuweka kwenye magoti,uvaaji wa tight zinazo bana kwa wanaume,kufanya hivo kwa muda mrefu huathiri korodani..
-Kufanyiwa oparesheni k**a vesectomy,matatizo k**a inguinal hernia(kinena),scrotal oparesheni na oparesheni kubwa za re**al cancer..
-Utumiaji wa madawa(medications),mfano matumizi ya madawa ya kusaidia kuongeza kiwango cha testosterone kwa muda mrefu,utumiaji wa dawa za saratani,utumiaji wa antibiotics kwa issues za kutibu vidonda vya tumbo na fangasi, yote hayo huchangia uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mpegu za kiume..
-Tatizo la kuganda kwa tishu katika utumbo mdogo(celiac disease),tatizo hili hutokana na utumiaji wa vyakula vya nafaka k**a mtama,hupelekea kuganda kwa tishu katika utumbo ndogo,na kuzuia ufyonzwaji wa vitamins na madini..
-Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa ya korodani,na huzikausha korodani(varicocelo),tatizo hili hupunguza uzalishwaji au husababisha uzalishwaji wa mbegu zisizo kuwa na kiwango..
-Matatizo ya kuziba kwa mirija(tubules), inayosafirisha manii tutokana na;
_Upasuaji wa kibofu cha mkojo, mirija na saratani ya tezi dume,maambukizi K**a gonorrhea na HIV,fimbe nk..
-Sababu zingine ni za kibailojia au kurithi,Mfano;
Mwanaume kuzaliwa na chromosomu(chromosome) mbili XX na Y chromosomu moja badala ya Chromosomu X moja na chromosomu Y moja,hii husababisha tabia zisizo julikana kwa mwanaume,k**a vile mashoga na wengine wenye jisia zilizotofauti na maumbile yao..
-Sababu kubwa pia nikufika kileleni mapema au kabla,uume kushindwa kusimama,maumbile mabaya ya manii(morphology),mwendo hafifu wa manii(motility)..
-Utumiaji wa madawa k**a Alpha blockers,hizi ni dawa wanazo pewa wagonjwa wa;
_Presha ya kupanda,kupunguza presha
_Watu wenye saratani ili kuzuia kukuwa kwa saratani ya tezi dume
_Wanapewa pia watu wenye matatizo ya kutosimamisha uume..
Unapotumia hizi alpha blockers unatakiwa kumueleza daktari wako ukweli kwani dawa hizi, zina kawaida ya kusababisha madhara ambayo ni hasi kuliko chanya..
Pia dawa hizi huchangia kwa kiwango kikubwa uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
Sababu zingine ni kinga za mwili za mwamke kuuwa manii za mwanaume pindi ziingiapo ukeni kwake kwa kutambua kuwa ni kitu kipya kimeingia ukeni kwake, hivo mwili wake hujilinda kwa kuzalisha maji maji ambayo ni sumu,na kua manii(antis***m antibodies)..
Au kinga za mwili wa mwanaume kua manii zake wenyewe kwa kuzitambua k**a ni kitu kipya na hakitakiwi mwilini..
Tatizo hili huwatokea wote mwanaume na mwanake,na hapa ndipo wana ndoa wengi huingia kwenye migogoro isiyo kuwa na mwisho…
-Matatizo ya homoni(hormone imbalance),ambayo huathiri tezi ya hypothalamus,pituitary na testicles(korodani),na huathiri pia homoni ya thyroid na adrenal kushindwa kuzalisha vichocheo ili kusaidia uzalishwaji wa mbegu za kiume..
Magonjwa ya saratani nayo yanatajwa kuwa ni sababu ya uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
DALILI ZINAZO PELEKEA UWEZO HAFIFU WA UZALISHWAJI WA MBEGU ZA KIUME:
-Dalili kubwa ni uwezo wa kutozalisha,zikiambatana na sababu tajwa..
-Mwili kukoswa manyoya(body hair),matatizo ya kuto simamisha uume vizuri,uume kuwa legelege na kufika kileleni mapema ama kabla, ni moja ya dalili za uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
-Maumivu makali wakati wa tendo,kukoswa hisia au hamu ya kufanya tendo la ndoa..
Matatizo k**a saratani ya tezi dume,kibofu cha mkojo,matatizo kwenye korodani(kuvimba kwa korodani)..
-Na oparesheni mbali mbali, kuziba kwa mirija ya korodani pia huwa ni dalili na sababu ya uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume..
Kumbuka kuwa uzaliswaji wa mbegu za kiume ni tendo tata, linalohitaji utendaji kazi mzuri wa korodani,utendaji kazi mzuri wa tezi ya hypothalamus na pituitary ambazo husaidiana na organ zingine za ubongo kuzalisha homoni zinazo saidia uzalishwaji wa mbengu za kiume na kuchochea uwezo mzuri wa kufanya tendo la ndoa kiujumla..
Tendo hili hutokea pale korodani zinapo zalisha vyema manii/mbegu na kuzisafirisha kupitia mirija yake mpaka kwenye tezi kuajili ya kuwekwa maji maji(semen) ili ziwe kamili na imara kuajili ya kwenda kurutubisha yai kupitia uume wa mwanaume kwenda ukeni kwa mwanamke..
Mpenzi na mfuatiliaji wa mada zetu AfyanjemaTz,tambua kuwa bila tendo hilo kupitia hizo hatua hakutokuwa na uwezo wa mwanaume kumzalisha mwanamke kawaida..
TUZITAZAME HATUA ZA KITABIBU UNAZOSHAURI WA KUZIFUATA PINDI UNAPOHISI KUWA UNA DALILI ZA;
Uume kushindwa kusimama vizuri(Dysfunction erectile),ili kutambua kuwa unatatizo lazima daktari wako afanye mambo yafuatayo:
-Afanye kipimo cha damu(blood count),kuangalia kiwango cha testosterone na liver enzymes
-Kipimo cha mkojo(urinalysis)
-Ultrasonography,kipimo hiki hupima uwezo wa mzunguko wa damu kwenye mishipa ya damu mwilini na kwenye uume..
-Neurological Evaluation,hutumika kupima neva za mwili k**a ziko sawa.
-Pia kimipo cha Cavernosometry,hupima kiwango na ujazo wa damu na mzunguko wa damu kwenye uume..
Vipimo vingine ni k**a Psychosocial examination kwa kuangali sababu mbali mbali za tatizo..
Kufika kileleni mapema ama kabla(Premature Ejaculation),ili kutambua tatizo daktari wako atakufanyia mambo yafuatayo;
-Kwanza atatakiwa kutambua historia yako katika mahusiano..
-Kukufanyia vipimo,k**a blood test kuangalia kiwango chako cha homoni ya testosterone k**a kiko sawa..
-Pia daktari anaweza kukushauri kuwaona wataalamu waliobobe katika kada hiyo(urologist)..
Uwezo hafifu wa uzalishwaji wa mbegu za kiume(Low s***m count),mambo yafuatayo zalima ya fanyike ili kubaini tatizo;
-General physical examination,kwa kuangalia historia na kupima kiwango cha manii kwa kutumia microscope..
-Scrotal Ultrasound,hii hutumia mawimbi ya sauti,kupitia korodani na damu kuangalia kiwango cha homoni zinazo zalishwa na tezi ya pituitary, na tezi korodani..
-Post-ej*******on urinalysis,hii hutumika kuangalia manii k**a ziko kwenye mkojo,kwani hii ni dalili kuwa manii zinaweza kusafiri kwenda katika kibofu cha mkojo badala ya kusafiri kupitia uume(retrograde ej*******on)
-Genetic test, hupima k**a kiwango cha uzalishwaji wa manii ni kidogo,kipimo cha damu(blood test),hufanyika ili kubaini k**a kuna mabadiliko ya chromosomu Y..
-Testicular biopsy,hiki ni kipimo kinacho jumuisha uchukuaji wa sample kwenye korodani kujua k**a kiwango cha manii kinacho zalishwa ni sahihi, pia kugundua k**a kuna tatizo la kuziba kwa mirija au tatizo la usafirishwaji wa manii kutoka kwenye korodani kwenda kwenye uume..
-Specialized s***m function test,hii hupima uwezo wa kuishi kwa manii baada ya kupiga bao,na uwezo wa hizo manii kurutubisha yai la mwanamke..
-Transre**al ultrasound,hii hutumika kupima k**a kuna saratani ya tezi dume,na kugundua k**a kuna kuharibika kwa mirija inayo safirisha maji maji(semen)..
Kipimo kingine ni Anti-s***m antibody test,hutumika kupima k**a kinga za mwili hushambulia manii na kuzidhohofisha au kuziua, hali hii huweza kutokea kwa mwanamke au kwa mwanaume mwenyewe..
ANGALIZO KUHUSIANA NA TATIZO LA UUME KUSHINDWA KUSIMAMA, KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO NA UWEZO HAFIFU WA UZALISHWAJI WA MBEGU ZA KIUME…,
Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutatua tatizo bila kujua nini chanzo cha tatizo, hivo wanashawishika eidha kwa kupenda wao wenyewe ama kwa kushawishiwa na elimu za mitaani kuhusiana na tatizo na hujikuta wana tumia kila aina ya dawa bila matokeo..
Kumbuka k**a unasumbuliwa na magonjwa yafuatayo;
-Kisukari
-Saratani ya tezi dume
-Matatizo ya mfumo wa mzunguko wa damu
Na
-Matatizo ya homoni(hormone imbalance)..
Matatizo haya yanatajwa kwa asilimia kubwa kuwa ni chanzo…
AfyanjemaTz tunakushauri kutatua chanzo na siyo kulitazama tatizo moja kwa moja…
Kwa kufanya hivo njia sahihi ya kukusaidia ni wewe kutumia virutubisho,virutubisho ni vyakula vilivyo andaliwa kiasilia, bila kuwekwa aina yeyote ya kemikali, pia vimewekwa katika mfumo rahisi,ili kukusaidia kurutubisha mwili wako kwa kukupa madini na vitamin ambavyo huwezi kuvipata kwa kiwango stahiki kupitia chakula chako unacho kula kila siku..
SULUHISHO LA TATIZO LA UUME KUSHINDWA KUSIMAMA, KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO NA UWEZO HAFIFU WA UZALISHWAJI WA MBEGU ZA KIUME..
AfyanjemaTz tumejikita katika kuwashauri watu;
Kutumia chakula bora
Kunywa maji ya kutosha
Kufanya mazoezi
Na
Kutumia virutubisho..
Vile vile tuna virutubisho ambavyo vinasaidia kutatua matatizo mbali mbali ya kiafya ikiwemo matatizo yote tajwa..
Ili kutatua tatizo la uume kushindwa kusimama, kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo na uwezo hafifu wa uzalishwaji mbegu za kiume, tuna kushauri kutumia virutubisho vitakavyo kusaidia kwenye maeneo yafuatayo;
-Virutubisho vitakavyo kusaidia kuimalisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, kuondoa sumu mwilini, kusaidia ufyonzwaji wa madini na vitamin kutoka kwenye chakula unacho kula na kuimalisha kinga za mwili, na kurutubisha ngozi na tishu mbali mbali za mwili..
-Virutubisho vitakavyo kusaidia kuimalisha mfumo mzima wa mzunguko wa damu mwilini, kuondoa stress(msongo wa mawazo), depression(sonona), na matatizo mengine yanayo husiana na mfumo mzima wa mzunguko wa damu..
-Virutubisho vitakavyo kusaidia kuimalisha mfumo mzima wa homoni za uzazi mwilini, ikiwemo kusafisha mirija ya uzazi,na matatizo mengine mengi yatokanayo na kuvurugika kwa homoni za mwili..
AfyanjemaTz tuna kuhakikishia kuwa k**a utaweza kutumia virutubisho kwa kufuata maelekezo na ushauri wetu, tatizo lako litatatulika mapema sana na utaanza kulifurahia tendo lako la ndoa badala ya kuumia na kuzalisha matatizo mapya kila kukicha..
kwa ushauri zaidi tupigie kwa namba 0785438612 au tuma ujumbe WhatsApp kwa namba hiyo
Afya kwetu ni bashasha 🦋