15/08/2021
💞🇹🇿MADHARA 14 YA UTOAJI MIMBA
1. Maambukizi ya sehemu za uzazi.
2. Kutoa mimba kikamilifu. Sehemu za mtoto husalia kwenye mfuko wa uzazi na kuoza!
3. Damu zilizoganda husalia kwenye mfuko wa uzazi.
4. Kuvuja kwa damu kupindukia ambao haukwishi.
5. Kifaa cha matibabu kinaweza kukata mfuko wa uzazi wakati wa kutoa mimba.
6. Matatizo yanayotokana na dawa ya kupunguza uchungu ambayo ni kisunzi, matatizo ya kupumua, maumivu ya kichwa miongoni mwa matatizo mengine.
7. Kutoa mimba kunakohusisha upasuaji kunaweza kuacha alama za upasuaji kwenye mfuko wa uzazi.
8. Majeraha kwa mfuko na mpira wa haja.
9. KUMFANYA MWANAMKE KUWA TASA KABISA KWA SABABU YA HALI DUNI YA KUTOA MIMBA ILIYOTUMIWA.
10. Kutolewa kwa tumbo la uzazi kutokana na matatizo yanayoweza kutokea wakati wa kutoa mimba.
11. Kuwazaa watoto mapema kwa mimba zitakazofuata kabla ya siku zao za kuzaliwa kufika.
12. Kuharibiwa kwa sehemu ya mwanzo ya uzazi unaoweza kuufanya kufunguka mapema kwenye mimba zitakazofwata.
13. Matatizo ya kimawazo kutokana na vidonda vya kisaikolojia vinavyosababishwa na kifo cha mtoto wa mama.
14. Mlango wa tumbo la uzazi linaweza kuraruka wakati wa kutoa mimba
📌KUTOA MIMBA KWA NJIA YOYOTE, NI HATARI SANA,
MAANA UWEZEKANO WA KUPATA MIMBA NYINGINE BADAE UNAKUWA MDOGO SANA WAKATI MWINGINE, HUSABABISHA, WENGI WAO WALIOTOA MIMBA KUTOPATA WATOTO(TASA)
💝MABINTI WENGI WANAOTOA MIMBA SASA IVI APO BADAE,
HAWATAWEZA, KUPATA WATOTO K**A WASIPO ACHA HII TABIA YA KUTOA MIMBA,,
🌹ALAFU KUTOA MIMBA NI DHAMBI YA MAUAJI,
KWHIYO UKIFANYA HILI JAMBO JUA
UMEUA NA UMEMKOSEA MUNGU,,
DR.P
KWA USAHAURI
AU MATIBABU YA MADHARA ULIYONAYO YA UZAZI
NITAFUTE WHATSAP 0620120369