Tiba bora

Tiba bora Tiba bora ni lazima ianze na Kuondoa chanzo cha tatizo.

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO (GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)+255655562181 , +2557...
14/11/2025

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO

(GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)

+255655562181 , +255769600821

• Ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo na kusababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (*Umio*) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa au Ni kitendo cha kupanda kwa acid ( *tindikali* ) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na kusababisha kiungulia ( *HEARTBURN* ).

• Kiungulia hiki huanza muda mfupi baada kumaliza kula na kuisha baada ya masaa mawili.
• Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale m tototo anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.

_*Dalili zingine ni k**a*_

• Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
• Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
• Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
• Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
• Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
• Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
•Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
• Mdomo kukauka.
• Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
• Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
• Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙐 𝙆𝙐𝙐 ( 𝙑𝙔𝘼𝙉𝙕𝙊 ) 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙕𝙊 𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙄𝙎𝙃𝘼 𝘼𝘾𝙄𝘿 𝙍𝙀𝙁𝙇𝙐𝙓 / 𝙂𝙀𝙍𝘿. Call & WhatsApp  +255655 562 181 , +2557696008211. Vyakula na...
08/11/2025

𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙐 𝙆𝙐𝙐 ( 𝙑𝙔𝘼𝙉𝙕𝙊 ) 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙕𝙊 𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙄𝙎𝙃𝘼 𝘼𝘾𝙄𝘿 𝙍𝙀𝙁𝙇𝙐𝙓 / 𝙂𝙀𝙍𝘿.

Call & WhatsApp +255655 562 181 , +255769600821

1. Vyakula na vinywaji fulani
Vyakula vyenye mafuta mengi

• Chokoleti
• Kahawa, chai kali, soda
• Vitunguu na pilipili
• Nyanya na vyakula vyenye asidi nyingi
• Pombe
• ladha za kuongeza kwenye mboga na baadhi ya vyakula zinazo tokana na kemikali.

2. Tabia za kula.

• Kula chakula kingi kwa mara moja
• Kulala au kuinama muda mfupi baada ya kula
• Kula usiku sana
• Kutokula kwa ratiba maalum

3. Shinikizo tumboni (abdominal pressure)
Unene/uzito kupita kiasi

• Mimba
• Nguo zinazobana sana kiunoni

4. Sababu za kitabibu Kulegea kwa LES (valve ya umio wa chini)

• Hiatal hernia (sehemu ya tumbo inapanda juu ya diaphragm)
• Maambukizi ya H. pylori au vidonda vya tumbo
• Matumizi ya dawa k**a aspirin, ibuprofen, au dawa za arthritis

5. Mtindo wa maisha.

• Uvutaji wa sigara (husababisha valve kulegea)
• Msongo wa mawazo (stress)
• Kukosa usingizi au kuchoka kupita kiasi

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

Je umehangaika sana na madawa mbali mbali ya kutibu ACID REFLUX Bila matanikio? Usihofu tunalo suluhisho la uhakika sana ndani ya wiki moja tu utasahau kuhusu Acid reflux.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) – hutokea ghafla kutokana na maambu...
24/10/2025

𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢

1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) – hutokea ghafla kutokana na maambukizi, upungufu wa damu au dawa.

2. Figo kushindwa kufanya kazi sugu (Chronic Kidney Disease) – huchukua muda mrefu na huendelea polepole.

3. Maambukizi ya figo (Pyelonephritis) – bakteria hushambulia figo.

4. Mawe kwenye figo (Kidney Stones) – madini hukusanyika na kuunda mawe.

5. Kisukari cha figo (Diabetic Nephropathy) – kisukari huharibu mishipa ya damu ya figo.

6. Shinikizo la damu la figo (Hypertensive Nephropathy) – BP kubwa huharibu figo.

7. Kuvuja damu kwenye figo (Glomerulonephritis) – figo hushambuliwa na kinga ya mwili.

8. Figo zenye uvimbe wa maji (Polycystic Kidney Disease) – uvimbe unaokua ndani ya figo.

9. Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) – yakifika figoni husababisha matatizo makubwa.

10. Kansa ya figo (Kidney Cancer) – chembe za figo hukua vibaya na kuunda uvimbe mbaya.

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢

1. Kuchoka kupita kiasi – kutokana na damu chache au sumu mwilini.

2. Uvimbaji wa mwili – hasa usoni, mikononi na miguuni.

3. Mkojo kubadilika – rangi, harufu au kuwa na povu.

4. Kukojoa mara chache – au kuacha kabisa kukojoa.

5. Maumivu ya mgongo – chini ya mbavu, hasa upande mmoja.

6. Kichefuchefu na kutapika – kutokana na sumu mwilini.

7. Kupoteza hamu ya kula – mwili ukiwa umechoka.

8. Kuwashwa kwa ngozi – au ngozi kuwa kavu sana.

9. Kupumua kwa shida – maji yakijikusanya kwenye mapafu.

10. Kizunguzungu na maumivu ya kichwa – shinikizo la damu likipanda.

11. Kupungua uzito – au kukonda bila sababu.

12. Kuchanganyikiwa – kutokana na sumu nyingi mwilini.

Rekenisha figo zako na kufanya figo zirudi katika hali yake ya kawaida ya kutoa mkojo kwa ufanisi.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

19/10/2025

𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙐 𝙆𝙐𝙐 ( 𝙑𝙔𝘼𝙉𝙕𝙊 ) 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙕𝙊 𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙄𝙎𝙃𝘼 𝘼𝘾𝙄𝘿 𝙍𝙀𝙁𝙇𝙐𝙓 / 𝙂𝙀𝙍𝘿.

Call & WhatsApp +255655 562 181 , +255769600821

1. Vyakula na vinywaji fulani
Vyakula vyenye mafuta mengi

• Chokoleti
• Kahawa, chai kali, soda
• Vitunguu na pilipili
• Nyanya na vyakula vyenye asidi nyingi
• Pombe
• ladha za kuongeza kwenye mboga na baadhi ya vyakula zinazo tokana na kemikali.

2. Tabia za kula.

• Kula chakula kingi kwa mara moja
• Kulala au kuinama muda mfupi baada ya kula
• Kula usiku sana
• Kutokula kwa ratiba maalum

3. Shinikizo tumboni (abdominal pressure)
Unene/uzito kupita kiasi

• Mimba
• Nguo zinazobana sana kiunoni

4. Sababu za kitabibu Kulegea kwa LES (valve ya umio wa chini)

• Hiatal hernia (sehemu ya tumbo inapanda juu ya diaphragm)
• Maambukizi ya H. pylori au vidonda vya tumbo
• Matumizi ya dawa k**a aspirin, ibuprofen, au dawa za arthritis

5. Mtindo wa maisha.

• Uvutaji wa sigara (husababisha valve kulegea)
• Msongo wa mawazo (stress)
• Kukosa usingizi au kuchoka kupita kiasi

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

𝙆𝙒𝘼 𝙉𝙄𝙉𝙄 𝙈𝙒𝘼𝙉𝘼𝙈𝙆𝙀 𝙃𝙐𝙏𝙊𝙆𝘼 𝘿𝘼𝙈𝙐 𝙐𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙒𝘼𝙆𝘼𝙏𝙄 𝙒𝘼 𝙏𝙀𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼 𝙉𝙀𝙏𝘼? Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-Kwa kawai...
17/10/2025

𝙆𝙒𝘼 𝙉𝙄𝙉𝙄 𝙈𝙒𝘼𝙉𝘼𝙈𝙆𝙀 𝙃𝙐𝙏𝙊𝙆𝘼 𝘿𝘼𝙈𝙐 𝙐𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙒𝘼𝙆𝘼𝙏𝙄 𝙒𝘼 𝙏𝙀𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼 𝙉𝙀𝙏𝘼?

Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-

Kwa kawaida mtu mwenye hormonal imbalance anaweza kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa (s*x) kwa sababu kadhaa zinazohusiana na mabadiliko ya homoni, hasa estrogen na progesterone.

Hapa kuna maelezo ya kina:

🧠 1. Upungufu wa homoni ya estrogen
Estrogen husaidia kuweka kuta za uke zikiwa nene, zenye unyevu na zenye elastic.

Wakati kiwango chake kimeshuka (k**a kwenye hormonal imbalance, stress, au baada ya uzazi), ukuta wa uke hukauka na kuwa mwembamba.

Hivyo, wakati wa s*x ukuta huu mwembamba huweza kupasuka kirahisi na kusababisha damu kidogo au maumivu.

🩸 2. Mabadiliko ya homoni kwenye mzunguko wa hedhi.

Wakati mwingine mwili unapata mabadiliko ya ghafla ya homoni kabla au baada ya hedhi.

Hali hii inaweza kufanya mfuko wa mimba (uterus) kutoa damu kidogo wakati wa tendo la ndoa.

Kwa wanawake wenye hormonal imbalance, hii hutokea mara kwa mara bila ratiba maalum.

🌿 3. Uchochezi au uvimbe kwenye shingo ya kizazi (cervix).

Homonal imbalance inaweza kufanya tishu za shingo ya kizazi kuwa nyeti na kuvimba (cervical erosion).

Shingo ya kizazi ikiguswa wakati wa s*x, damu hutoka kwa urahisi.

⚠️ 4. Sababu nyingine zinazochangia ni
Maambukizi ya uke au shingo ya kizazi (yeast, PID, trichomonas, n.k.)

Fibroids au polyps kwenye kizazi.

Matumizi ya vidonge vya kupanga mimba visivyo na uwiano wa homoni.

Stress na usingizi duni, ambavyo pia huharibu uwiano wa homoni.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA  MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers). ~ +255655562181 , +255769600821 ~• Kifua kwa n...
18/09/2025

UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers).

~ +255655562181 , +255769600821 ~

• Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

•𝐊𝐢𝐜𝐡𝐞𝐟𝐮𝐜𝐡𝐞𝐟𝐮
•𝐊𝐢𝐮𝐧𝐠𝐮𝐥𝐢𝐚
•𝐓𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐣𝐚𝐚 𝐠𝐞𝐬𝐢
•𝐓𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨
• Kukosa hamu/ufanisi wa tendo la ndoa.
• Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
• Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
• Kutapika nyongo.
•Kutapika damu au kupata choo chenye damu..
• Kukosa hamu ya kula.
• Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬).

• Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja kwenye utumbo.

• Pia 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬) - huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

• 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

• iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

•USHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kabisa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi gani•

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_ ~ +255769600821 , +255655562181 ~• Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la ...
27/07/2025

_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_

~ +255769600821 , +255655562181 ~

• Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume,Jinsi umri unavyo ongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.

• Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume: (1) Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis). (2) Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH). (3) Saratani ya tezi dume.

_*Dalili*_

• Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.
• Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyo ongezeka. Dalili hizi ni k**a zifuatazo:-
• Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku. Hii ni dalili ya mapema sana.
Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku,
• Mkojo kutiririka polepole, kukatikakatika na hutumia nguvu kutoka au Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
• Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo kulowesha nguo za ndani.

_*Matatizo ya tezi dume iliyotanuka*_

• Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:
• Mkojo kushindwa kabisa kutoka na kulazimu mgonjwa awekewe kathetra ili kumimina mkojo.
• Madhara kwenye kibofu na figo .

_*Matibabu ya Tezi Dume.*_

• Matibabu ya BPH yameganyika katika sehemu mbili, yale yanayofanywa kwa kutumia dawa na yale yanayofanywa kwa kutumia upasuaji mdogo.
• Matibabu kwa Njia ya Dawa hutumika kwa lengo la kulifanya tezi dume kusinyaa na kupungua ukubwa wake.
• Upasuaji mdogo husaidia kuondoa dalili za BPH na hufanyika pale ambapo matibabu kwa njia ya dawa yameshindwa kuonesha mafanikio yeyote.

• Njia nyingine ni tiba ya kutumia mawimbi ya joto (Transurethral microwave procedures, TUMT).
• Tiba ya kutumia Joto la maji (Water-induced thermotherapy).

• Madaktari wengi hushauri kuondolewa kabisa kwa tezi dume iwapo itathibitika kuwa mgonjwa ana BPH.

_* Za Upasuaji wa Tezi dumeAina*_

• Zipo njia nyingi za upasuaji wa BPH, nazo ni pamoja na upasuaji kwa kupitia kwenye mrija wa mkojo (Transurethral surgery, TURP), upasuaji mkubwa wa wazi (Open surgery), upasuaji wa kutumia nishati kuondoa tishu za tezi dume Laser surgery), na upasuaji wa kutumia joto la fibreoptic probe kuchoma tishu za tezi dume (Interstitial laser coagulation).

_*Madhara Ya Upasuaji*_

• Kukosa uwezo wa kufikia kishindo yani hutoi shahawa (retrogade ej*******on) wazee wengi hulalamika sana baada ya hizi operation hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
• Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho.
• Baada ya upasuaji mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.
• Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Incontinence): Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kudhibiti kutoka kwa mkojo katika siku za mwanzo baada ya operesheni.
• Hata hivyo hali hii hujirekebisha baada ya siku kadhaa kupita.
• Kutokwa na damu katika siku za awali mara baada ya upasuaji kupitia njia ya mkojo: Kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.
• Kuwa mgumba , Ni kawaida Wanaume kuwa wagumba yaani wasioweza kupata watoto. Kwa kawaida, wakati wa tendo la ngono, mbegu za kiume kutoka kwenye korodani huingia kwenye urethra karibu na kijitundu cha kibofu cha mkojo. Wakati wa tendo la ngono, misuli maalum hufunga kijitundu hicho ili kuzuia mbegu zisiingie kwenye kibofu badala yake zielekee kwenye urethra ya katika uume • • Hata hivyo, upasuaji wa tezi dume huondoa misuli hiyo na kufanya mbegu kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kuendelea kwenye urethra ya uume. Shahawa hizo hatimaye hutolewa nje ya kibofu pamoja na mkojo.

Njia Sahihi.

Matumizi ya Virutubisho yameonekana kuwa njia Sahihi na salama kutokana na uwezo wake wa kupenya ndani ya sell za tezi dume na kuziboresha hali inayofanya tezi iliyovimba kusinyaa na kurudi katika umbo lake la awali bila kuacha madhara yoyote kwa mgonjwa na kufanya aendelee kufurahia maisha k**a zamani
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram