Tiba bora

Tiba bora Tiba bora ni lazima ianze na Kuondoa chanzo cha tatizo.

--""MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA NA MIAKA 40 AU ZAIDI ""--       +255655562181 / +2557696008211 A. Mambo mawili ya kupi...
06/04/2025

--""MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA NA MIAKA 40 AU ZAIDI ""--

+255655562181 / +2557696008211

A. Mambo mawili ya kupima mara kwa mara:

(1) Msukumo wa damu(presha)
(2) Sukari kwenye damu

B. Mambo sita ya kupunguza kabisa kwenye chakula chako:

(1) Chumvi
(2) Sukari
(3) Vyakula vya makopo na vilivyokaa muda mrefu
(4) Nyama nyekundu kipekee ya kuchoma
(5) Bidhaa za maziwa
(6) Vyakula vyenye wanga

C. Vitu vinne vya kuongeza kwenye vyakula:

(1) Mbogamboga
(2) Maharage
(3) Matunda
(4) Karanga, korosho, macadamia, almond(nuts)

D. Mambo matatu unayotakiwa kuyasahau:

(1) Umri wako
(2) Yaliyopita
(3) Majonzi yako

E. Mambo manne ya lazima kuwa nayo, bila kujali hali yako:

(1) Marafiki wanaokupenda kweli
(2) Familia inayokujali
(3) Mawazo chanya
(4) Nyumba yenye furaha.

F. Mambo manne ya kufanya ili kuwa na afya njema:

(1) Kufunga
(2) Kutabasamu na kucheka
(3) Kutembea/mazoezi ya mwili
(4) Kupunguza uzito

G. Mambo sita ya kutofanya:

(1) Usisubiri hadi upate njaa ili ule.
(2) Usisubiri upate kiu ndio unywe maji
(3) Usisubiri upate usingizi ndio ulale.
(4) Usisubiri uchoke kabisa ndipo ulale
(5) Usisubiri uugue ndipo uende hospitalini kupima afya yako la sivyo utajutia baadae
(6) Usisubiri uwe na tatizo ndipo umwombe Mungu akusaidie

JIJALI

Utaweza kutimiza ndoto zako ukizingatia hizi dondoo na kuwaona watoto wa watoto wako.

Asante kwa kusoma na kushea ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ

โ˜†Unaposhea kontenti k**a hii unawezesha watu wengi zaidi kipekee marafiki zako kufahamu jinsi ya kuwa na afya njema na maisha bora zaidi.

Jali Afya Yako +255655562181 / +255769600821

๐Ÿ•ณ Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

โž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

*TATIZO LA MISULI NA MISHIPA YA UUME KULEGEA* -  ( *Erectile Dysfunctional* )  +255655562181 / +255769600821 " Hili ni T...
28/03/2024

*TATIZO LA MISULI NA MISHIPA YA UUME KULEGEA* - ( *Erectile Dysfunctional* )

+255655562181 / +255769600821

" Hili ni Tatizo kubwa ambalo linawakumba vijana wengi wa Kitanzania kwa sasa na kutishia Uimara wa mahusiano ya kimapenzi.

" *Erectile Dysfunction* -
ni kulegea kwa uume ama kutosimama vizuri kunako pelekea kushindwa kumridhisha mwenz Wako kingono.

" *Erectile dysfunction* ( *ED* ) - Imekuwa Chanzo Cha kuvunjika kwa mahusiano mengi na matatizo ya kisaikologia kutokana na msongo wa mawazo kwa wahanga.

"Kwa Kawaida muhanga wa tatizo la kutosimama uuume na kulegea kwa uume anapaswa Kufuata Yafuatayo:-

1. Apate huduma ya kisaikolojia.
2. Apatiwe Huduma ya kimwili Kwa Kupatiwa Product Maalum za Kusaidia Mwili Kuongeza nguvu na Uimara wa Misuli na Mishipa Ya Damu.
3. Apatiwe produt Maalum Kwa ajili Ya Kuongeza Vichocheo Vitakavyoupa Mwili Msisimko na Kufanya afurahie tendo na apate hamasa ya Kufanya.

" Kuna virutubisho vingi ambavyo vinaweza kukusaidia kuongeza uzajlishaji wa horome ya testosterone na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

" *Erectile Dysfunction ni nini?

"Ni kupungua ama kutokuwa na uwezo wa kuhimili kusimama kwa uume kwa mda mrefu kwenye tendo la ndoa.

" Ni tatizo kubwa linalowakumba wanaume wengi hasa kwa wanaume wazee. 80% ya wagonjwa wanaofika ofisini kwetu wana tatizo hili na hawawezi kuwaridhisha wanawake wao.

" Kikawaida unapokuwa kwenye tendo la ndoa damu nyingi husukumwa kuelekea kwenye uume na hivo kufanya misuli na mishipa kujaa na uume kusimama.

"Misuli inaposinyaa baada ya kumaliza kufanya ngono basi damu nyingi pia hupungua kwenye eneo la uume.

" Kupungua huku kwa uwezo wa kusimama kwa uume inaonesha kwamba kuna shida ya kiafya, kwa wanaume wachache hali hii huchukua muda mfupi na kupotea kutokana changamoto za kawaida za kimaisha k**a msongo wa mawazo, mwili kuchoka na matumizi ya pombe.

" Lakini kwa wanaume wengi hali hii huendelea kuwa mbaya zaidi kila wanapotaka kufanya ngono.

*MCHANGO WA PICHA ZA NGONO KWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MISULI YA UUME KULEGEA*.

Tafiti za hivi karibuni zinaonesha kuongezeka kwa tatizo la ED kwa miaka ya hivi karibuni, hii inatokana na upatikanaji wa vifaa k**a simu na kompyuta hivo kuwarahisishia vijana wengi uwezo wa kuingia mtandaoni kiurahisi na kutazama picha za ngono muda wowote.

"Wengi hutazama picha na video za ngono ili kujiridhisha kimapenzi na kupiga punyeto. wanaume wanaoangalia pono wanafadhaika pale wenza wao wanaposhindwa kuwafanyia vitu kwa mtazamo k**a ule kwenye pono.

" Japo kuna mchango wa mitindo fulani ya maisha k**a kuwa na uzito mkubwa na kitambi, lakini kutazama picha chafu za ngono zinaufanya mwili utake msisimko mkubwa sana kuliko uliozoeleka na jinsi mwili ulivoumbwa ili kuamsha hisia, yaani kwa lugha rahisi ni kwamba mwili unakuwa sugu.

"Mazingira gani hatarishi yanayopelekea uwe muhanga wa tatizo hili la misuli ya uume kulegea na kutosimama.

"ED - inaweza kusababishwa na matatizo ya kiafya pamoja mitindo ya kimaisha k**a

Kisukari:
Wanaume wenye kisukari hasa tatizo la muda mrefu wana upungufu wa nguvu za kiume na uume kutosimama kwa nguvu

Shinikizo la damu:
utafiti unaonesha kwamba shinikizo kubwa la damu pamoja na uume kufeli kusimama ni vitu vinavyoenda kwa pamoja.

Matatizo kwenye njia ya mkojo:
matatizo kwenye njia ya mkojo huambatana na dalili k**a kupata mkojo mara kwa mara, kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu ambayo hupelekea kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kufanya ngono kikamilifu.

Uzito mkubwa na kitambi:
Uzito mkubwa na kitambi ni chanzo kikuu kusababisha shida kwenye nguvu za kiume na kulegea kwa jogoo. Kitambi na uzito huvuruga homoni, kufanya mwili kutosikia uwepo wa insulin na hivo kiasi cha sukari kupanda kwenye damu. Kiwango cha sukari kwenye damu kinapokuwa kingi hupunguza utengenezaji wa kichocheo cha testosterone kupungua. Testosterone ndio kichocheo kinachofanya mwanaume kuwa mwanaume kwa kuchochea hamu ya tendo la ndoa na kusaidia uzalishaji wa mbegu.

kuishi kizembe (sedentary life) bila kushugulisha mwili na kufanya mazoezi: Mazoezi ni muhimu kwa wanaume wanaotaka kufurahia tendo la ndoa miaka yote, k**a hukujua hili basi nashauri weka ratiba sasa anza mazoezi mepesi walau mara tatu kwa week.

Umri: Kadiri umri unavoenda kasi na uwezo wa kufanya ngono hupungua kutokana na mifumo mbalimbali ya mwili kuchoka, matatizo moyo, na matatizo ya kisaikolojia na msongo wa mawazo. Pia wazee ni kundi linalotumia dawa nyingi sana na hivo homoni zao kuvurugika.

Kuvuta sigara: wavutaji wa sigara wapo kwenye hatari zaidi ya kupata matatizo ya uzazi na misuli ya uume kulegea

Matumizi ya vidonge vya hospitali kwa muda mrefu,mfano dawa za presha, usingizi, msongo wa mawazo, tezi dume .

"Dawa hizi huweza kupunguza hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kumwaga mbegu, na kushindwa kusisimka.

"Kumbuka Unapotaka kutatua changamoto ya kushindwa kusimama kwa uume, basi hakikisha unalenga chanzo cha tatizo, k**a una uzito mkubwa na kitambi hakikisha unapunguza uzito, k**a ni matatizo ya mfumo wa damu na moyo basi lenga kwenye lishe utaishi kwa raha sana.

HATUA TANO 5 ZA KUIMARISHA MISHIPA NA MISULI YA UUME
Kusimama Na Kuongeza Nguvu Za Kiume.

1. Punguza uzito mkubwa na kitambi : Kitambi na uzito ni adui wa afya yako, si tu katika tendo la ndoa, kitambi ni chanzo cha magonjwa mengine k**a kisukari, presha, ugumba na saratani. katika safari yako ya kupunguza uzito epuka vyakula vya wanga na sukari, tumia zaidi vyakula vya mafuta mazuri k**a samaki, parachichi, nyama, mayai, karanga na n**i.

2. Fanya mazoezi ya kutosha.
Watu wengi wamelemewa na magonjwa kwa sababu tu mwili haupati damu ya kutosha kwenda sehemu mbali mbali k**a vile ubongo, ini,figo ambazo ndio sehemu zenye kuufanya mwili wako ufanye kazi katika uhalisia wake. Hivyo basi magonjwa mengi ya msunguko wa damu ni pamoja na nguvu za kiume kwani k**a hufanyi mazoezi mwili wako unadhofika na kukosa uwezo wa kuhimili ndoa yako pia inapunguza nguvu za kiume. Basi ningependa kuwa kwa wale wazee siku hizi kuna vituo mbalimbali ambavyo vitakusaidia mwili wako kuwa imara na kurudisha uwezo wako katika tendo la ndoa kupitia mazoezi. Mazoezi huimarisha mwili wako na kuweka mbali mwili wako na maradhi mbalimbali yanayo sababishwa na uzembe. k**a hujui pa kuanzia basi anza na mazoezi mepesi ya kukimbia, kisha jaribu kegel exercise- unapokojoa hakikisha unatoa mkojo kidogo kisha unabana kwa sekunde 10 kisha ruhusu tena, fanya hivo kila unapoenda kukojoa walau mara 10 kwa kila awamu. Kegel exercise husaidia kuimarisha mishipa ya uume.

3. Punguza msongo wa mawaz : matatizo ya kisaikologia k**a msongo wa mawazo huathiri uwezo wako wa kufanya ngono kwa uzuri na kukupelekea heshima ya ndoa kupungua, hivo hakikisha unabalansi kazi za kimaisha zisiathiri tendo la ndoa.

4. Epuka vinywaji vyote vyenye sukari nyingi, vya kusindika, vyenye vionjo vya sukari, rangi na ladha katika afya yako kwani vyakula hivyo ni adui mkubwa sana wa afya yako hasa wakati unataka kurudisha nguvu za kiume. Kula vyakula asili, nafaka ambayo haijakobolewa, matunda kwa wingi ambayo hayasagwa yenye nyuzi nyuzi nyingi na pia juice ya matunda na mboga za majani. Utafurahia maisha ya kula vyakula asili na utafurahia ndoa yako.

Anza leo rudisha Virutubisho ambavyo vimepotea mwilini mwako Hakikisha mwili wako unaupa madini ya msingi k**a zinki, chuma, selenium, manganese na vitamin nyingi, kwani madini haya ndiyo yanafanya mwili wako ufanye kazi katika kiwango stahiki kwani huwezesha viendesha shughuli za mwili yani enzymes kufanya kazi katika kiwango kizuri na kuimarisha mwili wako.

"Ukiona mpaka umekumbwa na tatizo hilo ujue mwili umekuwa na udhaifu kwa mda mlefu ili uweze kuludi kawaida kwa haraka zaidi mwili usaidie kuuongezea virutubisho ambavyo vina madini yote muhimu.

" Kwa Muda wa Siku Zisizo pungua 30 mpaka 90 mwili unaludi kawaida na baada ya hapo unaendelea kula vyakula vya asili k**a kawaida huku ukifuata masharti ya ulaji vyakula na kufanya mazoezi ukiwa sawa.

-๐Ÿ“ž Kwa Msaada zaidi Wasiliana nasi kwa namba 0655562181 / 0769600821

โ€ข Ku chart Nasi Moja Kwa Moja WhatsApp Bonyeza hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ https://wa.me/255655562181

*JINSI YA KUONDOA KITAMBI AU KUPUNGUZA MAFUTA TUMBONI KWA WANAWAKE*  +255655562181 / +255769600821- Wanawake wengi miaka...
16/01/2024

*JINSI YA KUONDOA KITAMBI AU KUPUNGUZA MAFUTA TUMBONI KWA WANAWAKE*

+255655562181 / +255769600821

- Wanawake wengi miaka ya karibuni wanakabiliwa na tatizo linalofanana na kitambi kwa upande wa wanaume. Hivyo ingekuwa ni wanaume tungesema ni kitambi ambalo nalo ni tatizo kubwa miongoni mwa wanaume wengi nyakati za sasa.

- Kinachowasumbuwa wanawake siyo kitambi tunasema ni mlundikano wa mafuta sehemu ya chini ya tumbo na tumbo kwa ujumla kufikia hali kuonekana k**a ana tumbo kubwa au kuhisi labda ni ujauzito kumbe ni mafuta tu mengi.

- Karibu , tumekuandalia darasa la siku tatu BURE la kuondoa kitambi bila kutumia dawa wala mazoezi kwa Wanawake - GUSA HAPA ILI KUINGIA DARASANI SASA HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

*MFUMO WA UMENGโ€™ENYAJI CHAKULA*   +255655562181 / +255769600821- Mfumo wako wa umengโ€™enyaji chakula umeundwa na njia ya ...
10/01/2024

*MFUMO WA UMENGโ€™ENYAJI CHAKULA*

+255655562181 / +255769600821

- Mfumo wako wa umengโ€™enyaji chakula umeundwa na njia ya utumbo (gastrointestinal. GI) , ini, kongosho na kibofu cha nyongo. Njia ya GI ni safu ya viungo vya mashimo ambavyo vimeunganishwa kutoka mdomoni hadi kwenye tundu ya nyuma. Viungo vinavyounda njia yako ya GI, kwa utaratibu wa kuwa vimeunganishwa, ni pamoja na mdomo wako, umio, tumbo, utumbo mdogo, utumbo mkubwa na tundu ya nyuma.

*JINSI MFUMO WA UMENGโ€™ENYAJI CHAKULA HUFANYA.*

- Mfumo wako wa usagaji chakula umeundwa kwa namna ya kipekee kufanya kazi yake ya kugeuza chakula chako kuwa virutubisho na nishati unayohitaji ili kuwa na afya njema.

Usagaji chakula ni muhimu kwa sababu mwili wako unahitaji virutubisho kutoka katika chakula unachokula na vinywaji unavyokunywa ili kuwa na afya nzuri. Virutubisho ni pamoja na wanga, protini, mafuta, vitamini, madini na maji.
Mfumo wako wa usagaji chakula husaga na kufyonza virutubisho kutoka katika chakula na vimiminika unavyotumia ili kutumika k**a vile nishati, ukuaji na ukarabati wa seli.

*MAGONJWA YANAYOWEZA KUTOKANA NA MFUMO WA MMENG'ENYOWA CHAKULA*

- Kutokana mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuwa chanzo kikuu cha mahitaji ya mwili inapelekea mfumo huu unapopata shida magonjwa mengi kuibuka bila mfumo huu kuhusishwa kwamba ndiyo chanzo cha moja kwa moja kutokana na baadhi ya mifumo kujitenga lakini kuwa na uhusiano wa kimahitaji na kiutendaji kazi kwa namna moja au nyingine.

- Mfano - Uwepo wa sumu nyingi mwilini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na mfumo huu , lakini madhara yanaweza kuhusisha uzazi upende wa homoni , mzunguko wa damu ,moyo na fahamu, magonjwa ya ngozi ikiwemo saratani, mabadiliko ya mfumo wa Kinga mwili na mengineyo mengi.

*Miongoni mwa magonjwa mengine ni pamoja na*:-

~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi na kitambi.
~Bawasiri i(*Vinyama sehemu ya haja kubwa*).
~Maumivu ya Kiuno ,Nyongq, Magoti,, Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.n.k.
~Kukosa usingizi(*Insomnia*)
~Kukosa hamu ya kula (*Loss of appetite*).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (*Ulcers*).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( *Ugumba* ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( *Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi*).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( *Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka* ).
~ Kiungulia (*ACID REFLUX*).
~ Magonjwa ya Ngozi.
~ Ngiri (*HERNIA*).
~ Kiharusi
~ Pressure.
~ Hormone imbalances
~ Kisukari. Magonjwa ya figo.
โ€ข Na Mengine Mengi Sana.

- ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ-
- Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia โ˜Ž๏ธ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255655562181

โž– *Ili Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA.* ๐Ÿ‘‰ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– *SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA* ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ *Kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini*

๐Ÿ•ณ *UCHAFU UNAOTOKA UKENI NA MAANA ZAKE* ๐Ÿ•ณ +255655562181  /  +255769600821    *Chanzo.*~Kitaalamu Hali ya mwanamke kutokw...
02/01/2024

๐Ÿ•ณ *UCHAFU UNAOTOKA UKENI NA MAANA ZAKE* ๐Ÿ•ณ

+255655562181 / +255769600821

*Chanzo.*

~Kitaalamu Hali ya mwanamke kutokwa na maji yenye rangi nyeupe au njano ni Hali ya kawaida na sio tatizo Lakini endapo maji yanatoka yapo katika Hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali au kuwasha hapo una tatizo.

~Majimaji au ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha au kutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nnje ya mwili pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maaambukizi ya bacteria.

~Kwa kawaida huwa hayatoi harufu na huwa hayawashi na huwa na rangi nyeupe au njano pia huwa na asidi ya LACTIN ambayo huzuia bacteria kuzaliana.

~Mwanamke hutoa kiasi cha grams 2 za seli zilizokufa kutoka kwenye mji wa kizazi na grams 3 za ute mwepesi kila siku, kiwango hicho kinaweza kuongezeka au kupungua kutegemeana na mzunguko wa hedhi pia Kuna wakati ute huwa mwepesi na unaovutika na Kuna wakati pia huwa mzito wa rangi ya njano hautoi harufu.

*VISABABISHI VYA TATIZO HILI.*

- Sababu za kutokwa na uchafu ukeni una vyanzo vingi sana vifuatavyo ni vyanzo vya tatizo hili.

1. *BACTERIA VAGINOSIS.*

Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijafanikiwa kuwa wazi,kinachotokea ni kuongezeka kwa ghafla kwa idadi ya ya bacteria hawa na kubadilisha uwiano wa kawaida katika mazingira ya uke, wanawake wenye wapenzi wengi na wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo Wana hatari ya kupata tatizo hili.

2. *TRICHOMONAS.*

Maambukizi haya hutokana na Aina ya protozoa wa seli moja, trichomonas mara nyingi huambukizwa kwa njia ya ngono, protozoa huyo huweza kukaa kwenye unyevu unyevu kwa Muda wa saa 24 Bila kufa hivyo kufanya taulo na chupi zisizokauka kuwa chanzo kingine cha tatizo hili.

3. *YEAST INFECTION.*

- Kwa kawaida Kuna kiwango kidogo cha yeast (candida albicans) katika uke, huwa tunasema Kuna maambukizi pale kiwango kinapozidi Hali ambayo inatokana na kubadilika kwa Hali ya hewa ukeni (Change in the PH balance of va**na).

*Maambukizi ya yeast hayatokani na tendo la ndoa.*

*Mambo ambayo huchangia tatizo hili ni:-*

(a) *MATUMIZI YA DAWA ZA KUZUIA MIMBA*
(b) *MAWAZO*
(c) *UJAUZITO*
(d) *KISUKARI*
(d) *MATUMIZI YA ANTIBIOTICS*

4. *VAGINAL OR CERVICAL CANCER.*

- Mtu anapokua na kansa ya uke, hutokwa na maji ya harufu mbaya, hivyo ni heri uwe unafanya check up ili kujua Afya yako na Kwa kuwa cancer ya kizazi inapona hivyo ni vema ukatambua mapema uanze tiba.

5. *S*XUAL TRANSMITTED DESEAS (STDs).*

- Kuna baadhi ya magonjwa k**a vile KASWENDE NA KISONONO yanasababishwa na ngono na kuwa chanzo cha tatizo hili.

6. *POOR HYGIENE.*

- Tatizo la kutokwa na maji wakati mwingine husababishwa na muhusika kua mchafu yan mtu unaoga kwa siku mara moja, chupi moja ndio hiyo hiyo mwaka mzima, pads unakaa nayo saa 24, ukienda kukojoa ujitawadhi na maji masafi hivyo unategemea utakua salama kweli??? Zingatia usafi mrembo.

*DALILI ZA TATIZO HILI.*

- Kutokwa na uchafu ukeni unaoambatana na kuwashwa au kutokewa na vipele, hii hutokana na kuharibika kwa uwiano wa bacteria hivyo kuwa na madhara na uchafu hutoka wa aina tofauti hapa chini nitaelezea kila Aina ya uchafu na dalili zake.

1. *UCHAFU WENYE RANGI YA KAHAWIA AU DAMU.*

- Huu uchafu huonyesha dalili ya kuwa mzunguko wako wa hedhi umevulugika na wakati mwingine ni dalili ya kansa ya kizazi, mwanamke anayepata tatizo hili hutoa damu nyingi kuumwa sana nyonga.

2. *UCHAFU WENYE RANGI YA NJANO /KIJANI WENYE HARUFU MBAYA.*

- Endapo uchafu huo utatoka k**a povu na wenye rangi ya kijani au njano na ukiambatana na harufu mbaya huwa ni dalili ya ugonjwa wa trichomonas, maambukizi ya parasite yanatokana na ngono zembe, dalili Yake nyingine ni maumivu na kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3. *UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI.*

Mara nyingi hii huwa ni dalili ya maambukizi ya fangasi(YEAST INFECTION) na dalili nyingine huwa ni kuvimba sehemu ya nje ya siri, kuwashwa na kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

4. *UCHAFU MWEUPE/KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI.*

-Uchafu wa Aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria vaginosis, mara nyingi mwenye tatizo hili husikia muwasho na maumivu sehem ya nnje ya uke.

5. *MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KUEPUKA TATIZO HILI NA TIBA YAKE*.

- Matibabu ya tatizo hili hufanyika baada ya kugundua chanzo cha tatizo na mara nyingi tiba Yake ni tiba ya dawa za antibiotics kitu ambacho si tiba nzuri zaidi kwa sababu tatizo huweza kujirudia kila wakati na kusababisha matatizo zaidi hivyo tiba nzuri ni kuepuka hili tatizo kwa kufanya yafuatayo:-

๐Ÿ‘‰ *EPUKA KUJIINGIZA VIDOLE MARA KWA MARA UKENI*
๐Ÿ‘‰ *EPUKA MATUMIZI YA DAWA ZA ANTIBIOTICS MARA KWA MARA*
๐Ÿ‘‰ *PUNGUZA KULA VYAKULA VYENYE SUKARI NYINGI*
๐Ÿ‘‰ *TUMIA PADS ZENYE ANIONS NI SALAMA KWA AFYA YAKO*
๐Ÿ‘‰ *SAFISHA VIZURI NGUO ZAKO ZA NDANI NA UZIANIKE JUANI NA HATA KUZIPIGA PASI*
๐Ÿ‘‰ *KUNYWA MAZIWA MTINDI ,JUICE YA APPLE,STRAWBERRY, NANASI KWA WINGI*
๐Ÿ‘‰ *EPUKA KUFANYA NGONO ZEMBE*
๐Ÿ‘‰ *HAKIKISHA UNAJISAFISHA KILA UNAPOMALIZA KUJISAIDIA KWA KUANZIA MBELE KISHA NYUMA*
๐Ÿ‘‰ *EPUKA KUTUMIA DAWA ZA KUZUIA MIMBA*
๐Ÿ‘‰ *EPUKA KUTUMIA SABUNI AU VITU VYA MANUKATO UKENI*
๐Ÿ‘‰ *EPUKA KUINGIZA VITU HOVYO UKENI KWA KISUNGIZIO CHOCHOTE , K**A KUONGEZA LADHA AU UKAVU*
๐Ÿ‘‰ *EPUKA KUWEKEWA MATE WAKATI WA TENDO AU NGONO YA UKE KWA MDOMO* / *ORAL S*X*

*NOTED* : Wanawake wengi mnapenda kutumia baadhi ya dawa kwa lengo la kuongeza vionjo kwenye mapenzi pia kufanya uke kunukia vizuri, au kukaza uke rafiki uke una harufu nzuri sana ambayo haipatkan kokote hivyo haihitaji kuwekwa pafyumu Wala kusafishwa kwa sabuni za kemikali kwani huwa panajisafisha hivyo ni heri ukaacha kutumia kwani madhara Yake hayaonekani sasa ila baada ya Muda huonekana.

- ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ-
- Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia โ˜Ž๏ธ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255655562181

โž– *Ili Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA.* ๐Ÿ‘‰ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– *SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA* ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ *Kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini*

_*HIZI HAPA NDIYO FAIDA TANO KUU ZA KITUNGUU SAUMU KATIKA MIILI YETU*_  +255655562181 / +255769600821  Mbali ya kuwa Kit...
25/12/2023

_*HIZI HAPA NDIYO FAIDA TANO KUU ZA KITUNGUU SAUMU KATIKA MIILI YETU*_

+255655562181 / +255769600821

Mbali ya kuwa Kitunguu saumu ni kiungo muhimu katika kaya nyingi kwenye mapishi,pia Kitunguujulikana kwa sifa zake za kutumika k**a dawa kwa magonjwa mbali mbali..

Umuhimu wa tembe ya kitunguu saumu.

โ€ข 4Kcal / 16KJ
โ€ข 0.3g protini
โ€ข 0.0g mafuta
โ€ข 0.7g wanga
โ€ข 0.2g fiber
โ€ข 25mg potasiamu

_*FAIDA TANO ZA KUTUMIA KITUNGUU SAUMU*_

1. Kitunguu saumu kina misombo yenye sifa za dawa.

โ€ข Umaarufu mwingi wa matibabu ya vitunguu ni kutokana na sifa ya allicin iliyomo ndani yake.
โ€ข Madini haya ya salfa huipa kitunguu saumu harufu yake kali na ladha ya kipekee.
โ€ข Hatua ya kukata au kusaga huchochea uzalishaji wa allicin.
โ€ข Kiwango cha juu cha joto kinaweza kuzuia baadhi ya faida za dawa, ni bora kuongeza vitunguu mwishoni mwa mchakato wa kupikia.

2. _*Inaweza kupunguza hatari ya mshtuko wa moyo*_

โ€ข Kitunguu saumu hufanya platelets (chembe zinazohusika na kuganda kwa damu) zisiwe na uwezekano wa kujikusanya kwenye kuta za mishipa.
โ€ข Hii ina maana kwamba kitunguu saumu hufanya kazi ya kupunguza uzito wa damu na hivyo kupunguza hatari ya mashambulizi ya moyo.
โ€ข Kitunguu saumu kinaweza pia kupunguza shinikizo la damu kupitia uwezo wake wa kupanua mishipa ya damu, na hivyo kuruhusu damu kutiririka kwa uhuru zaidi.

3. _*Inaweza kuwa na sifa za kuzuia saratani*_

โ€ข Michanganyiko wa salfa kwenye kitunguu saumu umefanyiwa utafiti kwa uwezo wake wa kuzuia seli za saratani na kuzuia uvimbe.
โ€ข Ushahidi ni mwingi kuhusiana na saratani ya utumbo mpana, tezi ya kibofu, umio na figo ni zinafuatiliwa na idadi ndogo tu ya utafiti ukijumuishwa katika masomo.

4. _*Ina antimicrobial na antifungal*_

โ€ข Kitunguu saumu kimetumika kwa muda mrefu k**a kinga dhidi ya virusi, bakteria na fangasi.
โ€ข Kimeitwa "penicillin ya Kirusi "kwa uwezo wake wa kuzuia kukua kwa bakteria, ambayo tena inahusishwa na kiwanja cha allicin.
โ€ข Ni tiba ya Matatizo fulani ya ngozi, k**a vile warts na kuumwa na wadudu, zinaweza kujitokeza kutokana na mafuta ya kitunguu saumu au kitunguu saumu kibichi kilichopondwa.

5. _*inaweza kukuza afya ya mifupa*_

โ€ข Uchunguzi wa wanyama unapendekeza kuwa vitunguu saumu vinaweza kupunguza upoteaji wa mifupa kwa kuongeza viwango vya estrojeni kwa panya wa k**e.
โ€ข Utafiti kwa wanawake wa baada ya komahedhi ulipata athari sawa wakati dozi ya kila siku ya vitunguu saumu kikavu ilitumiwa.
โ€ข Uchunguzi pia unaonyesha kuwa kula vitunguu kunaweza kupunguza dalili za kuchochea ugonjwa wa yabisi-kavu unayozorotesha mifupa ya maungo.

_*Faida za Kiafya za Kitunguu Saumu Pori*_

โ€ข Faida za kiafya za vitunguu pori pia huitwa kitunguu saumu cha dubu na kitunguu saumu zinafanana sana.
โ€ข Vyote viwili vina aina mbalimbali za misombo yenye dawa, ikiwa ni pamoja na kuwa na kemikali zinazozuia viini na kuvu.
โ€ข Lakini vitunguu pori vilionekana kuwa na mwitikio mkubwa zaidi katika kupunguza shinikizo la damu kuliko vitunguu vya kawaida.

_*Je, vitunguu saumu ni salama kwa kila mtu?*_

โ€ข Suala la kitunguu saumu kuleta wasiwasi kuhusu usalama na mizio ni nadra.
โ€ข Ikiwa unachukua virutubisho vya vitunguu kwa udhibiti wa cholesterol, angalia viwango vyako vya cholesterol baada ya miezi mitatu.
โ€ข Kiwango cha kila siku kinacho pendekezwa cha vitunguu ni kati ya ยฝ hadi 1 tembe nzima kwa siku (karibu 3,000 hadi 6,000 mcg ya allicin).

_*Tafadhali kumbuka kuwa baadhi ya watu wanaweza kukumbana na kukosa kusaga chakula, gesi tumboni au kuhara wanapotumia kiasi kikubwa cha vitunguu saumu.*_

๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia โ˜Ž๏ธ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255655562181

โž– Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. ๐Ÿ‘‰ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO (GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)+255655562181 , +2557...
21/12/2023

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO

(GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)

+255655562181 , +255769600821

โ€ข Ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo na kusababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (*Umio*) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa au Ni kitendo cha kupanda kwa acid ( *tindikali* ) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na kusababisha kiungulia ( *HEARTBURN* ).

โ€ข Kiungulia hiki huanza muda mfupi baada kumaliza kula na kuisha baada ya masaa mawili.
โ€ข Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale m tototo anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.

_*Dalili zingine ni k**a*_

โ€ข Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
โ€ข Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
โ€ข Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
โ€ข Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
โ€ข Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
โ€ข Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
โ€ขKuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
โ€ข Mdomo kukauka.
โ€ข Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
โ€ข Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
โ€ข Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.

โ€ข Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-๐Ÿ“ž"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

UKIWA NA D๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ HIZI UNANYEMELEWA NA ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ - (๐——๐—œ๐—”๐—•๐—˜๐—ง๐—˜๐—ฆ).+255655562181 / +255769600821  ๐Ÿ‘‡โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐—ท๐—ผ๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„...
13/12/2023

UKIWA NA D๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ HIZI UNANYEMELEWA NA ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ - (๐——๐—œ๐—”๐—•๐—˜๐—ง๐—˜๐—ฆ).

+255655562181 / +255769600821 ๐Ÿ‘‡

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐—ท๐—ผ๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ
Jee, umekuwa na tabia ya kwenda kupata haja ndogo mara kwa mara? K**a jibu ni ndiyo, basi figo zako sasa haziwezi kuirudisha glucose kwenye mfumo wa damu na badala yake zinachukua maji kutoka kwenye damu na kusababisha kibofu kijae mara kwa mara.

โœ๏ธ ๐—ž๐—ถ๐˜‚ ๐—œ๐˜€๐—ถ๐˜†๐—ผ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ
K**a unakojoa mara kwa mara, utapata kiu isoisha kwa sababu mwili unahitaji kurudisha maji uliyopoteza kwenye mkojo.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—ก๐—ท๐—ฎ๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—น๐—ถ
K**a isulin yako haifanyi kazi au k**a huna insulin, mwili wako unakosa glucose ya kuupa nguvu. Katika kutafuta njia nyingine ya kupata nguvu, mwili utakuwa na njaa ili uupatie chakula.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ (๐˜‚๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ฒ)
Hii inatokana na dalili ya kusikia njaa kali, na kula kila saa au kula kupita kiasi.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐˜๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐—ž๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ฎ
Hili huwatokea zaidi wagonjwa wa Type 1 Diabetes kwa sababu kwa kukosa insulin na seli kukosa chanzo cha kupata nguvu, mwili huanza kuvunjavunja misuli na kuyeyusha mafuta ya mwili ili upate nguvu hiyo, hali inayochangiwa zaidi na tabia ya kisukari cha aina hiyo kujitokeza kwa ghafla.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—จ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜ƒ๐˜‚
Mwili unapokosa glucose ya kuzipa seli nguvu, uchovu hutokea.

โœ๏ธ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ฟ๐—ฎ
Hasira zinaweza kuwa ni sababu ya mwili kukosa nguvu.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐—ฉ๐—ถ๐˜‡๐˜‚๐—ฟ๐—ถ
Ugonjwa huu husababisha mtu kushindwa kuviona vitu vizuri. Tatizo hili hutibika lakini mara nyingine hali huweza kuwa mbaya kiasi cha kuwa na tatizo la kudumu au kupata upofu.

โœ๏ธ ๐—ฉ๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ฝ๐—ผ๐—ป๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜‡๐˜‚๐—ฟ๐—ถ/๐—›๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ
Unapokuwa na sukari nyingi katika damu, uwezo wa mwili kuponya vidonda hupungua.

โœ๏ธ ๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ
Mwili wenye sukari nyingi ndani ya damu huwa na uwezo mdogo sana wa kujiponya kutokana na maambukizi ya wadudu. Wanawake wenye kisukari huwa na maambukizi zaidi na hupata shida kubwa ya kuponya maambukizi ya sehemu nyeti za miili yao.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ
Kuwashwa kwa ngozi mara nyingine ni dalili ya kuwa na kisukari.

โœ๏ธ ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—™๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ก๐˜†๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ญ๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ผ๐˜ƒ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ
Fizi nyekundu na/au zilizovimba huweza kuwa ni dalili ya kuwa na ugonjwa wa kisukari, na mara nyingine meno hulegea.

โœ๏ธ ๐—จ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐— ๐—ฑ๐—ผ๐—ด๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ถ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ (๐—ฆ๐—ฒ๐˜…๐˜‚๐—ฎ๐—น ๐—ฃ๐—ฒ๐—ฟ๐—ณ๐—ผ๐—ฟ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ)
Hili ni tatizo hasa la wanaume wenye umri unaozidi miaka 45, ambapo mara nyingi watakosa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu au uwezo wao wa kufanya tendo hilo kufa kabisa (Erectile Dysfunction).

โœ๏ธ ๐—š๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐— ๐—ถ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐— ๐—ถ๐—ด๐˜‚๐˜‚๐—ป๐—ถ
Uzidifu wa sukari mwilini huweza kuharibu neva au mishipa midogo ya damu inayolisha neva, hivyo kusababisha hali ya ganzi mikononi au miguuni.

๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Kijitonyama Dar es salaam jirani na Stand ya Makumbusho na Mlimani City au Tupigie Sasa Kupitia โ˜Ž๏ธ +255769600821 au +255655562181

Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255655562181

โž– Kufahamu Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. ๐Ÿ‘‰ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

_*VYAKULA KWA WENYE VIDONDA VYA TUMBO*_ ~ +255655562181 / +255769600821 ~Vidonda vya tumbo ni moja kati ya maradhi yanay...
29/11/2023

_*VYAKULA KWA WENYE VIDONDA VYA TUMBO*_

~ +255655562181 / +255769600821 ~

Vidonda vya tumbo ni moja kati ya maradhi yanayosumbuwa watu kutokana na kuchelewa kwake kupona hata baada ya kutumia dawa nyingi. Hali hii husababishwa kutokana na kutofuata masharti ya vidonda vya tumbo.

Ni vyema Mgonjwa akafuata masharti ikiwemo na jitihada za kufahamu ni vyakula vipi atumie na vipi asitumie. Makala hii itakufundisha vyakura na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

_*Vyakula salama kwa wenye vidonda vya tumbo*_

1. Kabichi
2. Mahindi mabichi.
3. Karoti
4. Mboga za kijani
5. Asali
6. Kitunguu thaumu
7. Tikiti maji.
8. Tango.

_*Vyakula salama kwa vidonda vya tumbo pia ni dawa*_

1. *Juisi ya kabichi.* - Kabihi ni katika mboga ambazo zina vitamini C. vitamini hii pia ni katika antioxidant ambayo husaidia katika kupambana na bakteria aina ya H.pylori ambao ndio chanzo kikuu cha vidonda vya tumbo.

2. *Asali* - Asali ni katika baadhi ya vyakula ambavyo huhusishwa na matibabu mbalimbali. Asali husaidia kuimarisha afya ya moyo, pia hutumika k**a dawa kwenye majeraha na majeraha ya moto ili kuzuia bakteria. Asali inaweza pia kupambana na bakteria wa kusababisha vidonda vya tumbo.

3. *Kitunguu thaumu.* - ni katika viungo vya mboga k**a kinavyotumika.lakini pia ni katika tiba za asili ambazo hutumiwa maeneo mengi duniani. Tafiti zinaonyesha kuwa katika kitunguu thaumu kuna chembechembe ambazo husaidia katika kupambana na bakteria aina ya H.pylori ambao ndio chanzo kikuu cha vidonda vya tumbo.

4. *Shubiri* - Shubiri si katika vyakula ila hutumika sana katika viwanda vya vyakula, urembo na viwanda vya kutengeneza madawa. Shubiri ni katika tiba asili ambazo hutumiwa maeneo mbalimbali duniani. Tafiti zinaonyesha kuwa shubiri lina uwezo wa kuzuia mashambulizi ya bakteria kwenye ngozi. Pia shubiri limeonekana kuwa na uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo.

5. *Bamia* Ni muhimu kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo kutokana na wingi wa Vitamin A na uwezo mkubwa Katika kusawazisha au kushusha asidi kwenye utumbo.

*Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo:*

1. *Maziwa.* - Wagonjwa wa vidonda vya tumbo wanatambuwa kuwa akinywa maziwa maumivu yanapunguwa. Hii ni faida, lakini tafiti zinaonyesha kuwa maziwa yanaongeza uzalishwaji wa tindikali za tumboni. Tindikali hizi zina mchango sana katika kusababisha vidonda vya tumbo na pia maziwa hufanya vidonda kuwa na unyevu muda wote na kufanya kuwa rahisi kidonda kuongezeka.

2. *Pombe* - Unywaji wa pombe unaweza kuathiri na kuharibu kuta za tumbo na utumbo. Hali hii inaweza kuongeza hatari ya kuweza kupata vidonda vya tumbo. Ama inaweza kusababisha hali ya mgonjwa kuwa mbaya zaidi.

3. *Kahawa* - Kahawa inaweza kusababisha kuongezeka kwa uzalishwaji wa tindikali za tumboni (*stomach acid*). tindikal hizi zikizalishwa kwa wingi tumboni zinaweza kuchubuwa ukuta wa tumbo na hatimaye kusababisha vidonda vya tumbo.

4. Vyakula vyenye mafuta kwa wingi.
5. Matumizi makubwa ya Pilipili.
6. Vyakula vyenye chumvi nyingi.
7. Vyakula vya kuoka.
8. Vyakula vyenye uchachu
9. Uvutaji wa sigara

Asante kwa leo na karibu uendekee kufuatilia makala zetu zijazo.

*Je wewe ni muhanga wa Vidonda vya tumbo / ULCERS?*

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 / +255769600821 au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
http://.wa.me/255655562181

โž– Kufahamu haya na Mengine Mengi Kwa Undani Zaidi BOFYA HAPA. ๐Ÿ‘‰ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐€๐’๐€๐๐“๐„.

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE.

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share