06/12/2021
FAHAMU LEO CHANZO, DALILI & TIBALISHE ASILIA ZINAZOTIBU KABISA CHANGAMOTO HII YA VIDONDA VYA TUMBO
Ni hivi Kuna sababu kuu mbili ambazo hupelekea mtu kupata vidonda vya tumbo:
1.Maambukizi ya bakteria aina ya H. Pylori, na
2.Kumeng'enywa na kulika kwa kuta za mfumo wa chakula, chanzo ni Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu ya muda mrefu na yasiyozingatia ushauri wa kitaalamu, pombe, sigara, msongo wa mawazo. Nk
_
DALILI
> ya tumbo toka maeneo ya chini ya tumbo mpaka kifuani.
>Kinyesi kinakuwa na rangi nyeusi au kijivu.
>Kutapika damu
>Kupungua uzito.
>Kichefuchefu na kutapika.
>Kupoteza hamu ya kula.
>Kiungulia.
_
JINSI YA KUJIKINGA NA VIDONDA HIVI.
Unaweza kujikinga dhidi ya vidonda vya tumbo kwa kutumia njia hizi:
🖐Badili baadhi ya mifumo yako ya maisha k**a,
-Acha punguza kutumia pombe bila kiasi.
-Usichanganye pombe na aina yeyote ya dawa.
-Weka mazingira yako safi kuepuka maambukizi ya bacteria.
-Usitumie hovyo dawa za kupunguza maumivu bila ushauri wa kitaalamu.
-Pata chakula kwa wakati, epuka kukaa na njaa kwa muda mrefu.
-Kuwa na ratiba nzuri na inayoeleweka ya chakula, epuka kubadili ratiba ya chakula bila sababu za msingi.
🖐ZINGATIA
Kuna wakati unapojaribu kutibu vidonda vya tumbo inashindikana, huwa inatokea na hii husababishwa na sababu kuu zifuatazo:
>Yawezekana una maambukizi ya bakteria zaidi ya mmoja.
>Yawezekana una ugonjwa mwingine katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula k**a vile kansa.
> K**a vidonda vya tumbo havitatibiwa kwa wakati huweza kusababisha madhara makubwa ambayo tiba yake itahitaji uangalizi mkubwa na unaweza kuwa na gharama kubwa sana.
_
PATA USHAURI BUREE NA TIBA UKIWA MKOA WOWOTE
>>>Whatsapp link pale juu au Nipigie +255743 429 728.
______________