Ushauri wa Afya na tiba

Ushauri wa Afya na tiba CHANGAMOTO ZA MATATIZO YA AFYA YA UZAZIKWA WANAWAKE NA WANAUME, NI JANGA LINALOKUMBA WATU WENGI SANA.

ILI KUPATA ELIMU YA VISABABISHI, NAMNA YA KUJIKINGA NA SULUHISHO LA TATIZO HILI, KARIBU KATIKA PAGE YETU TUKUFU TUKUSAIDIE.

Popote ulipo tunakufikiaPiga 0711416219
06/05/2021

Popote ulipo tunakufikia

Piga 0711416219

Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, limepelekea wengi kupata Ugumba, uvimbe njia ya uza...
06/05/2021

Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, limepelekea wengi kupata Ugumba, uvimbe njia ya uzazi na kansa ya kizazi

K**a una moja ya haya madhara yafuatayo:

Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu,

Mimba kuharibika mara kwa mara,

Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Kuziba kwa mirija ya uzazi.

Uvimbe (Fibroids and Cysts)

basi tambua utakuwa na mvurugiko wa Homoni

Nipigie 0711416219.

Nina SULUHISHO LA KUDUMU

Matatizo Yanayohusiana na PID.Ikiwa magonjwa ya maambukizi ya PID yameachwa bila kutibiwa kikamilifu, basi inawezakusaba...
06/05/2021

Matatizo Yanayohusiana na PID.
Ikiwa magonjwa ya maambukizi ya PID yameachwa bila kutibiwa kikamilifu,

basi inawezakusababisha matatizo makubwa k**a uharibifu wa viungo vya uzazi na kujikusanya maji ya kuambukiza katika mirija ya uzazi.

Matatatizo mengine hupelekea mimba kutunga inje ya mirija.

Kwakuwa PID bado ni sumbufu sana katika matibabu ya kawaida.

Tiba ya virutubisho lishe vitokanavyo na mimea,mboga mboga na matunda bora kwa kutibu PID

Piga 0711416219

TIBA YA KUTIBU PID SUGU (Pervic Inflammatory Diseases): PID (Pervic Inflammatory disease) ni ugonjwa sumbufu na mbaya sa...
06/05/2021

TIBA YA KUTIBU PID SUGU (Pervic Inflammatory Diseases):

PID (Pervic Inflammatory disease) ni ugonjwa sumbufu na mbaya sana katika viungo vya uzazi wa mwanamke ambao Mara nyingi husababishwa na maambukizi kwa njia ya kujamiana (STI) na nyinginezo.

Neno hili STI (sexual Transmitted intercouse) hutumika kuelezea maambukizi katika njia ya uzazi ya chini ambayo huenea juu hadi mfumo wa uzazi wa juu wak**e.

Mfumo wa uzazi wa chini wak**e unajumuisha Uke, mlango wa uzazi(cervix), na mfumo wa juu wak**e uzazi wa k**e unajumuisha mji wa uzazi (uterus),mirija ya uzazi, Uterine na mayai (Ovari).

Takwimu zinaonyesha PID huathiri wanawake zaidi ya milioni 1 kila mwaka.

Ugonjwa wa Maambukizi PID ni nni?

PID ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya k**e.

Magonjwa ya maambukizi ya PID yanaweza kusababisha uharibifu wa wa kizazi, mirija ya uzazi,mayai na sehemu nyingine za njia za uzazi wa k**e ambayo ni sababu kuu ya kupata ugumba kwa wanawake.

Inatokeawakati bacteria wa magonjwa ya kujamiana huingia ndani ya uke, kisha huenea ndani ya kizazi,mirija ya uzazi(fallopian tube) au ovari.

DALILI ZA PID
Dalili za PID zinaweza kuwa:

√ maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo.

√ maumivu wakati wa kukojoa.
√ maumivu wakati wa tendo la ndoa.

√ maumivu ya kiuno.
√ homa na uchovu.
√ kuharisha na kutapika.

√ Kutokwa na uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine unaharufu isiyo ya kawaida.

√ maumivu ya chini au upande wa kulia.

VISABABISHI VYA PID
Kwa kawaida mlango wa uzazi (cervix) inazuia bacteria ambao wameingia ukeni wasisambae sehemu zingine za ndani za uzazi.

K**a mlango wa uzazi cervix umepatwa na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiaana k**a kisonono na chlamydia.

Mlango huo wa uzazi cervix unaathirika na unakuwa na uwezo mdogo wa kuzuia kusambaa kwa bacteria sehemu za ndani za uzazi.

PID inatokea pale vimelea vya magonjwa vinaposafiri kutoka kwenye mlango wa uzazi cervix kwenda sehemu za juu za uzazi.

Asilimia 90 ya PID husababishwa kutokutibiwa ugonjwa wa kisonono na chlamydia.kutoa mimba au kuharibika.

Matatizo Yanayohusiana na PID.
Ikiwa magonjwa ya maambukizi ya PID yameachwa bila kutibiwa kikamilifu.

21/04/2021
Moja Ya Sababu Zinazopelekea Mwanamke Kukosa period/ hedhi  au Kupata Hedhi Isiyoeleweka ni📍Hormone Imbalance: hormone z...
20/04/2021

Moja Ya Sababu Zinazopelekea Mwanamke Kukosa period/ hedhi au Kupata Hedhi Isiyoeleweka ni

📍Hormone Imbalance: hormone zikivurugika husababisha madhara haya.

👉 Uke Kuwa mkavu sana

👉 Husababisha tatizo la Miscarriage / mimba kuharibika mara kwa mara.

👉 Kutoshika ujauzito

👉 Tarehe za period kubadilika badilika

👉 Kukosa ute wa ovulation

👉 Kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi.

👉 Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉 Husababisha maumivu makali wakati wa hedhi.

👉 Kupata hedhi kidogo sana au nyingi sana

👉 Kutokwa maziwa wakati haunyonyeshi.

👉 Kupitiliza hedhi zaidi mwezi.

Kupata ushauri na suluhisho la tatizo hili wasiliana nasi

Whatsap Us 0711416219
Tupigie: 0683081208

imbalance

● Unatokwa na ute wa aina gani?●Rangi gani?●Unatoa harufu?●Umekutoka kwa muda gani?  ●Umewahi kutumia dawa?Nipigie tuzun...
20/04/2021

● Unatokwa na ute wa aina gani?

●Rangi gani?

●Unatoa harufu?

●Umekutoka kwa muda gani?

●Umewahi kutumia dawa?

Nipigie tuzungumze
📞 0711416219
📞 0683081208

imbalance live

Tatizo hili husimama lenyewe k**a ugonjwa ingawa pia inaweza kuwa ni dalili k**a mwanamke ni mjamzito, ananyonyesha au a...
20/04/2021

Tatizo hili husimama lenyewe k**a ugonjwa ingawa pia inaweza kuwa ni dalili k**a mwanamke ni mjamzito, ananyonyesha au ametoa mimba au ameharibikiwa na mimba.

Kusimama kwake k**a ugonjwa ni pale yanapotoka wakati mwanamke hana historia ya dalili hizo hapo juu.

Tatizo hili huwapata wanawake wengi na kwa mujibu wa takwimu huathiri asilimia tano hadi 32 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa.

Pamoja na kuwapata zaidi wanawake, hali ya kutokwa na majimaji katika matiti pia huweza kuwatokea wanaume watu wazima, vijana walio katika umri wa balehe, wa k**e na wa kiume, watoto wachanga wa k**e na wa kiume.

Chanzo cha tatizo
Matiti yanaweza kutoa majimaji endapo chuchu zitachezewa au kunyonywa mara kwa mara na kusababisha kuvuruga baadhi ya homoni mwilini.

Homoni zinazohusika zaidi na tatizo hili ni homoni ya ‘prolactine’.

Vilevile katika hali hii ya kutokwa na majimaji asilimia 50 ya matatizo chanzo chake bado hakijulikani.

Mama anayenyonyesha homoni zinazochangizwa na kusababisha matiti yatoe maziwa ni ‘Prolactin’, Estrogen’ na Progesterone.

Dawa nyingine zinazoweza kumfanya mtu atokwe na majimaji katika matiti ni dawa k**a Methyldopa, madawa ya kulevya na dawa za magonjwa ya akili.

Pamoja na matatizo katika mfumo wa homoni, hali ya kusuguasugua kifua mara kwa mara, hali ya kuwa na hofu na wasiwasi au shauku f’lani,

mfano ya kuhitaji kupata ujauzito husababisha kuamsha homoni za uzalishaji wa maziwa au hayo majimaji.

Sababu zinazopelekea kupata miscarriages / mimba kuharibika 👉 Hormone imbalance 👉 Uvimbe/fibroids 👉 Kulegea kwa shingo y...
20/04/2021

Sababu zinazopelekea kupata miscarriages / mimba kuharibika

👉 Hormone imbalance

👉 Uvimbe/fibroids

👉 Kulegea kwa shingo ya uzazi

👉 Kubeba ujauzito kwa mara ya kwanza ukiwa na umri mkubwa

👉 Ukosefu wa kinga mwilini

👉 Matumizi ya dawa kiholela

👉 PID

👉 UTI

👉 Lishe mbovu

👉 Kazi ngumu

👉 Vinywaji vyenye caffeine

Suluhisho lipo

📞0711416219

Tanasaidia watu wenye matatizo  ya uzazi ambao wamehangaika bila mafanikio, wamekata tamaa ya kupata watoto, tanawasaidi...
20/04/2021

Tanasaidia watu wenye matatizo ya uzazi ambao wamehangaika bila mafanikio, wamekata tamaa ya kupata watoto, tanawasaidia kwa kuwapa dawa( zinafanyanya kazi hatari ni kibiko)..matatizo hayo ni k**a yafuatayo :

1.Hormones imbalance (mvurugiko wa hormones..hupelekea

a)kuvurugika kwa siku za hedhi
b)mimba kutoka mara kwa mara
c)kutoona Ute wa uzazi siku za hatari
d)kukosa hamu ya kufanya mapenzi
e)kutotengenezwa kwa mayai au kutopevuka kwa mayai

2.Mirija ya uzazi kuziba au kujaa maji

3.Magonjwa ya maambikizi yanayosababishwa na bacteria au fungus yanayopelekea PID (pelvic inflammatory disease) inayomfanya mtu

a)kupata maumivu chini ya kitovu
b)kutokwa na uchafu ukeni unaoambatana na muwasho na harufu mbaya
c)kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

4.Uvimbe sehemu za uzazi k**a mfuko wa uzazi ,mirija na o***y.

TUPIGIE HARAKA TUKUHUDUMIE
0711416219

K**a wengine walivyofanyikiwa kupata watoto na wewe ukafanyikiwe 🙏
20/04/2021

K**a wengine walivyofanyikiwa kupata watoto na wewe ukafanyikiwe 🙏

K**a unatatizo lolote kati ya hayo nipigie simu kupata suluhisho 0711416219
19/04/2021

K**a unatatizo lolote kati ya hayo nipigie simu kupata suluhisho 0711416219

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ushauri wa Afya na tiba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram