Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Homoni? Cyst? P.I.D?

Hushiki Mimba? 1000+ Wamepona Na Kupata Ujauzito Ndani Ya Siku 30 Mpaka 90 Pekee Bila Dawa
📲Ushauri Binafsi Ada 35,000/= , Tuma Ujumbe WhatsApp no: +255 789 699 225, Dr Sam Makata

25/07/2025

Hongera kwa kufika hatua hii muhimu ya kuwa mama!

Hapa kuna KUCHEKA, KULIA, KUKESHA, MAUMIVU... n.k

Baada ya kujifungua, majukumu yako yanabadilika sana—kulea mtoto mchanga,
..kujitunza kimwili na kiakili, na kuzoea hali mpya ya maisha.

Kuzungumza kuhusu ugumu wa safari ya uzazi hakukufanyi kuwa mama dhaifu, wala hakumaanishi kuwa hutambui uzuri wa safari hii.

Kushiriki changamoto zako ni muhimu kwa afya bora ya akili na kupunguza msongo wa mawazo.

Je, umepitia changamoto yoyote katika safari yako ya uzazi?

Tufahamishe kwenye maoni au tag mama mwingine mzuri anayestahili kusikia haya.

Pamoja tunaweza kujenga jamii inayoungana na kupeana nguvu! 🌸❤️

Je, Unahisi Uke Wako Ni Baridi? Hakuna Msisimko? Hakuna Raha ya Tendo Tena?Pole sana Dada, lakini hilo si jambo la kawai...
24/07/2025

Je, Unahisi Uke Wako Ni Baridi? Hakuna Msisimko? Hakuna Raha ya Tendo Tena?

Pole sana Dada, lakini hilo si jambo la kawaida. Na kadri unavyonyamaza ndivyo tatizo linavyozidi kuwa kubwa —
.. linaweza kuvuruga ndoa yako, furaha na heshima yako k**a mwanamke.

Uke wenye muwasho, harufu mbaya, Kuwa Mkavu, au kutotoa ute wakati wa tendo ni dalili za hatari ambazo HAZIPASWI KUPUUZWA.

👉 Lakini hapa kuna jambo zuri — kuna suluhisho la asili, salama na lenye matokeo haraka:

🔥 VAGINAL THERAPY YA MWEZI MMOJA — imeundwa mahsusi kusaidia wanawake kurejesha joto, afya, na utamu wa uke wao.

💖 Tiba hii haipo sokoni, na haipatikani kwa kila mtu.
Ni kwa wanawake 60 tu kila mwezi — nataka kila mmoja apate msaada binafsi, kikamilifu.

👩🏾‍⚕️ K**a Daktari aliyekusaidia wengine wengi, nataka pia nikuweke kwenye orodha ya walionufaika.

👇🏾
Comment Kupitia DM/ Inbox Yangu Neno “UKE” Sasa hivi nikusaidie kabla nafasi hazijaisha.

Umechoka Kujifanya Unafurahia Tendo, Lakini Moyoni Mwako Unajua Kabisa hakuna Ladha unayopata?Uke wako hauna msisimko te...
23/07/2025

Umechoka Kujifanya Unafurahia Tendo, Lakini Moyoni Mwako Unajua Kabisa hakuna Ladha unayopata?

Uke wako hauna msisimko tena…
Umejawa ukavu, baridi, maumivu ya ndani, na hamu haipo k**a mwanzo.

Hadi unajikuta unajilazimisha, unajikunyata, au kukwepa kabisa tendo.

Hii si kawaida, na inaweza kuharibu maisha yako ya ndoa kimyakimya…

Mwanamke mwenye uke wa baridi huanza kupoteza hamu ya tendo, huumwa bila sababu, na hata ukavu unazidi.

Wengine huanza kupata muwasho, uchafu mzito, harufu mbaya — lakini wananyamaza.

🧠 Lakini unajua? Vyakula na mitindo midogo ya maisha inaweza kuurudisha uke wako katika hali ya joto Asilia, Utamu Wa uke kurejea, na Kuwa wenye afya ya kipekee.

👉🏽 Swipe kujifunza vyakula 10 na mazoezi yanayoongeza joto la uke, kuimarisha unyevunyevu, na kuongeza msisimko Wakati Wa Tendo.

Na k**a Changamoto Yako ina Zaidi ya Miezi Mitatu— “Vaginal Therapy” ndiyo jibu la Matokeo ya Haraka na Salama♥️

🌺 Ni tiba ya mimea ya mwezi 1, ya kusaidia uke wako kuwa laini, wenye afya, na utamu wa asili.

⚠️ Kila mwezi ninasaidia wanawake 60 tu kwa ukaribu ili wapate full doctor support.

🎁 Tuma DM neno "UKE" Sasa hivi – Kupata Nafasi Hii ya kipekee

23/07/2025

Kwako wewe ambaye unatafuta watoto Mungu asikie kilio chako, Aliyepata amuombee anayetafuta 🙏

Naimani Mungu anasikia maombi yetu na amjalie kila mmoja anayetamani kupata mtoto , Weka Amen 🙏🙏 kwa Kumaanisha..

23/07/2025

Uchungu ukichanganya viatu huvivaliki yaani unavikuta tu vizito....🙌🤗

UMEWAHI KUNYOA MUDA MFUPI KABLA YA TENDO LA NDOA?!, halafu ukaishia kujikuna siku 3 mfululizo...😭K**a jibu ni NDIO, hauk...
22/07/2025

UMEWAHI KUNYOA MUDA MFUPI KABLA YA TENDO LA NDOA?!, halafu ukaishia kujikuna siku 3 mfululizo...😭

K**a jibu ni NDIO, hauko peke yako…

Wanawake wengi hufanya kosa hili la Kujiweka Safi kwa sababu ya presha au kujiandaa kwa ‘mechi’ —
.. bila kujua wanajiandaa kwa maumivu, fangasi, na harufu mbaya badala ya raha.

😩 Unajinyima raha kwa sababu ya: – Msuguano mkali baada ya kunyoa
– Michubuko ya ndani isiyoonekana
– Kuwashwa siku nzima baada ya tendo
– Maambukizi ya kila mwezi yasiyoisha

Kuwa Makini, Na Ikiwa K**a Tayari Umeshapata Madhara Haya, Suluhisho Lipo Hapa Kwa ajili Yako ♥️

Suluhisho Hili Litakusaidia kusafisha Kizazi Na Uke Wako, kurejesha kinga ya ndani Asilia na kurudisha raha ya tendo — bila mateso.

🌿 Kupitia VAGINAL THERAPY, nimewasaidia maelfu ya wanawake kurudisha afya ya uke wao kwa dozi ya mwezi mmoja.

👉🏾 TSH 195,000
👉🏾 Wanawake 60 tu kwa mwezi hupokelewa kwa ufuatiliaji wa karibu
👉🏾 Unapewa support ya daktari hatua kwa hatua

🩺 K**a unapata harufu mbaya, kuwashwa, au umechoka kukosa raha ya tendo — DM “THERAPY” sasa hivi.

Usingoje mpaka ndoa iwe sumu/ Mume Kuchepuka😊

USAFI WA UKE NI ZAIDI YA KUOGA TU…Najua hujawahi kuambiwa… lakini baadhi ya tabia zako za kawaida zinaangamiza afya ya u...
22/07/2025

USAFI WA UKE NI ZAIDI YA KUOGA TU…

Najua hujawahi kuambiwa… lakini baadhi ya tabia zako za kawaida zinaangamiza afya ya uke wako kila siku — kimya kimya!

K**a daktari wako, sihitaji kukudanganya au kukuficha Kwa hili Sababu ni Hatarishi kwako.

Uke wenye harufu mbaya, fangasi sugu, muwasho baada ya tendo, uchafu mzito… siyo mambo ya 'KUZOEA' au KUFICHA.

Ni alama ya mwili wako unaopiga kelele – ukiomba msaada.

Na wanawake wengi wanaharibu uke wao wenyewe bila kujua, kupitia tabia ndogo ndogo za kila siku ambazo hujui kuwa ni hatari:

K**a Vile,

– Kuflash uke kila mara
– Spray na marashi
– Nguo zinazobana
– Ulaji wa vyakula vya kusindikwa
Na mengine mengi...

😰 Matokeo yake?
Fangasi sugu
Muwasho baada ya tendo
Harufu mbaya
Maumivu ya chini ya tumbo
Na hata kushindwa kushika mimba kwa sababu ya mazingira duni ya uke

Lakini... kuna habari njema.

🌿 Kupitia VAGINAL THERAPY nimeweza kuwasaidia maelfu ya wanawake kupata uke safi, wenye afya, usio na harufu, na unaofurahi tendo la ndoa bila kuumia.

👉🏾 Dozi ya mwezi mmoja (TSH 195,000/=)
👉🏾 Nafasi ya wanawake 60 tu kila mwezi
👉🏾 Msaada wa karibu, hatua kwa hatua, k**a daktari wako binafsi

🩸 K**a unataka kupata uke wenye afya bora, Nitumie DM Sasa Hivi Neno "THERAPY". Usikose nafasi yako mwezi huu.

Address

Old Moshi
Kilimanjaro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Category