Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr Sam Makata, Doctor, OFISI IPO, Jengo la Makumbusho Complex floor ya pili, Kijitonyama Makumbusho, Dar es Salaam.

Umechoka Kujaribu Bila Matokeo? 💔
Nakusaidia Kutibu tatizo la uzazi kutoka Chanzo Chake — Sio Kutuliza Dalili.

💬 Tuma Neno ‘UZAZI’ Kupitia Wasap nikusaidie leo 👉 +255(0789699225)

Uchafu Uke'ni Unaotoa Harufu MbayaSio tatizo dogo — ni ishara mwili wako unapiga kelele 🚨Nimekutana na wanawake wengi we...
01/01/2026

Uchafu Uke'ni Unaotoa Harufu Mbaya
Sio tatizo dogo — ni ishara mwili wako unapiga kelele 🚨

Nimekutana na wanawake wengi wenye umri wako…
Wanajisafisha vyema, wanajaribu kila dawa, lakini uchafu uke'ni haurudi sawa.

Mwaka unaenda, mimba haiji.
Kila mwezi matumaini yanapanda, halafu yanaporomoka tena.

Ukweli ni huu:
Maambukizi ya uk'e yakikaa muda mrefu huharibu mfumo mzima wa uzazi kimya kimya.

Ndiyo maana kutibu juu juu hakutoshi.

Kabla hujachoka, kabla hujakata tamaa —
anza kwa kuelewa chanzo halisi cha tatizo lako.

👉 Comment neno “UZAZI”
Nitakutumia maelekezo ya hatua za awali za kujilinda na kurejesha afya ya uzazi wako.

Kwa wanawake wanaotaka tiba ya mizizi, sio ya muda mfupi —

UZAZIRESTORE ni tiba lishe ya asili inayosaidia
kusafisha mfumo wa uzazi, kurekebisha homoni na kukuandaa kushika mimba.

📌 260,000/= kwa mwezi
✔ Mwongozo wa lishe
✔ Support kipindi chote cha matibabu
✔ Imetengenezwa kwa mimea na matunda ya asilia

📲 Wasap +255(0789 699 225)
— Dr Sam Makata
Usitibu dalili. Tibu mzizi. Uzazi wako una thamani. 🤍

Tujifunze Pamoja, na Majibu yake ni k**a ifuatavyo:-1️⃣ Tatizo ni nini Hapa?Kutokupata hedhi miezi 7 halafu ianze bila m...
01/01/2026

Tujifunze Pamoja, na Majibu yake ni k**a ifuatavyo:-

1️⃣ Tatizo ni nini Hapa?
Kutokupata hedhi miezi 7 halafu ianze bila mpangilio ni dalili ya homoni kutokuwa sawa (hormonal imbalance).
Ovari zinaweza zisikuwa zinafanya kazi vizuri kila mwezi.

2️⃣ Mzunguko wako ni wa siku ngapi?
Kwa sasa haujawa stable, hivyo hauwezi kuhesabiwa kwa siku kamili mpaka hedhi zipangike miezi kadhaa mfululizo.

3️⃣ Siku za hatari ni zipi?
Kwa mzunguko usio na mpangilio, siku za hatari haziwezi kuhesabiwa kwa uhakika. Ovulation inaweza kutokea bila dalili wazi.

4️⃣ Utarajie lini kuanza tena hedhi?
Bila kurekebisha chanzo cha homoni, hedhi inaweza kuchelewa au kuja bila mpangilio tena.

👉 Ushauri wangu, k**a ni Wewe pia una Changamoto Hii, Cha Kufanya ni Nini?:...👇👇👇

Ni muhimu kurekebisha homoni na mfumo wa uzazi kwanza, ndipo mzunguko urudi sawa na nafasi ya kupata ujauzito iwe salama na ya uhakika.

Najua Kabisa 2025 Haikuwa Rahisi Kwako.Ndoto zilichelewa. Machozi yalitoka. Imani ilitetereka.Lakini Leo tumeingia 2026 ...
31/12/2025

Najua Kabisa 2025 Haikuwa Rahisi Kwako.
Ndoto zilichelewa. Machozi yalitoka. Imani ilitetereka.

Lakini Leo tumeingia 2026 Nina Ujumbe Wako—kushindwa si mwisho wa safari.
K**a daktari wako Wa uzazi, nimejifunza kitu kimoja muhimu sana:

👉 Kitu kikichelewa, haimaanishi kimekataa/ kimeshindikana.

Hata ujauzito—huja kwa wakati wake, si kwa presha ya dunia.

K**a 2025 haikukuita Mama, Baba, au haikukupa kile ulichokiomba,

usiichukulie k**a hukubarikiwa/ Umesahaulika.
Ichukulie k**a uliandaliwa zaidi, Kwa Kupokea Baraka Yako 2026...

2026 si mwaka wa kujaribu tena kwa hofu.

Ni mwaka wa:

• kuamini tena

• kuanza upya kwa Hekima na Utulivu

• kuchagua njia sahihi

• na kumwachia Mungu muda Wake

Usijilaumu.
Usijione umechelewa.
Mwili wako haujakusaliti—upo katika maandalizi

🌱 Kila mwanamke ana msimu wake wa kuzaa.
🌱 Kila ndoto ina wakati wake wa kutimia.

Tunaingia 2026 pamoja.

• Kwa imani mpya.

• Kwa afya bora.

• Kwa maamuzi sahihi.

Na kwa baraka za Mungu zilizoandaliwa tayari.

📌 K**a bado una pumzi, bado una nafasi.
📌 K**a bado una imani, bado kuna tumaini.

2026 itakuwa mwaka wa majibu, si maswali.

Mwisho wa kusubiri kimya—mwanzo wa kushuhudia wazi.
Amina 🤲

SABABU 5 ZINAZOWEZA KUKUFANYA UPATE UJAUZITO HATA BAADA YA KUTUMIA P2Najua Huu ni Ukweli mchungu Kwako: wanawake wengi w...
31/12/2025

SABABU 5 ZINAZOWEZA KUKUFANYA UPATE UJAUZITO HATA BAADA YA KUTUMIA P2

Najua Huu ni Ukweli mchungu Kwako:
wanawake wengi wamejikuta kwenye presha kubwa—baada ya tendo, wakatumia P2, lakini mwisho wa siku bado wakajikuta wajawazito.

Matokeo yake? Migogoro, lawama, hofu, na wakati mwingine maamuzi ya haraka yasiyo salama.

Leo k**a daktari wa uzazi, nakuelewesha kwa lugha nyepesi kwa nini P2 sio kinga ya asilimia 100.

P2 ni nini?
Ni vidonge vya dharura vinavyotumika baada ya kufanya mapenzi bila kinga ili kupunguza uwezekano wa mimba.

Hufanya kazi kwa kuchelewesha ovulation au kuharibu mazingira ya yai kujishikiza.

LAKINI KUMBUKA—sio kila wakati hufanikiwa.

Hizi ndizo sababu 5 kuu zinazoifanya P2 ishindwe kufanya kazi vizuri:

1️⃣ Kuchelewa kumeza P2
Ndiyo, unasikia “masaa 72”, lakini kadri unavyochelewa, ndivyo ufanisi unavyoshuka. P2 hufanya kazi bora sana ukimeza mapema baada ya tendo.

2️⃣ Kutapika baada ya kumeza
Kichefuchefu ni side effect ya kawaida. Ukitapika muda mfupi baada ya kumeza, mwili haujapata dozi kamili. Hapo chaguo ni mbili: urudie kidonge au ukubali risk ya mimba.

3️⃣ Kutumia P2 baada ya ovulation
Hapa ndipo wengi huangukia. K**a yai tayari limeshatolewa (ovulation imeshatokea), P2 haina nguvu ya kulirudisha.

Ndiyo maana kujua mzunguko wako ni silaha muhimu.

4️⃣ Uzito mkubwa (BMI juu)
Kwa wanawake wenye BMI zaidi ya 30, kidonge kimoja cha P2 kinaweza kisiwe na nguvu ya kutosha.

Kadri uzito unavyoongezeka, ndivyo ufanisi unavyopungua.

5️⃣ Kufanya mapenzi tena bila kinga
P2 haikulindi siku zinazofuata. Ukimeza leo, halafu ukafanya tendo tena bila kinga kesho au keshokutwa—upo hatarini kupata mimba.

Bottom line: P2 sio leseni ya kufanya mapenzi bila kinga.

K**a unajali afya yako ya uzazi, jifunze mwili wako, mzunguko wako, na tumia kinga sahihi.

👉 Endelea kunifuatilia hapa kwa elimu ya wazi, ya kitaalamu, na isiyo na kuficha.

👉K**a Umejifunza Kitu, Usiache KUSAVE Post Hii,

Pia Kushare post hii kwa rafiki, dada au partner tujifunze Pamoja

—Elimu Hii ni kinga bora kuliko P2.

TESTIMONY YA LEO , Mungu Amefanya🙏🤲...“Dr namshukuru M/Mungu nimejifungua salama baby girl, saa 11:25, kg 3… asante kwa ...
31/12/2025

TESTIMONY YA LEO , Mungu Amefanya🙏🤲...

“Dr namshukuru M/Mungu nimejifungua salama baby girl, saa 11:25, kg 3… asante kwa nyakati zote tulizokuwa pamoja katika ushauri mbali mbali.”

Nimesoma ujumbe huu nikiwa nimetulia kimya kidogo.

Imenifanya Nikakumbuka safari ya wengi.

Uwa tunakuwa na Hofu, maswali, machozi ya kimya kimya, na ile hatua ya kusema “labda mimi sitaitwa mama.”

Lakini leo…

👉🏽 anaitwa MAMA.
👉🏽 anambeba mtoto wake mikononi.
👉🏽 amepitia safari hii, si miujiza ya bahati.

K**a unasoma hii na umefika hatua ya kukata tamaa,

nataka ujue kitu kimoja tu:
bado haujachelewa.

Mwili wa mwanamke ukieleweka, ukarekebishwa kutoka kwenye chanzo cha tatizo,

uzazi hujibu.

Pole pole.

Kwa mpangilio.

Kwa ufuatiliaji wa karibu.

Leo ni yeye anayetuma ushuhuda.

Kesho inaweza kuwa WEWE 💭🤍
Usijilinganishe na mtu.

Usikimbilie kila dawa, Bali Matibabu Sahihi.

Anza safari yako kwa usahihi.

📩 Nipo hapa kwa wanawake wanaotaka suluhisho la kweli, si la muda mfupi.

Kwa Changamoto Binafsi, Nitumie Ujumbe Kupitia Wasap no: 0789699225, Dr Sam Makata

Mwaka 2026 utakuwa mwaka mzuri kwako🙏🤲
30/12/2025

Mwaka 2026 utakuwa mwaka mzuri kwako🙏🤲

Ukweli wa kitaalamu ni huu: PCOS si kansa, lakini ikiachwa bila tiba sahihi, huvuruga ovulation, homoni na mzunguko wa h...
30/12/2025

Ukweli wa kitaalamu ni huu: PCOS si kansa, lakini ikiachwa bila tiba sahihi, huvuruga ovulation, homoni na mzunguko wa hedhi, na hapo ndipo mimba inakuwa ngumu kupatikana.

Hatua za kwanza za kujilinda dhidi ya PCOS zinaanzia kwenye maamuzi ya kila siku.

Epuka kumeza dawa au kuchoma sindano kiholela bila kujua unatibu nini.

Punguza au acha matumizi ya uzazi wa mpango yasiyo na usimamizi wa kitaalamu.

Ukihisi mabadiliko yasiyo ya kawaida tumboni au kwenye hedhi, fanya vipimo mapema.

Lishe ni tiba ya Kwanza kwa mwanamke mwenye PCOS.
Acha vyakula vilivyosindikwa sana k**a mkate mweupe, chapati, mandazi na biskuti.

Punguza wanga mwingi, ongeza matunda halisi k**a ndizi mbivu, papai, chungwa, embe, nanasi, tikiti na tango, pamoja na mboga za majani kwa wingi.

Hii husaidia mwili kusawazisha homoni na kuboresha ovulation.

Epuka kabisa sukari nyingi: soda, keki, vinywaji vitamu na chai yenye sukari nyingi.

Chagua maji ya kawaida au chai ya asili iliyoandaliwa kwa tangawizi, mdalasini, iliki au karafuu, sukari kidogo sana.

Ukianza mabadiliko haya, utaanza kuona dalili zikibadilika taratibu:

hedhi inaanza kuwa sawa, uzito kushuka, kiuno kulegea, maumivu kupungua, na mwili kujisikia mwepesi.

Lakini kwa mwanamke mwenye PCOS anayehitaji kushika mimba, lishe pekee mara nyingi haitoshi.

👉 UzaziRestore Package imeandaliwa mahsusi kusaidia wanawake wenye PCOS:

• Kusawazisha homoni
• Kuboresha ovulation

• Kusafisha via vya uzazi
• Kuondoa fangasi na vivimbe vidogo

• Kurejesha ute wa uzazi na hamu ya tendo
• Kuandaa mfuko wa uzazi kwa ujauzito

Kwa dose ya Chini gharama ya Tsh 260,000 tu, unapata tiba lishe inayolenga chanzo cha tatizo, sio kuficha dalili.

K**a umechoka kujaribu bila mafanikio, au umeanza kukata tamaa kimya kimya — bado kuna njia.

📲 Nitumie ujumbe Wasap +255(0789699225) Dr Sam Makata, tuzungumze k**a daktari na mwanamke anayejali ndoto yake ya kuwa mama.

PCOS Ni Hali Ya Homoni Isiyo Ya Kawaida Inayoweza Kuathiri UZAZI, Sukari Ya Damu Na Uzito Wa Mwili— Hapa Kna Vyakula Muh...
29/12/2025

PCOS Ni Hali Ya Homoni Isiyo Ya Kawaida Inayoweza Kuathiri UZAZI, Sukari Ya Damu Na Uzito Wa Mwili— Hapa Kna Vyakula Muhimu Vinavyopendekezwa Kwa Mgonjwa Wa PCOS:

1. Vyakula vyenye Nyuzinyuzi Nyingi: Mboga Za Majani mabichi (Spinach, Sukuma Wiki), Broccoli, Karoti, Parachichi Na Dengu

2. Vyakula Vyenye Protini: Samaki (Au Dagaa), Kuku Wa Kienyeji, Mayai, Karanga Na mbegu Za Chia.

3. Vyakula Vyenye Mafuta Yenye Afya: Mafuta Ya Zeituni (Olive Oili).

4. Matunda Yenye Sukari Kidogo: Blueberries, Strawberries, Mapera, Zabibu Chache.

5. Vyakula Vya Whole Grain: Unga wa Shayiri (oats), Brown Rice, Unga Wa Mtama, Unga Wa Mahindi Usiokobolewa (Dona)

6. Kunywa Maji Ya Kutosha Na Kufanya Mazoezi Mara Kwa Mara: Ni Msaada Mkubwa Kwa Kudhibiti PCOS.

MUHIMU: K**a Unasumbuliwa Na PCOS Na Unataka Kunasa Ujauzito Haraka, Tumia Uzazirestore Imetengenezwa Na Virutubisho Vyote Muhimu Kwa Mwenye Changamoto Ya PCOS Itakusaidia Kunasa Ujauzito Haraka Na Salama

Kwa Msaada Binafsi, Nitumie Ujumbe Kupitia Wasap+255(0789699225) Dr Sam Makata

ZITAMBUE SIKU HATARI ZA KUPATA MIMBAKosa dogo kwenye hesabu za mzunguko linaweza kukugharimu miaka ya kusubiri ujauzito....
29/12/2025

ZITAMBUE SIKU HATARI ZA KUPATA MIMBA
Kosa dogo kwenye hesabu za mzunguko linaweza kukugharimu miaka ya kusubiri ujauzito.

Kitaalamu, mzunguko wa hedhi huanza siku ya kwanza ya kuona damu, sio siku ya kumaliza.

Wastani ni siku 28 — lakini huu ni wastani tu, sio Lazima.
Mzunguko wa kawaida kwa mwanamke ni kati ya siku 21–35.

Wapo wa siku 25, 27, 30, 35… wote wako sawa kabisa.
Muhimu zaidi si namba, bali uwiano wa mizunguko.

Ikiwa tofauti ya mwezi na mwezi haizidi siku 7, bado tunasema mzunguko wako ni regular.

Usichanganye menstrual cycle na menstrual period.

Ku-bleed kawaida ni siku 3–7, lakini mzunguko ni kuanzia siku ya kwanza ya damu hadi damu inayofuata.

Sasa tuingie kwenye kiini cha Kubeba mimba 👇
Mzunguko wa o***y una hatua 3:

1️⃣ Follicular phase
Huanzia siku ya kwanza ya damu hadi yai linapokomaa.

2️⃣ Ovulation
Yai lililokomaa hutoka kwenye o***y kwenda kwenye mirija ya uzazi.

3️⃣ Luteal phase
Huanzia baada ya ovulation hadi kabla ya hedhi inayofuata.

👉 Hii hatua ni siku 14 kwa wanawake wote.

👉 Kanuni rahisi ya kupata siku ya ovulation:
(Mzunguko wako − 14)

Mfano:
• Siku 28 → Ovulation siku ya 14
• Siku 30 → Ovulation siku ya 16
• Siku 35 → Ovulation siku ya 21

⚠️ Siku HATARI ZAIDI si siku moja tu.
Ni siku 2 kabla ya ovulation + masaa 24 baada ya ovulation.

Kwa nini?
Mbegu za mwanaume huishi hadi siku 2,
Yai huishi hadi saa 24.

Ndiyo maana tendo siku chache kabla au baada ya ovulation lina nafasi kubwa ya mimba.

Dalili za karibu na ovulation:
• Hamu ya tendo kuongezeka
• Joto la mwili kupanda kidogo
• Mwili kujisikia “active” tofauti

Kwa wanaotumia calendar method na hawataki mimba —

Epuka ngono kwa wiki 1 karibu na ovulation.
Lakini kwa wanaotafuta mtoto, hizi ndizo siku za kucheza smart 💥

Fanyeni tendo siku hizo, bila presha.
👉 K**a umekuwa ukihesabu siku vizuri lakini mimba haipatikani,

huenda ovulation haiko sawa, homoni zimevurugika au via vya uzazi vina changamoto.

Hapa ndipo UzaziRestore Package inaingia:
✔️ Hurekebisha homoni
✔️ Huboresha ovulation
✔️ Huandaa mfuko wa uzazi kwa mimba

📦 UzaziRestore — Tzs 260,000 | dozi ya siku 30
📲 Wasap: +255(0789699225)
Usibahatishie Tena siku hatari. Zingatia FORMULA HII📌

Uko naye kitandani… lakini hisia na mwili wako haupo.Na unaanza kujiuliza kimya kimya: kuna tatizo gani kwangu?Hebu niwe...
28/12/2025

Uko naye kitandani… lakini hisia na mwili wako haupo.
Na unaanza kujiuliza kimya kimya: kuna tatizo gani kwangu?

Hebu niwe mkweli kwako k**a daktari wako — hii hali haiji tu bahati mbaya.

Hizi ndizo sababu 4 kuu ninazokutana nazo kwa wanawake wengi:

1️⃣ Majeraha ya kihisia
Maneno ya zamani, maumivu ya mahusiano, kudharauliwa au stress ya muda mrefu.

Mwanamke akijisikia hatarini au kutothaminiwa, mwili wake hujifunga wenyewe. Hisia hazipati Nafasi tena— zinazimika Ghafla.

2️⃣ Migogoro ya mahusiano
Ugomvi, kimya kirefu, kutokuelewana.

Ukweli? Mwanamke hawezi kufurahia tendo bila ukaribu wa kihisia kwanza.

3️⃣ Kukosa mvuto wa kimapenzi
Upendo peke yake hautoshi.

Bila maandalizi, miguso sahihi na mawasiliano ya kihisia, hisia haziamki — hata k**a bado Unampenda.

4️⃣ Tatizo la homoni
Hedhi, ujauzito, kunyonyesha, menopause.
Au matatizo k**a low estrogen na thyroid.

Hapa si suala la “akili”, ni biology.

👉 Ukweli mchungu:
Kukosa hisia za tendo ni dalili, sio tabia.
Na dalili hutibiwa kwa chanzo, sio kwa kulaumu mwili wako.

K**a Daktari Wako nakusaidia kurekebisha homoni, kuamsha hisia za asili, na kurudisha afya ya via vya uzazi bila kukulazimisha chochote.

✨ UzaziRestore Package
— husaidia kurekebisha homoni
— huboresha mzunguko wa damu kwenye via vya uzazi

— huongeza ulainishaji wa uk'e na hamu ya tendo kwa njia ya asili

📦 Tsh 260,000 | dozi ya siku 30

⏳ Nafanya kazi na idadi ndogo kwa ufuatiliaji wa karibu Kwa Kila anayeanza Matibabu Haya

K**a umesoma hapa na Unahisi nimekugusa…

👉 Niandikie “HISIA” au nieleze unachopitia, nikuongoze kitaalamu kufikia Msaada Sahihi.

🙏🙏🙏
28/12/2025

🙏🙏🙏

Kadri umri wa mwanamke unavyosonga, uwezo wa kushika mimba hupungua kimya kimya.Mayai yanapungua, na yaliyobaki hupoteza...
27/12/2025

Kadri umri wa mwanamke unavyosonga, uwezo wa kushika mimba hupungua kimya kimya.

Mayai yanapungua, na yaliyobaki hupoteza ubora.

K**a umefika 35+ bila mtoto hata mmoja, huu si wakati wa kusubiri—ni wakati wa kuchukua hatua.

🔍 Haya ndiyo ninayaona kila siku Kwa Wagonjwa Wangu ninaowasaidia:
👉🏽 Wanawake wengi wa 35+ hupata changamoto kubwa ya kupata ujauzito

👉🏽 Hatari ya mimba kuharibika mara kwa mara (miscarriage) huongezeka

👉🏽 Huwa kwenye hatari zaidi ya shinikizo la damu na kisukari, hata kisukari cha ujauzito

👉🏽 Uwezekano wa kujifungua kabla ya wakati (preterm birth) huongezeka, jambo linaloweza kumuathiri mtoto

👉🏽 Kadri umri unavyoongezeka, uwezo wa kushika mimba hupungua zaidi kwa sababu ya akiba na ubora wa mayai

Huu ni ukweli wa kibayolojia, si wa KUKUTISHA—ni wa Kukufanya ufahamu.

Ukiona dalili, usizifumbie macho.
Ukijua una changamoto ya uzazi, jishughulishe mapema na ufuate ushauri wa kitaalamu.

✨ UzaziRestore Program
Mpango maalum wa kurekebisha uzazi kwa kutibu chanzo cha tatizo, kuimarisha homoni, kuboresha ubora wa mayai, na kuongeza nafasi ya kupata ujauzito kwa njia asilia—hasa kwa wanawake wa 30+.

📩 K**a umenielewa, andika Asante.

Na k**a una changamoto, njoo tuzungumze kwa faragha.
Safari ya uzazi haichelewi—hucheleweshwa na kutokuchukua hatua Sahihi Kwa Wakati.

Address

OFISI IPO, Jengo La Makumbusho Complex Floor Ya Pili, Kijitonyama Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category