Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Tunasaidia wanawake na wanaume kurejesha afya ya uzazi kwa tiba lishe asilia, tukilenga chanzo cha tatizo. Ushauri binafsi WhatsApp +255 789 699 225
(1)

Wanawake wengi wanadhani siku za hatari ni tarehe fulani fixed kila mwezi…Kumbe SIO HIVYO DADA YANGU 😅Kila mwanamke ana ...
13/05/2026

Wanawake wengi wanadhani siku za hatari ni tarehe fulani fixed kila mwezi…

Kumbe SIO HIVYO DADA YANGU 😅

Kila mwanamke ana mzunguko wake.

Na ukikosea kuhesabu tu… unaweza:
✔️ Kushika mimba bila kutarajia
AU
✔️ Kukosa mimba kabisa wakati unaisubiri 😢

Kwanza kabisa fahamu hiki👇

📌 Siku ya kwanza kuona damu ya hedhi ndiyo siku ya kwanza ya mzunguko wako.

Mfano:
Ukianza hedhi tarehe 5, hiyo ndiyo DAY 1.

Na mzunguko wako unaisha siku moja kabla ya hedhi inayofuata.

Sasa namna ya kujua mzunguko wako ni rahisi👇

Mfano:
Umeanza hedhi March 20
Ukapata tena May 16

Utahesabu kuanzia Jan 20 mpaka Feb 15.

Ukipata jumla ya siku 27… basi wewe una mzunguko wa siku 27.

Sasa hapo ndipo tunajua siku zako za hatari 👇

✔️ Mzunguko wa siku 21–27
👉 Siku za hatari mara nyingi huwa siku ya 4 hadi 11

✔️ Mzunguko wa siku 28–30
👉 Siku za hatari huwa siku ya 11 hadi 18

✔️ Mzunguko wa siku 31–35
👉 Siku za hatari huwa siku ya 17 hadi 23

Njia rahisi zaidi ya kujua siku ya yai kutoka ni👇

👉 Chukua jumla ya mzunguko wako kisha toa 14.

Mfano:
30 - 14 = 16

Hapo siku ya 16 ndiyo siku ambayo yai linaweza kutoka.

Lakini kwa sababu homoni hubadilika kutokana na stress, vyakula, usingizi au magonjwa… ndio maana tunaongeza siku 4 mbele na nyuma kwa tahadhari 😅

Ndio maana wengine hushangaa:
“Nilikuwa siku salama lakini nikabeba mimba” 😭

Soma Hapa point hii muhimu👇

K**a mzunguko wako:
⚠️ Mara 25
⚠️ Mara 32
⚠️ Mara 22
⚠️ Hedhi inapotea miezi

Hapo mara nyingi kuna mvurugiko wa homoni.

Na homoni zikivurugika:
❌ Ovulation inaharibika
❌ Siku za hatari zinachanganya
❌ Mimba inakuwa ngumu kushika

Kupitia UZAZIRESTORE tunasaidia wanawake wengi👇

✔️ Kusawazisha homoni

✔️ Kuurekebisha mzunguko wa hedhi

✔️ Kuimarisha ovulation

✔️ Kuandaa mwili kushika mimba kwa asili

📲 Wasap: +255(0789699225), Dr Sam Makata

Usikae kubahatisha siku zako za hatari kila mwezi 😅

Jifunze kuuelewa mwili wako kwanza

Kila mwezi unaumia… unatumia antibiotics… unaanza kupona kidogo… halafu baada ya wiki chache PID inarudi tena? 😢Na mbaya...
13/05/2026

Kila mwezi unaumia… unatumia antibiotics… unaanza kupona kidogo…

halafu baada ya wiki chache PID inarudi tena? 😢

Na mbaya zaidi… unaanza kuona dalili za mimba kutoshika, maumivu ya kiuno, uchafu wenye harufu, au maumivu wakati wa tendo la ndoa…

Ukweli ni huu👇
PID sugu haitaki dawa za kubahatisha tu.

Lazima utibu maambukizi, na Uchochezi Wa ndani, na kuupa mwili nguvu ya kujijenga upya.

PID ni maambukizi yanayopanda kutoka ukeni kwenda kwenye kizazi, mirija ya uzazi na mayai.

Na wanawake wengi huanza na dalili ndogo tu k**a👇

⚠️ Maumivu ya chini ya tumbo
⚠️ Maumivu ya kiuno
⚠️ Uchafu wa njano/kijani wenye harufu
⚠️ Maumivu wakati wa kukojoa au tendo la ndoa
⚠️ Homa na mwili kuchoka sana

Ukiliacha bila kulitibu vizuri, linaweza kuharibu mirija ya uzazi na kufanya mimba ishindwe kushika 😔

🌿 CHAI YA ASILI YA KUSAIDIA PID

Changanya hivi👇

✔️ Kipande kidogo cha tangawizi
✔️ Punje 1 ya kitunguu saumu
✔️ Manjano fresh au unga wake
✔️ Nusu limau
✔️ Kikombe 1 cha maji ya uvuguvugu

Jinsi ya kutumia👇

• Saga tangawizi, manjano na kitunguu saumu
• Weka kwenye maji ya uvuguvugu
• Kamulia limau
• Chuja kisha kunywa

👉 Kunywa mara 1 kwa siku kwa wiki 5 mfululizo.

Lakini sikiliza vizuri dada yangu…

Kwa PID ya muda mrefu inayojirudia tena na tena, chai pekee mara nyingi haitoshi.

Ndiyo maana kupitia UZAZIRESTORE P.I.D PACKAGE tunasaidia👇

✔️ Kupunguza maambukizi ya ndani
✔️ Kusafisha mfumo wa uzazi
✔️ Kubalance homoni
✔️ Kuimarisha afya ya mirija ya uzazi
✔️ Kuongeza kinga ya mwili dhidi ya maambukizi ya kurudia
✔️ Kuandaa mwili kushika mimba kwa asili

Tofauti yake na dawa nyingi za kawaida ni kwamba…

Hatuangalii kutuliza dalili tu.

Tunapambana na CHANZO cha tatizo ili mwili upone kwa ndani 🙏

📍 Dose ya mwezi mmoja ni 260,000/=
📲 Wasap: +255(0789699225), Dr Sam Makata

Usikae na PID kimya kimya mpaka ije kufunga NDOTO YAKO YA KUPATA MTOTO📌

Sio kawaida kila mwezi ukifika hedhi unajikunja k**a mtu mwenye uchungu wa kujifungua 😢Kuna wanawake wakianza siku zao:❌...
13/05/2026

Sio kawaida kila mwezi ukifika hedhi unajikunja k**a mtu mwenye uchungu wa kujifungua 😢

Kuna wanawake wakianza siku zao:

❌ hawawezi ata kusimama vizuri

❌ wanatapika

❌ tumbo linauma mpaka mgongo

❌ wengine wanalia kwa maumivu kimya kimya

Halafu wanaambiwa:
“Ni kawaida tu ya hedhi” 😭

NDIO… kuna maumivu madogo ambayo hutokea kwa baadhi ya wanawake hasa tangu wakiwa wadogo.

Lakini k**a:
👉 maumivu yamekuwa makali sana
👉 yanaanza ukubwani ghafla
👉 hedhi inatoka nyingi sana
👉 unatoka damu yenye mabonge
👉 unaumwa mpaka kushindwa kazi
👉 au unaumia wakati wa tendo la ndoa

Hapo mwili wako unaweza kuwa unakuambia kuna tatizo ndani ya kizazi 😔

Sababu zinaweza kuwa:
👉 Fibroids (uvimbe kwenye kizazi)
👉 Maambukizi ya uzazi
👉 Endometriosis
👉 Cysts
👉 Homoni kuvurugika

Na wanawake wengi wanakaa nayo miaka mingi bila kujua 😢

Kumeza tu dawa za maumivu kila mwezi SIO TIBA YA CHANZO.

Ni sawa na kuzima alarm lakini moto bado unaendelea kuwaka ndani 🔥

Ndio maana hapa kupitia UZAZIRESTORE tunaangalia CHANZO kwanza 👇

✔ Kusawazisha homoni

✔ Kupunguza na Kumaliza maambukizi ya ndani

✔ Kusaidia afya ya kizazi

✔ Kupunguza maumivu ya hedhi

✔ Kuandaa mwili kufanya kazi kawaida tena

Wanawake wengi wanaanza kuona mabadiliko ndani ya siku 30–90 wakifuata muongozo huu vizuri 🙏

Ukiona maumivu yako sio ya kawaida usinyamaze.

Mwili huwa unaongea kabla tatizo halijawa kubwa zaidi.

📲 Wasap: +255(0789699225), Dr Sam Makata

💬 Niambie kwenye comment…

Hedhi yako Inakuja na Maumivu kiwango gani? 😭

Kadri miaka inavyokwenda na mwili wako unaendelea kupata hedhi kila mwezi bila ujauzito, homoni za uzazi hasa Estrogen z...
12/05/2026

Kadri miaka inavyokwenda na mwili wako unaendelea kupata hedhi kila mwezi bila ujauzito, homoni za uzazi hasa Estrogen zinaendelea kufanya kazi nonstop ndani ya mwili.

Na hapo ndipo wanawake wengi wanaanza kuota uvimbe kwenye kizazi (fibroids) bila hata kujua chanzo chake.

Ndio maana wanawake wanaochelewa kupata mtoto kwa muda mrefu au wenye changamoto ya kutoshika mimba huwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids.

FIBROIDS SIO KANSA…

Ni uvimbe unaokua ndani au nje ya kizazi kutokana na mvurugiko wa homoni.

Na mara nyingi huanza kimya kimya kabisa mpaka siku unaanza kuona dalili k**a hizi👇

⚠️ Hedhi nyingi sana

⚠️ Damu kutoka na mabonge

⚠️ Maumivu ya nyonga au kiuno

⚠️ Tumbo kujaa k**a mjamzito

⚠️ Mimba kuharibika mara kwa mara

⚠️ Kushindwa kushika mimba

Kuna wanawake wanaambiwa “ni kawaida”
Kumbe ndani ya kizazi kuna uvimbe unakandamiza mirija ya uzazi au kuzuia mimba kujipandikiza vizuri.

Na sio fibroids tu…
Hata ovarian cysts nazo hutokana sana na homoni kuvurugika.

Mwili ukizidi kuwa na estrogen nyingi au homoni kutokuwa balanced, uvimbe unaendelea kukua taratibu.

Ndio maana wanawake wengi wanafanyiwa operation leo…
Baada ya muda uvimbe unarudi tena 😢

Kwa sababu waliondoa uvimbe…
Lakini hawakutibu CHANZO cha uvimbe.

CHANZO mara nyingi huwa ni👇
❌ Homoni kuvurugika
❌ Lishe mbaya
❌ Stress
❌ Maambukizi ya muda mrefu
❌ Mfumo mbovu wa maisha

Hapa ndipo Uzazirestore inasaidia tofauti na njia nyingi za kawaida.

UZAZIRESTORE haijafungwa kwenye kuficha dalili tu…
Tunasaidia kurekebisha mwili kwa ndani 👇

✔ Kusawazisha homoni
✔ Kusaidia afya ya mayai na kizazi
✔ Kupunguza mazingira yanayochochea uvimbe kukua
✔ Kusafisha mfumo wa uzazi
✔ Kuandaa mwili kushika mimba kwa asili

Wanawake wengi wanaanza kuona mabadiliko ndani ya siku 30–90 wakifuata muongozo vizuri

Ukihisi mwili wako una dalili hizi usikae kimya muda mrefu.

📲 Wasap: +255(0789699225), Dr Sam Makata

Uzazi si bahati…
Ni maandalizi sahihi ya mwili 🤝

Si lazima uone ule ute unaovutika ndipo upate ujauzito.Lakini uwepo wake ni ishara muhimu kuwa upo kwenye siku zako za h...
12/05/2026

Si lazima uone ule ute unaovutika ndipo upate ujauzito.

Lakini uwepo wake ni ishara muhimu kuwa upo kwenye siku zako za hatari, yaani kipindi ambacho nafasi ya kushika mimba huwa juu zaidi.

Ute wa uzazi ni upi hasa?
Ni ute wa uke'ni unaofanana na ute wa yai bichi—haukuwa na rangi, unavutika, na hutokea karibu na siku ya yai kupevuka.

Kazi yake kubwa ni kusaidia mbegu za kiume kusafiri kwa urahisi hadi kufikia yai.

Ndiyo maana kitaalamu tunasema ni dalili ya mwili kuwa tayari kwa ujauzito.

Lakini sikiliza hii kwa makini…
👉 Si wanawake wote huona ute huu waziwazi na bado hupata mimba.

Kwa wengine, ute hutokea ndani zaidi ya uke na hautoki nje kabisa, au hutoka kwa kiasi kidogo sana hadi hauonekani.

Pia, mabadiliko ya homoni, msongo wa mawazo, matumizi ya baadhi ya dawa au maambukizi yanaweza kupunguza au kubadilisha ute—bila kuzuia yai kupevuka.

Ushauri wangu k**a daktari:
Unaweza kupata mimba ilimradi tendo lifanyike kwenye siku zako za hatari/ Siku za Rutuba, hata k**a hujaona ute unaovutika.

Lakini k**a umejaribu kwa miezi 6–12 au zaidi bila mafanikio, usijilaumu wala kukaa kimya.

Hapo tayari ni wakati wa kupata usaidizi wa kitaalamu, maana huenda kuna jambo linahitaji kurekebishwa mapema.

Kupitia mfumo wetu wa UZAZIRESTORE tunasaidia wanawake wengi kurestore ovulation,

kubalance homoni na kuongeza nafasi ya kupata ujauzito naturally ndani ya siku 30–90 kulingana na chanzo cha tatizo lako.

Usikae kimya ukiumia peke yako.
Niandikie “UZAZI” Wasap+255789699225, Dr Sam Makata

kwa ushauri wa kitaalamu na assessment ya hali yako binafsi.

Ongeza dalili ambayo unaipata ila sijaitaja hapa tujifunze pamoja 😂👇
11/05/2026

Ongeza dalili ambayo unaipata ila sijaitaja hapa tujifunze pamoja 😂👇

Hii mada Najua Inawagusa wanawake wengi ambao huwa Hii Hali inawaumiza kimya kimya… 😔Asa Wanapoambiwa “VIPIMO VYAKO VYOT...
11/05/2026

Hii mada Najua Inawagusa wanawake wengi ambao huwa Hii Hali inawaumiza kimya kimya… 😔

Asa Wanapoambiwa “VIPIMO VYAKO VYOTE VIKO SAWA” lakini kila mwezi hedhi ikifika unaumia tena moyoni.

Badala ya Kupata Ujauzito, Unaona period imekuja Tena...

Kitaalamu Ukweli ni huu👇
Kupata mimba sio kuangalia kipimo kimoja tu.

Kuna wanawake wanaonekana “WAPO SAWA” hospitalini lakini bado kuna vitu vidogo vinavyozuia mimba kushika bila wao kujua.

Mfano 👇

✔️ Mwanaume hajapima mbegu za kiume (s***m analysis)

✔️ Ovulation haitokei vizuri kila mwezi

✔️ Mayai yanakuwa dhaifu

✔️ Mnashiriki tendo nje ya fertile window

✔️ Stress, usingizi, uzito au lishe vinaharibu homoni kimya kimya

Na mara nyingi wanawake wengi WANAHANGAIKA KUTIBU DALILI TU… bila kurekebisha chanzo halisi cha tatizo.

Ndiyo maana unaweza kutumia dawa nyingi miaka mingi bila mafanikio ya kupata mimba.

Habari njema ni kwamba…
mwili wa mwanamke UKIREKEBISHWA VIZURI, homoni zikibalansiwa, mzunguko wa hedhi ukakaa sawa,

na mfumo mzima wa uzazi ukapona

— uwezo wa kushika mimba unaweza kurudi naturally Ndani ya Siku 30 Mpaka 90 Pekee.

Ndiyo kazi ya UZAZIRESTORE 👇

Tunasaidia wanawake ambao:
• Wamejaribu matibabu tofauti bila mafanikio
• Wana PCOS, cysts, fibroids, PID au homoni kusumbua
• Hedhi hazipo sawa
• Hawapati mimba bila sababu kueleweka

Program hii inalenga KUTIBU CHANZO HALISI CHA TATIZO, kusafisha na kurestore mfumo mzima wa uzazi ili mwili urudi kufanya kazi naturally tena.

✅ Wanawake wengi huanza kuona mabadiliko ndani ya siku 30–90 pekee.

📌 Dose ya mwezi mmoja ni Tsh 260,000/=

📦 Matokeo kamili mara nyingi huwa kati ya siku 30 mpaka 90 kulingana na hali ya mtu.

Na ndani ya program utapata BONUS hizi pia👇
🥗 Mpango maalum wa LISHE
📞 Ufuatiliaji wa karibu hatua kwa hatua
📝 Tips binafsi kulingana na tatizo lako ili kuhakikisha tunapata matokeo sahihi pamoja

K**a umechoka kuzungushwa na matibabu ya muda mfupi bila majibu ya kweli

… huu unaweza kuwa mwanzo wa safari yako mpya ya uzazi

Wasap +255(0789699225), Dr Sam Makata

10/05/2026

Mama… uchungu wa kujifungua unauma kweli 😭 lakini ujue yale MAUMIVU SIO ADUI YAKO.

Ni mwili wako ukifanya kazi ya kumleta mtoto wako duniani

Kadri unavyotulia na kuufuata mwili wako vizuri, ndivyo uchungu unakuwa rahisi kuvumilika zaidi

‼️UMESHAJARIBU KILA NJIA KUBEBA MIMBA — Lakini Bado Hakuna Mafanikio?Leo naomba nikuambie kitu muhimu sana... 🙏🏽Si kila ...
10/05/2026

‼️UMESHAJARIBU KILA NJIA KUBEBA MIMBA — Lakini Bado Hakuna Mafanikio?

Leo naomba nikuambie kitu muhimu sana... 🙏🏽

Si kila ujauzito huja kwa bahati,
Mengine huhitaji kuandaliwa na akili, mwili na moyo.

K**a umechoka, umehangaika…
Na bado moyo wako haujakata tamaa kabisa…

Basi huu ni ujumbe wa dhahabu kwa ajili yako.

👇🏾
MPANGO SAHIHI KABLA YA UJAUZITO – HUANZA KABLA YA KUUSHIKA

Katika kazi yangu ya kuwasaidia wanawake, nimegundua kuwa:

Wanawake wengi hufikiria matibabu baada ya kushindwa.
Lakini siri ni hii: kujiandaa mapema = nafasi kubwa ya kupata ujauzito.

📌 Hatua Muhimu za Kuchukua Kabla ya Mimba:

1️⃣ Fanya uchunguzi wa kitaalamu mapema.
Daktari atakushauri namna ya kuandaa mwili wako kwa ujauzito.

Hii ni pamoja na virutubisho muhimu k**a Folic Acid.

2️⃣ Badili mfumo wa maisha yako miezi 3-6 kabla.
Ulaji sahihi unaweza kurekebisha homoni na kuongeza mayai yenye afya,

3️⃣ Zingatia uzito wa mwili.
Uzito mkubwa ni chanzo cha mvurugiko wa homoni, presha, kisukari, na matatizo ya mayai.

Kuwa na mwili ulio kwenye usawa huongeza nafasi ya kushika mimba kwa haraka.

4️⃣ Epuka msongo wa mawazo.
Stress hupunguza uzazi, hushusha homoni muhimu na kuchelewesha mimba. Tafuta utulivu wa akili 🙏🏽🧘🏽‍♀️

📛 Acha tabia hizi sasa:
❌ Pombe
❌ Kafeini nyingi
❌ Junk food k**a chipsi, baga, pizza
❌ Sukari na wanga uliopitiliza

🌿 Sasa Sikiliza kwa Makini Mama…
Siyo kila mtu ana muda wa kusubiri zaidi ya mwaka.
Na siyo kila moyo unaweza kuvumilia miaka ya majaribu.

Kwa sababu hiyo, nimeandaa programu maalumu ya tiba:

UZAZIRESTORE — Tiba Asili Kukusaidia Kubeba
Ujauzito Ndani ya Siku 30 Mpaka 90 Pekee,

Kwa Kukusaidia:-
💠 Kutibu changamoto sugu za uzazi

💠 Kurudisha hedhi, kupevusha mayai

💠 Kuandaa kizazi kwa ujauzito wenye afya

Program hii Imekuwa Msaada Kwa maelfu ya wanawake waliokata tamaa —

Na sasa wanaitwa MAMA kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi ya maumivu.

📣 OFA KWA WANAWAKE 60 TU
Kwa sasa, program ipo kwenye PUNGUZO:
📌 TZS 260,000/= tu (kutoka 485,000/=)

Ni nafasi ya mwisho kwa wale waliokuwa wakilia kimoyomoyo kwa muda mrefu.

Sio tena majaribio — ni tiba yenye ushuhuda hai.

👉🏽 Unahitaji msaada? “NATAKA” Kwenye Komment/ DM

Kuna mambo ya kawaida kabisa tunafanya kila siku yanayochochea maambukizi kurudi tena na tena...👇Mfano:👖 Jeans za kubana...
10/05/2026

Kuna mambo ya kawaida kabisa tunafanya kila siku yanayochochea maambukizi kurudi tena na tena...👇

Mfano:
👖 Jeans za kubana sana
🩲 Chupi zisizopitisha hewa Mfano Zenye Material ya Nylon
💅 Kucha ndefu
🚫 Usafi mbovu sehemu za siri

Vyote hivi vinaweza kufanya BACTERIA WAPATE MAZINGIRA MAZURI ya kukaa na kuzaliana.

Hebu fikiria hivi 👇

Ukivaa nguo za kubana muda mrefu, jasho na unyevunyevu vinabaki pale pale,

Sehemu ya siri inakuwa na joto na unyevu mwingi… bacteria wanafurahia mazingira hayo sana.

Ndio maana baadhi ya wanawake Wanapata UTI kila mwezi

Halafu kuhusu kucha ndefu 👇
Wengi hawajui kuwa uchafu na bacteria hupenda KUJIFICHA CHINI YA KUCHA.

Ukigusa uke au kujisafisha bila usafi mzuri… bacteria wanaingia kirahisi kwenye njia ya mkojo.

Na kosa lingine kubwa sana 🚽
Kujifuta nyuma kwenda mbele baada ya choo.

Hii husogeza uchafu wa haja kubwa kwenda karibu na uke na njia ya mkojo 😭

K**a UTI inakurudia rudia, anza kuangalia haya mambo:
✔️ Vaa nguo zisizobana sana
✔️ Tumia chupi za cotton
✔️ Kunywa maji mengi
✔️ Punguza kukaa na nguo zenye jasho muda mrefu
✔️ Jiweke katika usafi mzuri
✔️ Kojoa baada ya tendo la ndoa

Wakati mwingine SIO DAWA NDIO SHIDA…
Ni tabia ndogo ndogo tunazopuuza kila siku

Sasa niambie ukweli👇

Ni ipi kati ya hizi wanawake wengi wanaipuuza sana?

Sema nini, huyu dada anastahili tuzo ya 'CUSTOMER SERVICE' bora ya mwaka!🏆 Hutumii nguvu nyingi, unachagua huduma, unavu...
09/05/2026

Sema nini, huyu dada anastahili tuzo ya 'CUSTOMER SERVICE' bora ya mwaka!🏆

Hutumii nguvu nyingi, unachagua huduma, unavuta simu yako, unascan kiunoni maisha yanaendelea.

Huku ndio kuitumia fursa vizuri!

Unadhani miamala itasoma kweli?😊

Address

OFISI IPO, Jengo La Makumbusho Complex Floor Ya Pili, Kijitonyama Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Category