Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Unatafuta ujauzito bila mafanikio kwa muda mrefu?

Ninakupa elimu ya kina kuhusu afya ya uzazi, mzunguko wako wa hedhi, lishe bora, na vidokezo vya asili vinavyoweza kuongeza uwezekano wa kubeba mimba haraka

Changamoto Binafsi, WhatsApp👉 +255 789 699 225

MATUNDA 5 YANAYOWEZA KUPUNGUZA HATARI YA KUHARIBIKA KWA MIMBA (MISCARRIAGE) 🍊🥝💛1️⃣ Machungwa – yamejaa Vitamin C, yanail...
21/11/2025

MATUNDA 5 YANAYOWEZA KUPUNGUZA HATARI YA KUHARIBIKA KWA MIMBA (MISCARRIAGE) 🍊🥝💛

1️⃣ Machungwa – yamejaa Vitamin C, yanailinda placenta na kuimarisha kinga.

2️⃣ Parachichi – yana Vitamin B & C, yanaijenga hormone ya mimba kuwa imara.

3️⃣ Maembe – chanzo kizuri cha Vitamin A & C kwa ukuaji wa mtoto.

4️⃣ Cherries – zina Vitamin C & K, zinapunguza uvimbe na kuimarisha damu.

5️⃣ Kiwi – limejaa Vitamin C kwa uzazi salama.

Kwa kifupi…
👉🏾 Vitamin C nyingi huimarisha kizazi, huzuia mimba kushuka na kuupa mwili nguvu ya kuibeba mimba salama.

Lakini ukweli ni huu, sis…
Kuimarisha mimba si matunda pekee.

Unahitaji hormones ziko sawa, kizazi safi, ute wa uzazi mzuri na mwili usio na infections.

Hapo ndipo UzaziRestore Package inafanya kazi yake 💛👇🏾

🔥 UzaziRestore inasaidia:
✓ Kuondoa fangasi & bacteria zinazopunguza Kinga ya mimba

✓ Kurekebisha hormones (hasa progesterone & prolactin)

✓ Kuimarisha uterine lining—ili mimba ishikike bila kutoka

✓ Kuongeza fertile mucus kwa mimba ya haraka

✓ Kuandaa mwili kuhimili ujauzito bila mapambano

Dozi ya siku 30 ni 260,000 TSH (full support + follow-up).
Dozi ya 90 days ndiyo inamaliza tatizo kutoka root cause.

🟡 DM neno “MIMBA SALAMA” nipange dozi yako leo.
Delivery inapatikana nchi nzima 🇹🇿💛

K**A UNA MPANGO WA KUBEBA MIMBA HUU MWAKA....Jitahidi uanze kutumia hizi supplements zitakusaidia kukuaanda vizuri kweny...
21/11/2025

K**A UNA MPANGO WA KUBEBA MIMBA HUU MWAKA....

Jitahidi uanze kutumia hizi supplements zitakusaidia kukuaanda vizuri kwenye Afya yako ya uzazi, Kwani

✅ Utapata Ute uzazi

✅ K**a unachangamoto ya hormones imbalance hizi supplements zinarekebisha hormones kwa haraka sana mwilini

✅ K**a pia unatokwa na uchafu wenye harufu kali ukeni kwako, hiyo hali ni PID, Tumia hizi supplements inasafisha uchafu wote

✅ Labda una uvimbe kwenye mayai au kwenye kizazi, hizo zote ni vimbe ukitumia hizi supplements zinayeyusha kwa uharaka sana

✅ Uke wako ni Mkavu sana, Tendo la ndoa hulifurahii kabisa, unapata maumivu makali sana, hizi supplements zitakusaidia kurejesha ute ute ukeni kwako

✅ Mwisho hizi supplements zinasaidia kufanya unase ujauzito kwa haraka sana,

ANZA LEO KUTUMIA HIZI SUPPLEMENTS

Kwanza Ni Salama hazina Kemikali Kali, na gharama Siyo Kubwa k**a Njia nyingine , Dose ya mwezi mmoja ni

Tsh.260,000/= tu

Na Endapo utazichukua leo utapata Free Delivery Mkoa wowote Ulipo

K**a upo Mkoani Tunatuma kwa haraka sana na uaminifu ni mkubwa

Dose kamili ni siku 90 tu

Hizi supplements Matumizi yake ni rahisi sana, unakunywa kutwa mara mbili tu, Asubuhi na Jioni

K**a unahitaji Serious Piga simu sasa

Wasap: +255(0789699225), Dr Sam Makata

Uk'e mkavu, maumivu wakati wa tendo, homoni kuvurungika au maambukizi yanayorudia Mara Kwa Sasa vinaumiza sana—na vinapu...
19/11/2025

Uk'e mkavu, maumivu wakati wa tendo, homoni kuvurungika au maambukizi yanayorudia Mara Kwa Sasa vinaumiza sana

—na vinapunguza nafasi ya kupata ujauzito.

Lakini Habari Njema ni Kwamba
UzaziRestore Vaginal Therapy inatibu chanzo, si Kutuliza Dalili/ maumivu.

Matokeo ni Ndani Ya Siku 7–90.

Gharama 260,000/=. Ipo Kijitonyama Makumbusho na delivery nchi nzima. Wasap: +255(0789 699 225). Hi

Mchanganyiko sahihi wa madini na vitamini unaweza kupunguza karibu kila changamoto ya ujauzito na kukuweka salama pamoja...
19/11/2025

Mchanganyiko sahihi wa madini na vitamini unaweza kupunguza karibu kila changamoto ya ujauzito na kukuweka salama pamoja na mtoto wako.

Pregnancy Kit ni mchanganyiko wa madini na vitamini muhimu kwa mjamzito.

Faida zake:
1️⃣ Inapunguza maudhi ya mimba k**a kichefuchefu, kutapika, uchovu, kiungulia na kukosa choo.
2️⃣ Inapunguza hatari ya mimba kuharibika miezi ya mwanzo.

3️⃣ Inazuia uvimbe na kuboresha ngozi.
4️⃣ Inaongeza nguvu za mwili kwa kazi za kila siku.

5️⃣ Inaongeza damu kwa kiwango kinachohitajika.
6️⃣ Inapunguza hatari ya matatizo ya ujauzito k**a presha, sukari na kifafa cha mimba.

7️⃣ Mtoto hupata vitamini na madini muhimu kwa ukuaji wake.
8️⃣ Inapunguza maumivu ya kichwa, kiuno na mgongo.

9️⃣ Inapunguza hatari ya kujifungua kabla ya wakati.

Nikiwa daktari wako, lengo langu ni kuhakikisha unapata ujauzito salama na wenye afya.

Kwa Package yake Bei ni 260,000/=, Ya Siku 30,

Na unatakiwa Kutumia Angalau Kwa muda Wa Miezi mitatu Ili Kupata Matokeo Mazuri Zaidi

Ukihitaji ushauri zaidi au kupata Pregnancy Kit, nitumie Ujumbe Wasap moja kwa moja:

📲 +255(0 789 699 225)
— Dr. Sam Makata

UJUMBE MZURI KWAKO MAMA MJAMZITO, Usipite Bila Kusoma Ujumbe Huu...👇👇Kwanini tunasema muhimu sana Mama mjamzito utumie O...
19/11/2025

UJUMBE MZURI KWAKO MAMA MJAMZITO, Usipite Bila Kusoma Ujumbe Huu...👇👇

Kwanini tunasema muhimu sana Mama mjamzito utumie OMEGA 3?

Tufahamu kwanza OMEGA 3 ni nini, ,OMEGA 3 ni kurutubisho kinachojumuisha mafuta ya samaki, Vitamin E, na pia inajumuishwa na hizi Fatts Acid EPA pamoja na DHA.

OMEGA 3, nimuhimu sana Kwa Mama na mtoto aliyetumboni kwasababu matumizi ya OMEGA 3 yanaenda kukusaidia k**a ifuatavyo.

1: OMEGA 3 zinasaidia katika ukuaji wa kawaida wa mwili na kuimarisha ya afya ya ubongo wa mtoto,

✨Hivyo k**a unapenda uzae mtoto mwenye afya nzuri ya Akili tumia Omega 3, kwani atakuwa shapu sana.

2:Pia inasaidia katika mfumo wa msukumo wa damu na moyo kwa ujumla.

3:Pia Itakusaidia Kuepuka kuzaa mtoto mwenye tatizo la Utindio wa ubongo.

4: Itakusaidia Kuepuka kuzaa mtoto njiti.

5:Inasaidia kuepukana na kuzaa mtoto kwenye ulemavu wa viungo.

6:OMEGA 3 inasaidia uzae mtoto mwenye afya nzuri na Bora ya macho.

Hivyo OMEGA 3 nimuhimu sana Kwa afya ya Mama na Kwa afya ya mtoto aliyeyoko tumboni,

Kwani kutumia OMEGA-3 itakupa Faida nyingi zaidiii, Kwa mahitaji ya kupata hii OMEGA -3

Nitumie ujumbe Wasap/ sms +255(0789 699 225)

Kila Baada Ya Tendo Kuona Mbegu ZINAMWAGIKA NJE…👇👇 Na kwako Ujauzito Imekuwa Shida, Kila mwezi unangoja “labda leo,” lak...
18/11/2025

Kila Baada Ya Tendo Kuona Mbegu ZINAMWAGIKA NJE…👇👇
Na kwako Ujauzito Imekuwa Shida,

Kila mwezi unangoja “labda leo,” lakini hedhi ikija unavunjika moyo zaidi.
Unajiuliza: “Labda kuna kitu kibaya kwangu—au kwa mume wangu…?”

Leo Nataka nikueleze kitu muhimu sana:
Tatizo la mbegu kutoka nje lina Suluhisho — ukishajua Sababu Zake halisi ni zipi Mapema...,

Na unapoweka sawa homoni, njia za uzazi, uk'e, kizazi na ute wa uzazi… nafasi ya kushika mimba huongezeka mara dufu.

Hapa ndipo UzaziRestore imewasaidia wanawake wengi waliopitia k**a wewe:

kutoka PID, cyst, PCOS, ute mwingi, mizunguko isiyoeleweka — mpaka kupokea ujauzito baada ya muda mrefu waliousubiri Bila mafanikio.

K**a unahitaji tiba safi, salama, ya asili na inayotibu mzizi wa tatizo:

UzaziRestore (260,000/= kwa mwezi) inakusaidia kurejesha afya ya uzazi kwa siku 30–90.
Unapata pia:
• Muongozo wa lishe
• Support ya kila hatua

• Mpango wa kuimarisha homoni
• Tiba kwa maambukizi ya Ndani yasiyo onekana Kwenye Majibu ya vipimo

• Njia ya kuongeza nafasi ya kurutubika

DM au Wasap +255(0789 699 225) sasa — hatua moja inaweza kubadilisha safari yako ya kuwa mama.

Mtoto analia bila sababu… tumbo linamtesa… usingizi wake hauko sawa…?Hapa k**a Daktari Nikifuatilia chanzo, unakuta ni c...
18/11/2025

Mtoto analia bila sababu… tumbo linamtesa… usingizi wake hauko sawa…?

Hapa k**a Daktari
Nikifuatilia chanzo, unakuta ni chakula kidogo tu alichokula mama — lakini mtoto anahisi madhara yake kupitia maziwa.

Mwili wa mtoto Bado ni mdogo/ Mchanga, lakini unachokula wewe Dada Yangu kina nguvu kubwa sana kwake.

Ukitaka kujua vyakula gani ni salama na gani Hutakiwi kula, swipe kupitia slides zote, na Namba 5 Uwa inawatesa sana Watoto Wengi

Na kwako Wewe Ambaye Umekuwa ukijaribu kushika ujauzito bila mafanikio

— homoni haziko sawa, mzunguko wa hedhi Umevurungika n.k,

Afya yako ya kizazi inahitaji kurejeshwa kwenye balance Ili kuahakikisha Unapata Ujauzito Salama

Hapo ndipo UZAZIRESTORE inafanya kazi:
– Inaondoa mizunguko isiyoeleweka
– Inaimarisha homoni
– Inaongeza nafasi ya kupata ujauzito ndani ya siku 30–90
– Ni ya asili, salama, na imesaidia wanawake Tanzania na nje ya Tanzania

📩 Comment neno “MAMA” nikutumie mwongozo wa lishe salama kwa mama anayenyonyesha + hatua za kurudisha afya ya uzazi.

Au DM “UZAZIRESTORE” kupata ushauri wa bure na kujua k**a mwili wako upo tayari kuanza matibabu.

Folic acid HAIFANYI Hushike mimba.Kazi yake ni kulinda mimba ikishatungwa na kuimarisha afya ya mayai — lakini haitiishi...
18/11/2025

Folic acid HAIFANYI Hushike mimba.
Kazi yake ni kulinda mimba ikishatungwa na kuimarisha afya ya mayai — lakini haitiishi tatizo la kutoshika mimba peke yake.

Kushika mimba kunategemea:

✅ Ubora wa mayai

✅ Uwiano wa homoni

✅Mirija kutokua imeziba

✅ Ovulation kuwa sawa

✅ Ubora wa Mayai na mbegu za mwanaume

Kwa hiyo, folic acid ni nzuri, LAKINI HAITOSHI.

K**a unahangaika kupata ujauzito, unahitaji matibabu ya kurekebisha homoni & ovulation k**a vile tunavyofanya kupitia Uzazirestore.

Ukihitaji Kupata Tathmini yako Binafsi ili tujue kinachokuzuia kushika mimba — niambie tu.

Kupitia DM/ Inbox au Kupitia Wasap +255(0789699225) Dr Sam Makata

Mama aongee na daktari au mtaalamu wa lishe kabla ya kuanza chakula chochote.Kula mara kwa mara kwa kiasi kidogo badala ...
18/11/2025

Mama aongee na daktari au mtaalamu wa lishe kabla ya kuanza chakula chochote.

Kula mara kwa mara kwa kiasi kidogo badala ya kula milo mikubwa.

Lengo ni kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kupona kidonda cha upasuaji, na kutoa nguvu ya kunyonyesha.

Ukiona dalili hizi ujue upo siku za hatari (Ovulation) (Fertility Signs) 🤰...👇Kila mwanamke ana kipindi maalum katika mz...
17/11/2025

Ukiona dalili hizi ujue upo siku za hatari (Ovulation) (Fertility Signs) 🤰...👇

Kila mwanamke ana kipindi maalum katika mzunguko wake ambacho mwili wake huwa tayari kushika mimba.

Kipindi hiki huitwa ovulation wakati yai linapoachiliwa kutoka kwenye ovari.
Ili kujua kuwa mwili wako upo tayari kushika mimba, unaweza kuangalia ishara hizi muhimu 👇

🔹 1. Ute wa uke kubadilika

Wakati wa ovulation, ute wa uke huwa mwingi, mweupe k**a yai bichi, unavuta na hausikii ukavu.
Hii inaonyesha mwili wako unaandaa mazingira mazuri kwa manii kusafiri na kurutubisha yai.

🔹 2. Joto la mwili kuongezeka kidogo

Baada ya yai kuachia, joto la mwili huongezeka kwa asilimia ndogo tu (0.3–0.5°C).

Unaweza kufuatilia kwa kipima joto cha kila asubuhi kabla hujaamka kitandani.
K**a joto limepanda, ujue ovulation imeshatokea.

🔹 3. Maumivu madogo chini ya tumbo

Wengine huhisi maumivu mepesi upande mmoja wa tumbo ni dalili kuwa yai limeachiliwa.

Maumivu haya huwa hayadumu muda mrefu.

🔹 4. Hamasa ya tendo la ndoa huongezeka

Asili ya mwili wa mwanamke hujipanga kusaidia upatikanaji wa mimba, hivyo kipindi cha ovulation huwa na hamu kubwa ya tendo la ndoa.

🔹 5. Mabadiliko ya matiti

Baadhi ya wanawake huhisi matiti kuwa mazito, kujaa au kuuma kidogo, dalili kwamba homoni zimepanda na mwili unaandaliwa kwa ujauzito.

🌺Kuelewa mwili wako ni hatua ya kwanza ya kuishi kwa amani na afya ya uzazi.

Ukijifunza kufuatilia dalili hizi, utaweza kujua siku zako zenye nafasi kubwa ya kushika UJAUZITO.

🕊️ Mwili wako ni zawadi kutoka kwa Mungu ujifunze kuusikiliza, utajua majibu mengi bila hata kipimo.💖

Kwa maelezo zaidi tupigie Dr Sam Makata, Wasap +255(0789699225)

Address

OFISI IPO, Jengo La Makumbusho Complex Floor Ya Pili, Kijitonyama Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category