Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Tunasaidia wanawake na wanaume kurejesha afya ya uzazi kwa tiba lishe asilia, tukilenga chanzo cha tatizo. Ushauri binafsi WhatsApp +255 789 699 225

Ukitaka tathmini binafsi ya hali yako, niandikie neno "MIMBA"  kwenye DM au Wasap +255(0789699225) Dr Sam Makata Nipo kw...
23/02/2026

Ukitaka tathmini binafsi ya hali yako, niandikie neno "MIMBA" kwenye DM au Wasap +255(0789699225) Dr Sam Makata

Nipo kwa ajili yako, Kwa Ushauri, Elimu Na Tiba

VIRUTUBISHO 5 MUHIMU Kwa Mwanamke Miaka 35+ , K**a Kweli Unahitaji Kuitwa Mama 2026-2027Mama yangu, ukifika miaka 35 na ...
23/02/2026

VIRUTUBISHO 5 MUHIMU Kwa Mwanamke Miaka 35+ , K**a Kweli Unahitaji Kuitwa Mama 2026-2027

Mama yangu, ukifika miaka 35 na kuendelea mwili huanza kubadilika taratibu.

Hii siyo dalili ya kuzeeka vibaya — ni mwili wako kuingia hatua mpya ya maisha

Kipindi cha perimenopause kuelekea menopause kinaweza kuleta:
• joto la ghafla mwilini (hot flashes)

• kuongezeka uzito bila sababu

• uchovu wa mara kwa mara

• hasira au mabadiliko ya hisia

• usingizi kuwa mgumu

Chanzo kikubwa mara nyingi ni homoni kuvurugika.

Habari njema ni kwamba lishe sahihi inaweza kusaidia kuzirudisha kwenye balance, Bila Dawa Kali.

Na sio lazima ununue vyakula vya gharama — hata vya shambani vinatosha kabisa 👇

✅ 1. Protini – hulinda misuli na kuongeza nguvu
Kula mayai ya kienyeji, kuku wa kienyeji, dagaa, maharagwe, dengu au kunde.

Hivi hukusaidia usipoteze misuli na huzuia mafuta kuongezeka haraka.

✅ 2. Omega-3 – rafiki wa ubongo na homoni
Samaki k**a sangara, sato, kibua na dagaa wana mafuta mazuri yanayopunguza uvimbe mwilini na kusaidia kumbukumbu pamoja na mood.

✅ 3. Magnesium – kwa utulivu na usingizi mzuri
Pata kutoka mchicha wa kienyeji, matembele, kunde, karanga au ufuta.

Husaidia kupunguza stress na kufanya ulale vizuri.

✅ 4. Vitamin D – nguzo ya mifupa imara
Pata dakika 20–30 za jua la asubuhi. Ongeza maziwa, mayai na samaki.
Hii hulinda mifupa na kupunguza maumivu ya viungo Uzeeni

✅ 5. Nyuzi (fiber) – kwa tumbo na uzito sahihi
Kula ulezi, mtama, mahindi ya dona, viazi vitamu, mboga za majani na parachichi.

Husaidia mmeng’enyo wa chakula na kudhibiti hamu ya kula.

Mama, usisubiri dalili ziwe kali ndipo uchukue hatua Hizi,
Lishe ni tiba ya kwanza ya kurekebisha homoni kwa njia ya asilia

Na k**a unaona dalili zimeanza kuwa nyingi — period kubadilika, uzito kuongezeka, uchovu, au hamu ya tendo la ndoa kupungua — mwili wako unahitaji msaada mapema.

Programu Pendwa ya urejeshaji wa homoni na afya ya uzazi (30–90 days) huwasaidia wanawake 35+ kusawazisha homoni, kuongeza Nafasi ya Kupata Ujauzito Ndani ya Siku 30 Mpaka 90, nguvu na kujiandaa kuzeeka kwa afya na utulivu.

📩 Andika “VIRUTUBISHO” nikutumie mwongozo wa lishe.
Au Wasap +255(0789699225) kwa ushauri binafsi

Ugonjwa Wa Pid Ni Nini?Ugonjwa wa pid ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Wanaopata changamoto hii zaidi...
22/02/2026

Ugonjwa Wa Pid Ni Nini?

Ugonjwa wa pid ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Wanaopata changamoto hii zaidi ni wanawake wa umri wa miaka 15-28.

Maambukizi haya hutokea ikiwa bakteria wanaoambukizwa kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye uke kwenda kwenye mji wa mimba (Kizazi),

mirija ya uzazi (Fallopian tubes) na kwenye ovari (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).

Ugonjwa Wa Pid Husababishwa Na Nini?

Ugonjwa wa pid husababishwa na aina ya bakteria ambao husababisha magonjwa ya zinaa k**a vile kisonono na kaswende pamoja na bakteria wa UTI na FANGASI.

K**a hawa bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa uzazi hawakudhibitiwa mapema, wanaweza kusababisha maambukizi na kuleta ugonjwa wa PID na Kupelekea Ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya kizazi.

Mwili wa mwanamke unapokuwa na afya njema, mlango wa kizazi huwa na uwezo mkubwa wa kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.

Kwa wale ambao tayari PID imeathiri uwezo wa kushika mimba, nina mpango maalum wa UZAZIRESTORE unaolenga:
✔️ Kutibu chanzo cha tatizo (root cause healing)

✔️ Kusafisha na kurejesha afya ya mfumo wa uzazi

✔️ Kuimarisha mirija ya uzazi na mfuko wa uzazi

✔️ Kuongeza uwezekano wa kushika mimba kwa njia ya asili

– Muongozo maalum wa lishe ya kurejesha homoni

– Support kipindi chote cha matibabu

– Ufuatiliaji wa karibu hadi mwili wako urudi kwenye uwiano sahihi

Dada yangu, uzazi si bahati. Ni maandalizi sahihi kwa wakati sahihi.

Na niko hapa kuhakikisha unakuwa salama leo… na mama mwenye afya kesho.

USIFANYE HILI K**a Unatafuta Mimba… Inaweza Kukuzuia Bila Kujua!Kunyonywa manyonyo huongeza oxytocin na prolactin. Zikip...
22/02/2026

USIFANYE HILI K**a Unatafuta Mimba… Inaweza Kukuzuia Bila Kujua!

Kunyonywa manyonyo huongeza oxytocin na prolactin.

Zikipanda kupita kiasi zinaweza kuathiri ovulation, kusababisha mikazo ya uterus au kuongeza maumivu k**a kuna maambukizi.

K**a unapambana na Ugumba au Kuharibika Mara Kwa mara Kwa mimba changa, fahamu chanzo kwanza.

Comment neno "UZAZI" upate mwongozo wa kurekebisha homoni zako Kwa Tiba Lishe Asilia.

Mwili Wa Mwanamke Umeumbwa KUJIREKEBISHA Ukipata Msaada Sahihi.Kwenye Slides hii nimekuonyesha:✔️ Sababu kuu za ukavu uk...
21/02/2026

Mwili Wa Mwanamke Umeumbwa KUJIREKEBISHA Ukipata Msaada Sahihi.

Kwenye Slides hii nimekuonyesha:
✔️ Sababu kuu za ukavu ukeni

✔️ Njia za asili kuongeza hamu ya tendo

✔️ Vyakula na tabia zinazosaidia Kuongeza Ute Uke'ni na Hamu ya Tendo

✔️ Uhusiano wa ukavu Uke'ni na Uwezo Wa Kupata Ujauzito

K**a tatizo linaendelea baada ya Kufanya haya au unatafuta suluhisho la kudumu,

Basi program ya UzaziRestore inalenga kurejesha mfumo mzima wa uzazi na kuongeza fertility ndani ya siku 30–90.

Usitibu dalili pekee. Tibu Na Kuponya chanzo.

📩 Andika “HAMU” DM au Wasap+255(0789699225) kwa tathmini binafsi.

K**a Isipotibiwa, P.I D inaweza kusababisha UGUMBA, maumivu sugu ya nyonga, na mimba kutunga nje ya mji wa uzazi. Tuma n...
21/02/2026

K**a Isipotibiwa, P.I D inaweza kusababisha UGUMBA, maumivu sugu ya nyonga, na mimba kutunga nje ya mji wa uzazi.

Tuma neno “PID” Kupitia DM/ Inbox upate msaada binafsi na mwongozo sahihi wa kurejesha afya ya uzazi wako kwa usahihi.

Kuharakisha bila maandalizi kunaweza kurudisha maumivu yale yale.Swali hili ninaulizwa na wanawake wengi… “Nisubiri muda...
20/02/2026

Kuharakisha bila maandalizi kunaweza kurudisha maumivu yale yale.

Swali hili ninaulizwa na wanawake wengi…
“Nisubiri muda gani kabla ya kubeba mimba nyingine?”

Kwanza elewa chanzo.

Mimba nyingi kuharibika hutokana na makosa ya ukuaji wa kinasaba (chromosomal abnormalities) yanayotokea kwa bahati mbaya. Mara nyingi haya hayajirudii.

Sababu nyingine zinaweza kuwa:
• Maumbile ya mfuko wa uzazi

• Magonjwa k**a kisukari au matatizo ya damu

• Maambukizi (infection)

• Upungufu wa homoni muhimu k**a progesterone

Habari njema ni kwamba kwa wanawake wengi, hali hii hutokea mara moja tu na hawarudii tena endapo watapatiwa Msaada Sahihi

Je, ni lini inafaa kujaribu tena?

K**a ni mara ya kwanza, kitaalamu unaweza kubeba mimba baada ya kurudi kwa hedhi yako

— mara nyingi angalau wiki 6 baada ya kuharibika kwa mimba. Hii humaanisha mwili wako uko tayari kimwili.

Lakini pia jiulize:
Je, uko tayari kihisia? Maumivu ya kupoteza mimba ni makubwa, na utulivu wa moyo ni sehemu ya maandalizi ya ujauzito wenye afya.

K**a hali imejirudia zaidi ya mara moja, ni muhimu kufanya uchunguzi wa kina (vipimo vya damu, ultrasound, tathmini ya homoni) kabla ya kujaribu tena.

Bila kugundua chanzo, uwezekano wa kujirudia huongezeka.

📊 Tafiti zinaonyesha zaidi ya asilimia 70 ya wanawake waliowahi kupoteza mimba hufanikiwa kupata ujauzito mwingine wenye afya njema.

Hivyo, usikate tamaa.

🌿 Ushauri wangu k**a daktari Wako:
✔️ Andaa mwili wako upya (hormone balance, lishe bora, folic acid)

✔️ Tibu chanzo k**a kipo

✔️ Jenga afya ya kizazi kabla ya ujauzito mwingine

Mimba si bahati — ni maandalizi sahihi kwa wakati sahihi.

K**a umewahi kupitia hali hii na unajiuliza hatua inayofuata ni ipi, andika neno “TAYARI” au nitumie DM.

Nitakuongoza namna ya kujiandaa kwa ujauzito salama, wenye matumaini mapya na furaha ya kuwa mama

Na K**a una PCOS, hedhi zisizo sawa, au Unatafuta Ujauzito Kwa Muda Mrefu— namna unavyofunga inaweza kusaidia kurekebish...
19/02/2026

Na K**a una PCOS, hedhi zisizo sawa, au Unatafuta Ujauzito Kwa Muda Mrefu— namna unavyofunga inaweza kusaidia kurekebisha au kuvuruga kabisa homoni zako.

Habari njema? Kufunga kwa mpangilio mzuri kunaweza kusaidia kupunguza INSULIN RESISTANCE, kuimarisha mzunguko wa hedhi, na kusaidia mwili kurudi kwenye usawa wake wa asili.

💬 Komment “MFUNGO” au tuma DM “UZAZI” nikusaidie mpangilio sahihi wa lishe ya mfungo unaolinda homoni zako na kuandaa mwili wako kwa ujauzito.

Uzazi sio bahati. Ni maandalizi sahihi — hata wakati wa mfungo.

19/02/2026

Mwili wa mwanamke anayetafuta kushika mimba unahitaji mazingira safi ya homoni.

Kila unachovuta au kunywa kina athari moja kwa moja kwenye mayai yako.

Kitaalamu, saa 1 ya sh**ha inaweza kuwa sawa na kuvuta sigara hadi 100. Sasa jiulize, mayai yako yanabaki salama kweli?

🍺 Pombe – Huvuruga homoni za uzazi
– Hufanya hedhi kuwa isiyo na mpangilio
– Huongeza hatari ya mimba kuharibika mapema
– Hata mimba ikitungwa, huathiri ukuaji wa mtoto

🚬 Sigara – Hupunguza idadi na ubora wa mayai
– Huongeza hatari ya utasa
– Huongeza uwezekano wa mimba nje ya kizazi
– Huzeesha mayai mapema

💊 Madawa ya kulevya – Huvuruga sana mfumo wa homoni
– Hupunguza uwezo wa kushika mimba
– Huongeza hatari ya kuharibika kwa mimba
– Huathiri afya ya mtoto atakayezaliwa

💨 Sh**ha – Ina kemikali nyingi hatari kuliko unavyodhani
– Huathiri ovulation (utoaji wa yai)
– Huongeza hatari ya utasa na mimba kuharibika

UKWELI MCHUNGU NI HUU: huwezi kuomba mtoto kwa Mungu au kutamani mimba halafu wakati huo huo unaharibu mazingira ya uzazi wako.

K**a uko serious na safari ya uzazi:
✔ Acha kabisa pombe, sigara, sh**ha na madawa ya kulevya

✔ Rekebisha lishe — kula mboga za majani, matunda, protini safi

✔ Fanya mazoezi mepesi

✔ Punguza stress

✔ Pata ushauri wa kitaalamu mapema

Mwanamke anaweza kurejesha uzazi wake k**a atachukua hatua mapema.

💬 Comment “NIPO TAYARI” au nitumie DM “UZAZI” nikusaidie kuanza maandalizi sahihi ya mwili wako kabla hujashika mimba.

Usiharibu ndoto yako kwa tabia za muda mfupi.

Uzazi unahitaji maandalizi, sio mazoea.

Address

OFISI IPO, Jengo La Makumbusho Complex Floor Ya Pili, Kijitonyama Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category