Magreth Afya care

Magreth Afya care NINATOA USHAUR WA KIAFYA KWA WENYE CHANGAMOTO ZOTE ZA AFYA ,(kansa,sukar,presha,)
(UZAZ KWA me&ke).

usisite kuwasiliana nami kwa changamoto yoyote ya afya ...
๏ฟฝYOUR HEALTH IS UR WEALTH

Unaelewa maana ya sumu kujaa mwilini kiasi kwamba hata ukitumia madawa hayafanyi kazi??Detox itakusaidia kutoa hayo MASU...
07/03/2022

Unaelewa maana ya sumu kujaa mwilini kiasi kwamba hata ukitumia madawa hayafanyi kazi??
Detox itakusaidia kutoa hayo MASUMU mwilini ili upone!!!

Detox tutafanya....
Kwa ninii tufanye ili tusiingie kwenye shambulio kubwa la PID......
Tunaifanyia kuanzia ndani na njee...
Kwa ninii?? Kwasababu tumekua wamezaji wazuri wa antibiotic ambazo tunashauriana (mashosti) hivyo imepelekea mwili kujaa simu na kuwa sugu mpka power safe zina dunda ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Tutafanya detox na nje pia kwa ninii??
Kwasababu tumekua waungaji wa zuri wa (UKE) tunatia vitunguu maji uko kwa uke,vitunguu swaumu,haya saiz vimekuja na vipipi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ, kila kitu saiz tunatia kwa UKE tumebalisha viungo vya pilau tuu... hivyo basi imepelekea kuuwa wadudu wa linzi wote wa uke ......
Sasa turudi kwenye uhasilia wetu tunarudije sasa kwa kutumia๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

(DETOX)DETOXIFICATION YA UKE ipo inapatikana sasa

WhatsApp au Piga simu
๐Ÿ“ž+255746103518

Hii imeniumiza Jamani.... trust me Huyu Dada anaenda kutumia dose Yangu Kwa mara ya kwanza na itakuwa ya Mwisho Kwa saba...
07/03/2022

Hii imeniumiza Jamani.... trust me Huyu Dada anaenda kutumia dose Yangu Kwa mara ya kwanza na itakuwa ya Mwisho Kwa sababu atapona Moja Kwa Moja na nitaleta ushuhuda wake hapa....

CHAGUA MWENYEWE NIKUHUDUMIE UKIWA NA UHAKIKA WA KUPONA AU NENDA HUKO KWA KINA FEKE, HAZIFANYI KAZI UTUMIE MADAWA BEI RAH...
07/03/2022

CHAGUA MWENYEWE NIKUHUDUMIE UKIWA NA UHAKIKA WA KUPONA

AU NENDA HUKO KWA KINA FEKE, HAZIFANYI KAZI UTUMIE MADAWA BEI RAHISI LAKINI KUPONA NI NDOTO

Mke na Mume wake,au mwanamke na mwanaume Wakijaribu kupata mimba bila mafanikio ndani ya Mwaka mmoja wa kufanya tendo la...
07/03/2022

Mke na Mume wake,au mwanamke na mwanaume Wakijaribu kupata mimba bila mafanikio ndani ya Mwaka mmoja wa kufanya tendo la ndoa mara kwa mara,ni UGUMBA au UTASA,
Chanzo cha Tatizo yaweza kuwa Mwanaume,au mwanamke au wote kwa pamoja wakawa na Shida!

Mnapo pata shida kufanikisha kupata mimba/mtoto,Mabadiliko ya Lifestyle Yanaweza changia sana kuongezea uwezo wa kupata Mimba kwa HAWA WENZI;

Dondoo zinazosaidia ni k**a ifuatavyo

1.Kuepuka vyakula au kupunguza ulaji wa vyakula vilivyochakatwa mfano badala ya sembe kula dona,badala ya mkate mweupe wa kawaida kula ule brown,tumia mchele wa brown,kula vyakula vyenye FIBER nyingi zaidi unapata madini mengi zaid .

2.Epuka Pombe /sigara zinafanya yai au mbegu ya kiume KUTOKUWA NA UBORA unaofaa .

3.Fanya mazoezi kwa afya yanasaidia sana kuweka homons zikae sawa mwilin,ukifanya mazoezi cells za mwili zinapumua,so excess homons zinatolewa.
PUNGUZA UZITO ,uzito unasababisha sana matatizo ya homons,mafuta si mazuri kwa uzazi,lakin jitahidi kubalance uzito na kimo chako.

4.Jitahidi kupata muda wa kutosha kupumzika na ku relax...maana ukiwa na stress kuna baadhi ya kemikali zinakuwa juu mwilin zinazuia upatikanaji wa mimba,distruct ur self,pata nyakati za kupumzisha akili yako na uache stress.

5.Fanya tendo la ndoa kwa usahihi na jua siku zako za hatari cheza nazo,na hapa hatushauri s*x za KILA SIKU KILA SIKU,hapana ,mwanaume anatakiwa pata muda walau hata siku moja au mbili mwil wake Uandae sperms zenye ubora wa kurutubisha

6.Kula vyakula vyenye Folic acid kwa wingi k**a mayai,spinach,machungwa,pia vyakula vyenye madini ya Zinc kwa wingi k**a Korosho,vyakula vyenye Omega 3(mafuta ya Samaki), kwa Wingi na Maji mengi ni MUHIMU SANA

7. Baada ya mwaka mmoja kupita bila mafanikio mkafanye vipimo wote wawili k**a kuna tatizo muanze tiba mapema

Pia tuna fertility boost Kwa mwanamke na mwanaume
Ushauri ni Bure.

Tuwasiline kupitia Whatsapp au piga simu namba
๐Ÿ“ž+255 746103518

Feedback... ukipona usiache kunipa ushuhuda wako .....
07/03/2022

Feedback... ukipona usiache kunipa ushuhuda wako .....

Usiogope,Muda na Majira Utafika na Utashuhudia pia.Mungu Atakukumbuka.Amina๐Ÿ™
03/03/2022

Usiogope,Muda na Majira Utafika na Utashuhudia pia.
Mungu Atakukumbuka.Amina๐Ÿ™

02/03/2022

K**a unahitaji Baraka hii one kwako mwaka huu type ..Amen

28/02/2022

Nipe comment yako were k**a mzazi kwenye posti hii.....

Unafurahia wakati.wa tendo au unafanya kutimiza wajibu.....K**a unapitia hii changamoto nina ushauri wa kukusaidia njoo ...
26/02/2022

Unafurahia wakati.wa tendo au unafanya kutimiza wajibu.....
K**a unapitia hii changamoto nina ushauri wa kukusaidia njoo uchukue chap..
0746103518.

Mungu ninmwema sana.... Shuhuda ni nyingi mnooo....๐Ÿ™๐Ÿ™
26/02/2022

Mungu ninmwema sana.... Shuhuda ni nyingi mnooo....๐Ÿ™๐Ÿ™

Jamaani sina cha Kusema Mungu ampe kila mmoja hitaji la moyo wake ... Shuhuda hzi zinanigusa na kunipa nguvu sana ....we...
26/02/2022

Jamaani sina cha Kusema Mungu ampe kila mmoja hitaji la moyo wake ... Shuhuda hzi zinanigusa na kunipa nguvu sana ....wewe mwanamke mwenye changamoto nipigie nkusaidie...
0746103518

P.I.D inatibika!Piga au whatsapp๐Ÿ“ž0746103518 au piga๐Ÿ“ž0746103518
26/02/2022

P.I.D inatibika!

Piga au whatsapp๐Ÿ“ž0746103518 au piga๐Ÿ“ž0746103518

Address

Tanzanite Park Victoria
Dar Es Salaam
001

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 10:00 - 17:00

Telephone

+255746103518

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Magreth Afya care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Magreth Afya care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram