AFYA YAKO 11

AFYA YAKO 11 ๐Ÿ‡NGUVU ZA KIUME | UNENE | KITAMBI
๐ŸŒYOUTH & WOMEN BUSINESS COACH
+ 255752013344โ—255676997616

01/01/2026

Hii ni Barua ya Wazi Kwa Wanaume Wote Wanaojitambua na Wanaothamini Afya Zao... Sikiliza Kwa makini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

01/01/2026

Hii ni nzuri kwa ngozi, yako, kucha na nywele zako... k**a umekuwa ukiteseka na vipele, makuvu usoni chunusi zisizoishaa

Contact: 0752013344
ใ‚šviralใ‚ทfypใ‚ทใ‚šviralใ‚ท
ใ‚šviralใ‚ทfypใ‚ทใ‚šviralใ‚ท
ใ‚š

29/12/2025

๐Ÿ’– *JINSI MWANAMKE ANAVYOPASWA KUWA ILI AHESHIMIWE KATIKA MAHUSIANO* ๐ŸŒธโœจ

1. *Awe na Heshima kwa Mpenzi Wake*
- Mwanamke anayejua kutumia lugha ya staha, anayemjali mpenzi wake na kumheshimu hadharani na faraghani, hupewa heshima ile ile anayotoa.

2. *Awe Mvumilivu na Mwelewa*
- Mahusiano yanahitaji uvumilivu. Mwanamke mwenye busara hujua wakati wa kunyamaza, kusamehe na kuelewa hali ya mpenzi wake.

3. *Ajithamini na Kujiheshimu*
- Mwanamke anayejiheshimu hawezi kudharauliwa. Anajua thamani yake na hajishushi kwa sababu ya mapenzi au presha ya nje.

4. *Awe Muaminifu na Mkweli*
- Uaminifu ni silaha ya mwanamke wa heshima. Asiye na michezo ya nyuma, asiyejifanya โ€” hupendwa kwa moyo wa kweli.

> ๐Ÿ’— ๐Ÿ”ฅ๐ŸคŒ*Weka โค๏ธ k**a unakubali kuwa mwanamke wa heshima hujengwa na tabia njema, si sura wala mavazi.*


29/12/2025

*๐Ÿ’ฌ MAMBO MUHIMU MWANAUME ANAYEPENDA KWA DHATI ANAPASWA KUZINGATIA ๐Ÿ’™*

*1.* _๐Ÿ”‘ Uaminifu ni msingi wa kila uhusiano._
Mwanaume mwaminifu hujenga imani na amani moyoni mwa mwanamke wake.

*2.* _๐Ÿ—ฃ๏ธ Mawasiliano ya wazi._
Kutoa nafasi ya kuongea kwa uwazi, kusikiliza bila hukumu, huimarisha uhusiano.

*3.* _๐Ÿค Kuwajibika na kuwa na malengo._
Mwanaume anayejua anachotaka na anayechukua hatua ni mvuto wa kudumu kwenye mahusiano.

*4.* _๐Ÿ’ž Kuonyesha upendo kwa vitendo._
Si maneno tu โ€” matendo ya upendo, msaada wa kihisia na kiakili huonyesha uzito wa hisia zako.

> *Weka ๐Ÿ’™๐Ÿ’š๐Ÿงก๐Ÿ’™โค๏ธ๐Ÿ’™ k**a unaamini mwanaume bora hujengwa kwa tabia njema na moyo wa kujali.*

nguvu Bora

29/12/2025

Hivi Kwa Jinsi Maisha Yanavyoenda Kasi ukiambiwa Uchague Pesa na Mapenz... wewe Utadomdokea Wap

A. Pesa
B. Mapenzi?

Add Your Comment
nguvu Bora

15/12/2025

Hebu Leo..Mtwambie Je ikitokea Ex wako Kakwama Then Akakufuata au Akakutafuta..Umsaidie kwa namna yeyote Ile Je unaweza Msaidia Yule Ex wako???

13/12/2025

Ngoja Leo niulize, hivi kweel kuna Wanaume Hawapend kufuatilia mpira, kandanda... Na k**a Wapo Hebu watwambie Nn Wanapenda...???

01/12/2025

*Je umewahi kushiriki Punyeto kwa muda mrefu sana?*,
*Je Unasimamisha Uume legelege na Unakosa Hisia za Kurudia Tendo?*

Hakikisha Unatumia Macca + Vitolize Men na Naturemini kwa Pamoja ni Virutubisho vyenye wingi wa Madini ya Zinki, Copper na Seleniam kwa wingi.

Madini haya kwa Pamoja husaidia kuimarisha Tishu, na Misuli ya Uume na kuongeza Hisia za Tendo Pamoja na kuongeza uzalishaji wa Homoni ya Kiume na Mbegu zenye Afya.

Anza leo leo kutumia usisubiri mpaka Tatizo liwe sugu na kupoteza kabisa nguvu za kiume utakuwa umechelewa mno.

Virutubisho hivi ni salama na havina madhara yoyote kwa mtumiaji hasa katika dunia ya sasa hatuwezi kukwepa matumizi ya virutubisho kwasababu vyakula vingi vina sumu nyingi za mbolea na Madawa hivyo huwezi kutegemea vyakula pekee ili vikuimarishe.

Mimi pia ninazitumia kwaajili ya kujiimarisha na kuweka afya fit wewe je??

0752 013 344

01/12/2025

HII Ni Yako Mwanaume.. Soma Caption ๐Ÿ‘‡

*๐ŸŒฟ Mifumo Inayohusiana na Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume*

Mfumo wa uzazi wa mwanaume hauwezi kufanya kazi peke yake. Kuna mifumo mingine ya mwili inayoshirikiana ili kudhibiti uzalishaji wa mbegu, nguvu za kiume na uwezo wa kupata watoto.

*1. MFUMO WA HOMONI (Endocrine system)*

Hypothalamus na pituitari (ubongoni) hutoa homoni zinazoamsha korodani kutengeneza mbegu na homoni ya kiume (testosterone).

Testosterone inahusika na:

Ukuaji wa viungo vya uzazi.

Kuibua hisia za hamu ya tendo la ndoa.

Kukuza misuli na nywele za kiume.

Bila mfumo wa homoni, uzazi wa mwanaume usingewezekana.

*2. MFUMO WA FAHAMU (Nervous system)*

Unadhibiti nguvu za kiume (er****on) na utoaji wa mbegu (ej*******on).

Mishipa ya fahamu hupeleka ujumbe kutoka ubongo โ†’ hadi uume, kuruhusu mabadiliko ya mishipa ya damu na misuli.

Msongo wa mawazo au matatizo ya akili huweza kuathiri nguvu za kiume.

*3. MFUMO WA MZUNGUKO WA DAMU (Circulatory system)*

Uume unahitaji mtiririko mzuri wa damu ili kusimama (er****on).

Shinikizo la damu, kisukari, au magonjwa ya moyo huweza kudhoofisha uwezo wa mwanaume wa kufanya tendo la ndoa.

Damu pia hubeba oksijeni na virutubishi vinavyosaidia afya ya mbegu.

*4. MFUMO WA MKOJO (Urinary system)*

Kwa mwanaume, mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi hushirikiana kupitia urethra (mfereji unaopitisha mkojo na shahawa).

Tezi dume na tezi nyingine huzunguka urethra, zikitoa majimaji yanayochangia kutengeneza shahawa.

Matatizo ya tezi dume huweza kuathiri kukojoa na utoaji wa mbegu.

*5. MFUMO WA KINGA (Immune system)*

Huhakikisha mbegu na viungo vya uzazi havishambuliwi na maambukizi.

Maambukizi ya ngono au magonjwa ya kinga mwilini huweza kuharibu mbegu na kupunguza uwezo wa uzazi.

Kwa elimu na ushauri usisite kututafuta๐Ÿฅ‘๐Ÿฅ‘๐Ÿฅ‘

0752 013 344

25/11/2025

๐ŸŒฟ TIBA ASILI YA UVIMBE, BAWASIRI, PID, GOITA, SUKARI & VIDONDA VYA TUMBO ๐ŸŒฟ

Dalili k**a maumivu ya tumbo, kichefuchefu, uchovu, uvimbe, gesi nyingi au kutokwa damu zinaweza kuashiria matatizo makubwa ya kiafya.

โœ… Suluhisho:
Tunatoa tiba asili ya mitishamba inayosaidia kupunguza maumivu na kurekebisha matatizo k**a bawasiri, PID, goita, sukari, majipu, uvimbe na vidonda vya tumbo. Wengi wamepata nafuu ndani ya muda mfupi.

๐Ÿ“ž Wasiliana:
0628675870 / 0752013344

๐Ÿšจ Anza safari ya afya bora leo!


22/11/2025

Mapenzi ni kitu Ambacho Kina hitaji sana sana Elimu.na ufundi

Tukutane darasani 0752013344




18/11/2025

SIRI NZITO YA WANAUME
WENGI: "ZERO MINUTES MAN...


Address

Makumbusho
Dar Es Salaam
000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO 11 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram